Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Japheti SI ndio yule aliyeamriwa arudi shule kufundisha? Ina maana kumbe walimfukuza na kazi ya ualimu kabisa?
Wasukuma walikuwemo ndio, wengine?Wasukuma hawakuwemo
Sasa kwetu ni wapi, Sudan?Hata Kenya sio kwetu🤣🤣
Wenye hii nchi unawajua? Ukute hata huyo anayeongea hapa si kwake ni mhamiaji tu kama walivyo watanzania wengi.Sasa kwetu ni wapi, Sudan?
Taratibu Ndiyo Jahazi InazamaJaphet jela inakuita.
Alivyokataa uteuzi alimaanisha nini?Ila jamaa ni CPA( T) sasa serikali ilipomtaka arudi shule ya msingi kufundisha walikuwa wanamaanisha nini?
CPA holder shule ya msingi akafundishe nini.?Alivyokataa uteuzi alimaanisha nini?
Serikali ilikuja na comeback ya kumrudisha kwenye kazi yake ya zamani baada ya kuonesha kiburi
Ngosha
Alitumwa na nani kusomea hiyo CPA? LILIKUWA NI HITAJI LA MWAAJIRI WAKE?CPA holder shule ya msingi akafundishe nini.?
Otieno/Atieno ipo Kenya, Tanzania, Uganda, Sudan na NigeriaMartin Otieno si mkenya huyo? Au ndio wale waliosemwa kuwa na nafasi za juu na wafanya maamuzi Serikalini? 😳
KenyanOtieno/Atieno ipo Kenya, Tanzania, Uganda, Sudan na Nigeria
Acha ujinga wewee. Jela inamuita wewe no hakimu? Ukikua utajitambuaJaphet jela inakuita.
Msalaba wako unamiiba mkuu😜Wajaluo kwao ni Kenya,tena Kisumu...specifically, usilazimishe! Huyo jamaa yako Otieno ni mkenya... Arudi kwao tu, mbona Kenya kuna Polisi pia?
Jela must!Acha ujinga wewee. Jela inamuita wewe no hakimu? Ukikua utajitambua