Japan kulipa $536 Million kwa makampuni yake 56 yahame kutoka China, yarudi nyumbani au nchi nyingine za Asia

Japan kulipa $536 Million kwa makampuni yake 56 yahame kutoka China, yarudi nyumbani au nchi nyingine za Asia

Kati ya wewe na wajapan Nani anaakili
Wangekua na akili wasingeyaachia hayo mashirika kwenda kuwekeza UCHINA wakati wao wanahizopesa zakuwapa kwanini wasingewapa kabla

Kuwaruhusu wakawekeze huko kwamamiaka kibao nasasa wanawataka wawarejeshe nikigezo tosha kama hawakuwahi kujaaliwa akili
 
Marekani anawaza mbali sana mkuu wale wana strategies za kumnasa samaki kwenye ndiwano kiulaini sana.
China kwa sasa anachoangalia ni Take technology by anyhow and use it, okay! no problem ataiba technolgy na atakuwa na uwezo wa hatari mfano mdogo tu ni Huawei yy sasa hivi ndiye mwenye uwezo hali ya juu sana kutoa 5G hatukatai lakini baba kumbuka kuna kitu kinaitwa mahusiano na mahusiano ndio hujenga soko, hivi kama una shamba kubwa una technlogia ya kulima halafu ukalima wateja wajayakataa hayo mazao ni sawa na workdone=0.
Nikukumbushe anachomfanya Mmarekani ni kitu kimoja Iba technology, zalisha sana lakini kosa soko, hahaha uchumi utaporomoka within seconds. Sawa china ana soko la ndani lakini ukumbuke exports za china to the word is the one highest contributor to her economy! Na ndizo zinazowapa financial power hao wanachin wake wawe na nguvu ya kununua lakini ukumbuke Mmarekani anachomfanyia china ni longrun effect, jiulize na uangalie kwa takwimu ni chi zipi mnunuzi wa bidhaa za china zaidi nitakuletea list hapa kama ushahidi lakini kwa haraka haraka wanunuzi wa china ni America, Europe, India, Brazil, Australia, Japan, Mexico , Canada n. k
Anachofanya Mmarekani anajenga ngome inayoitwa kataa bidhaa za China ambayo haiwezi take place for just two years or three but from 6 to 10 years ambapo mchina baadae atashangaa hee mbona bidhaa zangu hazitoki? Akistuka labda atumie nuclear kutisha nchi nyingine zinunue bidhaa zakke la sivyo kwishne!!!

Halafu lingine Mataifa yote yenye makampuni huko china yanashawishiwa na Mmarekani yaondoe Makampuni hayo kutoka china kwa gharama yoyote na Japan kaanza kutenga budget ili kupunguza ajira za china na ili kupunguza financial power ya soko la ndani la china na lingine yaondoe hayo makampuni ili mataifa hayo yatakapo anza kuzuia bidhaa za china wasije wakajikuta wanazuia bidhaa za makampuni yao wenyewe. Mmarekani anaona mbali sana kaka[emoji28][emoji28][emoji28]. Mchina ajiandae kwa kipondo. Wanarekani wana akili za dunia nzima kwa sababu wanaoishi America ni Chinese-American, Africa American Indian Americans, Taiwanese Americans or Asian Americans, Europe Americans n.k ogopa watu wa race mbalimbali wakikaa pamoja kutoa maoni ni hatari zaidi[emoji112][emoji112][emoji112] siku njema




China's economic recovery depends on the rest of the world
Mmarekani angekua anaona mbali asingeacha mchina afikie hapa alipofika angemgandamiza tokea uchumi wake upo chini.......kwa sasa kachelewa sana Marekani ....mchina nae lazima atakua anajipanga ndo maana kwa sasa katulia anaangalia Mmarekani atoe makucha yake yote hadi mwisho ndo ajue ataenda nae vipi.........na Mmarekani atazuia tu bidhaa ambazo ni za teknologia yake je bidhaa ambazo hazina teknolojia ya Mmarekani atafanyaje???Mmarekani kwa China kachelewa sana alitakiwa ashtuke mapema kwa sasa China mwenyewe nae anampango wa kutoa kampuni zake nje ya China maana ameshakua na middle class ya kutosha
 


Obama alishawahi sema jukwaani kwenye kongamano la.biashara kwamba dunia ifanye ifanyeje lakini mwisho wa siku America atakua mshindi, hio Clip hapo juu Bush nae alisema, Dunia, ama yeyote kwa sasa ana uamuz wa kuchagua, either kusimama na America ama kusimama upande anaotaka na kua adui...nikijumlisha na hizi kauli za juzi juzi za bwana DT alivyosema, we have gat all options on the table, ni kwamba hawa jamaa wana jambo wamekumbatia na wana kiburi nalo na wanajua dunia haifaham kwa hio mchina aendelee kupokea konzi taratib taratib hana la kufanya
Kusema all option hata kule IRAN KOREA kote walisema wakatishia mpaka regime change kwayale mataifa kikowapi leo ?!
 
