Japo niridhike

Japo niridhike

Yaani hapa sasa mnaleta ushabiki wa kitoto sana. Hebu dili na hii ishu sio kujiona wajanja eti kwa vile ni wanawake.:sad:


hatujifanyi wajanja my dia huo ndio ukweli akuanzae mmalizie
 
If you cant stand it then you r free to leave kwani uliondoka mwenyewe na umerudi mwenyewe na yote ulisababisha mwenyewe unaruhusiwa kuchapa lapa kwa mara nyingine. Jaribu kuwa waungwana 2 years hujui mke na watoto wanaishije unakuja unakuta mambo safi unaanza kuleta za kuleta aelezwe ili ajue kosa ili cku nyingine asirudie tena
Hebu pitia kidogo somo la saikolojia ya wanaume ndio tutaelewana hapa. Hii unayotaka kuleta wewe ni reasoning au common sense. Lakini nakwambia huyo dada akifungua mdomo wake tu kuna uwezekano mkubwa sana common sense ya mume ikaacha kufanya kazi na deep ingrained madness kuchukua nafasi....Sasa mziki wake mimi na wewe hatuwezi predict.
 
Some secrets are bond to remain secrets................ cha muhimu ni kukatisha hayo mahusiano na huyo mfanyabiashara kwa sababu hakuonyesha msimamo wake tangu mwanza sasa hivi anapata shida maana kama inavyoonekana kwa mfanyabiashara amefika. Huyu dada alitakiwa kuamua moja kuacha ndoa kipindi alipoachwa na kwenda kwa mfanya biashara kabisa au kuvumilia na kutomruhusu mfanya biashara

Simshauri aseme ukweli but akikana kuwa hana mahusiano ya nje, ataachana na huyo mfanya biashara?? Kwa sababu asipoachana naye ina maana iko siku atabambwa na hapo makosa ndo yatakuwa yanaongezeka
 
yanini malumbano, yanini maneno oohh, najiweka pembeni naepusha msongamano.... akimweleza tu ukweli, jamaa lazima awe chizi!!! mimi ushauri wangu mtafutie counselling ili aachane na hio habari ya kufuatilia, kwani huyo mkewe kamnyima kitu chochote au kamdharau? ajifanye hajui kama mwanzoni, hivyo ni kujitafutia vidonda vya tumbo na kisukari kisicho cha lazima maana jamaa alianza kumfaidi mda tu, sasa ukijua sasaivi ndo uta-renew? aachane na huo uchunguzi usio na tija!!! mawazo yangu tu!!!
 
Wanaume dizaini hii labda ni 1% ya wanaume wote. Kwa hyo unaposema huyo dada afungue mdomo, ni kwamba unamshauri ajaribu kucheza na probability 99% ya kupoteza. After all huyo dada inaonekana anajua vilivyo namna mume wake atakavyo-respond na ndiyo maana ameamua kuwa bubu.

Asiposema ina maana atakuwa bado anataka kuendelea na huyo mfanyabiashara, na wakati huo mumewe ye alishaomba msamaha huku akiendelea kumchunguza cku akimfumania unategemea kitu gani hapo. Waambizane tu wasameeane maisha yaendelee. na hata kama 99% ya wanaume hawakubaliani na hilo hivi hata ungekuwa wewe umetelekeza familia yako for 2 years not 2 days bila kugeuka nyuma. then after hizo 2 years ndio unarudi unategemea kukuta mema kweli kwamba familia imependeza mambo yako sawa sijui kama naeleweka
 
Hebu pitia kidogo somo la saikolojia ya wanaume ndio tutaelewana hapa. Hii unayotaka kuleta wewe ni reasoning au common sense. Lakini nakwambia huyo dada akifungua mdomo wake tu kuna uwezekano mkubwa sana common sense ya mume ikaacha kufanya kazi na deep ingrained madness kuchukua nafasi....Sasa mziki wake mimi na wewe hatuwezi predict.


