Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu hupandi ndege bila ya kuwa na cheti kupima Corona!, hivyo ili usipate Corona ni muhimu sana kuchanja chanjo ya Corona ili kujiepusha na kupata Corona.
Zamani ukiingia tu Airport unawahi counter ya check in. Sasa ukiingia Airport unaanzia meza ya vérification ya cheti cha kupima Corona. Baada ya kuwa cleared kuwa umepima Corona na umekutwa hakuna ndio una proceed to check in counter.
Paskali wewe ni mwandishi mashuhuri ila kadri siku zinavyoenda umahiri wako unapororomoka.Mkuu Manjagata , kiukweli mtu ukiwa mbobezi mno unafikia point unaharibu, ndio mimi, huwezi amini, very honestly nilipoona watu wanarudishwa kwa kukosa vyeti, nika assume ni vyeti vya chanjo, kumbe hitaji sio cheti cha chanjo, bali ni kipimo cha Corona.
Nakuomba uukubali msamaha wangu.
P
Cheti ni cha kupima Corona na sio cha chanjo ya Corona.Embu rudia hizi paragraph zako mbili alafu angalia na kichwa cha habari.
Wanangalia cheti ya kupima korona au chanjo ya korona?
Cheti ni cha kupima Corona na sio cha chanjo ya Corona.Mkuu mbona unajichanganya? Wanaangalia kama umepima korona na kukutwa huna au wanaangalia cheti cha chanjo?
Tulia uandike vizuri ueleweke.
Usijali mkuu tupo wengi lakini kwani ukihitaji passport ndani ya lisaa limoja si unapata? Leseni ya udereva je? Hicho cheti tutakinunua pesa itaongea ili tusipate vikwazoo ila chanjo big NOSichanji, nitaenda kuishi mapangoni[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Kuna tofauti gani kati ya usafiri wa anga, ndege na kukwea pipa?lakini kwa watu wanaotumia usafiri wa anga, ndege, au kukwea pipa kwa safari za kimataifa
Fursa hii inatengenezwa hapaHao waliorudi PCR test zimechelewa kutolewa na maabara kuu ya taifa ni wengi wamekosa kusafiri leo maana mpaka muda huu vyeti vilivyotakiwa vitoke jana mpaka sasa havi havijatoka labda wanaosafiri usiku ndiyo wataondoka
Mkuu kamituga , kwa vile chanjo ni hiyari, uko huru kutochanja, la huyo bibi yako Mapinga pia yuko salama as long as wewe hotompelekea Corona. Kwa vile wewe ni mchakarikaji, unaweza kukumbwa na Corona, na kwa vile wewe uko fit, wala usiugue au kuonyesha dalili yoyote, hivyo siku unamtembelea bibi Mapinga, ukampelekea, kama hana chanjo anything can happen. Ukichanja, unakuwa na uhakika wa kujilinda wewe na kumlinda bibi yako Mapinga. Ukikumbana na Corona huku umechanja, uwezekano wa kupata ni mdogo na huambukizi wengine !.Wengine tumeamua kutokuchanja chanjo na tutafia Tanzania kizalendo bibi yangu yuko mapinga ulaya naenda kufanya nini mimi!!!!!
Ooh, heading ilinichanganya kidogo, okKuchanja ni hiari ila kupima ni lazima uwe na cheti, ndipo usafiri.
P
Kuna wasafiri wa aina tatu, safari binafsi, safari za kikazi, na safari za dharura, uwezo wa kuamua hautasafiri tena ni kwa safari binafsi tuu lakini hapo ulipo unaweza kupata deal nzuri nchi jirani ukahitaji kusafiri au ukapata dharura, inayokuhitaji kusafiri nje. Nakushauri bora tuu uchanje uwe tayari na uhakika na usalama wako na kuwalinda wengine.Sitasafiri tena. Maana sio lazima nisafiri. Nitazunguka mikoani tu
Naunga mkono hoja, hiki alichokisema Waziri Gwajima, ni kitu cha kweli, kama serikali yako imekubali chanjo na rais wako kachanja, wewe kiongozi wa umma, lazima uonyeshe uongozi kwa vitendo na kwa mfano, kwa viongozi wote wakuu wa umma lazima wachanje hadharani, ule uhiari, hauwahusu viongozi wa umma, kwa viongozi wa umma kuchanja ni lazima, asiyechanja aachie ngazi!.Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima karudi na rungu.
Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.
Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali
Tulisha liona hili huko nyuma: #COVID19 - Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi
View attachment 2028866