January Makamba: TANESCO sasa wamesitisha miradi ya ujenzi wa maofisi na kuelekeza fedha kukarabati miundombinu ya Ugavi

January Makamba: TANESCO sasa wamesitisha miradi ya ujenzi wa maofisi na kuelekeza fedha kukarabati miundombinu ya Ugavi

Jibu swali la msingi kwamba:-
Je, uchakavu ulisubiri makamba na bodi yake waingie ndipo ulete madhara??

Kama ni scheduled maintenance kwanini hawatangazi na badala yake wanakata kiholela??

Stop blaming others for your own incompetence.
 
Unaota

Kila siku kila mwanasiasa anajiongeleaga mavi anayojisikia

Eti "siku moja umeme urudi".....

Kila siku wanaongea hivyo...na mitambo inalipuka kila siku na umeme unazima kila siku....hizo kauli zimesaidia umeme usikatike popote?

Magufuli yeye alifanya ujinga wa kusema "hakuna maitenance"...maana alikua anajenga bomu matakoni mwake..ilikua ni siku tu

Wewe hufanyi maintenance kwa miaka mitano..ulitegemea mitambo itakua imara miaka yote tu kama tuko mbinguni vile?

Yule punguani alikua anasubiria bomu lilipuke tu

Punguzeni utaaahira
We nae uko kama chizi. I doubt kama mzima kichwani wewe maana unajiharishia hovyo! Mhhh
 
KICHEFUCHEFU KITUPU.

JANUARY AACHE KUMZUNGUMZIA RAIS WETU TUNAEMPENDA SANA JAPO HAYUPO.

ASIJITETEA KAZI IMEMSHAMSHINDA 😕

F21BCF79-A405-40B0-A580-CC8D1C2E8289.jpeg
 
Duh engineer

Machine zina maintenance schedule, usipofanya repair hata rais awe kiduku zitazingua tu.

Machine hazijafanyiwa maintenance ndani ya miaka mitano? Nazo ziliogopa zikapiga kazi?
Mkuu, hawa watu wanajua akili za watanzania walio wengi. Magufuli alishafariki na sasa wanajificha kwenye kichaka cha kurebisha yaliyoharibiwa na awamu yake ya tano.
 
Nina viwanda,nalipia umeme mkubwa mtaani wenu woote luku zenu put together

Kwanza ni vyema Tanesco waje wang'oe mitambo kwenye hicho kimtaa chenu mkae giza maana hamna maana mnaleta hasara tu

Useless people
Output ya kiwanda chako utatumia mwenyewe siyo. Usisahau kuwaweka vibarua ambao ni marobot
 
Mimi namchukia Magufuli nyie mnamchukia Makamba

Yaani unalalamikia kosa nalofanya wakati wewe unalirudia hilo hilo,wewe ni nani kama sio taahira?

Magufuli ni hewa kama ulivyo wewe na wenzako..useless!

Mpo hapa mnabishana na FACTS za engineering...what a bunch of clowns!

Yale yale ya yule taahira "Mungu kasema hakuna korona"..Mbuzi nyie!
Engineering gani mnafanya maintenance bila mpangilio. Unatofauti gani na ambaye hajasoma kabisa
 
FACT is,miundombinu ya Tanesco haikufanyiwa deep maintenance kwa miaka 6!

Hiyo ni kuanzia Generation,Transmission na Distribution mitaani huko

Kisa?Magufuli alisema HAKUNA,mtazima umeme,SITAKI!

Ili wasifukuzwe,wakasema sawa,achana nayo,wakaa ofisini wanasubiri ije ilipuke tu..

Bahati nzuri yule taahira KAFA...wamekuja wenye akili,maintenance zimeanza!

Sasa mnataka muambiwe were bin were mzungu kala makamasi ...Magufuli anaozea huko makaburini,mfateni!
Kwahiyo muda wote ni WA kufanya maintenance bila kufanya operation yoyote
 
Leo Mh. Makamba kupitia account yake alikuwa akijibu suala la umeme kukatika. Lakini majibu yake yamejaa walakini.

Makamba anasema umeme zamani ulikuwa haukatiki kwa sababu watu walikuwa na hofu ya kufukuzwa hivyo walihakikisha umeme haukatiki, hali iliyopelekea kutofanya rapair.

Sasa hivi mfumo wa ugavi umechoka na ndio maana umeme unakatika Sana. Hivyo wanafanya rapair ili kuondoa huo uchakavu wa mfumo.

Bado hajasema utachukua muda gani hadi hizo repair kuisha na umeme kuacha kukatika.
Makamba ameonyesha kwamba kukatika umeme ni sawa kabisa na ni haki yetu, ndio maana anasema tulishangilia umeme ulipokuwa haukatiki huku mfumo ukiwa umechoka.

Lakini pia mheshimiwa unataka kusema huo mfumo kipindi chote cha jiwe mwendazake uliacha kuchoka ukawa unakusubiri wewe kuwa waziri ili uanze kuchoka?

Mheshimiwa wewe ukiwa kama binadamu wengine una tabia ya kusahau, Ila internet haisahau.
Mwezi uliopita September 17, ulikuwa na kikao na Tanesco na ukawapa wiki mbili umeme kuacha kukatika la sivyo utawafukuza.

Leo umesahau? Wiki mbili zimepita na sasa ni zaidi ya mwezi, bado tatizo lipo na wewe umekiri mwenyewe.

Mh. Makamba watu wanachotaka umeme uwepo muda wote ili shughuli zao ziende, hizo sababu zingine haziwahusu sana maana zipo ndani ya uwezo wenu.