Unajua kaka ingekuwa huyo mumewe hajasikia chochote hapo sawa sasa amesikia na anafanya uchunguzi akiwafuma je? Sijui labda huyo dada aachane na huyo mfanyabiashara na mimi naamini huyo dada asiposema ukweli japo kiduchu ataendelea tu na uhusiano na huyo mtu bora aseme yaishe nadhani ataona aibu pia kuendelea na huyo mfanyabiashara wake kwani washaapiana na mumewe kwamba ilikuwa bahati mbaya na ctorudia tena.
 
Nyamayao to be honest ur nt a good friend,ur killing your friend's conciuos, na hapo ndipo ndoa itakapo bomoka yaani wewe ni kama unamshauri shoga yako kulipiza kisasi, kama makosa kila mtu ametenda na sasa ndio wakati muafaka wa kuyamaliza, sasa kama hatamueleza ukweli mumewe, hicho kimbunga chake katrina ni ndogo, na kwa hiyo story inavyoonekana huyo jamaa anapenda mambo ya ukweli , maana hata small house imeachwa kwa kumdanganya jemba, mwambie atoe siri kabla hilo jambo halijapoa , maana hakuna marefu yasio na ncha, cku atadakwa tu, mapenzi kikohozi unajua hilo
:A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up: Tatizo la hawa watu wanakuwa tayari kufa bila kujulikana kafa na nini...! Nami namshauri sana aseme tena bila kusita, japo na awe tayari kusolve kikamilifu...!
 
Hivi, katika kipindi hicho cha miaka 2, kuna juhudi zozote zilizofanyika kumrudisha huyo jamaa kwa mkewe? Kama mke hakuchukua hatua zozote, inawezekana naye mke ni chanzo cha mume kudakwa kirahisi na "totoz za nje". Kama ni hivyo, basi jamaa alaumiwe kiasi kidogo tu kisha asamehewe sana. Japo Nyamayao anauliza ushauri hapa, ninavyowajua wanawake hata akiwekwa kwenye kiti cha umeme katu ng'o hawezi kukiri. Taabu kama walivyosema wengine, hii njemba ishamjua huyo pedejee (regardless mke atakiri au hapana) na siku ikipata nafasi ya kumrudi huyo jamaa; ni balaa. Kama mke anampenda pedejee sasa hiovi ki dhati na sio ufadhili, basi awe muungwana kwa mumewe, amsamehe ila amwambie basi waachane kwa amani. Kumbuka tamaa yake huenda ikamkosesha vyote !!!!
 
Some secrets are bond to remain secrets................ cha muhimu ni kukatisha hayo mahusiano na huyo mfanyabiashara kwa sababu hakuonyesha msimamo wake tangu mwanza sasa hivi anapata shida maana kama inavyoonekana kwa mfanyabiashara amefika. Huyu dada alitakiwa kuamua moja kuacha ndoa kipindi alipoachwa na kwenda kwa mfanya biashara kabisa au kuvumilia na kutomruhusu mfanya biashara

Simshauri aseme ukweli but akikana kuwa hana mahusiano ya nje, ataachana na huyo mfanya biashara?? Kwa sababu asipoachana naye ina maana iko siku atabambwa na hapo makosa ndo yatakuwa yanaongezeka


Hapo mimi ndio ninapopata wasi wasi ni bora aseme tu ila sio amwambie mumewe kila kitu alichofanyiwa na huyo hawara yake aseme machache tu na amwambie mumewe kwamba we ndio ulisababisha yote. Amini asiposema atakua anaendelea kucheat na huyo bwana na kwasababu hajasema mi ninavyowajua wanaume ataendelea kuchunguza na atakapojua cjui hilo balaa lake
 
samahani kidogo wajameni hivi we MATY wewe,

zamani ulikuwa unatumia ID gani vile?.......:smile::smile::smile:
 
