Tetesi: January na Nape kutimkia CHADEMA wakati wowote kuanzia sasa

Unachekesha
 
Wote ni waharibifu wakubwa hawatakiwi kabisa mahali popote wakaanzishe Chama chao.!
 
Uongo wa Karne!
 
Nacheeka! January huyu huyu ni lini amekuwa kipenzi cha watanzania?
Au followers wake wa x ndio watanzania?
 
Kwani Pastor Luca naye anasemaje?
 
Thubutuuuuuu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Masikhara kumlinganisha Makamba na the late Lowassa. Ni Masikhara zaidi kugeuza CHADEMA dampo la hata wanasiasa wabovu.
 
Unakumbusha goli la mkono
 
Chadema haina historia ya kuokota manyangarakasha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…