Japo hakuna ajuaye sababu za kutwaliwa kaka, isipokuwa yeye, kuna watu saw it coming, wakasema, wakapuuzwa, akatwaliwa. Dada ukisikia usipuuze hili

Japo hakuna ajuaye sababu za kutwaliwa kaka, isipokuwa yeye, kuna watu saw it coming, wakasema, wakapuuzwa, akatwaliwa. Dada ukisikia usipuuze hili

Bandiko Bora kabisa, shida ni kuwa madaraka umlevya na kumpofusha mtu
Wanabodi,

Haya ni miongoni mwa mabandiko yangu ya kikubwa, weka mbali na watoto, hakuna kutaja taja majina.

Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yangu, aliyetwaliwa. Japo hakuna binaadamu yeyote ajuaye sababu halisi za kutwaliwa kwake, isipokuwa YEYE mwenyewe pekee, ndie Aliyetoa, kisha Akatwa, ila kuna watu, “Saw It Coming!“ wakasema, wakapuuzwa, as a result, Kaka akatwaliwa!.

Sasa hao watu wenye jicho hilo la tatu, wanaviona viashiria vya same same likely scenario na wanasema kwa nia njema na dhamira safi ya kumsaidia huyu Dada.

Dada yangu mpenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila utakacho sikia, maana utasikia vingapi?, ila sikiliza kila utakacho sikia, na ukiisikia sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikikwambia kitu, uifanyie tathmini hiyo sauti ni sauti ya nani, kati ya YEYE na yeye, kama ni sauti ya kwake YEYE Mwenyewe, na ukajiridhisha ni sauti yake YEYE, then, usiipuuzie!.

Leo asubuhi nikiwa bafuni naoga ili kwenda kwenye shughuli zangu, nikaisikia sauti, voices from within, ikiniambia, ukisikia kitu, mwambie tuu Dada yako, kuna watu wamemzunguka, wakimwimbia nyimbo za sifa na mapambio, huku wana jicho la tatu, kuna vitu wanaviona, hawamwambiii, wameamua kunyamaza, hawasemi ila ukweli wanaujua, na wana uwezo wa kumsaidia kwa kumwambia ukweli, ila wanachelea labda Dada atakasirika.

Sauti hiyo imeniambia Dada akiambiwa, akisikiliza, itamsaidia, ila akisikia akapuuza, yule YEYE, anaweza ...

Paskali
 
Aisee,kazi ipo, mtumishi sikupingi
Kazi ipo kweli Wala sio uongo

Watu wa giza wakitaka kukuangamiza km upo na Mungu kweli hawakuwezi
Ila ukizingua na watu wa Mungu wakasema na Mungu wao pona Yako ni kukimbilia Kwa Mungu kutubu na kubadirika

Nje ya hapo "muimbaji ndo muamuzi wa mwisho" km aliona jambo haliko vzr.
 
Kazi ipo kweli Wala sio uongo

Watu wa giza wakitaka kukuangamiza km upo na Mungu kweli hawakuwezi
Ila ukizingua na watu wa Mungu wakasema na Mungu wao pona Yako ni kukimbilia Kwa Mungu kutubu na kubadirika

Nje ya hapo "muimbaji ndo muamuzi wa mwisho" km aliona jambo haliko vzr.
Mmmh aisee, ngoja tuone mtumishi, jayayo hayafurahishi
 
Wanabodi,

Haya ni miongoni mwa mabandiko yangu ya kikubwa, weka mbali na watoto, hakuna kutaja taja majina.

Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yangu, aliyetwaliwa. Japo hakuna binaadamu yeyote ajuaye sababu halisi za kutwaliwa kwake, isipokuwa YEYE mwenyewe pekee, ndie Aliyetoa, kisha Akatwa, ila kuna watu, “Saw It Coming!“ wakasema, wakapuuzwa, as a result, Kaka akatwaliwa!.

Sasa hao watu wenye jicho hilo la tatu, wanaviona viashiria vya same same likely scenario na wanasema kwa nia njema na dhamira safi ya kumsaidia huyu Dada.

Dada yangu mpenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila utakacho sikia, maana utasikia vingapi?, ila sikiliza kila utakacho sikia, na ukiisikia sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikikwambia kitu, uifanyie tathmini hiyo sauti ni sauti ya nani, kati ya YEYE na yeye, kama ni sauti ya kwake YEYE Mwenyewe, na ukajiridhisha ni sauti yake YEYE, then, usiipuuzie!.

