Japhet Maganga wa CWT akamatwa kwa kufanya fujo

Japhet Maganga wa CWT akamatwa kwa kufanya fujo

Attachments

  • Maganga.jpg
    Maganga.jpg
    58 KB · Views: 4
Ila jamaa ni CPA( T) sasa serikali ilipomtaka arudi shule ya msingi kufundisha walikuwa wanamaanisha nini?
 
Ila jamaa ni CPA( T) sasa serikali ilipomtaka arudi shule ya msingi kufundisha walikuwa wanamaanisha nini?
Alivyokataa uteuzi alimaanisha nini?


Serikali ilikuja na comeback ya kumrudisha kwenye kazi yake ya zamani baada ya kuonesha kiburi
 
Alivyokataa uteuzi alimaanisha nini?


Serikali ilikuja na comeback ya kumrudisha kwenye kazi yake ya zamani baada ya kuonesha kiburi
CPA holder shule ya msingi akafundishe nini.?
 
Martin Otieno si mkenya huyo? Au ndio wale waliosemwa kuwa na nafasi za juu na wafanya maamuzi Serikalini? 😳
Otieno/Atieno ipo Kenya, Tanzania, Uganda, Sudan na Nigeria
 
Wajaluo kwao ni Kenya,tena Kisumu...specifically, usilazimishe! Huyo jamaa yako Otieno ni mkenya... Arudi kwao tu, mbona Kenya kuna Polisi pia?
Msalaba wako unamiiba mkuu😜
 
Back
Top Bottom