January Makamba tunajua Hayati Magufuli alikubatiza kwa moto, Unapoteza muda tu

January Makamba tunajua Hayati Magufuli alikubatiza kwa moto, Unapoteza muda tu

"Aliwashinda akiwa hai na atawashinda akiwa kaburini",ujumbe mzito sana huu.

Mimi nikimuona kiongozi yeyote anakakamaza domo lake na kuanza kumshambulia Marehemu, awe wa upinzani ama Ccm huishia kumdhaau sana na kumuona hafai, bila kujali kabla yake nilimchukuliaje.

Wanashindwa kueleza sera na mikakati yao ya maendeleo wanabakia tu kukashifu marehemu, wakati bado wakitembelea nyota yake!

Watuambie sasa, iwe upinzani ama Ccm, ni sera zipi mpya za maendeleo ya kasi walizoziibua wao na kuanza kuzitekeleza zisiwe zile zile alizoziibua mwenzao wanayeshinda wakimkashifu ndiyo wanayotambia?

Tukihoji haya tunaambiwa wasukuma gang, alah, kwa hiyo nchi hii raia wote tumewekewa speed garvanor ya kufikiri nje ya box na kuvishwa miwani ya mbao tusione ukweli ni upi ili sote tubaki machawa wa kunyonya taka taka zao za kila aina siyo?

Tupeni Katiba mpya na bora muone kama hawa genge la mibaka uchumi wataendelea kuwepo na kupiga ngonjera za kinafiki na kuendelea kukojolea akili za raia wa nchi na kutuona sote ni wapumbaf.
Huenda akili huna. Utapambanaje na wenye akili sasa
 
Hayati Magufuli asingeweza kufanya kazi na tapeli hata siku moja.

Hayati Magufuli asingeweza kufanya kazi na mbabaishaji hata siku Moja.

Hayati Magufuli alikuwa smart na straight forward. Alikuona wewe ni hovyo akakuweka kando. Sasa umebaki na taarabu tu.

Wewe pamoja na kinana mlikuwa na mpango mchafu dhidi ya jemedari. Jemedari akashtuka akawaweka kando.

Mlipata aibu pamoja na kwamba mliomba radhi. Watanzania tunajua mlimtukana kamanda wetu nasi tuliwadharau Sana.

Endeleeni kumpiga maneno ya kejeli mkidhani mnajisafisha kwa wananchi. Mlichosahau ni kwamba nanyi pia ni marehemu watarajiwa. Ni suala la muda tu.

Hayati JPM aliwashinda akiwa hai na atawashinda akiwa kaburini

Pia soma
Haipunguzi ukweli wa alichokisema. Uchaguzi wa 2020 ulikuwa ubakaji wa demokrasia na janga Kwa nchi. Itachukua Muda mrefu kutibu majeraha yale. Ni Zuzu tu atabisha.
 
Hayati Magufuli asingeweza kufanya kazi na tapeli hata siku moja.

Hayati Magufuli asingeweza kufanya kazi na mbabaishaji hata siku Moja.

Hayati Magufuli alikuwa smart na straight forward. Alikuona wewe ni hovyo akakuweka kando. Sasa umebaki na taarabu tu.

Wewe pamoja na kinana mlikuwa na mpango mchafu dhidi ya jemedari. Jemedari akashtuka akawaweka kando.

Mlipata aibu pamoja na kwamba mliomba radhi. Watanzania tunajua mlimtukana kamanda wetu nasi tuliwadharau Sana.

Endeleeni kumpiga maneno ya kejeli mkidhani mnajisafisha kwa wananchi. Mlichosahau ni kwamba nanyi pia ni marehemu watarajiwa. Ni suala la muda tu.

Hayati JPM aliwashinda akiwa hai na atawashinda akiwa kaburini

Pia soma
Kama lao kina nchimbi kinana na samia sio moja kum demonise magufuli huyo makamba anastahili kuitwa kuhojiwa. Asijifanye ana akili sana wakati ni mtu mjinga tu mnafiki mlafi zaidi ya fisi. Watanzania walionyesha imani na mapenzi makubwa sana kwa jpm. Mtu kama makamba anayepigana kumchafua ajue mwisho wake kisiasa uko wazi kwa sababu ni mamluki wa ubeberu.
 
