Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?

Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?

Ushahidi uliopo ni kuwa Leah aliozeshwa kwa Yakobo yeye na Mdogo wako Raheli.

Biblia inatambua kuwa Yakobo anawake wawili na vijakazi wao
Mwanzo 32:22
[22]Akaondoka usiku ule akawatwaa wakeze wawili, na vijakazi wake wawili, na wanawe kumi na mmoja, akavuka kivuko cha Yaboki.
And he rose up that night, and took his two wives, and his two womenservants, and his eleven sons, and passed over the ford Jabbok.
Hilo andiko Ni Moja kwenye Bible nzima na Ukiangalia Original yake in hebrew halisemi wakeze linasema Wanawake wake..

So obvious hakuwa..

Kwnza kabisa harusi ilifanyika kwa ulaghai aliambia Anamuoa Rahel ila amemaliza kulala naye asubuhi anakuta sio Rahel ni lea ndo alipomfata mkwewe kulalamika..

Kwakuwa Alikuwa amekwisha Kumbikiri sheria hairuhusu Kutokumtwaa ila alimtwaa kama mtu aliyelala naye..

Na ndo maana Ukisoma mbele ya Harusi hiyo siku ya Asubuhi Yakobo anasema anataka Mke wake 😅😅
Soma hii Aya yote Kijana..

Labani hakumpa Lea Yakobo awe Mkewe ila Alimpa Rahel Yakobo awe mkewe.. Soma aya ya 28
Screenshot_20240621_133408_Biblia Takatifu.jpg
 
Hilo andiko Ni Moja kwenye Bible nzima na Ukiangalia Original yake in hebrew halisemi wakeze linasema Wanawake wake..

So obvious hakuwa..

Kwnza kabisa harusi ilifanyika kwa ulaghai aliambia Anamuoa Rahel ila amemaliza kulala naye asubuhi anakuta sio Rahel ni lea ndo alipomfata mkwewe kulalamika..

Kwakuwa Alikuwa amekwisha Kumbikiri sheria hairuhusu Kutokumtwaa ila alimtwaa kama mtu aliyelala naye..

Na ndo maana Ukisoma mbele ya Harusi hiyo siku ya Asubuhi Yakobo anasema anataka Mke wake 😅😅
Soma hii Aya yote Kijana..

Labani hakumpa Lea Yakobo awe Mkewe ila Alimpa Rahel Yakobo awe mkewe.. Soma aya ya 28
View attachment 3022163


 
Nimekuambia taratibu za Ndoa kwa mujibu wa Biblia ni zipi nakusikiliza Uniambia Ambazo Ibrahimu hakufata kwa Hajiri? 😅

Na hakuna mahali Hajiri anatakwa kuwa Suria (Concubine) sasa kwanini Umuite Suria?

Hebu nieleweshe kuhusu Ndoa maana Navyojua hata Sara ibrahimu alijitwalia tu na wala hakuna Process unazosema wewe 😅😅

Mwanzo 11:29

"Abramu na Nahori wakajitwalia wake. Jina la mkewe Abramu aliitwa Sarai, na jina la mkewe Nahori aliitwa Milka, binti Harani, ambaye alikuwa baba wa Milka na wa Iska."

Sasa kama Mke wa kwnza Alijitwalia Inakuaje Mke wa Pili akijitwalia Useme Ndoa ya Mke wa Pili japo imeandikwa sio ya Kweli😅😅

Still On Denial mkuu, ALETHOPHOBIA

Ndio maana nikakuambia kuwa ukisoma Biblia usiishie kwenye aya moja.

Soma
Mwanzo 21:10,12-13
[10]Kwa hiyo akamwambia Ibrahimu, Mfukuze mjakazi huyu na mwanawe, maana mwana wa mjakazi hatarithi pamoja na mwanangu, Isaka.

[12]Mungu akamwambia Ibrahimu, Neno hili lisiwe baya machoni pako, kwa ajili ya huyo mwana, na huyo mjakazi wako. Kila akuambialo Sara, sikiza sauti yake, kwa maana katika Isaka uzao wako utaitwa.

[13]Naye mwana wa mjakazi nitamfanya kuwa taifa, maana huyu naye ni uzao wako.

Nimekuambia taratibu za Ndoa kwa mujibu wa Biblia ni zipi nakusikiliza Uniambia Ambazo Ibrahimu hakufata kwa Hajiri? 😅

Na hakuna mahali Hajiri anatakwa kuwa Suria (Concubine) sasa kwanini Umuite Suria?

