Japo leo ni siku yenu, sindano zangu hizi ziwaingie ili mbadilike kwa tabia zinazotuchosha wanaume

Ivi inakuwaje mtu unaongea na nyoka na anakupa kitu unakula??
Shetani aliwaza nini mpaka akatumia taswira ya joka?
 
8_Ukiomba mzigo unaambiwa unaharaka sana, ila wao Pesa yanaomba sana bila aibu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]alidanganywa na nyoka asee...
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mwanamke mtu hatari sana, hakuogopa hata kuongea na nyokaaa... assume hata mbuzi uamke asubuhi umsikie anaongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…