Japan ni kama wamesahaulika katika Ulimwengu wa Vita na Silaha?

Japan ni kama wamesahaulika katika Ulimwengu wa Vita na Silaha?

Wazeee ni wengi kuliko vijana, hakuna anayetaka kuzaa na hawapendi wahamiaji. Hakuna wapiganaji, na waliopo ni kucheza games na kuendesha Subaru Impreza, Supra GR au Nissan GT-R tu.

Kwa kifupi ni generation ya bata
Hivi kwanini japan wazee ni wengi kuliko vijana?
 
Baada ya Vita ya pili ya mabepari ( nyie huita ya Dunia) Japan waliachaba na kuwekeza Sana kwenye jeshi na kuwekeza Kwa maendeleo ya watu...ila Huwa najiuliza kwanini USA hakumpiga German na nuclear kaenda Kwa mjapani? Wazungu wabaguzi sanaaaa...
Kajifunze history, aliyesababisha USA kuingia kwenye WW2 ni Japan chini ya utawala wa dikteta Hirohito, ambaye alikuwa na status ya Mungu.
Alifanya kufuru dhidi ya most powerful military base ya USA iliyokuwa kwenye pwani ya Japan.
Bila atomic bomb Nagasaki na Hiroshima, na mkwara wa kushusha atomic bomb nyingine Tokyo, Mungu Hirohito asingesaini waraka toka USA kwamba yéye si Mungu.
Sasa wewe unakimbilia eti ubaguzi, acha uvivu wa kusoma sababu za kufanyika mambo mazito duniàni.
Siku nitakupa sababu za the rise and fall of the third Reich.
 
Baada ya Vita ya pili ya mabepari ( nyie huita ya Dunia) Japan waliachaba na kuwekeza Sana kwenye jeshi na kuwekeza Kwa maendeleo ya watu...ila Huwa najiuliza kwanini USA hakumpiga German na nuclear kaenda Kwa mjapani? Wazungu wabaguzi sanaaaa...
Umeuliza swali zuri sana . I wish ningepata wasaha wa kulijibu kwa kirefu ila haitawezekana kwa muda huu. Ila kwa kukudokezea tu swali lako linajibika kwa kuanzia kusoma kuhusu sera ya kuundwa kwa league of nation iliyopigiwa chapuo na aliyekuwa rais wa marekani mdemocrati wooldrow wilson mwaka 1919-1920. Ukipata wasaha soma kitabu kinaitwa world modern history 2nd edition cha ben walsh cha mwaka 2002 nadhani kuanzia kurasa wa 247.
 
Kajifunze history, aliyesababisha USA kuingia kwenye WW2 ni Japan chini ya utawala wa dikteta Hirohito, ambaye alikuwa na status ya Mungu.
Alifanya kufuru dhidi ya most powerful military base ya USA iliyokuwa kwenye pwani ya Japan.
Bila atomic bomb Nagasaki na Hiroshima, na mkwara wa kushusha atomic bomb nyingine Tokyo, Mungu Hirohito asingesaini waraka toka USA kwamba yéye si Mungu.
Sasa wewe unakimbilia eti ubaguzi, acha uvivu wa kusoma sababu za kufanyika mambo mazito duniàni.
Siku nitakupa sababu za the rise and fall of the third Reich.
Duh umenipa mpya hebu funguka zaid juu ya huyo mungu wa japan
 
Kajifunze history, aliyesababisha USA kuingia kwenye WW2 ni Japan chini ya utawala wa dikteta Hirohito, ambaye alikuwa na status ya Mungu.
Alifanya kufuru dhidi ya most powerful military base ya USA iliyokuwa kwenye pwani ya Japan.
Bila atomic bomb Nagasaki na Hiroshima, na mkwara wa kushusha atomic bomb nyingine Tokyo, Mungu Hirohito asingesaini waraka toka USA kwamba yéye si Mungu.
Sasa wewe unakimbilia eti ubaguzi, acha uvivu wa kusoma sababu za kufanyika mambo mazito duniàni.
Siku nitakupa sababu za the rise and fall of the third Reich.
Emporer hirohito . Jamaa alikuwa na kiburi sana sijapata ona. Ila pia marekani aliamua ku battle na mjapan kwenye vita maana japan alikuwa ameshaiteka karibia bahari yote ya pasifiki. Kama unakumbuka mjapan mwaka wa 41 nadhani ndio aliilipua pearl harbour iliyoko kwenye visiwa vya hawaii huko. Mu yu esi ei akaona kama mazoea yanataka kuzidi sasa . Mjapan anataka kumpanda kichwani.
 
Sasa hivi wanajenga jeshi lao tena upya ila sio kwa ukubwa.

Wana udhibiti mkubwa wa marekani, I know marekani analinda usalama wake hawezi ruhusu Japan awe tishio kiulinzi usalama wake utakuwa mashakani pia.

Pia ana udhibiti mkubwa wa kimikataba yeye na mwenzake ujerumani.

Hata China anamdhibiti katika ule ukanda wao na bara la Asia wanajeshi zuri Japan ila sio tishio sana kama miaka ya nyuma ambao mpaka usalama wa majirani zake ulikuwa mashakani.