Hebu nieleweshe kuhusu Ndoa maana Navyojua hata Sara ibrahimu alijitwalia tu na wala hakuna Process unazosema wewe 😅😅

Mwanzo 11:29

"Abramu na Nahori wakajitwalia wake. Jina la mkewe Abramu aliitwa Sarai, na jina la mkewe Nahori aliitwa Milka, binti Harani, ambaye alikuwa baba wa Milka na wa Iska."

Sasa kama Mke wa kwnza Alijitwalia Inakuaje Mke wa Pili akijitwalia Useme Ndoa ya Mke wa Pili japo imeandikwa sio ya Kweli😅😅

Still On Denial mkuu, ALETHOPHOBIA

Hapo Mungu mwenyewe anamtambua Hajiri kama mke au mjakazi?
 
Kumbuka, sitetei hoja haoa, haoa nauweka ukweli kwa kutumia "tafsil" siyo "tafsiri".

Unajuwa tofauti ya tafsil na tafsir?
Jana ulisema unataka ushahidi wa Aya kutoka kwenye Qur'an ikionyesha kwamba Ismail ni mtoto wa Ibrahim,...Nikakuweka aya husika uliiona?
 
Hujajibu swali nililouliza.....

Katika watoto hao wote,..yupi amewahi kuwa mtoto wa pekee wa Ibrahim?

Namaanisha Mtoto yupi aliishi kipindi ambacho Ibrahim hakua na mtoto mwingine isipokua yeye?
Upekee aliousema Mungu hauhusiana na kuwa peke yake. Ndio maana huielewi Biblia maana unasoma kama kitabu kwingine. Ni sababu nimekwambia ubishi uishie hapa. Neno la Mungu halihitaji kubishaniwa. Labda Roho wa Mungu akuguse tofauti maana hata niongeeje bado utaona maandishi ya kitabu na sio Neno la Mungu lililo hai.
 
Hilo andiko Ni Moja kwenye Bible nzima na Ukiangalia Original yake in hebrew halisemi wakeze linasema Wanawake wake..

So obvious hakuwa..

Kwnza kabisa harusi ilifanyika kwa ulaghai aliambia Anamuoa Rahel ila amemaliza kulala naye asubuhi anakuta sio Rahel ni lea ndo alipomfata mkwewe kulalamika..

Kwakuwa Alikuwa amekwisha Kumbikiri sheria hairuhusu Kutokumtwaa ila alimtwaa kama mtu aliyelala naye..

Na ndo maana Ukisoma mbele ya Harusi hiyo siku ya Asubuhi Yakobo anasema anataka Mke wake 😅😅
Soma hii Aya yote Kijana..

Labani hakumpa Lea Yakobo awe Mkewe ila Alimpa Rahel Yakobo awe mkewe.. Soma aya ya 28
View attachment 3022163

Na andiko linaloonyesha Hajiri alifanywa mke wa Ibrahim kwa kulala naye ni moja


Tena ànayesimulia hapo Ni Musa.

Mungu anamtambua Hajiri kama Nani?,
Biblia inaonyesha mara kadhaa Mungu alimtaja Hajiri kama Kijakazi kwa nini wewe umwite Mke?

Msimuliaji ambaye ni Musa ukisoma hiyo simulizi anavyosimulia haionyeshi kama hajiri alikuwa mke ila Sarah alimuamuru alale na Ibrahim kama mke ili wapate uzao.

Kupata mbegu au uzao hakumfanyi mtu awe mke au mume. Tukio hilo limejitokeza mara kadhaa kwenye biblia
Hata kwa vijakazi wa Yakobo ilikuwa hivyo.
Na biblia haiwataji kama Wake wa Yakobo.

Kuna kisa kingine cha yule aliyeambiwa amuingilie mke wa kakaake ili apate uzao. Baada ya kaka yake kufa. Akamwagia nje.
Haikumaanisha kitendo hicho ni kuoa.
 
Lakini pia unapozungumzia baraka,... mbona inaonyesha Ismail na Isihaka wote wamepewa baraka nyingi tu... hii imekaaje
Ismael amepewa Baraka na Mungu lakini hakupewa zikapitia kwa Baba yake. Isaka amepewa Baraka na Mungu lakini zimepitia kwanza kwa Mama na Baba yake, hakupewa yeye kama yeye. Ndo maana tunasema Baraka ya Ismael ni kama agano la Mlima Horebu lakini Baraka za Isaka ni za Mlima Sayuni.
Kuna tofauti ya wewe kurithi Baraka za baba yako na wewe kupewa Baraka zako. Na pia warithi hawawi wengi na ndio maana hata Mzee akifa mnachagua kiongozi wa familia. Kuna vitu kwenye ulimwengu huu havikaliwi na watu wawili bali mtu mmoja.
 
