Japhet Maganga wa CWT akamatwa kwa kufanya fujo

Japhet Maganga wa CWT akamatwa kwa kufanya fujo

Huyu mwamba 🤚🤚🤚
1. Kakataa uteuzi wa Raisi.
2. Kakatazwa kibali cha kuendelea CWT kutoka kwa muajiri wake, AKAENDELEA,
3. Kapewa Onyo arudi kituo cha kazi, HAKURUDI.
4. Kaitwa Kwemye Kamati ya maadili (TSC), HAKWENDA
5. Kafukuzwa kazi, HAKUJALI
6. Kagoma kuachia madaraka akidai ni mwanachama halali.
7. Msajiri na mkaguzi wa vyama vya wafanyakazi wakamuandikia barua kua hawamtambui kama katibu cwt, hakujali
8. Akakatazwa uwanja Siku ya walimu pale mwanza, Akamsingizia Raisi, akapewa Onyo..
9. Bajeti ya Meiomosi Ya mwezi Wa 5 mwaka huu aligawa tenda Tangu mwaka jana, Akaambiwa akwa mbabe.

Huyu ni Mwamba, blv ,hatafanywa chochotee, na Watamlipa fidia kwa kumvua uwanachama kama ilivyotokea kwa yule Oluti waliyemlipa zaidi ya 300M+

Walimlea wenyewe, ngoja awanyooshe.
 
KATIBU Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Japhet Maganga, na wenzake 10 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kufanya fujo kwenye mkutano wa Baraza Kuu la chama hicho wakati wakipitisha bajeti ya mwaka.

Tukio hilo lilitokea baada ya baraza hilo kuazimia kumsimamisha kazi Maganga kutokana na kupoteza sifa baada ya kufukuzwa kazi na mwajiri wake.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno, amethibitisha kukumatwa kwa kiongozi huyo pamoja na wenzake wakati wa mkutano huo.

“Tulipata taarifa kuwa kuna watu wanafanya fujo tukaenda kudhibiti kabla hayajatokea madhara. Kwenye mkutano huo sisi hatufahamu ilikuwaje zikatokea fujo. Ukitaka kufahamu zaidi waulizwe CWT wenyewe,” amesema Kamanda Otieno.

Source - Nipashe
Jamaa tangu atetee ule ujinga wa Tume ya Ichaguzi nilimuona Hana maana
 
Huyu mwamba [emoji1672][emoji1672][emoji1672]
1. Kakataa uteuzi wa Raisi.
2. Kakatazwa kibali cha kuendelea CWT kutoka kwa muajiri wake.
3. Kapewa Onyo arudi kituo cha kazi
4. Kaitwa Kwemye Kamati ya maadili (TSC)
5. Kafukuzwa kazi,
6. Kagoma kuachia madaraka akidai ni mwanachama halali.
7. Akakatazwa uwanja Siku ya walimu pale mwanza, Akamsingizia Raisi, akapewa Onyo..
8. Bajeti ya Meiomosi Ya mwezi Wa 5 mwaka huu aligawa tenda Tangu mwaka jana, Akaambiwa akwa mbabe.

Huyu ni Mwamba, blv ,hatafanywa chochotee..
Mbona wamemfukuza na hana cha kufanya.Ngoma ikilia Sana inapasuka.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wajaluo kwao ni Kenya,tena Kisumu...specifically, usilazimishe! Huyo jamaa yako Otieno ni mkenya... Arudi kwao tu, mbona Kenya kuna Polisi pia?
Usipende kuongea ujinga hadharani. Unamfahamu yule Polisi anaitwa Bageni kwenye kesi ya Zombie unaijua kabila lake?
 
Mbona wamemfukuza na hana cha kufanya.Ngoma ikilia Sana inapasuka.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
We ulizani huyu anashida na kazi? Hivi mtu ugomee barua ya mwajiri, ugomee wito wa Kamati ya maadili? Ulizani hakujua what next? Unadhani hakujiandaa?

