GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Uvivu kitandani (kubaiolojika).
2. Uchafu hasa ule wa kutupa hovyo na kiholela taulo zenu za kike mitaani na uvivu wa kunyoa mapori yenu ya Kibaiolojia.
3. Kuibiana waume/mabwana kimakusudi.
4. Kuwa na VICOBA (mikopo) zaidi ya mmoja ila maendeleo sifuri.
5. Usiri wa maendeleo yako (Uchumi) kwa mumeo.
6. Kwenda kwa waganga wa kienyeji mbalimbali kuturoga wanaume bila huruma.
7. Kutudharau wanaume/waume zenu pale mpatapo mahawara wakati mnalala makwetu, tunawalisha, tunawavisha na tunawakuna kwa kuwabandua vyema hadi mnaimba nyimbo zote zilizoko na zile ambazo bado hazijazinduliwa.
GENTAMYCINE nitasheherekea siku yenu hii (zenu hizi) pale tu mkiyafanyia kazi haya mambo yangu makuu saba (7) yanayowahusu.
Imeisha hiyo!
2. Uchafu hasa ule wa kutupa hovyo na kiholela taulo zenu za kike mitaani na uvivu wa kunyoa mapori yenu ya Kibaiolojia.
3. Kuibiana waume/mabwana kimakusudi.
4. Kuwa na VICOBA (mikopo) zaidi ya mmoja ila maendeleo sifuri.
5. Usiri wa maendeleo yako (Uchumi) kwa mumeo.
6. Kwenda kwa waganga wa kienyeji mbalimbali kuturoga wanaume bila huruma.
7. Kutudharau wanaume/waume zenu pale mpatapo mahawara wakati mnalala makwetu, tunawalisha, tunawavisha na tunawakuna kwa kuwabandua vyema hadi mnaimba nyimbo zote zilizoko na zile ambazo bado hazijazinduliwa.
GENTAMYCINE nitasheherekea siku yenu hii (zenu hizi) pale tu mkiyafanyia kazi haya mambo yangu makuu saba (7) yanayowahusu.
Imeisha hiyo!