Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!

Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!

Huo mkataba lazima utekelezwe, hela walizotumia Hao Waarabu kufanya lobbying lazima irudi. Kwahiyo sioni dalili ya kusitishwa huo mkataba.

=============

Hii Nchi imekuwa ya hovyo kwa kuendekeza maslahi binafsi ya Viongozi wetu.

Viongozi tuliowapa mamlaka ya kutuongoza leo hii wametugeuka kwa kuamua kuuza rasilimali zetu kidogo kidogo.

Walianza Ngorongoro na sasa Bandari

Hatujui kesho itakuwa zamu ya kuuza nini.

Ni wakati wa Watanzania kuamka kutoka kwenye usingizi mzito tuliolala.

Hawa Viongozi hawana huruma Kwa Wananchi wao linapokuja suala lenye maslahi kwao binafsi.
 
Bunge letu tukufu,


Bunge letu huo utukufu limeupata lini ??!--- unaelewa maana ya utukufu??, Kitu chenye utukufu kinaweza kupitisha jambo haramu na Batili linaloweza kuumiza wananchi wake??, kitu chenye utukufu kinaweza kukumbatia watu ambao sio wabunge kisheria na kikawalipa mishahara kinyume na sheria??, huko sio kuvunja sheria za nchi na wizi wa mali za umma unaosimamiwa na hilo Bunge "tukufu" ??, kitu chenye utukufu kinaweza kuvunja sheria halali??. Kama utukufu ndio huo basi neno na dhana nzima ya utukufu haina maana.
 
Tanzania ina mikataba kibao na nchi kadhaa kwa mujibu wa website ya UNCTAD : Tanzania, United Republic of | International Investment Agreements Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub

Suala la msingi ni jinsi mikataba hiyo ilivyosukwa kwa umakini baina ya nchi mbili. Unaweza fanya sampling ktk jedwali la hapa chini na kulinganisha umahiri wa timu za wanasheria wetu wa kiTanzania kwa nyakati tofauti uwezo wao wa negotiation :

AGREEMENT
BETWEEN THE GOVERNrv1ENT OF
THE UNITED REPUBliC OF TANZANIA
AND
THE GOVERNMENT OF
THE ITALIAN REPUBUC
ON THE PROMOTION AND PROTECTION OF INVESTMENTS
The government: of the United Republic of Tanzania and the government of the
Italian Republic (hereafter defined as "The Contracting Parties"); ..............
ARTICLE 15
Duration and Termination
This Agreement shall remain in force for a period of ten years. Thereafter it shall
continue in force until the expiration of twelve months from the date on which
either Contracting Party shall have given written notice of termination to the
other. Provided that in respect of investments made whilst the Agreement is in
force, its provisions shall continue in effect with respect to such investments for
a Period of twenty years after the date of termination and without prejudice to
the application thereafter of the rules of general international law. READ MORE : Source : Tanzania, United Republic of | International Investment Agreements Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub

Tanzania, United Republic of

Tanzania, United Republic of​

NO.SHORT TITLESTATUSPARTIESDATE OF SIGNATUREDATE OF ENTRY INTO FORCETEXT
1Iran, Islamic Republic of - Tanzania, United Republic of BIT (2015)Signed (not in force)Iran, Islamic Republic of05/02/2015Full text: fa
2Kuwait - Tanzania, United Republic of BIT (2013)Signed (not in force)Kuwait17/11/2013
3Canada - United Republic of Tanzania BIT (2013)In forceCanada17/05/201309/12/2013Full text: en
4China - United Republic of Tanzania BIT (2013)In forceChina24/03/201317/04/2014Full text: en
5Oman - United Republic of Tanzania BIT (2012)Signed (not in force)Oman16/10/2012Full text: en
6United Republic of Tanzania - Turkey BIT (2011)In forceTürkiye11/03/201103/01/2017Full text: en
7Jordan - United Republic of Tanzania BIT (2009)Signed (not in force)Jordan08/10/2009Full text: ar
8Mauritius - United Republic of Tanzania BIT (2009)In forceMauritius04/05/200902/03/2013Full text: en
9South Africa - United Republic of Tanzania BIT (2005)Signed (not in force)South Africa22/09/2005Full text: en
10Switzerland - United Republic of Tanzania BIT (2004)In forceSwitzerland08/04/200406/04/2006Full text: en
11United Republic of Tanzania - Zimbabwe BIT (2003)Signed (not in force)Zimbabwe03/07/2003
12Italy - United Republic of Tanzania BIT (2001)In forceItaly21/08/200125/04/2003Full text: en
13Netherlands - United Republic of Tanzania BIT (2001)TerminatedNetherlands31/07/200101/04/2004Full text: en
14Finland - United Republic of Tanzania BIT (2001)In forceFinland19/06/200130/10/2002Full text: en
15Sweden - United Republic of Tanzania BIT (1999)In forceSweden01/09/199901/03/2002Full text: en | sv
16Denmark - United Republic of Tanzania BIT (1999)In forceDenmark22/04/199921/10/2005Full text: en
17Korea, Republic of - United Republic of Tanzania BIT (1998)Signed (not in force)Korea, Republic of18/12/1998Full text: en
18Egypt - United Republic of Tanzania BIT (1997)Signed (not in force)Egypt30/04/1997
19United Republic of Tanzania - United Kingdom BIT (1994)In forceUnited Kingdom07/01/199402/08/1996Full text: en
20Switzerland - United Republic of Tanzania BIT (1965)TerminatedSwitzerland03/05/196516/09/1965Full text: fr
21Germany - United Republic of Tanzania BIT (1965)In forceGermany30/01/196512/07/1968Full text: en | de

Related Products​

 
Wanabodi,
Bunge letu tukufu, limeridhia makubaliano ya IGA kati ya Serikali ya UAE na Tanzania, kampuni ya DP World ya Mwarabu wa Dubai, kutuendeshea Bandari zetu.

Kuna watu wana support hatua hiyo kwa hoja za msingi, kuwa DP World ni kampuni kubwa na ina uwezo mkubwa hivyo itatusaidia sana. Na kuna wanaopinga wakiwaita DP World ni matapeli, hivyo kitendo cha Bunge letu kuridhia hiyo IGA, kumewafanya wachoke na kudhani, it's the end of the road. Naomba kuwapa faraja kuwa it's not the end!.

Hiyo HGA ni makubaliano tuu na sio mkataba, yaani ni an agreement na sio contract. Kila mkataba ni agreement, lakini sio kila agreement ni mkataba, mfano mzuri ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuunda Tanzania, ni makubaliano tuu na sio mkataba, mkifika mahali mkashindwa kuelewana, mnagawana tuu fito, kila mtu anasepa kivyake Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?!.

Hivyo kile Bunge letu lilichoridhia, ni agreement tuu, tukiithibitishia serikali yetu, hawa DP World, pamoja na uzuri wao wote, pamoja na uwezo wao mkubwa wa kuendesha Bandari kibao, lakini ni matapeli na wana matatizo lukuki, hivyo serikali yetu iwe makini sana kabla ya kusaini HGA, na utepeli wao, ukiwekwa wazi peupe, tutaisaidia sana serikali yetu na kulisaidia taifa letu tusiingizwe mkenge na Mwarabu wa Dubai kwasababu tuu ni mtu mkarimu, amemkirimu Mama yetu kuipaisha bure Tanzania kwenye expo Dubai, akawakirimu waserikali wetu, kwa trips za Dubai, akawakirimu waheshimiwa wabunge wetu kwa trips za Dubai, na kuwakirimu media na waandishi wa habari wetu kwa trips za Dubai.

Japo Rais wetu, Mama Samia, ana nia ya kweli na ya dhati kulisaidia taifa letu, lakini anapokutana na matapeli wa kimataifa wakamuingiza mkenge, sisi watu wa Mhimili wa Nne, the media, tuna wajibu wa kulisaidia taifa letu kwa kuonyesha utepeli uko wapi, kisha serikali yetu ikiamua kuendelea na HGA ya Mwarabu wa Dubai, sisi watu wa media, tutakuwa na a clear conscious kuwa tumetimiza wajibu wetu, tumeieleza serikali yetu inavyotaka kuingizwa mkenge.

