Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?

Ibrahim alikuwa anagawa mali zake kwa kasi sana, baadhi ya watu wasio na imani wakawa wanamshangaa kwa kusema "itamsaidia nini kufanya hivyo" baada ya Ibrahim kusikia maneno hayo alisema "MIMI HATA NINGEJAALIWA KUPATA MTOTO NINGEMTOA SADAKA" kipindi hicho hakuwa na mtoto hata mmoja, hapa tutambue utofauti wa Isaka na Ismail ni miaka 12 ambapo Ismail akiwa ndio mkubwa.

Je hapa unasubiri kudanganywa tena ili ujue aliyetaka kutolewa sadaka ni yupi kati ya Ismail na Isaka?
 
Mkuu hakuna kitu kama hicho mkiristu anaweza kufanya kama wewe, kwamba kusherehekea kukombolewa kwa huyo jamaa, inshort haina ishara kwa mkristo maana huyo jamaa hakuwa na ishara iliyotolewa na mwenyeezi Mungu kwamba apewe nafasi yoyote kwa ukumbusho.

Sikia kijana kisa cha Ibrahim na mwanae kile kilikuwa ni kwa ajili ya kuonyesha Imani, unyenyekevu na kujitoa katika hali ya maumivu kwa kitu unachokipenda hasa.

Kama hujui (soma Mwanzo 20:1... hadi mwisho na 21 yote kuna kisa hapo why Ibrahimu alipewa JARIBIO lile na ingia hapo Mwanzo 22 fungu la 1 na 2 kisha chop to verse 13, utaona badala ya kutoa yule jamaa Isaac Mungu akamletea mwana kondoo.

Verse 12.b inasema "kwa maana sasa ninajua ya kuwa unamcha Mungu, iwapo hukunizuilia mwanao, mwanao wa pekee"

Mwenyeezi Mungu alikuwa anampima mzee Ibrahim pamoja na bibi Sarah kama wana imani kwake kwa mtoto wao wa uzee, sababu walikaa muda mrefu bila mtoto *Mwanzo 17:17.
 
Mtoto wa HARAMU ni mtoto wa HARAMU tu.
 
Ibrahim ni Hebrew sio muarabu.
Únawajua waebrania?
Unajua lugha ya kiebrania?

Iraq hawakai waarabu tangu zamani

Assyrians únawajua?
"What is the meaning of the word "Hebrew"? A definition" What Does The Word "Hebrew" Mean?
Muebrania/Hebrew ni muhamaji,ukihama ukonga ujaenda tandika wewe ni muebrania,Ibrahim aliitwa muebrania kwa kuwa alikua mhamiaji Tena wa kuvuka moto,bila shaka Euphrates na Tigris
 
Wapi yesu aliwahi kula nguruwe hata kwa bahati mbaya? Zaidi tunasoma aliyakemea mapepo yakakimbilia kwenye nguruwe na kutumbukia baharini
Wewe Biblia huijui lakini unataka kubishana na wataalam wa Biblia. Nimesema kitabu cha Matendo ya Mitume. Sasa Yesu anatoka wapi kwenye hicho kitabu? Read to understand
 

Umri sio kigezo kwa hoja zifuatazo;
1. Simulizi ya Biblia inataja tukio la kutokea kafara limetokea baada ya Hajiri na íshmael kufukuzwa.

2. Tangu Isaka azaliwe Ibrahim aliishi miaka sabini mingine.

Ibrahim anamtafutia mke Isaka
Lakini hakumtafutia íshmael.
Íshmael alitafutiwa Mke na mama yake, Hajiri. Tena alimuoz
 

Kwa uelewa wako Ibrahim pekeake alikuwa Muebrania?

Kwa hiyo wewe ukihamahama unakuwa Muebrania?


Lugha ya kiebrania unaijua?

Unajua Baba wa waebrani?
 
Lakini watoto ambao wametajwa Kubarikiwa kwenye Biblia na kutajwa kwa majina ni wawili tu sikusikia Median akibarikiwa zaidi ya Mbeleni huko kupewa lawama
Ndo maana nikasema Baraka za Isaka ni tofauti. Hakuambiwa kokote nitakubariki akiwa mwenyewe. Yeye karithi agano la baba yake. Ishmael ni tofauti, yeye alibarikiwa yeye kama yeye na Mungu lakini hakuingia kwenye agano. Agano lilifungwa Kwa Ibrahim na mzao wake.
Naamini wewe ni mwanaume, je sasa hivi ukizaa mtoto mkubwa wa kiume ukiwa na ndoa halafu mkeo akaja kuzaa mtoto je yupi ana haki ya kurithi Baraka zako? Wa nje ya ndoa au wa ndoa? Na Kwa Nini?
 
Hapana Mkuu Waebrania sio Tafsiri hiyo..
Unamfahamu Eber?

Nuhu Alipovuka kwenye Safina..
Alikuwa na watoto watoto (Mwanzo 9:18)..
Shemu, na Hamu, na Yafethi;

Shem ndo alizaa Waebrania wote..

Mwanzo 10:21

"Naye Shemu ambaye ni baba wa wana wote wa Eberi, na ndugu mkubwa wa Yafethi, akazaliwa wana."

"Unto Shem also, the father of all the children of Eber, the brother of Japheth the elder, even to him were children born."


sasa kupitia Eber Ndo tunapata wana wa Eber au Ebrania na hapo hasa ndo kizazi cha waebrania kilipoanza
 
Ibrahim ni Hebrew sio muarabu.
Únawajua waebrania?
Unajua lugha ya kiebrania?

Iraq hawakai waarabu tangu zamani

Assyrians únawajua?
Hawajui races zikizo wahi ishi duniani. Waarabu wapo Saudia hata watu wa Jordan sio waarabu. Ni w hashimite. Waturuki wenyewe sio waarabu. Hata wairan ambao ni wapersia sio waarabu. Watu wanapinga Biblia kwa kutumia Biblia
 
Agano lilifungwa Kipindi Ambacho Isaka hajazaliwa sasa sjui unazungumzia Agano lipi..
Na agano lilikuwa ni Kutahiriwa na Ishmael alitahiriwa ndani ya Agano
 
Hawajui races zikizo wahi ishi duniani. Waarabu wapo Saudia hata watu wa Jordan sio waarabu. Ni w hashimite. Waturuki wenyewe sio waarabu. Hata wairan ambao ni wapersia sio waarabu. Watu wanapinga Biblia kwa kutumia Biblia

Wao wanajua kila anayeongea kiarabu ni muarabu jambo ambalo sio kweli.
 
Hawajui races zikizo wahi ishi duniani. Waarabu wapo Saudia hata watu wa Jordan sio waarabu. Ni w hashimite. Waturuki wenyewe sio waarabu. Hata wairan ambao ni wapersia sio waarabu. Watu wanapinga Biblia kwa kutumia Biblia
Japo arabunj ilikuwepo ila Arabuni ya sasa sio arabuni ya Zaman..
Na arabuni ni saudia peke yake
 
Hio ndio family tree ya ismael mpka Muhammad
 

Attachments

  • FB_IMG_1713079109594.jpg
    73.4 KB · Views: 7
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…