Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #741
Mungu ana namna zake za ajabu kufanya mambo yake. Mimi hata Yuda Iskariote naamini kabisa hana kosa na ameenda mbinguni The Role of Yuda Eskarioti Kwenye Ukombozi wa Dunia: Je, Yuda alaumiwe, alaaniwe au apongezwe?!Naelewa Then kama Ni mpango wa Mungu kwanini Yuda ahukumiwe na Kulaaniwa kwa sababu hiyo?
Unahisi kuna Fair Treatment?
Na kwanini Mungu kama alitaka Yuda apate uzao asitafute Uzao kwa Wanawake wengine mpaka kwa Mke wa Mtoto wake?
Unafahamu Jinsi Yesse Alivyopatikana??
Ile story ya Naomi na Mama yake Mkwe mpaka kufikia kwa Daudi?
vItu vingi Ukivisoma Utasikitika Sana..
View attachment 3022321
kwenye Qur'an ipo ndoto na lipo tukio la kweli baada ya ndoto, tofauti ni kuwa watafsiri wqmetafsiri neno lilitumika kama tafsida ya jando kuwa ni kuchinja mtu au mnyama.Hiyo ni simulizi.
Kuna msimuliaji ambaye ni Musa alafu kuna dialogue ya Wahusika humo kwenye simulizi.
Kwa hiyo Quotation unapoitoa hasa inayohusu simulizi lazima ujue nani anayezungumza.
Wakristo wengi katika jambo hili wanachanganya madesa.
Kuna sehemu Munga akasema
Kuna sehemu Ibrahim akasema au Sarah akasema,
Alafu kuna sehemu ànayesimulia ni msimulizi.
Ndio Kilekile nawaambia Watu kuhusu Injili, Zaburi na Torati na vitabu vya Hadithi.
Sio kila neno kwenye Biblia ni amri au sheria ya Mungu.
Ukisoma biblia na sio tuu biblia bali kitabu chochote lazima yapo mambo utazingatia íli usijeleta tafrani.
Mfano ni hiyo ndoto ya Ibrahim ya kumtoa Mwanaye kafara iliyopo kwenye Quran. Hiyo ni ndoto na sio tukio la kweli.
Au Yesu anapotoa mfano alafu kuna Watu wanaochukua ule mfano kama tukio la kweli ni dalili ya kutozingatia kanuni za usomaji
Una uhakika Biblia umehakikiwa na kuthibitishwa na Mungu? Biblia ipi unayoisema wewe. Biblia ya Waprotestant na Walokole yenye vitabu 66? Au ya wakatoliki yenye vitabu 73? au ya Waorthordoks lenye vitabu vingi zaidi? Au ile ya wa Coptic? Ipi kati hizo ndo Biblia sahihi??Owky, tunaomba historia ya Ibrahim. Biblia inajitosheleza hahitaji kuthibitishwa. Neno la Mungu limehakikiwa na Mungu mwenyewe. Type historia ya Ibrahim mpaka anaitwa na Mungu wenu, anatembea nae miaka yote mpaka anapata uzao then anatoa Baraka na kufa. Kidogo tutamwelewa Ibrahim wenu maana wetu alitoka Uru wa Wakaldayo ambayo ni Iraq ya Leo. Akasafiri mpaka Haran- maeneo ya Syria na Uturuki ya leo toka huko akaambiwa bado aendelee na safari. Alipofika Canaan akaambiwa nitakupa nchi hii wewe na uzao wako na sio na wazao wako. Je hiyo Ibrahim wenu atokea wapi? Mkewe ni nani? Tusije bishania watu wawili tofauti hapa.
kwenye Qur'an ipo ndoto na lipo tukio la kweli baada ya ndoto, tofauti ni kuwa watafsiri wqmetafsiri neno lilitumika kama tafsida ya jando kuwa ni kuchinja mtu au mnyama.
Hapo simply Ibrahim alioteshwa akamte jando mwanae.
