basi itabidi kangilugola aione hii post ili abadili wa kumsifu...badala ya kumsifu jiwe aanze kumsifu hamph
Mkuu sipo kwaajili ya mnyukano wala ubishani, jaribu kumtazama kwa jicho la tatu huyu jamaa Kuna vitu utaviona ukishindwa kufanya hivyo uachie muda utatoa majibu mazuri siku za mbele, hata usijihangaishe kwendelea kuni-quote sitajujibu chochote.
Kama CDM ingekuwa na democrasia ndani yake,chama kisingepoteza dira kama ilivyo leo.
Kosa kubwa tunalofanya ni kuwa wa kwanza kuona ya nje na kufukia moshi ndani ya chama,wakati ccm haifanyi jambo lolote kwa uzito wake bali kwa madhara yake.
Ulichoandika kina ukweli. Kama mwana NEC tu anaweza kumkoromea na kumwamisha RPC je, huyu Polepole?.
Nimejibu kulingana na cheo chake cha wazi tunachokijua wote
Daaah kweli mkuu ktk hali hio utu unapotea kabisaaaa bila ubishiweee utu kitu gan mbele ya V8 prado landcruiser unadhan yy hapend kuendeshwa kwny gar yenye kiyoyoz
Lisa hoja yako ikoje, unataka kusema nini kwa msingi wa pascal kujiabisha?? Toa hoja twende sawa.Pascal wewe ni kaka mtu mzima ila mbn unapenda kujiabisha namna hii?kisa uteuzi?usijiondolee utu wako kwa kiasi hiki haipendezi
Hata pia upande wa pili ni wakati sahihi sasa wale wanaotaka kupata Vm ndani ya CDM wakaiongea vizuri na Joyce John Mukya maana yuko Karibu sana MZEE wa KONYAGI KUBWA.Sio hata kumsifu maana tayari Kange Lugola anafahamika na Magufuli. Anachotakiwa ni kuongea kiutuuzima na Polepole. Huu ndio muda wa Polepole naye kutoka kimaisha kama kina Makonda, Riz one, Mwigulu nk.
Kuna tofauti ya chama kupoteza dira, na kufanyiwa hujuma na rais aliye madarakani ili ionekane imepoteza dira. Tuna uwezo mzuri wa kujua ipi ni kupoteza dira, na hujuma za kisiasa boss.
Huyu ni Yohanna Mbatizaji!
!
Sasa Kama Meko Ni yesu Unategemea Huyu Awe Nani? Ni Sawa Kabisa, Huyu ni Mtume Kabisa.
Mkuu Ukiwa mnyenyekevu, utaonywa na utasahihishwa makosa yako, na hivyo utasaidiwa kuwa mtu mwema zaidi. Ukiwa mnyenyekevu utafikika na wengi na utakuwa msaada kwa watu/kimbilio la watu. Zaidi sana, ukiwa mnyenyekevu utapendwa na watu wote kama alivyo Ndugu Polepole.Yes, Polepole ni very powerful. Anaweza kuongea na yeyote dakika yoyote. Lakini pia yuko vizuri upstairs