Kwa vile mimi licha ya kuwa ni mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, mimi pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, kwa kujitolea kutetea haki bure, hivyo nitawaletea makubaliano hayo na kuwachambulia kuwaonyesha jinsi tunavyotaka kutapeliwa mchana kweupe.

Utapeli wa kwanza mkubwa, ni hakuna mtu yoyote kati yetu aliyefanya a due diligence report ya DP World, tunaelezwa ni Governmental Organisation, wakati sii kweli, it's a private company!.

Mkataba wa IGA na HGA inaingiwa kati ya serikali na serikali, hivyo ukisoma documents za makubaliano utaona ni kati ya serikali ya Tanzania na serikali ya UAE, lakini signatories kwa serikali ya Tanzania ni serikali kweli, lakini kwa serikali ya UAE, signatories ni Mwarabu wa Dubai wa DP World na sio serikali ya UAE hivyo hapa tunatapeliwa!, serikali yetu inaingizwa mkenge kuingia mkataba na a private company disguised as a government of UAE kumbe ni kampuni binafsi!.

Jambo la pili, kuna kipengele cha kuizuia nchi isiendeleze Bandari nyingine, hivyo kuiweka mashakani Bandari ya Bagamoyo, hili halikubaliki hata kidogo!.

Kwavile saa hizi ni usiku mkubwa, Joni Mtembezi ananisisitiza nitembee tembee nae hivyo nitamalizia kesho.

Paskali.
Tupaze sauti utapeli wao umeanza kuonekana mchana kweupe
 
tutaisaidia sana serikali yetu na kulisaidia taifa letu tusiingizwe mkenge na Mwarabu wa Dubai kwasababu tuu ni mtu mkarimu, amemkirimu Mama yetu kuipaisha bure Tanzania kwenye expo Dubai, akawakirimu waserikali wetu, kwa trips za Dubai, akawakirimu waheshimiwa wabunge wetu kwa trips za Dubai, na kuwakirimu media na waandishi wa habari wetu kwa trips za Dubai.
Waamerika wana msemo mzuri sana kwamba "there's no free lunch". Kama tunajiaminisha kuwa huo ukarimu umefanywa bure bure bila kuwanufaisha hao warabu, basi imekula kwetu.
Mkataba hauna ukomo, muda wa kuisha, wewe uliuona wapi?
Mkataba hauna terms of evaluation, wewe uliuona wapi?
Ni muda wa watanzania kuamka toka usingizini. Japo tunataka maendeleo, lakini maendeleo yaje kwa kwa kuheshimu utu wetu na kulinda utaifa na taifa letu.
Tusipozingatia hayo huko mbele tutatoana uhai bure!
 
Ukisikia kelele za raia ujuwe wanajuwa zaidi kuliko hata hao wanasheria, wabunge, Rais na DP World!
Raia sio wajinga kama wanasiasa wanavyofikiri. Huwezi sema mkataba utakuwa hai kama DP World hawataharibu. Raia na U layman wao wanaandika mikataba ya ardhi, nyumba, kuazimana hela na wapangaji kukicha. Wanamaarifa, wako makini na ni wazoefu kuliko hao wanasheria wetu wa serikali.
MAMA SAMIA WEKA MKATABA WAZI KWA KISWAHILI. WAPE NAFASI RAIA WAPIGE KURA WAAMUWE DP WORLD WAPEWE MKATABA AU LA. WAKIAMUWA HUTABEBA LAWAMA. TUAMINI RAIA MAMA SAMIA🙏🙏🙏
 
Wanabodi,
Bunge letu tukufu, limeridhia makubaliano ya IGA kati ya Serikali ya UAE na Tanzania, kampuni ya DP World ya Mwarabu wa Dubai, kutuendeshea Bandari zetu.