Wewe ni Mweupe katika mambo haya ya dini. Turudi zetu kule kwenye mapambio ya siasa. Ibrahi hawezi kuwa wa dini ya kitukuu chake kilichozaliwa baada ya miaka mingi Ibrahimu akiwa ameshakufa. Unaposema Myahudi unamaanisha Yuda ambaye ni mtoto wa nne wa Yako kupitia kwa Lea. Hadi wakati wa Daudi tunaona kulikuwa na Taifa la Wayuda na taifa la Israel. Haya yalikuwa mataifa mawili tofauti. Taratibu wazao wote wa Yakobo walikubaliana na utaratibi wa dini za wayuda then wakajiunga na ibada za Wayuda za kwenda Yesuralemu kusali kila mwaka . Pia tunaona baada ya Ufalme kugawanyika tena baada ya Sulemani kufariki, wayuda na Kabila la Benyamini walibaki kama Taifa la Wayuda na makabalila 10 yaliyobakio yaliunda tena ufalmwe wao wa Isreal na hawakuwa wakienda tena kusali Yerusalemu bali Samaria.Nisome kitu ninachokijua?
Au unadhani stori hii naijadili na wewe kisha naenda ku-google kama wewe.
Ibrahim ni muebrania kwa taifa.
baba wa waebrania ni Eber mjukuu wa Nuhu(Nuhu ni Assyrian)
Dini yake ni Myahudi
Mungu wake ni Yehova.
Huyo ndiye Ibrahim
Weka uthibitisho.Wakati agizo la mtoto kutolewa sadaka linatoka kwa Mungu kuja kwa Ibrahimu, Ishmaili alikuwa hayupo tena nyumbani kwa Ibrahimu, alikuwa ameshafukuzwa na kupotelea mbali huko majangwani. Sasa Ishmaili angetolewa vipi sadaka?
Wewe ni Mweupe katika mambo haya ya dini. Turudi zetu kule kwenye mapambio ya siasa. Ibrahi hawezi kuwa wa dini ya kitukuu chake kilichozaliwa baada ya miaka mingi Ibrahimu akiwa ameshakufa. Unaposema Myahudi unamaanisha Yuda ambaye ni mtoto wa nne wa Yako kupitia kwa Lea. Hadi wakati wa Daudi tunaona kulikuwa na Taifa la Wayuda na taifa la Israel. Haya yalikuwa mataifa mawili tofauti. Taratibu wazao wote wa Yakobo walikubaliana na utaratibi wa dini za wayuda then wakajiunga na ibada za Wayuda za kwenda Yesuralemu kusali kila mwaka . Pia tunaona baada ya Ufalme kugawanyika tena baada ya Sulemani kufariki, wayuda na Kabila la Benyamini walibaki kama Taifa la Wayuda na makabalila 10 yaliyobakio yaliunda tena ufalmwe wao wa Isreal na hawakuwa wakienda tena kusali Yerusalemu bali Samaria.
Kwahiyo wayahudi walikuwa wanachinja sababu ya Isaka kutolewa kama Sadaka Au Ismail kutolewa kama Sadaka.Walikuwa Wakifanya Zamani kwenye Pesach (Passover) au Kiswahili Pasaka ila baada ya Kuvunjwa kwa Hekalu mwaka 70 AD..
Ibada ya Pasaka ikawa inafanyika Bila "Korban Pesach" (קָרְבַּן פֶּסַח) yaani Sacrificial lamb insteady sasa Hivi kipind Inalika Pasaka..
Kunakuwa na Mfupa wa Kondoo kama ukumbusho mezani ila nyama zinazolika ni za kawaida wanyama na hata kuku bata ila ziwe kosher tu..
Ila kuhusu Kuchinja..
Ndyo walikuwa Wakichinja na kunywa na kula Pasaka..
Unajua Waislam wamekopi Tamaduni karibu zote kutoka Kwa Judaism karibu 85% ya Ritual zao zote na Ibada ni Za kiyahudi mpaka Adhana...
Niliwahi kuelezea Hili humu kama sikosei mwaka jana kwenye uzi fulani
Ni Sasa kwani Hao waliokuchorea walikuwepo siku hizo?Hii map ni sasa kulingana na maeneo Ibrahim aliyopita
Yeah But Unajua Kuwa Andiko ulilotoa Linamaanisha Kama wakiamini? Yaani Mpaka uwe mwislamu?Implication ya kuweka hiyo aya hapo ni kuonyesha kwamba as long as Mtu ameamua kuamini uwepo wa Mungu Muumba na kuishi a righteous life basi Mtu huyo atawekwa miongoni mwa wema na atalipwa kadri ya wema wake ...regardless of his religious affiliation as long as moyo wake ulijitahidi kuwa na good intentions kwenye maisha yake na akaishi hivyo.......