Shida nyingine naiona ni huyo pedejee kama atakubali kumwacha huyo kimwana mke wa mtu baada ya kumfanyia yote hayo...nyumba, gari, school fees ya watoto etc...
 
yanini malumbano, yanini maneno oohh, najiweka pembeni naepusha msongamano.... akimweleza tu ukweli, jamaa lazima awe chizi!!! mimi ushauri wangu mtafutie counselling ili aachane na hio habari ya kufuatilia, kwani huyo mkewe kamnyima kitu chochote au kamdharau? ajifanye hajui kama mwanzoni, hivyo ni kujitafutia vidonda vya tumbo na kisukari kisicho cha lazima maana jamaa alianza kumfaidi mda tu, sasa ukijua sasaivi ndo uta-renew? aachane na huo uchunguzi usio na tija!!! mawazo yangu tu!!!
 
ni rafiki yangu kipenzi sana, alikuwa na matatizo ya kumtosha na mume wake, mume alipata hawara akamfanya kama mke wa pili, kamjengea, kamfungulia biashara nzuri, yaani ni kama mke mdogo, wamezaa na mtoto 1, kipindi hicho my frnd alisota sana kwenye ndoa, manyanyaso yote aliyapata, mume aamua acje nyumbani hata week nzima yupo kwa huyo hawara, mume alifanya vituko vya kutosha, my frnd ktk kutaka kujifariji alitokea mfanyabiashara mmoja wakapendana, pendo limekuwa pendo. my frnd kasahau kama alikuwa kwenye matatizo ya ndoa, ndani ilikuwa kila mtu anakuja kwa ajili ya kulaza ubavu tu, mwanamke hakuwahi kuonyesha kama ana uhusiano nje, cku ya cku mume akamfumania huyo hawara yake yupo na mwanaume mwingine kwenye nyumba aliyomjengea yeye na kumuwekea kila kitu ndani, kasheshe likawa kasheshe, mume akaamua kwenda kufanya DNA ya mtoto aliezaa na hawara akakuta sio wake, kasheshe likaongezeka....alivyoona hivyo alirudi kwa mkewe na kumuomba msamaha wa kutosha na kumuelezea kila kitu kilichotokea kwa hawara...mke kaamua kumsamehe na kwa maelezo ya mke ni kwamba amejirekebisha sana, ishu ya sasa ni mke na mfanyabiashara, mfanyabiashara nae huku amemjengea mke nyumba nzuri, juzi juzi kambadilishia gari nzuri anawasomesha watoto wa my frnd tangu mume alivyotekwa huko alikuwa hajui watoto wanalipiwaje ada au wanakulaje hapo nyumbani, ni kama ndio aligeuka baba mzazi wa watoto..... mume amekuja dokezwa kwamba mke ana uhusiano na mtu fulani, mume amepeleleza vya kutosha lakini hajapata ushahidi, ni jana jioni mume kamtoa mke wake outing na kumuomba mpaka kumpigia magoti na machozi juu kwamba "japo aridhike" tu amwambie ukweli ili wawewze ku solve kikamilifu matatizo yao waaanze maisha mapya, hawakufikia muafaka coz mke aliendelea kukana,ni asubuhi hii kanical kunipa hii ishu ya kwamba amweleze ukweli au aendelee kukana? mie nilimuuliza tu kama bado anaihitaji hiyo ndoa? alinijibu bado anahiitaji, kwa ushauri wangu nilimwambia kama unahiitaji uckae ukasema ukweli, endelea kukana hivyo hivyo, ni leo maongezi yao yataedelea, wewe kama wewe ungemshaurije huyu dada?

hapo ngoma droo japo jamaa akijua kamegewa atakua mbogo sana!!
ni ngumu sana kwa mwanaume rijali kama mimi kusamehe kitu kama hicho japo mi namega kisela sometimez
msiniulize sana its just nature
 
Back
Top Bottom