Mchafu hachafuliwi. Magufuli alijichafua mwenyewe hivyo kilichopo ni wapambe wake na wanufaika wake ndiyo wanataka kumsafisha.

Unaweza kumchafua vipi mtu aliyekuwa anamiliki mwenyewe kikundi cha WASIOJULIKANA kinateka watu, kinatesa na kinaua? Unaweza kumchafua vipi mtu ametuma kikundi kiikamuue Tundu Lissu akiwa bungeni?

Unaweza kumchafua vipi mtu aliyekikri mwenyewe kuwa ni kichaa?

Unaweza kumchafua vipi mtu anasema siwezi kuleta maendeleo hapa kwa vile mlichagua mpinzani?

Muache aendelee kuoza huko aliko, tuko mikono salama na SSH
Kama hao waliyokua wanatekwa ni fisadi na wauza madawa ya kulevya au ni ni wale waliyokua wanaunga mkono uasi rufiji sasa utasemaje magufuli aliteka watu. Au wewe ni mmoja wapo katika makundi hayo ya wapinga maendeleo na fisadi?
 
"Aliwashinda akiwa hai na atawashinda akiwa kaburini",ujumbe mzito sana huu.

Mimi nikimuona kiongozi yeyote anakakamaza domo lake na kuanza kumshambulia Marehemu, awe wa upinzani ama Ccm huishia kumdhaau sana na kumuona hafai, bila kujali kabla yake nilimchukuliaje.

Wanashindwa kueleza sera na mikakati yao ya maendeleo wanabakia tu kukashifu marehemu, wakati bado wakitembelea nyota yake!

Watuambie sasa, iwe upinzani ama Ccm, ni sera zipi mpya za maendeleo ya kasi walizoziibua wao na kuanza kuzitekeleza zisiwe zile zile alizoziibua mwenzao wanayeshinda wakimkashifu ndiyo wanayotambia?

Tukihoji haya tunaambiwa wasukuma gang, alah, kwa hiyo nchi hii raia wote tumewekewa speed garvanor ya kufikiri nje ya box na kuvishwa miwani ya mbao tusione ukweli ni upi ili sote tubaki machawa wa kunyonya taka taka zao za kila aina siyo?

Tupeni Katiba mpya na bora muone kama hawa genge la mibaka uchumi wataendelea kuwepo na kupiga ngonjera za kinafiki na kuendelea kukojolea akili za raia wa nchi na kutuona sote ni wapumbaf.
Na hata mama yao huyo ipo siku watamnawa na kumzihaki pia.
 
Cha ajabu anajua uchaguzi ulikuwa haramu lakini kang'ang'ania ubunge uliotokana na uchaguzi haramu. Mnafiki fulani
 
Mbaya zaidi wanapambana na Marehemu aka dead body, hapo ndio wanaponichekesha.

Kupambana na JPM ni kufanya zaidi ya yale aliyofanya.
Ndugu, mwili wa mtu aitwaye "Magufuli" ndio haupo, umekufa na kuzikwa...

Lakini matokeo ya matendo yake (historia yake) ipo na itaishi vizazi na vizazi ikiwaathiri watu positively au negativily mpaka kesho hata utimilifu wa dahari..

✍️Yesu Kristo alikufa na kufufuka miaka zaidi ya 2000 iliyopita, lakini huwezi kuifuta historia yake. Yupo na anaishi na kutenda kazi miongoni mwa watu!!

✍️Mwl. Julius K. Nyerere amekufa na kuzikwa miaka 34 iliyopita, lakini matendo yake yapo yanaishi na kuwaathiri watu mpaka Leo!!

✍️ Benjamin W. Mkapa kafa miaka 7 iliyopita lakini matendo yake yapo na yanaishi na atasemwa sana tu..

✍️Huyu Magufuli kafa juzi tu halafu unafikiri matendo mazuri na machafu yake yanaweza kusahaulika unadhani?

##Hawa viongozi waliokwisha kufa, matendo yao waliyoyafanya wakati wa uongozi wao ktk nchi hii ndiyo yanayowafanya wawe reference na hilo usije ukafikiri litafutika!

Waliandika historia yako na hiyo itadumu vizazi na vizazi hata mpaka mwisho wa dunia hili .

