bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Soma historia vizuri utaona tu, usichukulie vitu at face value.Hii ni propaganda yako
Unaombea wenzako vifo kwani wewe una uhakika wa kuishi kwa muda gani?"A giant on the world stage" na amenyukwa risasi mbili tu chali?
Bado Hangaya na genge lake!
Siku atafyekwa na huo ushungi wake!
Ni kweli kabisa Saddat aliuliwa na wanajeshi waliojipenyeza kwenye kutoa heshima.Asante kwa ufafanuzi, Sadat hakuliwa na walinzi wake, Bali na askari wa jeshi wakitoa heshima zao, walinzi walishindwa kabisa kuzuia, kiongozi aliyeuawa na walinzi wake nadhani ni Indira Ghandi.
Walinzi wanamaswali 50 yakujibu kwa ufasahaHuyo kajitoa muhanga na lolote liwe, katika hali hiyo kumzibiti kiulinzi mtu wa aina hiyo ni kazi kubwa sana. Hii inanikumbusha jinsi alivyouawa Rais wa Misri Anwar Sadat alipokuwa uwanjani mbele ya walinzi wake.
Lakini alimsamehe jamaa, lile kofi duh [emoji1]Kuna mstaafu wetu alikula vibao wakati akihutubia!
Alishafariki yule jamaaKuna Bwn Mmoja aliwahi mvamia mzee Mwinyi akampiga makofi. Mzee mwinyi kwa uungwa akamsamehe ila sheria ilichukua mkondo wake akafungwa nadhani alimaliza kifungo chake. Nakumbuka chanzo Mzee Mwinyi alihimiza masuala ya uzazi wa mpango.
Kuna watu wana depression.
SikiaOy sikia huyu..
Demokrasia Japan Ni ya kutosha pengine kuliko nchi yoyote ya Mashariki ya mbali.
Hivi waafrika mkisikia demokrasia kwa akili zenu mnafikiria Ni utekelezaji was kila kitu mlichokisoma darasani form 2 na chuoni?
Freedom of mass media.
Movement freedom.
Free election.
Freedom to protest, strike nk.
Hivi vitu hata Marekani hakunaga.
Ukiwa mpiga kelele utabanwa tu! Snowden alikuwa mpigakelele Bora! Yuko wapi?
Assange alikuwa mpigakelele Bora Yuko wapi?
Hao wote wametoka katika nchi zenye kile kiitwacho demokrasi
Mkuu; Norway, Belgium, UK (United Kingdom), Denmark, Netherlands, Luxembourg, Sweden na Spain zina mfumo gani wa utawala? Na unatofautiana vipi na Japan? Labda utufundishe, huenda hatujui chochote.Nchi zenye utawala wa kifalme wananchi wake hawana uhuru
Demokrasia kitu gani bwana, ni ujinga tu na kujipumbaza. Hebu nifundishe tofauti ya mfumo wa kiutawala kati ya Japan na nchi nilizozitaja hapo juu ambazo zote ni za Europe.Naifahamu Japan kuliko unavyodhani
Hakuna demokrasi Japan period
Usifananishe Europe North America na Asia
Asia hakuna democracy
Hakuna mahali hili swali limejibiwa aisee! So sadAmewakosea nini huyu jamaa muungwana
Samahani kwenye hizo nchi zakifalme vipi kuhusu UK SPAIN nazo zinaingia hapo ama!!!??Sikia
Nazungumza sio nahisi au sijui nina elimu ya form 2
Naishi na kufanya kazi na hawa watu
Naifahamu Japan kuliko unavyodhani
Hakuna demokrasi Japan period
Nchi zenye utawala wa kifalme wananchi wake hawana uhuru
Nenda Saudia Thailand etc utamwagilia hekima kwa ubongo wako
Usifananishe Europe North America na Asia
Asia hakuna democracy
Bwana Yamagani alisukumwa na chuki kali dhidi ya Abe, maana ilibidi atengeneze bunduki yake mwenyewe, maana kumiliki bunduki Japan ni kazi kubwa, na ameutumia vyema mwanya wa amani ambao hautoi ulinzi mkali kama ilivyokuwa Sweden kulikofanya Olfa Palme auawe kirahisi.
Pia kuna ile theory ya a magic bullet,Ni kweli Lee Harvey Oswald alikuwa ghorofani, na Alipiga risasi,ila alikua ni kama kanyaboya tu! Ukiona picha za mwili wa Kennedy,risasi ilimfumua kisogoni,maanake iliingilia mbele ikatokea nyuma! Risasi ya Lee Oswald ilitakiwa iingilie kisogoni, maana gari ilikuwa imeeisha mpita! Na ukiangalia vizuri utashangaa jinsi alivyomwangukia Jackie! Inaonyesha kuna risasi nyingine mkuu, na Kitendo cha Jack Ruby kumuua Lee Oswald kesho yake, tena kwenye kituo cha polisi, inaonyesha he was just a fall guy, au ningesema mbuzi wa kafara! Huwa naangalia trajectory ya risasi, hasa risasi ya kwanza na ya pili, na utalamu wangu mdogo wa bunduki, naona Oswald aliwekwa pale aonyeshe wazi kuwa ndiye muuaji, lakini real killers bundling, kule Kennedy alipokuwa anaelekea! Kwenye kile kichaka cha majani.Anyway labda na mimi nimekumbwa na hii conspiracy ya kuwa Lee Harvey Oswald was not a real killer.
Kama aliuawa na CIA au watu wa Military basi hao pia walihusika kuunda tume ya Warren,Rais Kennedy na kupendwa kwake kote, kuzaliwa katika familia yenye jina, kuoa mwanamke mzuri, maisha yake binafsi yalikuwa ni shughuli pevu.Labda ni kweli Serikali ya wakati huo iliamua kumuua Rais! Inatisha...Pia kuna ile theory ya a magic bullet,
Warren commission wali conclude kwamba only 3 bullet ndio zilitumia kwenye tukio la Kennedy.
Sasa lisasi mbili zilipata maelezo ila moja ndio ikiwa shughuli kupata maelezo yake kiufasaha.
Risasi ambayo ilipiga watu wawili kwa wkt mmoja na katika maeneo tofauti yaani ilimpiga Kennedy kisha ikakata Kona na kumpiga governor wa Jimbo la Texas be. Conally katika sehemu mbali mbali za mwili wake.
Hapo ndipo iligundulika kwamba Tume ya uchunguzi ya kifo Cha Kennedy ilikuwa ni ya mchongo.
C.l.A waliamua kumalizana na Kennedy kwa sababu alikuwa soft on communism, that'll.Kama aliuawa na CIA au watu wa Military basi hao pia walihusika kuunda tume ya Warren,Rais Kennedy na kupendwa kwake kote, kuzaliwa katika familia yenye jina, kuoa mwanamke mzuri, maisha yake binafsi yalikuwa ni shughuli pevu.Labda ni kweli Serikali ya wakati huo iliamua kumuua Rais! Inatisha...