Japhet Maganga wa CWT akamatwa kwa kufanya fujo

Japhet Maganga wa CWT akamatwa kwa kufanya fujo

Wan
Sasa kama yako pande zote kama unavyosema, kitu ambacho ni sahihi, ni kwa nini watu wa mikoa ya Kigoma wanashukiwa na kuambiwa sio watanzania?
Kigoma ni scenario tofauti, kufuatia machafuko ya Rwanda, Burundi na DRC wakimbizi wengi wameingia TZ na wengine sio muda mrefu ni miaka ya 80 mpaka 90 na wengine 2000 tu hapa, na hapo ndio inayoitofautisha mikoa mingine yote ya mpakani na ukanda wa magharibi

Huku kwengine idadi inaweza kuwa ni wachache sana tena walihama kwa kupenda na waliopo kutenganishwa na mipaka ya wakoloni

Lakini, machafuko ya Magharibi yalifanya waje kwa maelfu, na ndio maana changamoto ya huku imekuwa kubwa sana
 
Wan

Kigoma ni scenario tofauti, kufuatia machafuko ya Rwanda, Burundi na DRC wakimbizi wengi wameingia TZ na wengine sio muda mrefu ni miaka ya 80 mpaka 90 na wengine 2000 tu hapa, na hapo ndio inayoitofautisha mikoa mingine yote ya mpakani na ukanda wa magharibi

Huku kwengine idadi inaweza kuwa ni wachache sana tena walihama kwa kupenda na waliopo kutenganishwa na mipaka ya wakoloni

Lakini, machafuko ya Magharibi yalifanya waje kwa maelfu, na ndio maana changamoto ya huku imekuwa kubwa sana
Maelezo kama haya yangetosha kabisa kujadili na pengine kutoa fursa kwa wengine kujifunza, hakukuwa na sababu ya kutumia lugha ya kutweza au kutukana kwenye jukwaa hili.
 
Wajaluo kwao ni Kenya,tena Kisumu...specifically, usilazimishe! Huyo jamaa yako Otieno ni mkenya... Arudi kwao tu, mbona Kenya kuna Polisi pia?
Kuna makabila/jamii yameingiliana EA.

Mfano wajaluo wapo , Kenya [Kisumu,Nyanza,Bondo ] , Tanzania wapo Shirati na Isebania ] Uganda wapo Bunyoro.

Wamasai wapo Tanzania [Arusha, Longido, Ngorongoro ] Kenya wapo [Narok , Nairobi, Naivasha ] hata Nairobi ni jina la kimasai maana yake mji/sehemu yenye baridi.

Wasomali wapo Somali na Kenya , Kenya wapo kwa wingi Garissa, Wajir na Nairobi na Somalia wapo katika migawanyiko ya kikoo/ukoo.

Wakurya wapo [Tarime,Serengeti na Shirati ]kwa Tanzania na Kenya wanaitwa "wakuria" wapo kwa wingi Kisii na Migori hivyo unakuta majina kama Chacha, Maraga, Mwita utayakuta Tanzania na Kenya pia.
 
Kuna makabila/jamii yameingiliana EA.

Mfano wajaluo wapo , Kenya [Kisumu,Nyanza,Bondo ] , Tanzania wapo Shirati ] Uganda wapo Bunyoro.

Wamasai wapo Tanzania [Arusha, Longido, Ngorongoro ] Kenya wapo [Narok , Nairobi, Naivasha ] hata Nairobi ni jina la kimasai maana yake mji/sehemu yenye baridi.

Wasomali wapo Somali na Kenya , Kenya wapo kwa wingi Garissa, Wajir na Nairobi na Somalia wapo katika migawanyiko ya kikoo/ukoo.