##Kwa hiyo, watu hawana shida na mwili wa binadamu aitwaye "Magufuli" ambao tayari ni mavumbi tu kwa sasa.

##Shida ni wameacha historia gani kama viongozi..

Weka hili kwenye akili yako. Acha kuwa mjinga usiyeelewa!!
 
"Aliwashinda akiwa hai na atawashinda akiwa kaburini",ujumbe mzito sana huu.

Mimi nikimuona kiongozi yeyote anakakamaza domo lake na kuanza kumshambulia Marehemu, awe wa upinzani ama Ccm huishia kumdhaau sana na kumuona hafai, bila kujali kabla yake nilimchukuliaje.

Wanashindwa kueleza sera na mikakati yao ya maendeleo wanabakia tu kukashifu marehemu, wakati bado wakitembelea nyota yake!

Watuambie sasa, iwe upinzani ama Ccm, ni sera zipi mpya za maendeleo ya kasi walizoziibua wao na kuanza kuzitekeleza zisiwe zile zile alizoziibua mwenzao wanayeshinda wakimkashifu ndiyo wanayotambia?

Tukihoji haya tunaambiwa wasukuma gang, alah, kwa hiyo nchi hii raia wote tumewekewa speed garvanor ya kufikiri nje ya box na kuvishwa miwani ya mbao tusione ukweli ni upi ili sote tubaki machawa wa kunyonya taka taka zao za kila aina siyo?

Tupeni Katiba mpya na bora muone kama hawa genge la mibaka uchumi wataendelea kuwepo na kupiga ngonjera za kinafiki na kuendelea kukojolea akili za raia wa nchi na kutuona sote ni wapumbaf.

Dead man dont count
 
Unajua nashindwa kuwaelewa, mimi pia nilikua upande wa magufuli, na nifurahi sana kuchaguliwa kwake, kuna mazuri yake na mabaya yake kama binadamu, sasa mnaomponda huyu mama si muungane na chama cha kaskazini! Kelele za nini! Huyu mama amewakosesha raha, kisa ni muislamu? Kisa mzanzibar? Kisa mwarabu? Hebu tuambie wewe kisa nini haswaa inapelekea mumchukie! Siku anastaafu huyu mama mtamkumbuka sana sana kama ilivyo kwa kikwete walimsema sana, alipoingia magu wakamkumbuka sana.
Anayeongelewa hapa ni januari makamba, siyo mama. Wewe vipi tena!
 
Hon.Makamba ametumia freedom of speech yake, Mr.Saanane yupo wapi?,je tunaifikiria familia yake?,coal ipo njiani kwenye ile address pendwa
Saanane,saanane saanane,huo ndio Wimbo wa watu wajinga,hakuna kitu kingine zaidi ya hiyo singeli,!?. Hamjui kama huo wimbo umebuma??!!.
 
"Aliwashinda akiwa hai na atawashinda akiwa kaburini",ujumbe mzito sana huu.

Mimi nikimuona kiongozi yeyote anakakamaza domo lake na kuanza kumshambulia Marehemu, awe wa upinzani ama Ccm huishia kumdhaau sana na kumuona hafai, bila kujali kabla yake nilimchukuliaje.

Wanashindwa kueleza sera na mikakati yao ya maendeleo wanabakia tu kukashifu marehemu, wakati bado wakitembelea nyota yake!

Watuambie sasa, iwe upinzani ama Ccm, ni sera zipi mpya za maendeleo ya kasi walizoziibua wao na kuanza kuzitekeleza zisiwe zile zile alizoziibua mwenzao wanayeshinda wakimkashifu ndiyo wanayotambia?

Tukihoji haya tunaambiwa wasukuma gang, alah, kwa hiyo nchi hii raia wote tumewekewa speed garvanor ya kufikiri nje ya box na kuvishwa miwani ya mbao tusione ukweli ni upi ili sote tubaki machawa wa kunyonya taka taka zao za kila aina siyo?

Tupeni Katiba mpya na bora muone kama hawa genge la mibaka uchumi wataendelea kuwepo na kupiga ngonjera za kinafiki na kuendelea kukojolea akili za raia wa nchi na kutuona sote ni wapumbaf.
Umeongea kwa kwa uchungu sana mkuu.kweli inaumiza moyo sana.
 
Back
Top Bottom