Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?

Lea Hakuwa Mke wa Yakobo hahahah🤣🤣 ndo maana Watoto wa Leah hawakurithi kitu..
Nimekuibia siri hiyo
 
Hujajibu swali langu ni lini Katika maisha ya Ibrahim alikuwa na anaishi na Ismael Mecca.


Biblia inasema wazi kabisa katika umri Fulani ndio alitaka kumtoa sadaka Isaka, Quran iko vague and opaque kwenye hili.


Second kisima cha zamzam hakikuwa Mecca ni some where in Jordan.

Third Ishmael hakufika na kuishi Mecca katika Maisha yake.

Watoto wa Ishmael ndio walisambaa zaidi maeneo ya Arabia peninsula.

Nabayati (Nabatean) na Qedash ndio waarabu wa Leo wanadai asili Yao imeanzia hasa kwa Nabayoti.
Nabateans walikuwa watu ambao waliishi maeneo ya Jordan ya Leo na Lugha Yao ndio chimbuko la Kiarabu cha Leo… kimantiki, Kijiografia na hata kihistoria it is completely impossible Ibrahim kutaka kumtoa Sadaka Ismael Mecca.

At least Waislam wangesema Ishmael alitaka kutolewa sadaka sehemu moja Isaka alipotaka kutolewa, sababu hata hajiri moved south yeye na mwanae na north
 
Ebu jmjaribu ku Google basi.ujue kisima cha zam zam kipo wapi.

Hoja ya pili Ibrahim alimpata Ishmael akiwa mzee kabisa. Wakati hajr anaondoka na Ismael kuelekea makaa ismail alikuwa mtoto. Ibrahim aliwafuata baadae kabisa.akaenda kuishi nao.
 
Nyingine hyo
 

Attachments

  • Screenshot_20240621_111006_Samsung Internet.jpg
    314.6 KB · Views: 2
Ismael Akiwa na miaka 14 anaondoshwa na mama yake kwenda Jangwani..Isaka hapo mdogo miaka 3
Amri hiyo ilikuja badae Ibrahim akiwa na Sara na mtoto wao pekee Isaka
Really, You kids Mko na Disapointments Nyingi sana..Mnajaribu kutetea Vitu mpaka Mnakera mimi huwa napenda Mtu anayesema Ukweli No matter Utaonyesha Jinsi gani alivyo Uchi its fair..

Ila kudanganya Not fair..
Kwannini wengi Wenu Humu Mnaumwa Alethophobia

Ishmael kazaliwa Baba yake Ibrahimu akiwa na miaka 86..

Mwanzo 16:15-16


Na Ishamael Akiwa na Miaka 13 Agano la Mungu likatoka huku Ibrahimu akiwa na miaka 99..

Mwanzo 17:1-3 pia Soma Mwanzo 17:24-25



Lets See Isaka alizaliwa Lini??

Ibrahimu alipokuwa na Miaka 100 huku Ishmaeli akiwa na Miaka 14 Isaka ndiyo alizaliwa..

Mwanzo 21:1-5


ibrahimu ana Miaka 100, Ishmael.ana miaka 14 na Isaka ndo anazaliwa..

How comes Unasema Isaka alikuwa na miaka 3 ishmael alipokuwa na 14
Shida kubwa ya Vijana wengi hamsomi Maandiko mnasimuliwa maandiko
 
Hapa Nakuunga Mkono kwa 95% Uko sawa kabisa..
ILa Ibrahimu Hakuwa Myahudi 🤣..

alikuwa Anamfata Mungu wa Babu zake Yaani Unajua kwa Ibrahimu Ndo Ucha Mungu wa Imani ndo ulipoanzia hasa kwa hyo yeye Ndo alijitenga Na Watu wa nyumbani na kumtegemea Mungu..

Kipindi Hicho Yehuda (Yuda hajazaliwa)
 
Nikiri kukosea mi sio malaika
Hapo itakuwa nilichanganya na ile wanasema Isaka alipoachishwa kunyonya Ismail akaondoshwa na mamaye

Hakijaharibika kitu Mkuu
Mada ya msingi ni mtoto yupi alikuwa jaribu la kuchinja
 
Nikiri kukosea mi sio malaika
Hapo itakuwa nilichanganya na ile wanasema Isaka alipoachishwa kunyonya Ismail akaondoshwa na mamaye

Hakijaharibika kitu Mkuu
Mada ya msingi ni mtoto yupi alikuwa jaribu la kuchinja
Twende taratibu tutafika....
 
Ebu jmjaribu ku Google basi.ujue kisima cha zam zam kipo wapi.

Hoja ya pili Ibrahim alimpata Ishmael akiwa mzee kabisa. Wakati hajr anaondoka na Ismael kuelekea makaa ismail alikuwa mtoto. Ibrahim aliwafuata baadae kabisa.akaenda kuishi nao.
Ndio maana FaizaFoxy amesema someni maandiko yenu line by line you are now contradicting your own Quran.

Katika Quran Hajiri alifukuzwa Ishmael alipokuwa mkubwa si alipokuwa mdogo
 
Hahaha Sawa Mkuu ila Usisahau kuwa Kanaani sio israel ni Palestina..
Na kipindi hicho Hakukuwa na EDOM hahaha
 

Yakobo aliwaoa wote wawili îñgawaje mmoja hakuwa chaguo lake ambaye Leah.
Hiyo haiondoi ukweli kuwa Leah Aliolewa na Yakobo kwa gharama ya miaka ileile Saba aliyoolewa mdogo wake, Recho
 
Ndio maana FaizaFoxy amesema someni maandiko yenu line by line you are now contradicting your own Quran.

Katika Quran Hajiri alifukuzwa Ishmael alipokuwa mkubwa si alipokuwa mdogo
Hilo la Hajiri na Ismail lipo aya zipi? Tuelimishe.

Mambo ya Qur'an ni lazima uweke ushahidi wa nukuu ya Qur'an siyo kupiga porojo tu.
 
Ebu jmjaribu ku Google basi.ujue kisima cha zam zam kipo wapi.

Hoja ya pili Ibrahim alimpata Ishmael akiwa mzee kabisa. Wakati hajr anaondoka na Ismael kuelekea makaa ismail alikuwa mtoto. Ibrahim aliwafuata baadae kabisa.akaenda kuishi nao.
Tuwekee nukuu ya hayo umeyatowa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…