Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Sawa,..hoja ni kwamba Kwa mujibu wa Biblia amri ya kuchinjwa kwa mtoto,. ilitoka kipindi ambacho watoto wote wawili wapo kwenye umri gani?
Mama yake Ismael alikuwa mkewe Ibrahim?
Ilikuwaje akaondoka hadi kupewa na Mungu chemchem ya zamzam?
Walitengana?
Story full ikoje?
Vizuri,..Biblia inaonyesha wakati amri ya kuchinjwa kwa mtoto inatoka....Mtoto aliyekusudiwa kuchinjwa alikua na umri wa kuweza kuongea na kutembea umbali wa zaidi ya km 300....Kwa mujibu wa Quran na Biblia
Ismail wa kwanza
Vizuri,..Biblia inaonyesha wakati amri ya kuchinjwa kwa mtoto inatoka....Mtoto aliyekusudiwa kuchinjwa alikua na umri wa kuweza kuongea na kutembea umbali wa zaidi ya km 300....
Je, Kati ya Ismail na Isihaka nani umri wake unaendana na sifa za matendo ya kiumri ambazo Biblia imezitoa hapo?
NB:- Kwa mujibu wa Biblia amri ya mtoto kuchinjwa wakati inatoka,..mtoto pekee wa Ibrahim ambae alikua ana umri wa kuelewa mambo ni Ismail ( Umri wa miaka 14).
Vizuri,..Biblia inaonyesha wakati amri ya kuchinjwa kwa mtoto inatoka....Mtoto aliyekusudiwa kuchinjwa alikua na umri wa kuweza kuongea na kutembea umbali wa zaidi ya km 300....
Je, Kati ya Ismail na Isihaka nani umri wake unaendana na sifa za matendo ya kiumri ambazo Biblia imezitoa hapo?
NB:- Kwa mujibu wa Biblia amri ya mtoto kuchinjwa wakati inatoka,..mtoto pekee wa Ibrahim ambae alikua ana umri wa kuelewa mambo ni Ismail ( Umri wa miaka 14).
Nadhani umegoma kabisa kuchukulia umri wa watoto husika kama kigezo cha msingi cha kujua nani hasa alikusudiwa kuchinjwa....Ukitaja Biblia tayari umeshamtaja Isaka kama kijana aliyetaka kutolewa kafara.
Tukio linaelezwa baada ya Ishmael na Mamaake kufukuzwa.
Watoto wa Bilha na Zilpa wanahesabiwa kwenye uzao wa Leah na Rahel. Ila pamoja na hayo yote Kun haki msingi hawakuzipata. Reuben alipotenda dhambi atanyang'anywahaki ya uzaliwa wa kwanza haikwenda Kwa mtoto wa Zilpa au Bilha, ilienda Kwa Yusuphu mzaliwa wa kwanza wa Rahel. Mpaka uwe kwenye ndoa ndio unakua na haki ya kurithi.Sarah kumpa Ibrahim Hajiri amfanye mkewe haibadili status ya Hajiri kuwa ni mke wa Ibrahim
Ndoa ni suala la kisheria na kimila. Sarah hana mamlaka wala uwezo wa kumuozesha Mwanamke yeyote kwa Ibrahim ilhali yeye ni Mke.
Huko mbeleni tunaona Ibrahim akimwambia Sarah kuwa huyo Hajiri ni kijakazi wake(wa Sarah) hivyo yeye ndiye mwenye mamlaka ya kuamua uwepo au kutokuwepo kwa huyo kijakazi.
Pili, ishu ya wake za Yakobo ni walewale wawili. Recho na Leah. Hao vijakazi hawahesabiki kama wake Yakobo.
Watoto wa kina Bilha na zilpa walihesabika kwa sababu walikubali mfumo wa familia ha Yakobo. Hawakuwa wasumbufu kwa Mabosi zao.
Tumia Quran kutetea hoja yako. Usitumie Biblia. Mnasema kimeongezwa Kwa hiyo sio sahihi kwenu.Nadhani umegoma kabisa kuchukulia umri wa watoto husika kama kigezo cha msingi cha kujua nani hasa alikusudiwa kuchinjwa....
Hoja yangu Mimi ilikua hapo,... ahsante.
DR Mambo Jambo ....ameelezea kwa kina hapa kuhusu hizo Aya unaweza ukarudi kwenye posts zake zilizopita.....Toa hiyo Aya inayoeleza hivyo.
Sawa, Kwanini hutaki nitumie Biblia?Tumia Quran kutetea hoja yako. Usitumie Biblia. Mnasema kimeongezwa Kwa hiyo sio sahihi kwenu.
Nadhani umegoma kabisa kuchukulia umri wa watoto husika kama kigezo cha msingi cha kujua nani hasa alikusudiwa kuchinjwa....
Hoja yangu Mimi ilikua hapo,... ahsante.
