Kapotea kivipi tufafanulie?Pascal kesha potea kisiasa na kiuledi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapotea kivipi tufafanulie?Pascal kesha potea kisiasa na kiuledi
Usipopata uteuzi mganga wako muongo
mbona tunashindwa kuheshimu na kuthamini maoni na mawazo ya wengine,yaaani mtu akitoa mawazo usiyopenda tu basi huyo ana njaa, anatafuta uteuzi, anajikomba aonekane n.k, huyu P angekuwa anategemea kuendesha maisha kwa kazi za kuteuliwa angesha kufa maana sijawahi kumsikia kateuliwa katika wakati wowote zaidi ya kupambana mwenyewe, nashuri tukosoe hoja ya mtu na si kumshambulia mtu.Pascal wewe ni kaka mtu mzima ila mbn unapenda kujiabisha namna hii?kisa uteuzi?usijiondolee utu wako kwa kiasi hiki haipendezi
JPM anaona mbali!, maandalizi ya 2025 yanaanza sasa kwenye cabinet hii.Mh.Pascal huyu kijana ni hazina ya baadae, saa anaanza rasmi exposure kuelekea mapito ya mfalme Daudi au Sulemani
NI yeyeMayalla hiyo njaa yako sasa inavuka mipaka sasa jiandae kuokota makopo maana kila ukijaribu kujikomba hufanikiwi.
Naunga mkono hojaHuyu ndiye Polepole ninayemfahamu, Mungu akujalie ufike mbali, kile kiti kinakufaa kabisa.
Wamepotosha niniHizo sifa munazo mpa polepole ni sifa za upotoshaji. Huwezi kuwa na sifa za kudanganya umma ukawatia mabalaa halafu ukajiona kuwa uko sawa. Wengi tulimuona polepole ni mtu wakati wa mchakato wa katiba lakini baada kutelekeza haki ya watanzania na ukweli kwa kuchumia tumbo nikamuona hana maana. Polepole na Pro. Kabud na Ally Bashiru ni watu wa chini kabisa kwa sababu ni wasomi wapotoshaji. Ukiwa ni kada utasifia.
Naunga mkono hoja, Polepole bado ni mtu muhimu sana.Njia Moja ya kumtuliza Polepole ni kumtafutia Cheo kama bado tunamhitaji ndani ya CCM. Kama tunamhitaji kwenye mabadiliko ya Baraza la mawaziri apewe unaibu Waziri au Waziri kamili.
Kila atakayepinga chanjo tumtulize kwa kumpa cheo itapendeza sana !!Naunga mkono hoja, Polepole bado ni mtu muhimu sana.
P