DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Hizo ni hadithi Mkuu!Hadi Leo Saudi Arabia, Egpty Watu wanaishi kando ya mito na sehemu ambazo zinaweza kulimika...
Mecca it was very harsh.
And ukifatilia definition ya promise land ni kati ya mto Euphrates na Sinai.
Now come and think of it logically, Ibrahim took his son to the unknown and barren land, but he was able kumtoa mke wake kwa mwanaume mwingine ili aweze kusurvive njaa.
We jamaa sijui una shida kichwani, sijakataa kwamba biblia hazina utofauti, nimesema utafauti huo unatokana na process of translation lakini ujumbe mkuu ni uleule, hata uchukue King James Version, hata uchukue Greek Manuscripts au Dead Sea Scrolls ujumbe ni uleule.Umeandika mtungo wa story mkuuubwa usio na ushahidi wala references , huku ukiongopa kuwa versions za biblia hazina tofauti
😅 😅 😅 uliuliza maswali ya kitoto, hakuna mtu asiyejua dini ya Mussa.Sasa unakuja na sababu ya kukopi kutoka kwa wayahudi. Hao Mitume unaodai ni wa kiyahudi akina Nabii Mussa walikuwa na dini gani ?? tuanzie hapo
Hayo maelezo yako ndiyo dini ya Nabii Mussa?😅 😅 😅 uliuliza maswali ya kitoto, hakuna mtu asiyejua dini ya Mussa.
Muddy alichemka alivochukua manabii wa dini ya kiyahudi na kubadilisha story zao, angeshirikiana na Allah kutengeneza characters wao na manabii wao, mbona dini kama Hinduism wana miungu yao na characters wao, mbona Shintoism(Japan) wana characters wao na miungu yao, mbona Norse mythology(Norway) wana characters wao na miungu yao, Muddy alishandwa nn kutengeneza characters ambao hawana uhusiano na dini ya kiyahudi?? Unajua kwann hakufanya hivo?? Kwasababu angeonekana muongo zaidi na watu wangeikataa dini yake, kitendo cha kufananisha uislamu na dini za wayahudi na ukristo ni ili kuwavutia wayahudi na wakristo cause ndo zilikuwa dini zenye watu wengi na zinazokubalika, na ndo dini zilizokuwa zimeenea pale middle Eastern, so kafanya hivo ili apate support kwa wayahudi na wakristo, alivoona hawampi ushirikiano ndo akaanza vita nao.
Muddy hana jipya, kama ana jipya nileteee zaidi ya kuanzisha dini ili atimize matamanio yake ya kulala na wake za watu.
Mtume hakuanzisha dini Ili apate support ya wayahudi kwanza sidhani kma mtu atataka support kwa kupinga dini ya mtu hata wewe hapo ni mfan suala la dini unazungumza mpaka maneno ya hovyo.Mtume hakuwa amesoma elimu yeyote kabla ya utume wake hakuwa ana knowledge ya uyahudi wa ukristo na alipokuwa mtume wayahudi walihakikisha wanaf8cha vitabu vyao Kisha wanamuuliza maswali magumu Ili wajie kama alitumwa kweli na Mungu. Mitume yote ilitumwa na Mungu kwa jambo Moja na ilipelekws sehemu ambayo Allah aliona watu wamepotea zaidi kwani hawapo watu adhabu mpaka wapelekewe ujumbe.Wayahudi walipelekewa mitume mingi kwa sababa mara nyingi walivuka mipaka na hata mitume yenyewe mengine waliwaua na kubadili maneno waliyopewa mpaka wakasema mungu ana mtoto <khizr> na mengine.😅 😅 😅 uliuliza maswali ya kitoto, hakuna mtu asiyejua dini ya Mussa.
Muddy alichemka alivochukua manabii wa dini ya kiyahudi na kubadilisha story zao, angeshirikiana na Allah kutengeneza characters wao na manabii wao, mbona dini kama Hinduism wana miungu yao na characters wao, mbona Shintoism(Japan) wana characters wao na miungu yao, mbona Norse mythology(Norway) wana characters wao na miungu yao, Muddy alishandwa nn kutengeneza characters ambao hawana uhusiano na dini ya kiyahudi?? Unajua kwann hakufanya hivo?? Kwasababu angeonekana muongo zaidi na watu wangeikataa dini yake, kitendo cha kufananisha uislamu na dini za wayahudi na ukristo ni ili kuwavutia wayahudi na wakristo cause ndo zilikuwa dini zenye watu wengi na zinazokubalika, na ndo dini zilizokuwa zimeenea pale middle Eastern, so kafanya hivo ili apate support kwa wayahudi na wakristo, alivoona hawampi ushirikiano ndo akaanza vita nao.
Muddy hana jipya, kama ana jipya nileteee zaidi ya kuanzisha dini ili atimize matamanio yake ya kulala na wake za watu.
Wakristo hatuna uongo wa kipambavu wa kusema Biblia imeshushwa kama mnavodanganyana quran imeshushwa na wakati Abdullah Ibn Saad Ibn Abi Sarh alishamuumbua muddy.Mimi niko mtupu kichwani kwani sitoi ya kichwani mwangu , DOMO NI NYUMBA YA MANENO
Unapoandika kitu tuwekee Reference au ushahidi, wewe hujashushiwa aya na Mungu kuambiwa maana ya hizo aya za biblia
Hayo uliyoandika hapo juu uliyatoa biblia ipi au kitabu kipi ??
😅 😅 😅 Sawa, Judaism.Hayo maelezo yako ndiyo dini ya Nabii Mussa?
