Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!

Huo mkataba lazima utekelezwe, hela walizotumia Hao Waarabu kufanya lobbying lazima irudi. Kwahiyo sioni dalili ya kusitishwa huo mkataba.

=============

Hii Nchi imekuwa ya hovyo kwa kuendekeza maslahi binafsi ya Viongozi wetu.

Viongozi tuliowapa mamlaka ya kutuongoza leo hii wametugeuka kwa kuamua kuuza rasilimali zetu kidogo kidogo.

Walianza Ngorongoro na sasa Bandari

Hatujui kesho itakuwa zamu ya kuuza nini.

Ni wakati wa Watanzania kuamka kutoka kwenye usingizi mzito tuliolala.

Hawa Viongozi hawana huruma Kwa Wananchi wao linapokuja suala lenye maslahi kwao binafsi.
 
Bunge letu tukufu,


Bunge letu huo utukufu limeupata lini ??!--- unaelewa maana ya utukufu??, Kitu chenye utukufu kinaweza kupitisha jambo haramu na Batili linaloweza kuumiza wananchi wake??, kitu chenye utukufu kinaweza kukumbatia watu ambao sio wabunge kisheria na kikawalipa mishahara kinyume na sheria??, huko sio kuvunja sheria za nchi na wizi wa mali za umma unaosimamiwa na hilo Bunge "tukufu" ??, kitu chenye utukufu kinaweza kuvunja sheria halali??. Kama utukufu ndio huo basi neno na dhana nzima ya utukufu haina maana.
 
Tanzania ina mikataba kibao na nchi kadhaa kwa mujibu wa website ya UNCTAD : Tanzania, United Republic of | International Investment Agreements Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub

Suala la msingi ni jinsi mikataba hiyo ilivyosukwa kwa umakini baina ya nchi mbili. Unaweza fanya sampling ktk jedwali la hapa chini na kulinganisha umahiri wa timu za wanasheria wetu wa kiTanzania kwa nyakati tofauti uwezo wao wa negotiation :



Tanzania, United Republic of​

NO.SHORT TITLESTATUSPARTIESDATE OF SIGNATUREDATE OF ENTRY INTO FORCETEXT
1Iran, Islamic Republic of - Tanzania, United Republic of BIT (2015)Signed (not in force)Iran, Islamic Republic of05/02/2015Full text: fa
2Kuwait - Tanzania, United Republic of BIT (2013)Signed (not in force)Kuwait17/11/2013
3Canada - United Republic of Tanzania BIT (2013)In forceCanada17/05/201309/12/2013Full text: en
4China - United Republic of Tanzania BIT (2013)In forceChina24/03/201317/04/2014Full text: en
5Oman - United Republic of Tanzania BIT (2012)Signed (not in force)Oman16/10/2012Full text: en
6United Republic of Tanzania - Turkey BIT (2011)In forceTürkiye11/03/201103/01/2017Full text: en
7Jordan - United Republic of Tanzania BIT (2009)Signed (not in force)Jordan08/10/2009Full text: ar
8Mauritius - United Republic of Tanzania BIT (2009)In forceMauritius04/05/200902/03/2013Full text: en
9South Africa - United Republic of Tanzania BIT (2005)Signed (not in force)South Africa22/09/2005Full text: en
10Switzerland - United Republic of Tanzania BIT (2004)In forceSwitzerland08/04/200406/04/2006Full text: en
11United Republic of Tanzania - Zimbabwe BIT (2003)Signed (not in force)Zimbabwe03/07/2003
12Italy - United Republic of Tanzania BIT (2001)In forceItaly21/08/200125/04/2003Full text: en
13Netherlands - United Republic of Tanzania BIT (2001)TerminatedNetherlands31/07/200101/04/2004Full text: en
14Finland - United Republic of Tanzania BIT (2001)In forceFinland19/06/200130/10/2002Full text: en
15Sweden - United Republic of Tanzania BIT (1999)In forceSweden01/09/199901/03/2002Full text: en | sv
16Denmark - United Republic of Tanzania BIT (1999)In forceDenmark22/04/199921/10/2005Full text: en
17Korea, Republic of - United Republic of Tanzania BIT (1998)Signed (not in force)Korea, Republic of18/12/1998Full text: en
18Egypt - United Republic of Tanzania BIT (1997)Signed (not in force)Egypt30/04/1997
19United Republic of Tanzania - United Kingdom BIT (1994)In forceUnited Kingdom07/01/199402/08/1996Full text: en
20Switzerland - United Republic of Tanzania BIT (1965)TerminatedSwitzerland03/05/196516/09/1965Full text: fr
21Germany - United Republic of Tanzania BIT (1965)In forceGermany30/01/196512/07/1968Full text: en | de

Related Products​

 
Tupaze sauti utapeli wao umeanza kuonekana mchana kweupe
 
Waamerika wana msemo mzuri sana kwamba "there's no free lunch". Kama tunajiaminisha kuwa huo ukarimu umefanywa bure bure bila kuwanufaisha hao warabu, basi imekula kwetu.
Mkataba hauna ukomo, muda wa kuisha, wewe uliuona wapi?
Mkataba hauna terms of evaluation, wewe uliuona wapi?
Ni muda wa watanzania kuamka toka usingizini. Japo tunataka maendeleo, lakini maendeleo yaje kwa kwa kuheshimu utu wetu na kulinda utaifa na taifa letu.
Tusipozingatia hayo huko mbele tutatoana uhai bure!
 
Ukisikia kelele za raia ujuwe wanajuwa zaidi kuliko hata hao wanasheria, wabunge, Rais na DP World!
Raia sio wajinga kama wanasiasa wanavyofikiri. Huwezi sema mkataba utakuwa hai kama DP World hawataharibu. Raia na U layman wao wanaandika mikataba ya ardhi, nyumba, kuazimana hela na wapangaji kukicha. Wanamaarifa, wako makini na ni wazoefu kuliko hao wanasheria wetu wa serikali.
MAMA SAMIA WEKA MKATABA WAZI KWA KISWAHILI. WAPE NAFASI RAIA WAPIGE KURA WAAMUWE DP WORLD WAPEWE MKATABA AU LA. WAKIAMUWA HUTABEBA LAWAMA. TUAMINI RAIA MAMA SAMIA🙏🙏🙏
 
WEWE NI KIBARAKA WA MADARAKA, UNTAFUTA UTEUZI, MWENYE AKILI HAWEZI KUKUSIKILIZA. WEWE SAWA NA ZITO, MTAJI WA ZITO NI WAZANZIBAR, HAWEZI KUTIA NENO MAANA HANA CHAMA , ILA ANA KIKUNDI CHA WATU ZANZIBAR, WAKIMKATAA BASI HANA CHAMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…