Sasa hivi akijaribu kuleta ubabe wake wa kijinga kwa majirani zake Korea zote mbili na China atapigwa mpaka achakae
Kwani Japan anashida gani na hao jirani zake? Korea na China
 
Habari za kujisafisha tu na historia unasema Japan wali attack naval base USA ,je Hitler aliyekuwa anaua wayahudi Kwa sumu na mjapani nani alitakuwa ku surrender? Na upo vitani una surrender ovyo? Nani alikuwa na impact kati ya Hitler na Japan? Hivi vitabu vya wazungu ni overated na baadaye Hitler aliruhusiwa kwenda Argentina na kufa kifo Cha kawaida kabisaa..
Kwamba story za alikufa kwenye kemikali ni za uongo?
 
JApani ana jeshi la watu ngapi anzia hapo.big nations wana wanajeshi nusu ya population ya japen
 
Hawa jamaa huwaoni wakionesha onesha silaha zao. Huwasikii wakitishiana na mtu au kupiga mkwara.

Lakini rudi miaka ya nyuma katika vita utawasikia kwa uzuri. Nenda kawaulize wachina. Watakuambia. Jamaa kwenye technology ni wazuri sana. Na hawana ubabaishaji. Wanatengeneza vitu vya ukweli na wana akili sana.

Lakini mbona hawasikiki kwenye uwanja wa vita na silaha?ni wameamua wao kufanya kimya kimya au wameamua kukaa pembeni na habari hizo?

Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua.
 
Hawa jamaa huwaoni wakionesha onesha silaha zao. Huwasikii wakitishiana na mtu au kupiga mkwara.

Lakini rudi miaka ya nyuma katika vita utawasikia kwa uzuri. Nenda kawaulize wachina. Watakuambia. Jamaa kwenye technology ni wazuri sana. Na hawana ubabaishaji. Wanatengeneza vitu vya ukweli na wana akili sana.

Lakini mbona hawasikiki kwenye uwanja wa vita na silaha?ni wameamua wao kufanya kimya kimya au wameamua kukaa pembeni na habari hizo?
Hawana shida na mtu hao jamaa very low key
 
Ni moja ya Taifa lililothubutu kuishambulia USA.

Ndio wagunduzi wa mbinu yakujitoa mhanga, kupitia jeshi lao la Kamikaze.

Walikuwa na navy bora, airborne division bora, infantry yenye moral ya vita muda wote.
Askari wao watiifu,waaminifu na wazalendo kwa Taifa lao.

Jeshi la Japan liliweza kuwatimua Askari wa USA na Uingereza kuanzia Burma, Malaysia, Singapore, Indonesia nk. pale tu USA alipowawekea vikwazo baada ya kuside na wahuni wenzao Manazi wa Germany.
Waliweza kuishambulia Australia na Papua maeneo kadhaa wakitumia ndege zao za kivita

Miaka hiyo ya 1940 ni miongoni mwa majeshi yaliyomiliki fleet ya aircraft carrier pamoja na fighter jets za kutosha.

WALIITWA "THE GIANT OF PACIFIC" aka Japs.

Ni hatari sana watu hawa kuwa maadui wa west na wakimiliki nguvu za kijeshi.
Kuepusha hilo lazima jeshi la marekani lihakikishe linawalinda muda wote kwa kutumia Kodi za Wamarekani ili Japs wasiwe adui wa Marekani na wasitengeneze tena silaha na kuwekeza kwenye jeshi.
 
Mjapan ana dhibitiwa na mmarekani mpaka leo ,kiufupi Ujerumani na Japan mmarekani aliwabana kwa mikataba ya kuwazuia kufanya expansion ya kutanua nguvu za kijeshi mpaka leo .
Ni precaution measures ,Maana hawa wajinga walijua kuitesa dunia kipindi kile na hawa wasingeshindwa vita ile aisee sijui ingekuwaje , maana japan alikuwa ni mbabe haswa na katili na kitechnolojia hamna aliyemfikia ukimtoa mjerumani na USA , hatari kabisa hawa viumbe walitembeza kichapo east asia yote hapo ,hamna kima aliyeinua pua kusogea ,kabla ya mmarekani kuja kuokoa jahazi .
Japan jeshi lao walitengeneza kila kitu ,kuanzia ndege na kila silaha zikiundwa kwa technology yao na walikuwa superior hata kwenye medani za kivita ,uwanja wa mapambano ,walikuwa tough opponents ambao mmarekani bila kupiga yale mabomu asingeweza kuwashinda kirahisi wale wajomba
 
JApani ana jeshi la watu ngapi anzia hapo.big nations wana wanajeshi nusu ya population ya japen
Dunia ya leo hawatishiani kwa idadi ya watu ulio nao jeshini. Israel ina watu wangapi? Vita vya leo watu wanapigana huku wanakunywa kahawa wamekaa sehemu wana check kwenye satellite
 
JApani ana jeshi la watu ngapi anzia hapo.big nations wana wanajeshi nusu ya population ya japen
Unaifahamu population ya china iliyopigwa na Japan miaka ile ukilinganisha na Japan yenyewe?
 
Mchina hatakaa amsahau Mjapani. Yule dikteta Hirohito hakuwa binadamu wa kawaida. Ni katili asiyeelezeka. Nimemsoma sana
 
Back
Top Bottom