We jamaa sijui una shida kichwani, sijakataa kwamba biblia hazina utofauti, nimesema utafauti huo unatokana na process of translation lakini ujumbe mkuu ni uleule, hata uchukue King James Version, hata uchukue Greek Manuscripts au Dead Sea Scrolls ujumbe ni uleule.
Endelea kung'ang'ania hii point, maana bila kusingizia biblia imechakachuliwa Quran na Uislamu unakufa.
😅 😅 😅 Sawa, Judaism.
Kwenye hii Mada angalao umeongea vizuri.Weka ushahidi
Ulishaamka ?Wewe mpaka uwache kuabudu kiumbe mwenzakoKwenye hii Mada angalao umeongea vizuri.
Umeacha kutoka nje ya mada na kuingiza yale mambo yako pendwa.
Endelea hivihivi ili uwe mchangiaji bora wa JF.
Unamaanisha unamwabudu huyo ambaye umemweka kwenye Avatar yako au yule Aswadi msamehe dhambi 🤪🤪🤪Ulishaamka ?Wewe mpaka uwache kuabudu kiumbe mwenzako
Jitie hamnazo huku ukiabudu mtu Kama weweUnamaanisha unamwabudu huyo ambaye umemweka kwenye Avatar yako au yule Aswadi msamehe dhambi 🤪🤪🤪
😅 😅 😅Weka ushahidi
😅 😅 😅
This is childish, goodbye.
Kuweka kumbukumbu sawa, Quran kama kitabu hakikushushwa na hakuna kitabu kilichowahi kushushwa kutoka mbinguni, vitabu vyote vimeandikwa na watu hapa hapa duniani.Mtume Muhammad hakujua kusoma wala kuandika.na mungu aliweka hivi kujibu hoja yenu kuwa mtume alikopi quran. Kweli ni kwamba mungu aliyewatuma mitume ya israel ndo aliyemtuma MUHAMMAD. Ndo maana ujumbe wao unafanana. Hoja ya pili quran ilishushwa kiarabu.haya niambie injili ilishushwa kwa lugha gani?taura na zaburi.zilishushwa kwa lugha gani?tatu Quran haikushushwa kwa ailu moja ilomchukua mtume miaka na miaka kukamilisha kushushiwa Quran. Ingekuja kwa siku moja tungesema alikopi.
Sio kweli Ibrahimu wa Biblia babayake ni Tela kwenye quran Al azarYaani Wakristo na Waislamu ni watoto wa Baba mmoja, Nabii Ibrahim hivyo Mungu wa Wakristo na Waislamu ni Mungu mmoja.
P
Dah ni kweli ndugu mjumbe, kumbe baba wa Ibrahimu wa kwenye Qurani sio Tera.Sio kweli Ibrahimu wa Biblia babayake ni Tela kwenye quran Al azar
Usitatizwe na majina, hata Mungu ndio Allah, Yesu ni Nabii Issa, sheria ya Mungu ni moja, ni ile sheria ya Musa, ilishushwa kwenye Torati au Taurat. Wakristo na Waislamu ni watoto wa Baba mmoja Nabii Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mwanae wa kwanza Ismail na Wakristo ni uzao wa mwanae wa pili Isaka.Sio kweli Ibrahimu wa Biblia babayake ni Tela kwenye quran Al azar
Dah ni kweli ndugu mjumbe, kumbe baba wa Ibrahimu wa kwenye Qurani sio Tera.
Sasa tunawalinganishaje hawa watu wawili tofauti kabisa na kusema ni mtu mmoja ?
.............
۞ وَإِذْ قَالَ إِبْرَاهِيمُ لِأَبِيهِ آزَرَ أَتَتَّخِذُ أَصْنَامًا آلِهَةً ۖ إِنِّي أَرَاكَ وَقَوْمَكَ فِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ
(AL - AN-A'AM - 74)
Na pale Ibrahim alipo mwambia baba yake, Azar: Unayafanya masanamu kuwa ni miungu? Hakika mimi nakuona wewe na watu wako mmo katika opotofu ulio wazi.
..............
Mwanzo (Gen) 11:27
Na hivi ndivyo vizazi vya Tera. Tera akamzaa Abramu, na Nahori, na Harani. Harani akamzaa Lutu.
Mwanzo (Gen) 11:31
Tera akamtwaa Abramu mwanawe, na Lutu mwana wa Harani, mwana wa mwanawe, na Sarai mkwewe, mke wa Abramu mwanawe, wakatoka wote katika Uru wa Wakaldayo, waende nchi ya Kanaani, wakafika mpaka Harani wakakaa huko.
..........
Asante sana Biblia.
Usichanganyikiwe na kuongea maneno mengi ya nje ya Aya za vitabu vinavyojadiliwa.Asante biblia ipi ??? Queen James Version au Satanic Bible ??
Huyo anayesema Gen 11:27 ni nani ??
Biblia ya NIV , imeandika
The Book of Genesis:
"Historically, Jews and Christians alike have held that Moses was the author/compiler of the first five books of the OT. These books, known also as the Pentateuch (meaning "five-volumed book"), were referred to in Jewish tradition as the five fifths of the law (of Moses). The Bible itself suggests Mosaic authorship of Genesis, since Ac 15:1 refers to circumcision as "the custom taught by Moses," an allusion of Ge 17. However, a certain amount of later editorial updating does appear to be indicated (see, e.g., notes on 14:14; 36:31; 47:11). (From the NIV Bible Commentary [1], page 2)"
So in reality, the book of Genesis had been tampered with by man.
It had been corrupted.
It is dangerous to consider all of it as the True Living Words of GOD Almighty, because by doing so, we are running into the risk of committing a crime against Him since we are claiming that He spoke words that He never spoke.