Unazungumzia Mungu yupi Buddha

Hawana Mungu wanajiamni wenyewe hawamwamini hata ngozi nyeusi [emoji23][emoji23][emoji23] ni vigumu sana kukuta raia Mweusi Mchina ukimuta atakuwa chin ya uangalizi maalum[emoji119][emoji119]
 
Mmarekani angekua anaona mbali asingeacha mchina afikie hapa alipofika angemgandamiza tokea uchumi wake upo chini.......kwa sasa kachelewa sana Marekani ....mchina nae lazima atakua anajipanga ndo maana kwa sasa katulia anaangalia Mmarekani atoe makucha yake yote hadi mwisho ndo ajue ataenda nae vipi.........na Mmarekani atazuia tu bidhaa ambazo ni za teknologia yake je bidhaa ambazo hazina teknolojia ya Mmarekani atafanyaje???Mmarekani kwa China kachelewa sana alitakiwa ashtuke mapema kwa sasa China mwenyewe nae anampango wa kutoa kampuni zake nje ya China maana ameshakua na middle class ya kutosha

Hii ni sawa na kucheza Draft mkuu. Mwenzio anakuachia unaenda King lakini mwisho wa siku anakutafuna[emoji23][emoji23]
 
Wangekua na akili wasingeyaachia hayo mashirika kwenda kuwekeza UCHINA wakati wao wanahizopesa zakuwapa kwanini wasingewapa kabla

Kuwaruhusu wakawekeze huko kwamamiaka kibao nasasa wanawataka wawarejeshe nikigezo tosha kama hawakuwahi kujaaliwa akili
Kwa hiyo wewe unaakili kuliko wajapan hongera
 
Marekani anawaza mbali sana mkuu wale wana strategies za kumnasa samaki kwenye ndiwano kiulaini sana.
China kwa sasa anachoangalia ni Take technology by anyhow and use it, okay! no problem ataiba technolgy na atakuwa na uwezo wa hatari mfano mdogo tu ni Huawei yy sasa hivi ndiye mwenye uwezo hali ya juu sana kutoa 5G hatukatai lakini baba kumbuka kuna kitu kinaitwa mahusiano na mahusiano ndio hujenga soko, hivi kama una shamba kubwa una technlogia ya kulima halafu ukalima wateja wajayakataa hayo mazao ni sawa na workdone=0.
Nikukumbushe anachomfanya Mmarekani ni kitu kimoja Iba technology, zalisha sana lakini kosa soko, hahaha uchumi utaporomoka within seconds. Sawa china ana soko la ndani lakini ukumbuke exports za china to the word is the one highest contributor to her economy! Na ndizo zinazowapa financial power hao wanachin wake wawe na nguvu ya kununua lakini ukumbuke Mmarekani anachomfanyia china ni longrun effect, jiulize na uangalie kwa takwimu ni chi zipi mnunuzi wa bidhaa za china zaidi nitakuletea list hapa kama ushahidi lakini kwa haraka haraka wanunuzi wa china ni America, Europe, India, Brazil, Australia, Japan, Mexico , Canada n. k
Anachofanya Mmarekani anajenga ngome inayoitwa kataa bidhaa za China ambayo haiwezi take place for just two years or three but from 6 to 10 years ambapo mchina baadae atashangaa hee mbona bidhaa zangu hazitoki? Akistuka labda atumie nuclear kutisha nchi nyingine zinunue bidhaa zakke la sivyo kwishne!!!

Halafu lingine Mataifa yote yenye makampuni huko china yanashawishiwa na Mmarekani yaondoe Makampuni hayo kutoka china kwa gharama yoyote na Japan kaanza kutenga budget ili kupunguza ajira za china na ili kupunguza financial power ya soko la ndani la china na lingine yaondoe hayo makampuni ili mataifa hayo yatakapo anza kuzuia bidhaa za china wasije wakajikuta wanazuia bidhaa za makampuni yao wenyewe. Mmarekani anaona mbali sana kaka[emoji28][emoji28][emoji28]. Mchina ajiandae kwa kipondo. Wanarekani wana akili za dunia nzima kwa sababu wanaoishi America ni Chinese-American, Africa American Indian Americans, Taiwanese Americans or Asian Americans, Europe Americans n.k ogopa watu wa race mbalimbali wakikaa pamoja kutoa maoni ni hatari zaidi[emoji112][emoji112][emoji112] siku njema