View attachment 1990619

View attachment 1990620
TOA MAJIBU SIO KUNANGA WATU...UNAANZA MAZOEA...SHIDA HII MITOTO YA VIONGOZI INA VIBURI VIBURI....HAVINA TIJA KWETU
 
Taahira ni wewe unaedhani umeme unakatika tu bila sababu kwa sababu ubongo wako umekupa picha bila kuwauliza wahusika wenyewe ambao ni Tanesco

Unachokuja nacho hapa ni results za ubongo wako kufikiria ya kufikirika bila kuwauliza wahusika wakakupa majibu au wewe mwenywe ufanye uchunguzi wako maalumu

Sio unakuja tu unaona umeme hakuna unaweka mapumbu getini kwako unaanza kupitisha judgements kutoka kwenye ubongo wako binafsi

Taahira kabisa
Ndio maana ccm inajifanyiaga inachotaka kumbe watu wenyewe ni mataahira namna hii?

Na kwa akili zenu hizi mtatawaliwa sana hadi mkome.
 
Post yako hii naona haina uhusiano wowote na hoja zinazozungumziwa hapa

Which is a classical definition ya wewe ni punguani

Yaani unatoa post nzima hugusii hoja mama ya uzi huu,unatoa maneno yasiyohusika kabisa halafu unajiona wewe ni mzima kabisa?

Unaetoa post kuita wenye akili punguani ndio punguani hasa
Hoja mama ni ipi . Mtu ambaye ana support umeme kukatwa bila mpangilio halafu unasema una kiwanda. Huu kama siyo upunguani ni nini. Kwahiyo uko radhi kuingia gharama zisizo na ulazima kwa kukatiwa umeme bila taarifa
 
Kafie huko

Hii ni capitalist society,hutaki wewe wapo zaidi ya milioni wanaotaka the same work at even lower price

Kama unataka hii monopoly unayoisema hapa kama lunatic ni uue wanadamu wote duniani hapa ubaki wewe na labour power kiasi ukikataa siwezi pata labour popote pale

Viwananchi kama wewe ni vijitu fulani hivi vijinga sana

Yaani upo hapa unaona labour power wewe ndio una monopoly yake?

Acha bangi na pombe....ongea ukiwa sober!
Wewe mpumbavu kweli. Kumbe unapenda watu watumie bidhaa zako za huko viwandani( hapo ni kama kweli una kiwanda) wakati huo huo hutaki watumie umeme kwasababu wanalipa kidogo ukilinganisha na wewe.
 
Acha utaahira wewe

Hamna umeme unakatwa bila tangazo maalumu kwenye radio au TV

Shida wakati huo upo baa unalewa mataputapu halafu leo unakuja humu kuongea nonsense

Kafie huko
Kwahiyo kwa utahira wako unaona redio zifanye kazi yakutangaza tu umeme kukatika. Kama kasehemu kadogo tu umeme unakatika mara kwa mara, kwa Tanzania nzima kwa siku moja utakatika mara ngapi
 
CCM ni wewe na akina Makamba na Kalemani na yule taahira mfu mzoefu

Wote wapumbavu watupu wewe included

Chadema ndio itabadili hii nchi...na itabadili

Kaa na CCM yako na mimi nikae na Chadema yangu...

Tusibabaishane...

Niko hapa nazungumzia technical issues wewe upo humu unaongelea politics za maccm na theories za Magufuli

Hovyo kabisa..all of you inclusive!
Tatizo Lenu nyingi mataira wa kushabikia vyama hamtaki Mambo yafanywe na mtu wa Chama kingine tofauti na Chama chako
 
Unataka uandikiwe barua maalumu?

Au upigiwe simu?

Au uandikiwe SMS?

Wanakuomba matako kwani?

Husikilizi redio au TV thats your own problem,hawawajibi na wewe zaidi ya hapo!

Wanafanya maintenance ni lazima wazime,hutaki kafie huko Burundi!
Kwahiyo wewe ukiona wametangaza mara moja huku wamekata zaidi ya mara elfu moja unaona kabisa wametangaza. Huo utahira wako utabaki nao hivyo hivyo.
 
CCM ni wewe na akina Makamba na Kalemani na yule taahira mfu mzoefu

Wote wapumbavu watupu wewe included

Chadema ndio itabadili hii nchi...na itabadili

Kaa na CCM yako na mimi nikae na Chadema yangu...

Tusibabaishane...

Niko hapa nazungumzia technical issues wewe upo humu unaongelea politics za maccm na theories za Magufuli

Hovyo kabisa..all of you inclusive!
Itabadili kwa akili hizi za kitaahira?

Kama unageuka kuwa mtetezi wa hao kina Makamba wewe si ni taahira?

Uzi mzima ni wewe tu unamtetea Makamba kwamba tz hii ni halali kukatwa umeme kisa repair huo siyo utaahira?
Ndio akili za kuibadili ccm hizi?

Huko Marekani uliko wanakata umeme na kusimamisha uzalishaji ili wafanye repair za mitambo?
Eti vifaa ni gharama, unataka wakuvigharamikia hivyo vifaa awe nani?

Kwa umsukule wako huu sahau ccm kutoka madarakani, na itaendelea kukutandika uchaguzi hadi uchaguzi maana hujielewi.
 
Unachosema hapa si kweli

Na ni hatari sana kwa jitu zima kama wewe kudanganya

Hua wanatangaza kwa wiki...kazi zote za wiki na mahali pote patakapo athirika kwa wiki hiyo husika wanatangaza na kuzitaja na muda wake

Sasa wewe mpumbavu kuja na namba ya uongo ya "maelfu" tunakuona taahira kama Kingai tu,maana ni UONGO!
Weka hata tangazo moja kwa uthibitisho kwamba wanatangaza , kwa schedule Yao ya wiki hii Tanzania nzima ili nione kama sehemu nayokaa wameweka kwenye tangazo lao.
 
Back
Top Bottom