OK mpendwa naona kama hali ya hewa inataka kuchafuka ngoja nikajilie SATO wangu na sembe maana nilipiga simu hotelini waniandalie naona wanabip hapa mambo yatakuwa tayariFunza cjakataa ushauri wowote,bali ukinipa ushauri kama nina cha kuongezea/kuhoji nisiseme?
You bet.....
Kama huna muda wa kujibizana na mimi mbona unazidi kujibu matundiko yangu?
Am I seeing this right...?:mad2:
Hee jamani bado mie ngoja nijiondokee zangu.
toa kashfa zote ukichoka unyamaze....ndio kama kuwa na mume kama wewe kunavyohitaji moyo, c ungeshakuwa umeoa bac?...ovyoo kabisa.
Kama bado anampenda mme wake asiongee chochote maana wanaume sio wavumilivu kama wanawake.
Daah mbona maisha ya ndoa yako namna hii jamani ..kasheshe kasheshe..
Na huyo mwanaume nae asingegundua maovu ya huyo mwanamke mdogo ni kwamba wasingeachana ..?
Mwambie asilogwe akasema labda wakati anatubu dhambi zake nafsi ikiwa inakaribia kuachana na mwili
pole sana kaka....sasa hapa nimshauri akubali tu huu uhusiano au amwambie yote kwamba na nyumba kajengewa, watoto anasomeshewa, na jana mume ametoa pesa ya ada kumpa mke akalipe, mke hakufanya hivyo coz mfanyabiahsara anaendelea kutoa hiyo huduma, amweleze yote hayo au apimie cha kumwambia?
Mhh!! kwa kuwa uhusiano na huyo mfanyabiashara unafanyikia hapa hapa duniani (not in space ..) aendelee kuficha tu / kupunguza spid etc mwisho za mwizi ni arobaini.
DU,wanawake nyie------nahisi kuwa mseja tu!!Labda hatutaweza kuyapata makwazo ya dunia hii!!
Hasira ziko hapo kwenye ulichoninukuu? Ni hicho kijike ndicho chenye hasira....angalia kilivyonijibu....lakini hapa ni moto kwa moto tu na kingekuwa mbele yangu walahi ningekifunua nguo na kukiadhirisha hadharani
ni rafiki yangu kipenzi sana, alikuwa na matatizo ya kumtosha na mume wake, mume alipata hawara akamfanya kama mke wa pili, kamjengea, kamfungulia biashara nzuri, yaani ni kama mke mdogo, wamezaa na mtoto 1, kipindi hicho my frnd alisota sana kwenye ndoa, manyanyaso yote aliyapata, mume aamua acje nyumbani hata week nzima yupo kwa huyo hawara, mume alifanya vituko vya kutosha, my frnd ktk kutaka kujifariji alitokea mfanyabiashara mmoja wakapendana, pendo limekuwa pendo. my frnd kasahau kama alikuwa kwenye matatizo ya ndoa, ndani ilikuwa kila mtu anakuja kwa ajili ya kulaza ubavu tu, mwanamke hakuwahi kuonyesha kama ana uhusiano nje, cku ya cku mume akamfumania huyo hawara yake yupo na mwanaume mwingine kwenye nyumba aliyomjengea yeye na kumuwekea kila kitu ndani, kasheshe likawa kasheshe, mume akaamua kwenda kufanya DNA ya mtoto aliezaa na hawara akakuta sio wake, kasheshe likaongezeka....alivyoona hivyo alirudi kwa mkewe na kumuomba msamaha wa kutosha na kumuelezea kila kitu kilichotokea kwa hawara...mke kaamua kumsamehe na kwa maelezo ya mke ni kwamba amejirekebisha sana, ishu ya sasa ni mke na mfanyabiashara, mfanyabiashara nae huku amemjengea mke nyumba nzuri, juzi juzi kambadilishia gari nzuri anawasomesha watoto wa my frnd tangu mume alivyotekwa huko alikuwa hajui watoto wanalipiwaje ada au wanakulaje hapo nyumbani, ni kama ndio aligeuka baba mzazi wa watoto..... mume amekuja dokezwa kwamba mke ana uhusiano na mtu fulani, mume amepeleleza vya kutosha lakini hajapata ushahidi, ni jana jioni mume kamtoa mke wake outing na kumuomba mpaka kumpigia magoti na machozi juu kwamba "japo aridhike" tu amwambie ukweli ili wawewze ku solve kikamilifu matatizo yao waaanze maisha mapya, hawakufikia muafaka coz mke aliendelea kukana,ni asubuhi hii kanical kunipa hii ishu ya kwamba amweleze ukweli au aendelee kukana? mie nilimuuliza tu kama bado anaihitaji hiyo ndoa? alinijibu bado anahiitaji, kwa ushauri wangu nilimwambia kama unahiitaji uckae ukasema ukweli, endelea kukana hivyo hivyo, ni leo maongezi yao yataedelea, wewe kama wewe ungemshaurije huyu dada?
Dena please, changia mda basing on the facts of the case presented by nyamayao na si katika mazoea, hapa ni sawa na habari ya mwana mpotevu ktk bible, yaani baada ya kugundua kuwa alipotea njia , amerudi na kuomba msamaha ,na akasema ukweli, that means anataka maisha mapya na ya furaha, sasa naye amesikia mkewe wanamgongea, kwa kuwa yeye ameacha hako kamchezo basi nae msameheni kwa kumueleza ukweli, tuache kuishi kwa mazoea, kwangu huyo mke nae chizi, yaani aliapply formla ya dawa ya moto ni moto badala ya maji sasa kazi anayo, we unasema amwache mfanya biashara wakati jamaa nae kawekeza mjumba, na watoto wanasoma kwa hela yake, unadhani jamaa atatema mzigo kiulaini kwa maneno tu, acha hiyo mambo bwana
He makubwa Nyani Ngabu kwani leo vipi umekutwa na yepi? makubwa jongo ungekuwa mwanamke ningesema unakaribia kugusa nyota au una mimba changa sa mwanaume unakuwa na hasira za hivyo haipendezi hata kidogo
Unajuaje kama sijaoa? Thibitisha......
Huyo mke atakua amepatikana ikiwa kwenye hadhara mzee unafyatuka hivi je uko home? uyo atakua yatima