Kuna watu wana support hatua hiyo kwa hoja za msingi, kuwa DP World ni kampuni kubwa na ina uwezo mkubwa hivyo itatusaidia sana. Na kuna wanaopinga wakiwaita DP World ni matapeli, hivyo kitendo cha Bunge letu kuridhia hiyo IGA, kumewafanya wachoke na kudhani, it's the end of the road. Naomba kuwapa faraja kuwa it's not the end!.

Hiyo HGA ni makubaliano tuu na sio mkataba, yaani ni an agreement na sio contract. Kila mkataba ni agreement, lakini sio kila agreement ni mkataba, mfano mzuri ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuunda Tanzania, ni makubaliano tuu na sio mkataba, mkifika mahali mkashindwa kuelewana, mnagawana tuu fito, kila mtu anasepa kivyake Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?!.

Hivyo kile Bunge letu lilichoridhia, ni agreement tuu, tukiithibitishia serikali yetu, hawa DP World, pamoja na uzuri wao wote, pamoja na uwezo wao mkubwa wa kuendesha Bandari kibao, lakini ni matapeli na wana matatizo lukuki, hivyo serikali yetu iwe makini sana kabla ya kusaini HGA, na utepeli wao, ukiwekwa wazi peupe, tutaisaidia sana serikali yetu na kulisaidia taifa letu tusiingizwe mkenge na Mwarabu wa Dubai kwasababu tuu ni mtu mkarimu, amemkirimu Mama yetu kuipaisha bure Tanzania kwenye expo Dubai, akawakirimu waserikali wetu, kwa trips za Dubai, akawakirimu waheshimiwa wabunge wetu kwa trips za Dubai, na kuwakirimu media na waandishi wa habari wetu kwa trips za Dubai.

Japo Rais wetu, Mama Samia, ana nia ya kweli na ya dhati kulisaidia taifa letu, lakini anapokutana na matapeli wa kimataifa wakamuingiza mkenge, sisi watu wa Mhimili wa Nne, the media, tuna wajibu wa kulisaidia taifa letu kwa kuonyesha utepeli uko wapi, kisha serikali yetu ikiamua kuendelea na HGA ya Mwarabu wa Dubai, sisi watu wa media, tutakuwa na a clear conscious kuwa tumetimiza wajibu wetu, tumeieleza serikali yetu inavyotaka kuingizwa mkenge.

Kwa vile mimi licha ya kuwa ni mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, mimi pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, kwa kujitolea kutetea haki bure, hivyo nitawaletea makubaliano hayo na kuwachambulia kuwaonyesha jinsi tunavyotaka kutapeliwa mchana kweupe.

Utapeli wa kwanza mkubwa, ni hakuna mtu yoyote kati yetu aliyefanya a due diligence report ya DP World, tunaelezwa ni Governmental Organisation, wakati sii kweli, it's a private company!.

Mkataba wa IGA na HGA inaingiwa kati ya serikali na serikali, hivyo ukisoma documents za makubaliano utaona ni kati ya serikali ya Tanzania na serikali ya UAE, lakini signatories kwa serikali ya Tanzania ni serikali kweli, lakini kwa serikali ya UAE, signatories ni Mwarabu wa Dubai wa DP World na sio serikali ya UAE hivyo hapa tunatapeliwa!, serikali yetu inaingizwa mkenge kuingia mkataba na a private company disguised as a government of UAE kumbe ni kampuni binafsi!.

Jambo la pili, kuna kipengele cha kuizuia nchi isiendeleze Bandari nyingine, hivyo kuiweka mashakani Bandari ya Bagamoyo, hili halikubaliki hata kidogo!.

Kwavile saa hizi ni usiku mkubwa, Joni Mtembezi ananisisitiza nitembee tembee nae hivyo nitamalizia kesho.

Paskali.
WEWE NI KIBARAKA WA MADARAKA, UNTAFUTA UTEUZI, MWENYE AKILI HAWEZI KUKUSIKILIZA. WEWE SAWA NA ZITO, MTAJI WA ZITO NI WAZANZIBAR, HAWEZI KUTIA NENO MAANA HANA CHAMA , ILA ANA KIKUNDI CHA WATU ZANZIBAR, WAKIMKATAA BASI HANA CHAMA
 
Back
Top Bottom