Tetesi: January na Nape kutimkia CHADEMA wakati wowote kuanzia sasa

Tetesi: January na Nape kutimkia CHADEMA wakati wowote kuanzia sasa

View attachment 3048305
Mhe January Makamba na rafiki yake mkubwa wa siku nyingi Mhe Nape Moses Nauye huenda wakatimkia CHADEMA endapo watahakikishiwa nafasi ya January kugombea Urais 2025.

Mhe January Makamba anaona hakuna matumaini tena ya kuwa Rais ndani ya CCM huku akiamini fika kwamba yeye ni kipenzi Cha Watanzania walio wengi.

Bado haijafahamika sababu hasa za January Makamba kutenguliwa ila tetesi zinaonesha ni kushindwa kutekeleza majukumu yake vema.

Hata hivyo bado haijafahamika kama Chadema wanaweza wakampatia nafasi hiyo ya kujaribu bahati yake kama walivyofanya mwaka 2015 kwa Hayati Edward Ngoyai Lowassa au laa.

Kama mpango wao huu wa Siri utafanikiwa huenda tukashuhudia Uchaguzi mgumu zaidi kuwahi kutokea mwaka 2025 kati ya January Yusuph Makamba wa CHADEMA na Dkt Samia Suluhu Hassan wa CCM.


Wakati ni mwalimu wa kweli
Uchaguzi uwe mgumu sababu ya January?
Get serious bro!!!
 
Kwa CDM itakuwa ni ngumu sana, labda waende ACT Wazalendo. CDM ilipata somo zuri sana wa "harsh transfer" kama hii kupitia kwa Mzee Lowasa. Sitegemei kama wanawexa wakarudia tena kufanya kosa kama hilo.

Ingawaje kwenye siasa za sasa za Tanzania kila kitu kinawezekana. Mch. Msigwa aliahidiwa shafu katika mojawapo ya ahadi ile "seasonal transfer" lakini mkeka huu umenpita 🥺
ujio wa E.L cdm uliki boost chama sana. katika historia ya cdm haikuwahi kupata kura nyingi za vile NGAZI ya urais na hata wabunge na madiwani waliweka rekodi. chama kilipata kuziongoza Halmashauri kadhaa zaidi ya historia iliyokuwepo.

Inasemekana Lowasa alishinda ule uchaguzi ni kwa vile tu "system" haikumkubali, hivyo hakutangazwa.
 
View attachment 3048305
Mhe January Makamba na rafiki yake mkubwa wa siku nyingi Mhe Nape Moses Nauye huenda wakatimkia CHADEMA endapo watahakikishiwa nafasi ya January kugombea Urais 2025.

Mhe January Makamba anaona hakuna matumaini tena ya kuwa Rais ndani ya CCM huku akiamini fika kwamba yeye ni kipenzi Cha Watanzania walio wengi.

Bado haijafahamika sababu hasa za January Makamba kutenguliwa ila tetesi zinaonesha ni kushindwa kutekeleza majukumu yake vema.

Hata hivyo bado haijafahamika kama Chadema wanaweza wakampatia nafasi hiyo ya kujaribu bahati yake kama walivyofanya mwaka 2015 kwa Hayati Edward Ngoyai Lowassa au laa.

Kama mpango wao huu wa Siri utafanikiwa huenda tukashuhudia Uchaguzi mgumu zaidi kuwahi kutokea mwaka 2025 kati ya January Yusuph Makamba wa CHADEMA na Dkt Samia Suluhu Hassan wa CCM.


Wakati ni mwalimu wa kweli
 

Attachments

  • cup-of-tea-teapot.gif
    cup-of-tea-teapot.gif
    319.2 KB · Views: 1
View attachment 3048305
Mhe January Makamba na rafiki yake mkubwa wa siku nyingi Mhe Nape Moses Nauye huenda wakatimkia CHADEMA endapo watahakikishiwa nafasi ya January kugombea Urais 2025.

Mhe January Makamba anaona hakuna matumaini tena ya kuwa Rais ndani ya CCM huku akiamini fika kwamba yeye ni kipenzi Cha Watanzania walio wengi.