Kuhusu Wayahudi kutokua na day of Judgement kwenye mafundisho yao,..hiyo sio concern yangu maana wao hawana mamlaka yoyote ya kuamua whether day of Judgement iwepo ama isiwepo....Wayahudi ni watu kama walivyo watu wengine. Yaani hatuwezi kusema Qiyama hakipo kwasababu Wayahudi wanasema hakipo...La!
Sio wao peke yao zipo jamii nyingine ambazo kwenye mafundisho yao hutokuta habari kuhusa Qiyama.
Ok Then nijibu Kuhusu Aya nilizokuonyesha hapo Chini za Suratul Baqara aya ya 67 na aya ya 71 niliyokupa..Hizo zako zote ni porojo.
Dhabah au Dhibihi i;liyotumika hapo inamaanisha "incision" hiyo ni tafsida ya jando.
Nenda ukaijuwe maana ya neno Dhabah na dhabih katika Lisan Al Arab cha Ibn manzour.
Unasema kichinjwacho wakati hujakioandika hicho kichinjwacho? Hakuna.
Hapo panada ushuke inabaki kuwa ni jando ytu. Watafsiri wa Kiislam walifata matamanio yao au walikuwa na agenda zao.
Jiulize, hivi Allah kweli anahitaji kafara ya damu hata aagize mtu amchinje mwanawe? Bado hujaiona "plot" iliyotumiwa na watafsiri waliopotosha.
Hakuna mtoto wala mtu mzima aliyetaka kuchinjwa na hakuna hata jina Sarah katika Qur'an mmelitowa wapi?
Hapana Wayahudi walikuwa wakifanya Hiyo kwa ajili ya Pesach/Pasaka... Na haihisiani na IbrahimuKwahiyo wayahudi walikuwa wanachinja sababu ya Isaka kutolewa kama Sadaka Au Ismail kutolewa kama Sadaka.
Yaani wao wayahudi walifata taratibu za Ibrahim.
Kichwani kwangu sina picha ya Yesu Kwa sababu amri ya kwanza ya Mungu inasema clearly, usifanye chochote kwa mfano wangu duniani, mbinguni au kuzimu.Una uhakika Biblia umehakikiwa na kuthibitishwa na Mungu? Biblia ipi unayoisema wewe. Biblia ya Waprotestant na Walokole yenye vitabu 66? Au ya wakatoliki yenye vitabu 73? au ya Waorthordoks lenye vitabu vingi zaidi? Au ile ya wa Coptic? Ipi kati hizo ndo Biblia sahihi??
Kama ni Biblia ya vitabu 66 na vitabu 73 basi Unatakiwa kujua kwamba Biblia unayoisoma ni kazi ya mikono ya Mtakatifu padre Jerome na timu mwaka 325 na kilioawekwa ndani ya biblia ni kile walioona inafaa kuwekwa kulingana na namna ambavyo watalawa wa wakati huo walitaka Mkristo uwe. Lakini kanisa katoliki la Mashariki (The Orthordox) wana Biblia yenye vitabu vingi zaidi kulingana na wao walivyoo hii ndo inayofaa kuwa Biblia. Pia kanisa la Coptic la Ethiopia na Misri wana idadi tofauti ya vitabu vyao.
Pia Biblia uliyonayo ni nakili ya nakili ya nakili ya Biblia. Ina mapungufu mengi sana kutokana na nakili ya nakili ya nakili na pia kutokana na namna mzungu alivyotaka Biblia iwe. Ndo maana uliaminishwa kwama Yesu ni Mzungu na kaka yao na Nyetanyahu.
Yuda anakosa Moja tu, hakutubu alijiua. Petro alimkana Yesu ila baada ya kufufuka kwake wito ulipotumwa kwake wakutane Galilaya aliitikia. Na kuthibitisha Yesu mwenyewe wakati anatoa hesabu Kwa Baba yake kwenye Yohane 17 anasema ," sikumooteza hata mmoja isipokuwa yule mwana wa uovu ili litimie neno". Nisamehe ila inabidi nikudisapoint hapo kwa Yuda. Ametumika kama farao wa agano jipya.Mungu ana namna zake za ajabu kufanya mambo yake. Mimi hata Yuda Iskariote naamini kabisa hana kosa na ameenda mbinguni The Role of Yuda Eskarioti Kwenye Ukombozi wa Dunia: Je, Yuda alaumiwe, alaaniwe au apongezwe?!
