Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
basi itabidi kangilugola aione hii post ili abadili wa kumsifu...badala ya kumsifu jiwe aanze kumsifu hamph
Sio hata kumsifu maana tayari Kange Lugola anafahamika na Magufuli. Anachotakiwa ni kuongea kiutuuzima na Polepole. Huu ndio muda wa Polepole naye kutoka kimaisha kama kina Makonda, Riz one, Mwigulu nk.