Leo asubuhi nikiwa bafuni naoga ili kwenda kwenye shughuli zangu, nikaisikia sauti, voices from within, ikiniambia, ukisikia kitu, mwambie tuu Dada yako, kuna watu wamemzunguka, wakimwimbia nyimbo za sifa na mapambio, huku wana jicho la tatu, kuna vitu wanaviona, hawamwambiii, wameamua kunyamaza, hawasemi ila ukweli wanaujua, na wana uwezo wa kumsaidia kwa kumwambia ukweli, ila wanachelea labda Dada atakasirika.

Sauti hiyo imeniambia Dada akiambiwa, akisikiliza, itamsaidia, ila akisikia akapuuza, yule YEYE, anaweza ...

Paskali
Leo bafuni ulikuwa unatumia sabuni gani kwenye "shughuli"? Magwanji?
 
Siku zote nzi kumjua kuwa ni JIKE au DUME mpaka uwaone wanapandana.
Sasa acha wazagae kwanza,wakipandana tutawatofautisha.

Japo,vyombo vya jikon vya kulia chakula bado ni vichafu,irihali mda wa chakula umewadia.
Na mbaya zaidi,msichana wa kazi anatembea Kwa Siri na baba mwenye nyumba.
 
Si mapema ila kwa majira yake kama yalivyo kwetu sote itakuwa alinitumia ujumbe kuwa Somoe atamaliza miaka yake mitano ya masomo ya utabibu na ada atalipa yeye, nilimshauri amuweke karibu msaidizi wa dereva mkuu ila amwangalie kwa umakini wa hali ya juu, alinitazama kwa kuniuliza kwa macho nikabadili maada nikwambia usisahau Somoe ana, akanikatisha akasema ana watoto wawili nao ni wajukuu zake watasoma akiwangalia aiweze ya Somoe imshinde yao hao? Nikamjibu sina cha kukulipa akajibu akasema na we fundi mchundo una mambo?, Hapo tulicheka sote,Nikwamuliza dada umeikumbuka kazi yangu ya zamani, akitikisa kichwa kama kawaida asiopotaka kutamka kitu na kuachia tabasamu nikakumbuka utoto wetu tulipolelewa pamoja yeye Moro, nami Dar kwa yule mfadhili wa kizungu nikijifunza ufundi,Akasema hutii neno , nikamwambia tulipokuwa wadogo nilikuhaidi kukuundia gari, na kabla ya kuliunda ndipo nilipoondoka kwenda dar, kwa kweli sikutimiza ahadi yangu dada, akacheka kusema kwa wataka niundia kitoi kwa umri huu? Nikamjibu hapana dada kwa sasa ntakuundia gari litembealo lenyewe kwa mzizimo uvutiao vijana , na utalitumia utakapostaafu, kukagua shamba lako naamini utamkamata tu yule mwizi aibae mchanga maana utamkuta ameduwaa tu mzizimo wa chombo ntakayo kuundia,Kwa sauti yako ile adhimu ambayo haijabadilika sana hadi sasa akauliza unaongea maneno hayo ukiwa wapi nikamjibu karakana, kisha nikageuka pembeni ili kupitia WhatsApp video call hii aone, sehemu ya karakana, akasema walau sasa ntasadiki maneno yako Mungu akuwezeshe, Inshallah.
Nami nikamuaga kwa ishara
 
Wanabodi,

Haya ni miongoni mwa mabandiko yangu ya kikubwa, weka mbali na watoto, hakuna kutaja taja majina.

Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yangu, aliyetwaliwa. Japo hakuna binaadamu yeyote ajuaye sababu halisi za kutwaliwa kwake, isipokuwa YEYE mwenyewe pekee, ndie Aliyetoa, kisha Akatwa, ila kuna watu, “Saw It Coming!“ wakasema, wakapuuzwa, as a result, Kaka akatwaliwa!.

Sasa hao watu wenye jicho hilo la tatu, wanaviona viashiria vya same same likely scenario na wanasema kwa nia njema na dhamira safi ya kumsaidia huyu Dada.