Wanabodi,
Leo ni sikukuu ya Eid El Haji, Iddi ya Kuchinja.

Leo ni siku ya Sikukuu ya Idd El Haj, ni iddi ya kuchinja, asubuhi nilikuwa naangalia matangazo ya mubashara ya Baraza la Iddi kupitia TBC, kutoka Msikiti wa Mfalme Mohammed VI wa Morroco, Bwakwata, Kinondoni jijini Dar es Salaam, kumbe Msikiti Mkuu wa Bakwata, sasa umebadilishwa jina!, na kupewa jina la Mfalme wa Morroco!.

Mgeni rasmi kwenye Baraza la Iddi ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa, ambaye ameandamana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ambaye amesilimishwa na kupewa jina la Aboubakar Chalamila!, na mawaziri akiwemo Waziri Mhe. Mohamed Mchengerwa. Baadhi ya watu maarufu niliowaona ni pamoja na Alhaj Sheikh Ali Nguruko, Alhaj Chande, Idda Azan, Shaweji Abdalah, Salum Mwalimu, Juma Simba Gadafi, Salum Abladaha "TRY Again", Katibu Mkuu wa Bakwata, Sheikh Mruma, Kadhi wa Dar es Salaam, Shamin Khan, mwenyekiti wa JUAKITA, pia kulikuwa na mabalozi wa Balozi wa Moroko, na wa Comoro.

Katika salam zake, Sheikh Aboubakar Chalamila alisema utulivu wa jiji la Dar es Salaam, unawategemea sana viongozi wa Dini.

Salaam za Waislamu, zimetolewa na Alhaj Sheikh Nuru Mruma, Katibu Mkuu wa Bakwata ambaye amewasisitiza Waislamu kudumisha amani na kuilinda amani. Wazazi watakiwa kulea watoto wao kwa tabia njema, kujenga taifa la kizazi cha watu wema ambao hawatapokea rushwa wala kufanya ufisadi.

Amesema kupanda miti na utunzaji wa mazingira ni ibada muhimu kwa Waismamu wote.

Pia amewataka Waislamu kujitokeza kwa wingi, kujiandikisha kwenye uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura.
na wametakiwa kujitokeza kwa wingi kutumia haki yao ya kidemokrasia kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.

Salaam za Mufti, zimetolewa na Kaimu Mufti Sheikh Ali Muhidin Mporogore, Mjumbe wa Baraza la Maulamaa wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania, Bwakwata. Aamezungumzia Watanzania tutafakari, sadaka ya kuchinja siku ya Iddi El Haj, ni iddi ya kuchinja. Zamani ilikuwa sio kuchinja tuu wanyama, bali walichinja hata binadamu ana akatolea mfano Sadaka ya Nabii Ibrahim kutaka kumtoa mwanae Ismail, kwa sadaka ya kuchinja.

Hakuna ubishi kuhusu Wakristo na Waislamu, kuwa ni watoto wa Baba mmoja, Nabii Ibrahim hivyo huu ni uthibitisho wa Mungu wa Wakristo na Waislamu ni Mungu Mmoja, na sheria za dini hizi zote mbili Wakristu na Waislamu, ni sheria moja ile ile ya Musa, ila kuna watu wanafundishwa ukweli na kuna watu wanadanganywa!.

Hakuna ubishi kuwa mtoto wa kwanza wa Ibrahim ni Ismail aliyezaa na mjakazi wa Kimisri, Hagir, na Isaka ni mtoto wa pili wa Ibrahim, aliyemzaa na mkewe Sarah.

Hakuna ubishi Ibrahim alitaka kumtoa mtoto wake Sadaka ya kuchinja.

Waislamu na Kitabu chao Kitukufu cha Quran Tukufu, kinamtaja mtoto huyo aliyetaka kutolewa sadaka ya kuchinja ni Ismail.
Wakristo na Kitabu chao Kitakatifu cha Biblia Takatifu, kinamtaja mtoto huyo aliyetaka kutolewa sadaka ya kuchinja ni Isaka.

Jee ukweli halisi ni upi?.
Hii maana yake
Kama tukio la Ibrahim kutaka kumchinja mwanae kumtoa sadaka ni tukio moja, then
1. Hii maana yake ni kuna watu wanadanganywa, haiwezekani kwa Waislamu mtoto huyo awe ni Ismail na kwa Wakristu mtoto huyo awe ni Isaka, hii maana yake kuna kitabu hapo kinasema kweli na kuna kitabu kinasema uongo!, jee ukweli ni upi?.

