Japo niridhike

hahahaha inaonekana ilkua unatoa lami unaweka lami na unatoa vumbi unaweka vumbi.....:hippie:
 
nilisha sema wanawake wana high love tech na kuficha siri nzito sana na huwezijua kama anatoka nje.......yani mwambie huyo rafiki yako katu asisseme yani mpaka mwisho..............nyambafu sana huyo ji babaa
Babu hates this post but not the poster. babu hates below senksi but not ze seksa!

The Following User Says Thank You to Wakuchakachua For This Useful Post:
Nyamayao (Today)
 

Yaani kusema ukweli ni mwiko, wababa siyo kama sisi tunasamehe kirahisi. Akisema ukweli tu, analo hilo.
 

Msiitazame ishu hii kwa upande mmoja tu kwamba "mume anaadhibiwa kwa makosa yake", "serves him right" etc...the fact remains kwamba alirudi kuomba msamaha (genuine or not) na mke akampokea (angeweza kumpiga chini ili aendelee na huyo pedejee!)...

Sasa kazi ni kwa huyo mama inabidi achague kati ya mume aliyempokea na pedejee...and believe me she will have to make a choice very soon. Asipofanya hivyo hili bomu litamlipukia vibaya na at the end of the day ataonekana yeye ndio mbaya cause in the eyes of the public mume alishaomba msamaha yakaisha sasa kazi ni kwa mama.
 
Muhimu aachane na huyo mfanyabiashara wake kabla mambo hayajaharibika zaidi... Ila suala la kusema UKWELI, siafiki hata kidogo.. AFUNGE mdomo MAISHA yake yote....
 
Kosa kubwa alofanya ni kulipa kisasi kwa ubaya wa mumewe hata hivyo maji yashamwagika kinachotakiwa asimwambie mumewe kilichokuwa kinaendelea ila amtimue huyo mfanyabiashara na asionane naye tena..arudishe majeshi yote kwa mumewe. halooooooo

Kwanini amtimue wakati hawajakosana?
Mume amerudi baada ya kumkuta hayo masaibu hivo naye aendelee tu ila kwa umakini zaidi.

Binadamu tunapenda sana lawama...Ati alifanya kosa kulipiza kisasi ..miaka 2 bila huduma.

Hich si kisasi,,,alistahili tu kufanya hivo.
 
wajameni samahani kidogo wajameni!.....
nini kinajadilika hapa leo?
 
Sasa hapa Nyamayao unashabikia au? Unajua mshkaji kweli kalikoroga lakini huyo dada pia amelikoroga vilivyo, in short this is a total mess. Lakini mwambie huyo dada kama anataka kulikoroga zaidi basi afungue huo mdomo, uwezekano wa kula kwake ni 98%. Kwa wanaume tulio wengi hiyo ni ngumu sana aisee, we simply cannot stand that kind of rivarly....
 
wajameni samahani kidogo wajameni!.....
nini kinajadilika hapa leo?

Babu kamtimua mjukuu baadae akakuta njemba inajisevia sa analalamika wakati alikua anatunziwa na alimfukuza mwenyewe je hiyo ni haki?
 
kha!.....
 
Safi kabisa hakuna kuleta mchezo hapa. Wanaume bwana wanaanzishaga vitu tukimalizia wanakuwa hoi. HAWATUWEZI. Mwambie asiseme kabisa ila apunguze taratibu kwa mfanyabiashara then amuache kabisa
Yaani hapa sasa mnaleta ushabiki wa kitoto sana. Hebu dili na hii ishu sio kujiona wajanja eti kwa vile ni wanawake.:sad:
 
Aisee kwani vipi? Mbona wanifatafata hivyo? Hebu nitaje basi kama unanijua maana yaelekea kila mtu unadhani alivyo hapa ndivyo alivyo kwenye real life.....

NN darling ipotezee tu hii mada, isije ikakuharibia siku yako bure
 
Babu kamtimua mjukuu baadae akakuta njemba inajisevia sa analalamika wakati alikua anatunziwa na alimfukuza mwenyewe je hiyo ni haki?
babu?......
babu anawezaje kumfukuza mjukuu??
 

If you cant stand it then you r free to leave kwani uliondoka mwenyewe na umerudi mwenyewe na yote ulisababisha mwenyewe unaruhusiwa kuchapa lapa kwa mara nyingine. Jaribu kuwa waungwana 2 years hujui mke na watoto wanaishije unakuja unakuta mambo safi unaanza kuleta za kuleta aelezwe ili ajue kosa ili cku nyingine asirudie tena
 
Wanaume dizaini hii labda ni 1% ya wanaume wote. Kwa hyo unaposema huyo dada afungue mdomo, ni kwamba unamshauri ajaribu kucheza na probability 99% ya kupoteza. After all huyo dada inaonekana anajua vilivyo namna mume wake atakavyo-respond na ndiyo maana ameamua kuwa bubu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…