#COVID19 Japan yasitisha utumiaji wa chanjo ya Moderna

Umefanya utafiti ukajiridhisha hakuna madhara? Anza utafiti ndugu yangu, tafuta waafrika wasio na chanjo ambao kwa Sasa ni ngumu kuwapata, yaani wale walioishi kipindi Cha Akina Kinjeketile Ngwale, fanya tathimini ya kibaiolojia ya mifumo ya fahamu, akili na mingineyo kuona Kama iko sawa na mifumo yetu ya kimwili Karne hizi za chanjo,
Mzungu sio lazima akuue, hata akidisturb your mental balance inamtosha sana.
Kama hujafanya tafiti ya Aina hio hauna haki ya kutangaza usalama wa chanjo,
Nenda kachanje then ishi kwa Imani yako juu ya chanjo
 
wazungu wangekuwa na uwezo wa kutengeneza chanjo, wangekuwa wamesha leta ya Ukimwi na Malalia JPM alijisemea, Na baada tu ya kusema, Wazungu wamekuja na chanjo za Ukimwi na malalia, hawa watu hawa!!
Mzungu amaihangaikia chanjo ya corona sababu corona inahatarisha uhai wa watu wake
Ukimwi au malaria sio tishio kwa mzungu ndio mana haangaiki nayo hata kidogo

Kutokana na hali ya hewa yao no malaria na kuhusu ukimwi ni ratio 100000:1

Ndio mana ukitaka kwenda kwao lazima upimwe ngoma ukikutwa positive huendi
 
Its a mind control...
Ni kama jela wababe wanavyosema usipoinama hutokula...

Then una feel like nakubaliana nao mapema ili nisije pata shida.

Vaxx inaweza kuwa na madhara ya baadae ikiwamo depopulation... ila kubwa zaidi ni spiritual zombie..anotjer sodoma na gomola kwa maana uzao ulipoteza vinasaba asilia (MNRA/DNA) na artificial intelligence (connected na computer through Nano...5G ma Cloud server...

Otherwise zote ni myth na maoni...
You might be right mkuu...
 
Mimi pia nimechanja
 
Ni kweli wapo ambao hawajawai kuona mgonjwa wa covid lakini serikali imefanya uchunguzi imegundua wapo. Ndugu waliofiwa au kuuguliwa walisema, na hatawaliougua wenyewe walisema.
Waliopata madhara ya chanjo( madhara makubwa) wanatakiwa kusema. Kama unawafahamu basi washauri waseme ili serikali isikie na hatua zichukuliwe.

Sema ndugu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kaka chanjo zote walizotupa zilikuwa na nia moja kama ilivyo matumizi ya GMO nk... kuua spirituality ya mwanadamu.... kuua connection yetu na nguvu za juu.. Most of them ilikuwa ni kwa magonjwa waliyotengeneza wenyewe...chache ni kwa magonjwa natural...

Simkatishi mtu tamaa wala sifundishi kitu tofauti ila nina share kwann mimi na watoto wangu marufuku kuchomwa...
 
Kifo cha kiroho.boss wanaua pineal gland...
Tunakuwa spiritual zombie..

Kazi za Lucifer hizo...
 
Nadhani inakupasa usome zaidi Biblia. Quran siifahamu vizuri ,,
Nakushauri usome Biblia usiwe katika kuobishia bali kuielewa.
Mimi nimesimama kwenye Bible.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ikiwa polio na pepopunda tumevisahau, na hata manjano ni kama tumeisahau ni ushuhuda kuwa hizi chanjo zinafanya kazi.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ni wapi sasa huko ambako wanatakiwa waseme? utajuaje kama serikali haijui kuhusu watu wanaopata madhara ya chanjo?

Kuna mzee huku nako kaa alichanja, akaanza kuumwa wakampeleka hospitali kufika tu wakauliza alichanja yani ni kitu ambacho kinajulikana, mwisho wa siku mzee wa watu kafa kwa kuganda damu.

Sasa utasema serikali haijui? kama kuna kipindi ilikuwa inasema hakuna corona na hadi sasa haitoi takwimu za corona ndio unafikiri sasa itakubali kutangaza watu wanaopata madhara ya chanjo au kutangaza kufanya uchunguzi?
 
Ikiwa polio na pepopunda tumevisahau, na hata manjano ni kama tumeisahau ni ushuhuda kuwa hizi chanjo zinafanya kazi.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kuna mambo mawili, kufanya kazi kwa chanjo na madhara ya chanjo. Ndio maana kuna majaribio ya chanjo hivyo vitu viwili vinaangaliwa.
 
Depopulation to 500ml by 2030

They were joking...right?
 
Mkuu, Japan ipo zone ipi ya Africa?
 
Wako wanaosema iko contaminated na virus vya ukimwi....
Ama virus nyingine..
Unayewaza Kabbalah hawana nia ya kuua watu una moyo mgumu kama jiwe...
Piga zote na boosters kila miezi 6 usihofu...
 
Unamshawishi mtu akachanje anakubali anaenda mara anapata side effect ya kuganda damu anakufa, hapo sijui familia yake utaiambia nini.

Nawaza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…