Umuhimu wa kuujua ukweli huu, unakupa fursa ya kujua ukweli ni upi, hivyo ufuate mafundisho yapi ambayo ndio mafundisho ya kweli!.

Bandiko hili linakutaka kwanza uwe open minded, kama wewe ni mfia dini, unaamini dini yako ni ya ukweli mtupu, bandiko hili halikufai.

Pili unatakiwa uwe na ngozi ngumu ya kuukubali ukweli halisi hata uwe mchungu vipi!, ikitokea ni dini yako unayoiamini kuwa ni dini ya kweli, kumbe ni dini ya uongo, uwe na uwezo wa kustahimili maana...

Nawatakia Waislamu wote,
Iddi Mubarak njema ya kuchinja.

Paskal
Wewe ni Maalim eitha kwa siri au unajidhihirisha. Kwani ukweli ushaujua. Niweke sawa. Mungu wa wakristo ni yesu. Si yule Mungu wa Ibrahim.

Na Mungu wa waislam ni yule Mungu wa yesu. Eloi au Allah

Kwa hiyo rekebisha kwanza utangulizi kabla ya kujenga msingi huo kwenye mada.

Kwani ukianza kwa makosa utaishia kupata majibu yenye makosa
 
Habari Ammoshi!
Ibrahimu alimuoa Hajiri na alikuwa Mke wake wa Ndoa (Mwanzo 16:3)..

Ibrahimu Alimbariki na Kuomba Baraka kwa Mungu Naye Mungu akamsikia na kumbariki Ishamael soma Mwanzo 21..

Maagano kipindi Yanatoka Ibrahimu alikuwa na Miaka 99 na Ishmael alikuwa na miaka 13 Hivyo alitahiriwa na familia yake yote na hilo ndilo agano la.kwanza..

Kuhusu kutafutiwa Mke Unajisahau kabisa kwamba Isaka alikuwa Uzao wa Nadhiri Na Ishmael alikuwa uzao wa Mwili???

Wagalatia 4:28-29

"Basi, ndugu zangu, kama Isaka sisi tu watoto wa ahadi. Lakini kama vile siku zile yule aliyezaliwa kwa mwili alivyomwudhi yule aliyezaliwa kwa Roho, ndivyo ilivyo na sasa."

Wazao wa Nadhiri wote Hutafutiwa Mke ndani ya Ukoo Na ulinzi wa Baba zao..(Fuatilia Kisa Cha Esau (Edomu) na Yakobo)

Kuhusu Urithi na kuwa Pamoja Je Hukusoma Kuwa Isaka na Ishmaeli walimzika Baba Yao alipofariki akiwa na Miaka 175??
Ndo maana nasema aliyetakiwa kuchinjwa ni wa ahadi na sio wa mwili. Ndio ni mke lakini walipokorofishana na mke wa ndoa bado alimfukuza. Kwa utajiri aliokua nao bado alimpa chakula kidogo sana Cha njiani. Kuna swali hapo la ukiwa wa hiyo ndoa.
 
Lea Hakuwa Mke wa Yakobo hahahah🤣🤣 ndo maana Watoto wa Leah hawakurithi kitu..
Nimekuibia siri hiyo
Lea alikaa kwenye kiti Cha mke upande wa Rohoni. Lawi mzaliwa wake ndio alikua badala ya mzaliwa wa kwanza wa Israel mbele za Mungu. Yuda mzaliwa wake wa nne ndio aliyepewa kiti Cha ukombozi wa Dunia. Kwa jinsi ya mwili hakuwa mke lakini usiku ule alipopewa Yakobo akaingia kwake walifunga agano la ndoa kwenye ulimwengu wa Roho. Yakobo alilipa mahari, alimkuta mke ni bikra lakini siye aliyempenda.
Ilibidi atumike miaka mingine 7 ili apate alichokipenda. Na bado Yusuphu baada ya kupewa haki ya uzaliwa wa kwanza bado Taifa lake lilikuja kuparanganyika. Wale wayahudi waliopo Leo Wana tafuta asili yako kutoka Yuda. Hawaitafuti kutoka Manase, Reubeni au Benjamini. Wanaitafutia Kwa Yuda mzaliwa wa Leah mke halali wa kwanza wa Yakobo ambae hakuwahi kupendwa.
 