Bado haijafahamika sababu hasa za January Makamba kutenguliwa ila tetesi zinaonesha ni kushindwa kutekeleza majukumu yake vema.

Hata hivyo bado haijafahamika kama Chadema wanaweza wakampatia nafasi hiyo ya kujaribu bahati yake kama walivyofanya mwaka 2015 kwa Hayati Edward Ngoyai Lowassa au laa.

Kama mpango wao huu wa Siri utafanikiwa huenda tukashuhudia Uchaguzi mgumu zaidi kuwahi kutokea mwaka 2025 kati ya January Yusuph Makamba wa CHADEMA na Dkt Samia Suluhu Hassan wa CCM.


Wakati ni mwalimu wa kweli
Wa mwisho kupokelewa na kupewa nafasi kubwa CDM,ni marehemu Edward Lowasa,,hakuna mwingine mwenye nguvu kana Edo
 
kuna mpango wa Siri ambao ukifikia steji flani huwa sio Siri tena. Siri zote hufikia hatua ya kufichuka.


JESUS IS LORD&SAVIOR
Umemuelewa mleta mada lakini?

Kasema ''Kama mpango wao wa siri utafanikiwa...'' hii ina maana kua huo mpango bado ni siri na bado haujafanikiwa,

Cha ajabu hiyo siri yeye kaijua na kaianika hapa ila bado anaiita ni siri!
 
View attachment 3048305
Mhe January Makamba na rafiki yake mkubwa wa siku nyingi Mhe Nape Moses Nauye huenda wakatimkia CHADEMA endapo watahakikishiwa nafasi ya January kugombea Urais 2025.

Mhe January Makamba anaona hakuna matumaini tena ya kuwa Rais ndani ya CCM huku akiamini fika kwamba yeye ni kipenzi Cha Watanzania walio wengi.

Bado haijafahamika sababu hasa za January Makamba kutenguliwa ila tetesi zinaonesha ni kushindwa kutekeleza majukumu yake vema.

Hata hivyo bado haijafahamika kama Chadema wanaweza wakampatia nafasi hiyo ya kujaribu bahati yake kama walivyofanya mwaka 2015 kwa Hayati Edward Ngoyai Lowassa au laa.

Kama mpango wao huu wa Siri utafanikiwa huenda tukashuhudia Uchaguzi mgumu zaidi kuwahi kutokea mwaka 2025 kati ya January Yusuph Makamba wa CHADEMA na Dkt Samia Suluhu Hassan wa CCM.


Wakati ni mwalimu wa kweli
Acha bangi.
Hawawezi kwenda maana watanyang'anywa kila walichonacho kwani vingi na vya wizi ambao wezi wenzao wanafahamu walikoviiba.
 
View attachment 3048305
Mhe January Makamba na rafiki yake mkubwa wa siku nyingi Mhe Nape Moses Nauye huenda wakatimkia CHADEMA endapo watahakikishiwa nafasi ya January kugombea Urais 2025.

Mhe January Makamba anaona hakuna matumaini tena ya kuwa Rais ndani ya CCM huku akiamini fika kwamba yeye ni kipenzi Cha Watanzania walio wengi.

Bado haijafahamika sababu hasa za January Makamba kutenguliwa ila tetesi zinaonesha ni kushindwa kutekeleza majukumu yake vema.

Hata hivyo bado haijafahamika kama Chadema wanaweza wakampatia nafasi hiyo ya kujaribu bahati yake kama walivyofanya mwaka 2015 kwa Hayati Edward Ngoyai Lowassa au laa.

Kama mpango wao huu wa Siri utafanikiwa huenda tukashuhudia Uchaguzi mgumu zaidi kuwahi kutokea mwaka 2025 kati ya January Yusuph Makamba wa CHADEMA na Dkt Samia Suluhu Hassan wa CCM.


Wakati ni mwalimu wa kweli
Magufuli aliwaamini lakini alikuja gundua Hawa Jamaa ni mashetani akaamua kuachana nao kabisa. Tulishangaa kuona Samia anawarudisha. Hao ni matapeli haswaaa
 
Back
Top Bottom