Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?

Mungu ana namna zake za ajabu kufanya mambo yake. Mimi hata Yuda Iskariote naamini kabisa hana kosa na ameenda mbinguni The Role of Yuda Eskarioti Kwenye Ukombozi wa Dunia: Je, Yuda alaumiwe, alaaniwe au apongezwe?!
P
 
kwenye Qur'an ipo ndoto na lipo tukio la kweli baada ya ndoto, tofauti ni kuwa watafsiri wqmetafsiri neno lilitumika kama tafsida ya jando kuwa ni kuchinja mtu au mnyama.

Hapo simply Ibrahim alioteshwa akamte jando mwanae.
 
Una uhakika Biblia umehakikiwa na kuthibitishwa na Mungu? Biblia ipi unayoisema wewe. Biblia ya Waprotestant na Walokole yenye vitabu 66? Au ya wakatoliki yenye vitabu 73? au ya Waorthordoks lenye vitabu vingi zaidi? Au ile ya wa Coptic? Ipi kati hizo ndo Biblia sahihi??

Kama ni Biblia ya vitabu 66 na vitabu 73 basi Unatakiwa kujua kwamba Biblia unayoisoma ni kazi ya mikono ya Mtakatifu padre Jerome na timu mwaka 325 na kilioawekwa ndani ya biblia ni kile walioona inafaa kuwekwa kulingana na namna ambavyo watalawa wa wakati huo walitaka Mkristo uwe. Lakini kanisa katoliki la Mashariki (The Orthordox) wana Biblia yenye vitabu vingi zaidi kulingana na wao walivyoo hii ndo inayofaa kuwa Biblia. Pia kanisa la Coptic la Ethiopia na Misri wana idadi tofauti ya vitabu vyao.


Pia Biblia uliyonayo ni nakili ya nakili ya nakili ya Biblia. Ina mapungufu mengi sana kutokana na nakili ya nakili ya nakili na pia kutokana na namna mzungu alivyotaka Biblia iwe. Ndo maana uliaminishwa kwama Yesu ni Mzungu na kaka yao na Nyetanyahu.
 
Kwa mtazamo wa haraka,waislam wanamtaja ismail.kwakuwa mama yake alitokea misri.mwenye ufahamu atajiongeza.

Ingekuwa alizaa na mwanamke tokea Italy,China.ila sio nchi yeyote y kiarabu.hapo show ingekuwa nyingine kabisa.nadhani hata ibrahimu asingekuwepo kwenye quran.
 
Wewe ni Mweupe katika mambo haya ya dini. Turudi zetu kule kwenye mapambio ya siasa. Ibrahi hawezi kuwa wa dini ya kitukuu chake kilichozaliwa baada ya miaka mingi Ibrahimu akiwa ameshakufa. Unaposema Myahudi unamaanisha Yuda ambaye ni mtoto wa nne wa Yako kupitia kwa Lea. Hadi wakati wa Daudi tunaona kulikuwa na Taifa la Wayuda na taifa la Israel. Haya yalikuwa mataifa mawili tofauti. Taratibu wazao wote wa Yakobo walikubaliana na utaratibi wa dini za wayuda then wakajiunga na ibada za Wayuda za kwenda Yesuralemu kusali kila mwaka . Pia tunaona baada ya Ufalme kugawanyika tena baada ya Sulemani kufariki, wayuda na Kabila la Benyamini walibaki kama Taifa la Wayuda na makabalila 10 yaliyobakio yaliunda tena ufalmwe wao wa Isreal na hawakuwa wakienda tena kusali Yerusalemu bali Samaria.
 

Ibrahim ndiye muanzilishi wa Dini ya Uyahudi.
Unafikiri ni kwa nini Kila Mungu alijitambulisha kwa manabii wa kiyahudi anasema yeye ni Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo?

Unajua Mungu wa Ibrahim anaitwa Yehova
 
Kwahiyo wayahudi walikuwa wanachinja sababu ya Isaka kutolewa kama Sadaka Au Ismail kutolewa kama Sadaka.

Yaani wao wayahudi walifata taratibu za Ibrahim.
 