Amekula pakubwa mnoo, na pengine hat huko kutokurudi achilia mbali anajua mshara ni sio kama huko cwt, ukute alishaukopea wote, hivyo hana cha kupoteza.

Ngoja awaendeshe, wamemlea.
 
We ulizani huyu anashida na kazi? Hivi mtu ugomee barua ya mwajiri, ugomee wito wa Kamati ya maadili? Ulizani hakujua what next? Unadhani hakujiandaa?

Amekula pakubwa mnoo, na pengine hat huko kutokurudi achilia mbali anajua mshara ni sio kama huko cwt, ukute alishaukopea wote, hivyo hana cha kupoteza.

Ngoja awaendeshe, wamemlea.
Huko cwt hakufanyiwi Auditing,kiburi kinazaa anguko.Labda wamuonee huruma Ila Segadansi panahusika.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Otieno ni jina au ubini wa wajaluo ambao wanapatikana Kisumu zaidi lakini kusini magharibi mwa Kenya. Ushahidi ulioutoa kwa mifano kwa watu uliowahisi kuwa warundi hauna tofauti na kumhoji Otieno aliyepo Tanzania kwa kuwa kuna Count nchini kenya inayofahamika kama eneo lenye idadi kubwa ya wajaluo tena wenye ardhi na urithi wao, kuwepo Tanzania au Uganda bado hakuhalalishi kuwa watanzania mpaka point iliyopo hapo juu itekelezwe.
Wewe kweli unaumwa unamfahamu Katibu Mkuu Kiongozi kipindi Cha Nyerere akiitwa Timothy Apiyo? Alikuwa mjaluo wa Rorya. Wewe Baki na assumptions Zako
 
Wajaluo wako Kisumu Kenya, hapa ndipo waliposettle na kutwaa ardhi. Hata wakitaka kujitenga eneo lao ni Kisumu, sio Mara wala Busia...
Ukusema Kisumu vipi kuhusu Siaya na Homabay.
 
Wewe ni mpumbavu na mjinga nashaanga hadi upo verified unaongea km mtu asiyekuwa na elimu

Wajaluo asili yao ni kenya na Tanzania hasa mkoa wa mara Tanzania na magharibi mwa kenya
Kuwa VERIFIED ni u-smart asipoteze sifaa😝😝😝
 
Wewe kweli unaumwa unamfahamu Katibu Mkuu Kiongozi kipindi Cha Nyerere akiitwa Timothy Apiyo? Alikuwa mjaluo wa Rorya. Wewe Baki na assumptions Zako
Apiyo namfahamu sana tu, tena mwanaye nimesoma naye.... Kwa hiyo unataka kutoa uthibitisho kuwa ni mjaluo wa Rorya?
 
Hivi unafahamu kuwa Kisumu, kuna Kisumu mji na County Government ya Kisumu inayojumuisha maeneo uliyoyataja na mengi mengineyo ndani ya Nyanza Province?
Tanzania imeingiliwa Mkuu amini nachokwambia...kama Mkuu wa Majeshi kaliona hili hautaweza kupata majibu hapa...
 
Huu ni mjadala ambao unajadiliwa mara kwa mara humu na una dalili za ndimi mbili. vigezo cha majina na ubini ndivyo vinavyotumiwa na Jeshi letu la uhamiaji kuwanyanyasa watu wa mipakani hasa mikoa ya Kigoma na Kagera. Majina ya Otieno asili yake ni Kisumu Kenya, Kwa nini mtu anaanzisha matusi humu badala ya kujadili hoja? Kwa nini kuwe na double standards huku raia wa mipaka na Kenya, Mbeya,Ruvuma, au Zanzibar wasiguswe?
Umekosea kabisa. Huwezi kutumia jina kujua mtu katokea wapi. Otieno, Okello, Onyango ni majina yenye asili ya kijaluo na yapo Tanzania.
 
Umeweza kama mimi🤣 tofauti ni wewe umetangulia kuchapisha bandiko
 
Back
Top Bottom