P
Spirituality bado ni Imani juu ya Mungu(concept) yule yule wa bible na QUR'AN,wahindu hawana upendo wowote,labda Kama hufuatilii yaliyo na yanayojiri indiaNimewahi kuwa Christian tena nilikuwa Mchungaji Nimewahi kuwa Muslim na nimewahi kuwa jewz..
Hakika katika Vyote Hivyo hakuna Upendo ni chuki iliyokithiri ndiyo hufundishwa Ndani..
Chuki Ambayo watu hudanganywa Ni Upendo..Bado nawasoma hinduism na Budha ni watu wenye Upendo wa Hali ya Juu sana Pengine kuliko Wakristo na Waislamu..
Spirituality without religion ni kama personal quest for understanding and connection with something larger than oneself ambayo Ndo Emmanuel au Mungu yaani kuamini kwamba Una Mungu ndani yako, kuamini kwamba We are All connected all creature, Kuamini kwamba Hakuna Kitu chenye thamani dhidi ya kingine..
Muhubiri 3
View attachment 3022312
Yaani focuses on inner peace, harmony, na kuamini Duniani Hjaja Kwa bahati mpaka Kuwa kila kitu kinakuja On purpose na Kuamini Kila Hatua unayopiga ni funzo na Ndyo hasa Njia uliyoitwa Kuifanya Duniani...
Kuamini Kwamba Bila Upendo Sisi Ni kitu Bure..
View attachment 3022314
Kuamini kwamba Vitabu vyote Vitakatifu vyafaa kwa ajili ya Kuonya katika njia ya Haki ila Tumeharibu Ujumbe wake na tunautumia Kinyume na maana zake
Kuishi maisha ya Adabu katika kila kitu hata kula
Mwisho kutafuta maana ya Kuishi...
Kila mwaka Wayahudi Wana siku ya Mwisho na Siku ya Hukumu na siku Ya kusamehewa Dhambi kila mwisho wa mwaka na mwanzo wa Mwaka wao wanaziita sikukuu hizo..Kama wayahudi wanaamini kitabu cha Daniel basi wanatakiwa waamini ipo siku ya mwisho yenye hukumu. Daniel anaelezea vision ya kuona siku kiti Cha Enzi kimewekwa mbinguni na Mzee wa Siku ameketi juu yake. Alipoletwa Mwana wa Mtu akaletwa na kuwekwa mbele ya Mzee wa Siku. Naye akapewa mamlaka ya kuhukumu. Hiyo tayari ni tafsiri kwamba kuna siku ya mwisho Kwa viumbe vyote vilivyoumbwa.
Locution nafahamu na hata Lexicon nazifahamu I was a Pastor one najua vizuri..Nimekwambia kasome kuhusu "Locution" au "lexicon" ndiyo utanielewa. Nimekwambia hiyo hapo kwa Ibtrahim na Ishaka imetumika kama tafsida, lakini siyo mtu kuchinjwa kukatwa shingo.
Mfanoi ukiambiwa "serikali ina mikono mirefu" unaelewa nini? Au ukisikia mashabiuki wa mpira wakisema "alotaka kufunga akakatwa mtama" inamaanisha nini?
Ukiyaelewa hayo utaelewa maana ya "Lisan" (locution) ambayo imetajwa sana kwenye Qur'an.
Hinduism has nothing to do with India..Spirituality bado ni Imani juu ya Mungu(concept) yule yule wa bible na QUR'AN,wahindu hawana upendo wowote,labda Kama hufuatilii yaliyo na yanayojiri india
Kama Yuda alienda Mbinguni na hana kosa why they Replaced him with Mathias?Mungu ana namna zake za ajabu kufanya mambo yake. Mimi hata Yuda Iskariote naamini kabisa hana kosa na ameenda mbinguni The Role of Yuda Eskarioti Kwenye Ukombozi wa Dunia: Je, Yuda alaumiwe, alaaniwe au apongezwe?!
P
🤣🤣🤣🤣🤣kwenye Qur'an ipo ndoto na lipo tukio la kweli baada ya ndoto, tofauti ni kuwa watafsiri wqmetafsiri neno lilitumika kama tafsida ya jando kuwa ni kuchinja mtu au mnyama.
Hapo simply Ibrahim alioteshwa akamte jando mwanae.