Yeah But Unajua Kuwa Andiko ulilotoa Linamaanisha Kama wakiamini? Yaani Mpaka uwe mwislamu?

But Unafahamu kuwa agano la kale lote haluna hizo mambo za kiama?

Ila zipo kwenye agano Jipya Why tuwalaumu??
 
Ok Then nijibu Kuhusu Aya nilizokuonyesha hapo Chini za Suratul Baqara aya ya 67 na aya ya 71 niliyokupa..

Ambayo imetaja maneno hayo lakini Wakiamrishwa kumfanyia Ngombe Jike ..

Swali langu ni jepesi tu Kwahyo Mungu alimuamuru Musa Awaambie wana wa Israeli wamtahiri Ngombe Jike???
Swali jepesi tu
 
Kichwani kwangu sina picha ya Yesu Kwa sababu amri ya kwanza ya Mungu inasema clearly, usifanye chochote kwa mfano wangu duniani, mbinguni au kuzimu.
Ile ni picha imetengenezwa na kina
Mungu ana namna zake za ajabu kufanya mambo yake. Mimi hata Yuda Iskariote naamini kabisa hana kosa na ameenda mbinguni The Role of Yuda Eskarioti Kwenye Ukombozi wa Dunia: Je, Yuda alaumiwe, alaaniwe au apongezwe?!
P
Yuda anakosa Moja tu, hakutubu alijiua. Petro alimkana Yesu ila baada ya kufufuka kwake wito ulipotumwa kwake wakutane Galilaya aliitikia. Na kuthibitisha Yesu mwenyewe wakati anatoa hesabu Kwa Baba yake kwenye Yohane 17 anasema ," sikumooteza hata mmoja isipokuwa yule mwana wa uovu ili litimie neno". Nisamehe ila inabidi nikudisapoint hapo kwa Yuda. Ametumika kama farao wa agano jipya.
 
Spirituality bado ni Imani juu ya Mungu(concept) yule yule wa bible na QUR'AN,wahindu hawana upendo wowote,labda Kama hufuatilii yaliyo na yanayojiri india
 
Kila mwaka Wayahudi Wana siku ya Mwisho na Siku ya Hukumu na siku Ya kusamehewa Dhambi kila mwisho wa mwaka na mwanzo wa Mwaka wao wanaziita sikukuu hizo..
Rosh Hashanah and Yom Kippur.

Ila hakuna siku maalum kwamba mwisho wa kila kitu..

Daniel Ipo na inasomwa vizuri ila haijaongea kuhsuu Mwisho wa hkumu kwa kila mmoja..
Kitabu cha Sefer Daniel au Daniel ni kitanu cha narative Na Apocaptical version..

Na kwa Judaism kipi kwenye Aina inayoitwa ketuviim..

Ni alot of Complication but Kwenye Vitu vingi Wasilam na wakristo hufanana ila sio wakristo na wayahdi
 
Locution nafahamu na hata Lexicon nazifahamu I was a Pastor one najua vizuri..

Hizo terms Angesema Mkristo ningemuelewa Zaidi..
Maana Mara nyingi Wao husema Mpaka Roho Mtakatifu akufunulie Andiko lilikuwa lina maana ipi..

But in quran hakuna Lexicon words kwenye Amri yoyote..
 
Spirituality bado ni Imani juu ya Mungu(concept) yule yule wa bible na QUR'AN,wahindu hawana upendo wowote,labda Kama hufuatilii yaliyo na yanayojiri india
Hinduism has nothing to do with India..
Ni sawa na Useme Waislam wote wahuni na wanapenda Starehe si unaona Dubai ilivyo...
Thats unlogical arguments
 
kwenye Qur'an ipo ndoto na lipo tukio la kweli baada ya ndoto, tofauti ni kuwa watafsiri wqmetafsiri neno lilitumika kama tafsida ya jando kuwa ni kuchinja mtu au mnyama.

Hapo simply Ibrahim alioteshwa akamte jando mwanae.
🤣🤣🤣🤣🤣
Na Musa aliambiwa Atoe Jando kwa Ng'ombe pia Sio..
QURAN 2:67, QURAN 2:71
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…