Wakurya wapo [Tarime,Serengeti na Shirati ]kwa Tanzania na Kenya wanaitwa "wakuria" wapo kwa wingi Kisii na Migori hivyo unakuta majina kama Chacha, Maraga, Mwita utayakuta Tanzania na Kenya pia.
Umejenga hoja yako vizuri tena kwa mifano yenye uhalisia... Unaweza kunifafanulia ni kwa nini formuła hiyo uliyoitaja ni kwa nini inapindishwa hasa kwenye mkoa wa Kigoma? Kwa nini inakuwa vigumu kwa mamlaka zetu kuukubali ukweli uliouainisha hapo juu kuwa kuna koo za waha ziko Burundi Rwanda na DRC au kinyume chake ? 🤔
 
Umejenga hoja yako vizuri tena kwa mifano yenye uhalisia... Unaweza kunifafanulia ni kwa nini formuła hiyo uliyoitaja ni kwa nini inapindishwa hasa kwenye mkoa wa Kigoma? Kwa nini inakuwa vigumu kwa mamlaka zetu kuukubali ukweli uliouainisha hapo juu kuwa kuna koo za waha ziko Burundi Rwanda na DRC au kinyume chake ? 🤔
Sijawahi kuelewa kwanini serikali haitaki kuwatambua hao watu wa mipakani na Kigoma hasa Burundi ilhali hata Kiha na Kirundi kinakaribiana na viongozi wengine humo serikalini asili yao ni Burundi na Rwanda hata majina tu yanawatambulisha.

Labda nikijibu hoja yao kwa kudhani kwanini hawajataka kuyatambua makabila ya ukanda huo mpakani na Kigoma ni hasa DRC na Burundi ni kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa miaka mingi vilivyosababisha watu kukimbia maeneo hayo nimejibu kwa kuhisia hivyo kwa sababu ya vita.

Kutokana na vita hata wasomali wa Kenya walikuwa subjected kwenye" multiple vetting" yaani mjaluo au mkisii anaweza kupata kitambulisho cha taifa kwa hatua chache ila kwa msomali wa Garissa au Wajir atahitajika kuleta cheti cha kuzaliwa cha baba na hata akikileta kuna "deep questions" atakakiwa kufanyiwa mahojiano baada ya hapo atapita hatua nyingine zaidi hadi kuthibitishwa kupata kitambulisho cha taifa hii wengine wamefikisha miaka 6 sasa baada ya kuhojiwa hawajapata kitambulisho hadi mwaka huu Ruto alipofuta hiki kipengele kwa wakazi wa maeneo haya , ila kipengele hiki kiliwekwa kutokana na maeneo hayo kupakana na Somalia ambayo ndio nchi yao ya asili kabla ya kuhamia Kenya na uwepo wa matishio ya kigaidi ya Al Shabab wakitaka majeshi ya Kenya yasijihusishe na mambo ya Somalia.
 
Hizi double standards ndio zilizozalisha mgogoro kama ile iliyoko mashariki mwa DRC. Hizi steriotypes mara nyingi zinaanzishwa na viongozi kwa masilahi yao binafsi na kwa kiwango kikubwa Tshisekedi amethibitisha hilo. Hii mipaka ya wakoloni ndio inayotugawa, kwa bahati mbaya viongozi nao wanaipa uzito kwa madai ya kulinda sheria za nchi ambazo zinatokana na ubatili.
 
Hizi double standards ndio zilizozalisha mgogoro kama ile iliyoko mashariki mwa DRC. Hizi steriotypes mara nyingi zinaanzishwa na viongozi kwa masilahi yao binafsi na kwa kiwango kikubwa Tshisekedi amethibitisha hilo. Hii mipaka ya wakoloni ndio inayotugawa, kwa bahati mbaya viongozi nao wanaipa uzito kwa madai ya kulinda sheria za nchi ambazo zinatokana na ubatili.
Alichosema CDF kuwa kuna wahamiaji haramu wana nafasi nyeti serikalini 90 % wanatokea kipande cha mpakani mwa Kigoma ..na Kagera 10% kuikuta Rwanda.
 
Back
Top Bottom