Dada yangu mpenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila utakacho sikia, maana utasikia vingapi?, ila sikiliza kila utakacho sikia, na ukiisikia sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikikwambia kitu, uifanyie tathmini hiyo sauti ni sauti ya nani, kati ya YEYE na yeye, kama ni sauti ya kwake YEYE Mwenyewe, na ukajiridhisha ni sauti yake YEYE, then, usiipuuzie!.

Leo asubuhi nikiwa bafuni naoga ili kwenda kwenye shughuli zangu, nikaisikia sauti, voices from within, ikiniambia, ukisikia kitu, mwambie tuu Dada yako, kuna watu wamemzunguka, wakimwimbia nyimbo za sifa na mapambio, huku wana jicho la tatu, kuna vitu wanaviona, hawamwambiii, wameamua kunyamaza, hawasemi ila ukweli wanaujua, na wana uwezo wa kumsaidia kwa kumwambia ukweli, ila wanachelea labda Dada atakasirika.

Sauti hiyo imeniambia Dada akiambiwa, akisikiliza, itamsaidia, ila akisikia akapuuza, yule YEYE, anaweza ...

Paskali
Paschal, Umefumba sana lakini umeeleweka ndugu yangu. Yetu macho ila usingizi wa pono ni mbaya sana huleta ndoto hata mchana sebuleni. Omba usiote ndoto umeona choo.
 
Wanabodi,

Haya ni miongoni mwa mabandiko yangu ya kikubwa, weka mbali na watoto, hakuna kutaja taja majina.

Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yangu, aliyetwaliwa. Japo hakuna binaadamu yeyote ajuaye sababu halisi za kutwaliwa kwake, isipokuwa YEYE mwenyewe pekee, ndie Aliyetoa, kisha Akatwa, ila kuna watu, “Saw It Coming!“ wakasema, wakapuuzwa, as a result, Kaka akatwaliwa!.

Sasa hao watu wenye jicho hilo la tatu, wanaviona viashiria vya same same likely scenario na wanasema kwa nia njema na dhamira safi ya kumsaidia huyu Dada.

Dada yangu mpenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila utakacho sikia, maana utasikia vingapi?, ila sikiliza kila utakacho sikia, na ukiisikia sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikikwambia kitu, uifanyie tathmini hiyo sauti ni sauti ya nani, kati ya YEYE na yeye, kama ni sauti ya kwake YEYE Mwenyewe, na ukajiridhisha ni sauti yake YEYE, then, usiipuuzie!.

Leo asubuhi nikiwa bafuni naoga ili kwenda kwenye shughuli zangu, nikaisikia sauti, voices from within, ikiniambia, ukisikia kitu, mwambie tuu Dada yako, kuna watu wamemzunguka, wakimwimbia nyimbo za sifa na mapambio, huku wana jicho la tatu, kuna vitu wanaviona, hawamwambiii, wameamua kunyamaza, hawasemi ila ukweli wanaujua, na wana uwezo wa kumsaidia kwa kumwambia ukweli, ila wanachelea labda Dada atakasirika.

Sauti hiyo imeniambia Dada akiambiwa, akisikiliza, itamsaidia, ila akisikia akapuuza, yule YEYE, anaweza ...

Paskali
Amfuate kaka yako kwa7bu yeye anapunguza tu wala haongezi chochote kwenye familia.
Ameenda mbali zaidi hadi mipaka ya shamba letu kafinya,akina Kimbisa ni washirika wake wakuu ktk hili.
 
Huyo dada si muovukama yulee kakako kwa nimwonavyo hata akitwaliwa anaenda pazuri mara milioni ya hii nchi Duni!
Ma yalaa vipi vp huagi Tena mwakahuu ili ukagombee kupitia chama cha huyu unayemchulia kifo?
 
Wamzungukao Mfalme wamemjaza matope kichwani huku wakimwimbia nyimbo za kumsifu hata nguo alizovaa na hata kutembea kwake...na kumuumbia sifa hewa na kumtafutia vi-tuzo uchwara .. Behind The Scene..wakimwandalia anguko baya na asipokuwa makini atalia na kusaga meno !
Mastermind wa siasa za Wadanganyika Jk yupo, Sheikh Abubakar yupo, majini yameshasongezwa karibu naye kumzunguka,
Yupo salama.
Juzi kati nilipishana na msafara wake Fuoni huko, aisee kile kiti kina utukufu wake aisee msafara wa magari ulivyo mrefu, ya kifahari mambio speed 120,
Kiti kitamu aiseee ukikionja.
 
Back
Top Bottom