Naijua fika Biblia imeeleza kama movie vileHajiri hajawahi kuwa Mke wa Ibrahim
Alikuwa kijakazi wa Sarah mkewe Ibrahim.
Aliyemfukuza Hajiri ni Boss wake ambaye ni Sarah.
Hiyo simulizi unaijua vizuri?
Kitabu hapo cha kuaminiwa ni Toraut ya wayahudi,kurwani ni kopi na paste ya uongo kutoka kwa mudi ili kupoteza hitoria ya kweli.
Imani hizo za Ukristo na uislam ni matawi ya Judaism. Ukifuata nyaraka za Judaism aliyetolewa sadaka ni Isaac na si ishumail. Quran ni copy ya Bible na edition mbalimbali zilifanywa na waandishi wa mtume s.a.w. Hukuna ukweli juu ya ishumail maana tukio Hilo lilitokea baada ya yule kijakazi na mwanae kuondoshwa. Kuhusi idd(sikukuu) zilikuapo nyingi kabla ya uislam. Hivyo kusema sikukuu ya idd si sahihi maana idd maana yake ni sikukuu.
DR Mambo Jambo ....ameelezea kwa kina hapa kuhusu hizo Aya unaweza ukarudi kwenye posts zake zilizopita.....
Nikinukuu points za msingi alionyesha:-
Umri wa Ibrahim wakati anazaliwa Ismail,..Kisha akataja umri wa Ibrahim wakati! anazaliwa Ishaka......ambapo inaonyesha kulikua na utofauti wa kiumri wa miaka 14 Kati ya Ismail na Isihaka.
Rudi kwenye posts zilizopita naamini uliziona.
Naijua fika Biblia imeeleza kama movie vile
Nadhani umegoma kabisa kuchukulia umri wa watoto husika kama kigezo cha msingi cha kujua nani hasa alikusudiwa kuchinjwa....
Hoja yangu Mimi ilikua hapo,... ahsante.
Sawa.. naomba niulize swali.....Wakati amri ya mtoto kuchinjwa inatoka, Isihaka alikua na umri wa miaka mingapi,, kwa mujibu wa Biblia?Nikupe reference?
Hiko kisa kwenye Biblia kimeelezewa kwa mtiririko mzuri tuu.
Mwanzo 22
Mwa 22
SUV
MWA 22
1 Ikawa baada ya mambo hayo Mungu alimjaribu Ibrahimu, akamwambia, Ee Ibrahimu! Naye akasema, Mimi hapa. 2Akasema, Umchukue mwanao, mwana wako wa pekee, umpendaye, Isaka, ukaende zako mpaka nchi ya Moria, ukamtoe sadaka ya kuteketezwa huko juu ya mlima mmojawapo nitakaokuambia.
Utajiuliza mambo gani hayo. Utarudi Aya ya 21
ambapo inaelezea mambo makuu matatu
1. Kuzaliwa kwa Isaka
2. Kufukuzwa kwa Hajiri na Ishmael
3. Kuwekeana agano baina ya Ibrahim na Abimelek.
kisha Aya hii inaelezea
mwanzo 21
34Ibrahimu akakaa hali ya ugeni katika nchi ya Wafilisti siku nyingi.
Hizo siku nyingi hazitajwi ni siku ngapi au miaka mingapi lakini sura ya 22 inatupa picha kuwa ni siku nyingi ambazo Isaka alikuwa kijana ambaye angeweza kutembea na kupewa kitu akabeba.
Mwanzo 22
6. Basi Ibrahimu akazitwaa kuni za hiyo sadaka, akamtwika Isaka mwanawe; akatwaa moto na kisu mkononi mwake, wakaenda wote wawili pamoja.
Biblia inamtaja mwana wa pekee kuwa ni Isaka bila kupepesa machoVizuri,..Biblia inaonyesha wakati amri ya kuchinjwa kwa mtoto inatoka....Mtoto aliyekusudiwa kuchinjwa alikua na umri wa kuweza kuongea na kutembea umbali wa zaidi ya km 300....
Je, Kati ya Ismail na Isihaka nani umri wake unaendana na sifa za matendo ya kiumri ambazo Biblia imezitoa hapo?
NB:- Kwa mujibu wa Biblia amri ya mtoto kuchinjwa wakati inatoka,..mtoto pekee wa Ibrahim ambae alikua ana umri wa kuelewa mambo ni Ismail ( Umri wa miaka 14).
Sawa vizuri,... utanisaidia maswali machache tu....Sijagoma kutumia kigezo hicho.
Ila maandiko ya Biblia yapo wazi sana katika stori hii...
Sawa.. naomba niulize swali.....Wakati amri ya mtoto kuchinjwa inatoka, Isihaka alikua na umri wa miaka mingapi,, kwa mujibu wa Biblia?