China's economic recovery depends on the rest of the world
Wamarekani wa Jf sijui hua mnawaza nini.. Biashara ya dunia inaendeshwa na mikataba iliyofungwa na kusimamiwa na taasisi kama WTO na mara zote wanasisitiza serikali za mataifa ziliache soko liamue nani achukue na apeleke bidhaa na huduma wapi. Wanasisitiza nchi zifungue mipaka kwa ajili ya uwekezaji na masoko na kuachana na protectionisim.
Leo wamarekani mko hapa mnashadadia marekani kuharibu mifumo ya biashara ya kimataifa na Japan kutoa ruzuku kwa makampuni yake ili yaweze kuwa competitive kitu ambacho hata USA wamekuwa wakikataa na kwenda mbali zaidi hadi kuzipiga faini baadhi ya kampuni kama Airbus baada ya kuwatuhumu umoja wa Ulaya kuwapa ruzuku hivyo kuhatarisha kumtoa kwenye biashara Boeing.
Hivi ni kwamba sisi Tanzania tumejikatia tamaa kwamba hatutokaa tufikie export economy! Na vipi tumeshafika huko halafu taifa fulani linajitokeza kuanza kutuwekea vikwazo tusili access soko la kimataifa simply kwa kuwa wanahisi kwa kufanya hivo makampuni yao yataendelea kuwa makubwa kuliko ya kwetu, hamuoni mnashabikia upuuzi?
China kafika alipofika sio kwa bahati mbaya walikuwa na strategies na moja ya mbinu zinaweza kuwa wizi wa teknolojia ila je ni kila anaeweza kuiba anaweza kubadili alichokiiba kufanyia maendeleo?
Leo USA wanaweza ku explore universe kwa teknolojia aliyoiiba kwa wajerumani. Leo US Airforce wana ndege chapa MIG za Warusi, unajua wanazifanyia nini kama sio lengo lile lile la wizi wa teknolojia?
China inayoogopwa na kufanyiwa figisu leo na Trump ina mizizi yake toka kwa Deng Xiaoping rais alieleta mabadiliko makubwa ie the de-collectivization of agriculture, the opening up of the country to foreign investment, and permission for entrepreneurs to start businesses katika The Great Leap Forward miak ya 70 na 80. Hivi ndo hasa vimeifanya China kufika ilipo. Wizi wa teknolojia ilikuwa nyongeza tu.
Marekani atafanya fitna zote lakini hatafanikiwa kuwashusha wachina kwa kuwa ukiachana na mambo mengine ni ile imani yao kuamini tunaweza na asikwambie mtu wachina ni wachapa kazi
 
MADA ni Japan kuondoa makampuni yake uchina lakini imegeuka kuwa ya US vs china! [emoji3][emoji3][emoji3] Ama kweli wachina wameshikwa pabaya! Hata wakiunguza maharage watasema Marekani kasababisha.
 
Seriously yani kuna mtu mwenye sane kabisa anamtetea mchina?

Kumchekea China ni kuvuna mabua.

China awape Bioweapon ipi ili muamini kua China ni dangerous?

Subirini akiwa superpower aanze ku dump bioweapons nchini mwenu tuone kama kuna mtu atapinga.

Marekani ni democratic Republic anainterveve penye uonevu.

China ni communist!
Communist na ukandamizaji ni ndugu.
Hakuna taifa ambalo litakuwa super power halafu lisianye kama hayo anayo yafanya China na USA Never

Tena acha kujipotosha
 
Zinatosha kwa makampuni ya kitoto, wewe unayekaa Tokyo twambie kampuni gani zenye akili zitatosheka kugawana $500M kama subsidies. Kwanza unajua market shares za makampuni kama LG, Toshiba, HITACHI, etc.

Giants wa tech kama Samsung, Apple, Qualcomm, Huawei na wale wa bidhaa kama Adidas, Nike na wengine wanahesabu zaidi ya tens of billions in USD kutoka China.
Yani unamwambia LG atoke China kisa kuna vimilioni 500 vya kugawana. Gharama za plants, workforce, capital na mambo kibao hazifidiwi kirahisi.

Ni sawa na kumwambia Bakhresa ahamishe viwanda na aache wafanyakazi bara aende Zanzibar ajenge upya kisha aajiri wafanyakazi wapya. Utalipa na fidia ya kupoteza soko?
Hohoooo hoooo
 
Vietnam haina miundombinu kama China, haina umeme wa uhakika. Haina system sahihi kama railways. Haina population ya kureplace soko la China.

Uchumi wa Vietnam kwa mwaka jana ulikuwa unazidiwa na jimbo moja la China ambalo ni la 12 kwa utajiri. Yani China kuna majimbo 12 ni matajiri kuliko Vietnam.
Hohooo hoohooo
 
hayo ni matumainio yako; lakini ukweli kwa sasa hivi ndivyo ulivyo. Hujajua nani atakayekuja madarakani tena; usiongelee mambo ya kufikirika. Akija mwingine akabadili mwelekeo tutaliongea lakini hali ya sasa ni hiyo.
He he hee

Mlikuwa wapi siku zote !??..ha haha katika huu Uzi Sexer hawezi kujisogeza

Wakuu mnadondosha fact sio za sayari hii

Mbarikiwe sana
 
Sio kweli.. Africa, America ya kusini, sehemu kubwa ya bara Arab inategema China kwa cheap product.. wewe vitu vyote unavyotumia 80% vinatoka China wafanyabiashara wote wa Africa wanaenda China include hayo mabara nilotaja... hao America wenyewe wamaviwanda China kwa ajili ya cheap labor ... haya lini. Urusi dunia iliitegemea? Kwa biashara
He hee hee ... Mimi Leo sina cha maana cha kucomment ..mmemaliza kila kitu
 
Back
Top Bottom