Unaifata tafsiri ya watu badala kuifata "tafsil" ya Qur'an, hilo neno siyo hapo tu limetumika katika Qur'an, limetumika na kwengine halimaanishi kumchinja mtu kwa kumkata shingo yake. Hiyo ni tafsida ambayo wengi imewapiga chenga.

Soma hapo hapo ulipo mbele yake kidogo aya ya 107 utalikuta hilo neno lina kisra na kutamkika "dhibh" siyo tena dhabah kama juu hapo ulipopanukuu wewe, unajuwa maana yake hiyo? Maana yake ni "incision" au mkato mdogo siyo kuchinja kama walivyopotosha watu.

Naona hapo umefata porojo za watu na hukuifata Qur'an, Qur'an inajieleza (self-explanatory) na kujibainisha (mubyin) yenyewe, haijawacha kitu kinaning'inia (hanging) ili kije kitiwe mikono ya watu. Hakuna neno la mtu linaloweza kuwa na ubora au uelewa zaidi ya Qur'an.

Ukisoma kuhusu "locution" au lexicon utanielewa nasema nini.

Hiyo uliyoitafsiri ni ndoto ambayo Ibrahim anamuekeza mwanae alichoota, ukitaka kuelewa ni mwanae yupi soma sura hiyohiyo aya ya 113.
Samahani sana kwa Swali Hili Dada angu?
No offence but!...

Unajua kweli Kiarabu na Unafahamu hata Grammar النحو (an-nahw)?

Mwalimu aliyekufundisha alikosa kukufahamisha kitu cha Muhimu sana Kuhusu Tofauti ya Nomino (الأسماء ...(al-asma)) na Kitenzi (الأفعال" (al-afʻāl))..
Kama alikufundisha basi utakuwa Umesahau kidogo..

Aya ya mwanzo aya Ya 102 sura hiyo Ya ass'Affat
Neno liliotumika lilikuwa ni "أَنِّي أَذْبَحُكَ فَانظُرْ. " annī adhbaḥuka fa-unẓur

Umeshindwa kujua Kama Matumizi ya Neno adhbahuka ni Kama kitenzi kuwa Nakuchinja..

Na matumizi ya Neno Dhibh kwenye aya ya 107 ni "Kichinjo" kama Nomino?

وَفَدَيْنَاهُ بِذِبْحٍ عَظِيمٍ

"Wa fadaynāhu bi-dhbḥin ʿaẓīm."

Umenisikitishi kutokujua Kinachotamkwa hapo Ni kuwa Tukampa Kichinjo (Kichinjwacho) Kitukufu..

Kwa hiyo kwa maana yako Mungu ndyo alitahiri wa kina Ibraham?😅

Nisamehe kusema hivi ila unahitaji kusoma tena Lughatul arabiya..

Hapo Neno hilo baada ya kuwekewa Kasri limechange kutoka kuwa Kuchinja kuwa Kichinjo ambayo ni nomino..

Sasa Naomba niazime Macho unifatilie Kwa aya zingine Neno hilo hilo lilipotumika likiwa na maana Sawa ya Kuchinja..
Tusome wote Suratul Baqarah aya ya 71..


قَالَ إِنَّهُۥ يَقُولُ إِنَّهَا بَقَرَةٌۭ لَّا ذَلُولٌۭ تُثِيرُ ٱلْأَرْضَ وَلَا تَسْقِى ٱلْحَرْثَ مُسَلَّمَةٌۭ لَّا" شِيَةَ فِيهَا ۚ قَالُوا۟ ٱلْـَٰٔنَ جِئْتَ بِٱلْحَقِّ ۚ فَذَبَحُوهَا وَمَا كَادُوا۟ يَفْعَلُونَ

inasomeka namna Hii kwa wale wanaotaka kufatilia Mjadala..

"Qala innahu yaquulu innaha baqaratun la dhaluulun tuthiiru alardha wala tasqee alhartha musallamatun la shiyata fiiha qaloo alana jita bialhaqqi fadhabahooha wama kaduu yafAAluuna"

Nikianza na aya Hii ambayo Tafsiri yake ni kwamba..

"Akasema: Yeye anasema: Kuwa huyo ni ng'ombe asiye tiwa kazini kulima ardhi wala kumwagia maji mimea, mzima, hana baka. Wakasema: Sasa umeleta haki. Basi wakamchinja, na walikaribia kuwa wasifanye hayo."
nakupa na Aya ya ziada unaweza ukapitia Pia Suratul Baqara aya ya 67 pia..

