Japan ni kama wamesahaulika katika Ulimwengu wa Vita na Silaha?

Japan ni kama wamesahaulika katika Ulimwengu wa Vita na Silaha?

Hawa jamaa huwaoni wakionesha onesha silaha zao. Huwasikii wakitishiana na mtu au kupiga mkwara.

Lakini rudi miaka ya nyuma katika vita utawasikia kwa uzuri. Nenda kawaulize wachina. Watakuambia. Jamaa kwenye technology ni wazuri sana. Na hawana ubabaishaji. Wanatengeneza vitu vya ukweli na wana akili sana.

Lakini mbona hawasikiki kwenye uwanja wa vita na silaha?ni wameamua wao kufanya kimya kimya au wameamua kukaa pembeni na habari hizo?
Na India anawanyemelea kuwapita kiuchumi.. kuna wanaotabiri atawapiku mwaka huu kabla ya kuisha, wengine mwaka 2026 na wengine 2030 ili awe na GDP kubwa akiwa wa nene japan awe wa tano.
 
Hawa jamaa huwaoni wakionesha onesha silaha zao. Huwasikii wakitishiana na mtu au kupiga mkwara.

Lakini rudi miaka ya nyuma katika vita utawasikia kwa uzuri. Nenda kawaulize wachina. Watakuambia. Jamaa kwenye technology ni wazuri sana. Na hawana ubabaishaji. Wanatengeneza vitu vya ukweli na wana akili sana.

Lakini mbona hawasikiki kwenye uwanja wa vita na silaha?ni wameamua wao kufanya kimya kimya au wameamua kukaa pembeni na habari hizo?
Wana kumbukumbu ya Hiroshima na Nagasaki hivyo hawataki kabisa vita
 
Sasa hivi mbabe wa Asia ni China

Hata hivyo baada yaWW2 Japan na Germany walidhibitiwa sana kwenye nguvu za kijeshi na UNO
 
Hawa jamaa huwaoni wakionesha onesha silaha zao. Huwasikii wakitishiana na mtu au kupiga mkwara.

Lakini rudi miaka ya nyuma katika vita utawasikia kwa uzuri. Nenda kawaulize wachina. Watakuambia. Jamaa kwenye technology ni wazuri sana. Na hawana ubabaishaji. Wanatengeneza vitu vya ukweli na wana akili sana.

Lakini mbona hawasikiki kwenye uwanja wa vita na silaha?ni wameamua wao kufanya kimya kimya au wameamua kukaa pembeni na habari hizo?
Japana na Ujerumani walidhibitiwa kuwa na silaha nyingi baada ya vita vya pili vya dunia
 
Baada ya Vita ya pili ya mabepari ( nyie huita ya Dunia) Japan waliachaba na kuwekeza Sana kwenye jeshi na kuwekeza Kwa maendeleo ya watu...ila Huwa najiuliza kwanini USA hakumpiga German na nuclear kaenda Kwa mjapani? Wazungu wabaguzi sanaaaa...
Hisia zako tu kuhusu what you are calling ubuguzi wa wazungu. Nuclear ilishushwa Japan baada ya Japan kuonesha jeuri ya kushambulia maslahi ya Marekani; next alikuwa anaelelea Hawaii. German hakuwa ameonesha jeuri hiyo.
 
Baada ya kusarenda mwaka wa 1945 Japan ikawekwa chini ya utawala wa Marekani kijeshi. Japani haitakiwi kuijitanua sana kijeshi Kuna limit ni kama ilivyo kwa Ujerumani.
German na Japan wao wako chini ya Marekani kiulinzi but Wajapan wakiachiwa uhuru watafika mbali sana kivita ns ki by
 
Hawa jamaa huwaoni wakionesha onesha silaha zao. Huwasikii wakitishiana na mtu au kupiga mkwara.

Lakini rudi miaka ya nyuma katika vita utawasikia kwa uzuri. Nenda kawaulize wachina. Watakuambia. Jamaa kwenye technology ni wazuri sana. Na hawana ubabaishaji. Wanatengeneza vitu vya ukweli na wana akili sana.

Lakini mbona hawasikiki kwenye uwanja wa vita na silaha?ni wameamua wao kufanya kimya kimya au wameamua kukaa pembeni na habari hizo?
Wee jamaa! Kwahiyo roho inakuuma ukiona nchi inakaa katika amani? Wewe mchango wako katika nchi ni sifuri!
 
Wa Japan wamestaarabika sana ukitaka kuthibitisha angalia ktk kushiriki wao wa kombe la dunia
 
Dogo unafahamu ushenzi wa Japan Asia huyo mjerumani hakufikia level ya wajapan uliza kwa nini wachina,wakorea na sehemu kubwa ya Asia hawawapendi wajapan wana historia chafu.
Nilishawahi kumueleza mtu humu humu jukwaani katika race katili kuliko Japan " nambari wani" kilichowafanya waufyate ni ile mibomu alafu Marikani aliwaweza sana kuwapa masharti yale vinginevyo hao sio,
Vita yao mbaya sanaaaaaa
 
Ila ni ukweli,Kuna mdau humu kasema Japan and Germany are sleeping giants,yupo sahihi...haya mataifa ni hatari Sana yasingebanwa.
Wanasema Israel Wana akili Sana,aisee Japanese ni Zaidi Sana Tena Sana na hao Germany, wangekua free ,US angejuta Sana na asingekua mkubwa mpaka Sasa hivi.
 
Yaani hapo vizee ndiyo vinagegedua mbunye zote tu
Means hapo kuna uhaba wa wanawake
sidhani. Maana nchi kama japan, mongolia , korea ,wa china wa tibet na baadhi ya nchi zingine za hapo asia, ni race zisizotukuza au kuendekeza ngono sana. Imani za kibudha na confuciusism zi me wa discipline kwa kiasi kikubwa kwenye eneo hilo.
 
Mbona tunaambiwa USA haikushirik kwenye vita vya Dunia so ilikuaje ikalazimika kuipiga Japan na kwa masilahi gani?wakuu
 
Hawa jamaa huwaoni wakionesha onesha silaha zao. Huwasikii wakitishiana na mtu au kupiga mkwara.

Lakini rudi miaka ya nyuma katika vita utawasikia kwa uzuri. Nenda kawaulize wachina. Watakuambia. Jamaa kwenye technology ni wazuri sana. Na hawana ubabaishaji. Wanatengeneza vitu vya ukweli na wana akili sana.

Lakini mbona hawasikiki kwenye uwanja wa vita na silaha?ni wameamua wao kufanya kimya kimya au wameamua kukaa pembeni na habari hizo?
Kimya Kina kishindo kikubwa sana
 
Back
Top Bottom