January Makamba tunajua Hayati Magufuli alikubatiza kwa moto, Unapoteza muda tu

January Makamba tunajua Hayati Magufuli alikubatiza kwa moto, Unapoteza muda tu

Saanane,saanane saanane,huo ndio Wimbo wa watu wajinga,hakuna kitu kingine zaidi ya hiyo singeli,!?. Hamjui kama huo wimbo umebuma??!!.
Pumbavu wewe na jitu katili, na bila shaka unailetea nchi familia katili, elewa Mr.Saanane ni human being kama wewe na ana familia, maadam wewe unakula kwa shemeji fisadi unaona kila kitu ni sawa, huku lingusenguse watoto wanalimia meno
 
Kama hao waliyokua wanatekwa ni fisadi na wauza madawa ya kulevya au ni ni wale waliyokua wanaunga mkono uasi rufiji sasa utasemaje magufuli aliteka watu. Au wewe ni mmoja wapo katika makundi hayo ya wapinga maendeleo na fisadi?
Wewe huna unachojua zaidi ya kuwa ni fanatic wa Magufuli
 
Back
Top Bottom