Turudi sasa..
Kwenye Aya hiyo Ya Suratul Baqara nafikiri Unakumbuka Kuwa Mwenyzi Mungu aliwaamba Wana wa Israel khusu Kuchinja Ng'ombe na Musa akawa anawaambia Soma kuanzia Aya ya 67...

Sasa Unataka Kuniambia Mungu aliamrisha Kutahiri Ng'ombe 🤣🤣🤣

Na wacha hiyo Tusome neno lililotumika hapo kwenye 71 ni fadhabahooha..


hiyo dhahiri kwamba aliyechinjwa Hapo ni Ngombe Jike sasa Swali Je Ngombe Jike kwanini Walimtahiri ikiwa Wewe Adhabh ni kutahiri..
Walikata nini kwa Ng'ombe Jike 🤣🤣

Dada Yangu Faiza unatakiwa usome..
Na ukubali si kila kitu utajua
 
Ndio maana nikakuambia kuwa ukisoma Biblia usiishie kwenye aya moja.

Soma
Mwanzo 21:10,12-13
[10]Kwa hiyo akamwambia Ibrahimu, Mfukuze mjakazi huyu na mwanawe, maana mwana wa mjakazi hatarithi pamoja na mwanangu, Isaka.

[12]Mungu akamwambia Ibrahimu, Neno hili lisiwe baya machoni pako, kwa ajili ya huyo mwana, na huyo mjakazi wako. Kila akuambialo Sara, sikiza sauti yake, kwa maana katika Isaka uzao wako utaitwa.

[13]Naye mwana wa mjakazi nitamfanya kuwa taifa, maana huyu naye ni uzao wako.



Hapo Mungu mwenyewe anamtambua Hajiri kama mke au mjakazi?
SO you Declare That bible is Contradictory Documents
 
Lea alikaa kwenye kiti Cha mke upande wa Rohoni. Lawi mzaliwa wake ndio alikua badala ya mzaliwa wa kwanza wa Israel mbele za Mungu. Yuda mzaliwa wake wa nne ndio aliyepewa kiti Cha ukombozi wa Dunia. Kwa jinsi ya mwili hakuwa mke lakini usiku ule alipopewa Yakobo akaingia kwake walifunga agano la ndoa kwenye ulimwengu wa Roho. Yakobo alilipa mahari, alimkuta mke ni bikra lakini siye aliyempenda.
Ilibidi atumike miaka mingine 7 ili apate alichokipenda. Na bado Yusuphu baada ya kupewa haki ya uzaliwa wa kwanza bado Taifa lake lilikuja kuparanganyika. Wale wayahudi waliopo Leo Wana tafuta asili yako kutoka Yuda. Hawaitafuti kutoka Manase, Reubeni au Benjamini. Wanaitafutia Kwa Yuda mzaliwa wa Leah mke halali wa kwanza wa Yakobo ambae hakuwahi kupendwa.
Mkuu Hicho kiti cha rohoni nani Alikiweka??
Na kumbuka Ruben alikuwa Mzaliwa wa Kwanza wa Lea mpaka alipopokonywa..

Kingine Yuda Alifanya madudu na Tamari mkwewe umesahau??
 
Samahani sana kwa Swali Hili Dada angu?
No offence but!...

Unajua kweli Kiarabu na Unafahamu hata Grammar النحو (an-nahw)?

Mwalimu aliyekufundisha alikosa kukufahamisha kitu cha Muhimu sana Kuhusu Tofauti ya Nomino (الأسماء ...(al-asma)) na Kitenzi (الأفعال" (al-afʻāl))..
Kama alikufundisha basi utakuwa Umesahau kidogo..

Aya ya mwanzo aya Ya 102 sura hiyo Ya ass'Affat
Neno liliotumika lilikuwa ni "أَنِّي أَذْبَحُكَ فَانظُرْ. " annī adhbaḥuka fa-unẓur

Umeshindwa kujua Kama Matumizi ya Neno adhbahuka ni Kama kitenzi kuwa Nakuchinja..

Na matumizi ya Neno Dhibh kwenye aya ya 107 ni "Kichinjo" kama Nomino?

وَفَدَيْنَاهُ بِذِبْحٍ عَظِيمٍ

"Wa fadaynāhu bi-dhbḥin ʿaẓīm."

Umenisikitishi kutokujua Kinachotamkwa hapo Ni kuwa Tukampa Kichinjo (Kichinjwacho) Kitukufu..

