Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful!

Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful!

Polepole huyu aliebadilishwa msimamo wake na njaa.

Nikimkumbuka wakati wa ile Rasimu ya Katiba ya Warioba alivyokuwa anaipigia debe, halafu alivyokuja kubadilika ghafla, sina hamu nae.

Endelea kumtafuta tu; sikushangai, kwasababu hata wewe mwenyewe unaonekana ulishapotea...!!
Njaa haina baunsa
 
Paskali uko sahihi sana na kweli huyo Polepole ana nguvu sana ndani ya CCM. Sababu hasa ya Polepole kuwa na nguvu ndani ya CCM

1. Polepole ni mtu aliyesoma mambo ya ccm na kuyakariri vyema hasa sheria na miongozo ya chama.

2. Polepole hakuwa sehemu ya wanachama wezi kwani hakuwa kuwa kwenye sehemu ya ulaji ndani ya chama au serikali kabla ya Magufuli, hivyo kuwa katika kundi la wanaccm wachache wasio na kashfa.

3. Magufuli hajui mambo mengi ya ccm, hivyo anamuamini na kumtumia zaidi Polepole kwenye taratibu zote za chama.

4. Magufuli ni mtu anayependa kunyenyekewa na kusujudiwa, na Polepole anamnyenyekea na kumsujudia Magufuli kuliko hata afanyavyo kwa Mungu. Hali hiyo inamfanya Magufuli kumkubali zaidi Polepole kuliko mwanaCCM yoyote, aliye chamani au serikalini.

Kwa sababu hizi hapo juu, Polepole ndio msiri na mshauri mkubwa wa CCM kuliko mwanaCCM yoyote. Hapo ndio nguvu zote za Polepole zilipo. Iwapo ukielewana na Polepole, basi wewe unaweza kupata cheo chochote ndani ya nchi hii.
 
Hana hoja yoyote zaidi ya kuwa alisafiria nyota ya mzee wetu Warioba
Mkuu sipo kwaajili ya mnyukano wala ubishani, jaribu kumtazama kwa jicho la tatu huyu jamaa Kuna vitu utaviona ukishindwa kufanya hivyo uachie muda utatoa majibu mazuri siku za mbele, hata usijihangaishe kwendelea kuni-quote sitajujibu chochote.
 
Back
Top Bottom