Kwa hiyo kwa maana yako Mungu ndyo alitahiri wa kina Ibraham?😅

Nisamehe kusema hivi ila unahitaji kusoma tena Lughatul arabiya..

Hapo Neno hilo baada ya kuwekewa Kasri limechange kutoka kuwa Kuchinja kuwa Kichinjo ambayo ni nomino..

Sasa Naomba niazime Macho unifatilie Kwa aya zingine Neno hilo hilo lilipotumika likiwa na maana Sawa ya Kuchinja..
Tusome wote Suratul Baqarah aya ya 71..


قَالَ إِنَّهُۥ يَقُولُ إِنَّهَا بَقَرَةٌۭ لَّا ذَلُولٌۭ تُثِيرُ ٱلْأَرْضَ وَلَا تَسْقِى ٱلْحَرْثَ مُسَلَّمَةٌۭ لَّا" شِيَةَ فِيهَا ۚ قَالُوا۟ ٱلْـَٰٔنَ جِئْتَ بِٱلْحَقِّ ۚ فَذَبَحُوهَا وَمَا كَادُوا۟ يَفْعَلُونَ

inasomeka namna Hii kwa wale wanaotaka kufatilia Mjadala..

"Qala innahu yaquulu innaha baqaratun la dhaluulun tuthiiru alardha wala tasqee alhartha musallamatun la shiyata fiiha qaloo alana jita bialhaqqi fadhabahooha wama kaduu yafAAluuna"

Nikianza na aya Hii ambayo Tafsiri yake ni kwamba..

"Akasema: Yeye anasema: Kuwa huyo ni ng'ombe asiye tiwa kazini kulima ardhi wala kumwagia maji mimea, mzima, hana baka. Wakasema: Sasa umeleta haki. Basi wakamchinja, na walikaribia kuwa wasifanye hayo."
nakupa na Aya ya ziada unaweza ukapitia Pia Suratul Baqara aya ya 67 pia..

Turudi sasa..
Kwenye Aya hiyo Ya Suratul Baqara nafikiri Unakumbuka Kuwa Mwenyzi Mungu aliwaamba Wana wa Israel khusu Kuchinja Ng'ombe na Musa akawa anawaambia Soma kuanzia Aya ya 67...

Sasa Unataka Kuniambia Mungu aliamrisha Kutahiri Ng'ombe 🤣🤣🤣

Na wacha hiyo Tusome neno lililotumika hapo kwenye 71 ni fadhabahooha..


hiyo dhahiri kwamba aliyechinjwa Hapo ni Ngombe Jike sasa Swali Je Ngombe Jike kwanini Walimtahiri ikiwa Wewe Adhabh ni kutahiri..
Walikata nini kwa Ng'ombe Jike 🤣🤣

Dada Yangu Faiza unatakiwa usome..
Na ukubali si kila kitu utajua
Oya hivi vyote umesoma plus medicine?..uko poa Sana,itakua wazitumia vizuri saa 24
 
IMG_0403.gif


Hii ndio Safari ya Ibrahim kulingana na Jews tradition.

Kutoka Yerusalem hadi Mecca ni km 1400 sasa humu ndani kuna mtu amesema Ibrahim alimpeleka Ishmael na Hagar Mecca alafu akarudi kwa Sarah, alafu akawapa tende tu😂😂😂😂😂😂

Ukiangalia kwa makini sana Safari Ibrahim kutoka Ur hadi kaanani alipita sehemu ambazo ni Habitable yaani kuna mito na si jangwa sana, Ila Ibrahim wa Waislam alitembea na kulanda landa Jangwani KM 2800 hakuna maji wala nini.

Waislam walikataa kabisa kuunganisha logic na elimu Dunia na Quran
 
Mkuu Hicho kiti cha rohoni nani Alikiweka??
Na kumbuka Ruben alikuwa Mzaliwa wa Kwanza wa Lea mpaka alipopokonywa..

Kingine Yuda Alifanya madudu na Tamari mkwewe umesahau??
Mungu siku ameumba vinavyoonekana aliumba na visivyoonekana. Kwenye order of things aliweka viti vyenye mamlaka mbalimbali. Ushawahi kujiuliza Kwa Nini adui alipoasi alitaka kuweka kiti chake juu ya kiti cha Mungu kilichopo upande wa kaskazini wa bustani ya Edeni ya Mbinguni?
Kwa Nini asitake tu kumtoa Mungu alikitaka na Kiti alichokua amekalia Mungu? Nafasi ni viti. Viti huwa vinatoa maelekezo vinataka Nini.
Mungu alitumia dhambi za wateule wake kuonesha yeye peke yake ndio mkamilifu.
Adam alitenda kosa la kutokutii, Ibrahim na Sara walikosa subira, Yakobo aliiba haki ya uzaliwa wa kwanza. Yuda alilala na mke wa mwanae tena kama kahaba, Musa alikua na kuona hasira, Daudi alikua mwasherati kama sio mzinzi, Solomon aliabudu miungu mingine. Wote hao Mungu aliwatumia ili kuonesha yeye anaweza kutumia yeyote Kwa kazi yake.
Bado kwenye ulimwengu usioonekana Leah alipendelewa. Kwa kutopendwa na Mume wake Mungu alilifungua tumbo lake. Alizaa Wana saba wanaojulikana. Haki ya Baraka alivyopewa Ibrahim ya kuwa Baba wa Mataifa ilitimia kupitia Leah, mzaliwa wa tumbo lake alipewa kiti Cha Enzi Cha kukaa mbele za Mungu milele kama mbalamwezi. Pia alipewa ahadi ya kutokukosekana mtu wa kukikalia hicho kiti milele.
Yesu utambulisho wake rasmi ni ," Simba wa kabila la Yuda, Mwanakondoo wa Mungu aondoaye dhambi za ulimwengu, shila la Yesse, mwana wa Daudi". Leah bado alikua na mamlaka kwenye ulimwengu ule usioonekana.
Yusuphu ni mkombozi wa Taifa ila bado usitawi wa Taifa ulimtegemea Yuda na uzao wake. Kati ya makabila mawili ambayo hayakumwasi Mungu baada ya kufanya scouting ya nchi Takatifu Kuna Caleb mwana wa Yefune wa kabila la Yuda. Yoshua alikua anaambatana na Musa Kwa hiyo aliuona Utukufu wa Mungu Kwa tofauti na hao wengine.
Baraka ya uzaliwa wa kwanza alipewa mwana wa Leah. Bado huoni mahindi ni yeye?
 
SO you Declare That bible is Contradictory Documents

Hiyo ni simulizi.
Kuna msimuliaji ambaye ni Musa alafu kuna dialogue ya Wahusika humo kwenye simulizi.

Kwa hiyo Quotation unapoitoa hasa inayohusu simulizi lazima ujue nani anayezungumza.
Wakristo wengi katika jambo hili wanachanganya madesa.

Kuna sehemu Munga akasema
Kuna sehemu Ibrahim akasema au Sarah akasema,
Alafu kuna sehemu ànayesimulia ni msimulizi.

Ndio Kilekile nawaambia Watu kuhusu Injili, Zaburi na Torati na vitabu vya Hadithi.
Sio kila neno kwenye Biblia ni amri au sheria ya Mungu.

Ukisoma biblia na sio tuu biblia bali kitabu chochote lazima yapo mambo utazingatia íli usijeleta tafrani.

Mfano ni hiyo ndoto ya Ibrahim ya kumtoa Mwanaye kafara iliyopo kwenye Quran. Hiyo ni ndoto na sio tukio la kweli.

Au Yesu anapotoa mfano alafu kuna Watu wanaochukua ule mfano kama tukio la kweli ni dalili ya kutozingatia kanuni za usomaji
 
Hiyo ni simulizi.
Kuna msimuliaji ambaye ni Musa alafu kuna dialogue ya Wahusika humo kwenye simulizi.

Kwa hiyo Quotation unapoitoa hasa inayohusu simulizi lazima ujue nani anayezungumza.
Wakristo wengi katika jambo hili wanachanganya madesa.

Kuna sehemu Munga akasema
Kuna sehemu Ibrahim akasema au Sarah akasema,
Alafu kuna sehemu ànayesimulia ni msimulizi.

Ndio Kilekile nawaambia Watu kuhusu Injili, Zaburi na Torati na vitabu vya Hadithi.
Sio kila neno kwenye Biblia ni amri au sheria ya Mungu.

Ukisoma biblia na sio tuu biblia bali kitabu chochote lazima yapo mambo utazingatia íli usijeleta tafrani.

Mfano ni hiyo ndoto ya Ibrahim ya kumtoa Mwanaye kafara iliyopo kwenye Quran. Hiyo ni ndoto na sio tukio la kweli.

Au Yesu anapotoa mfano alafu kuna Watu wanaochukua ule mfano kama tukio la kweli ni dalili ya kutozingatia kanuni za usomaji
Kwenye Quran Ibrahim aliota anamtoa kafara ismail alafu kesho yake akamuuliza amtoe asimtoe 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom