Japokua wanandoa wamebanwa lakini nikiri wazi watoto wa kwenye ndoa za kikristo wanafaidi mno malezi kuliko ndoa za kiislam

Japokua wanandoa wamebanwa lakini nikiri wazi watoto wa kwenye ndoa za kikristo wanafaidi mno malezi kuliko ndoa za kiislam

Mwezi huu nilienda msiba wa kikristo baada ya sala ya maiti (sina hakika kama inaitwa hivyo) wakaanza kusoma wasifu wa marehemu. Katika idadi ya watoto waliotajwa kuachwa na marehemu ikasemekana watano. Mke akasimama macho yamemtoka na kusema marehemu alikuwa na watoto wawili tu.

Watu wakamtuliza na wakasimamishwa watoto watatu sura copy ya marehemu. Ikaja kugundulika marehemu alikuwa na familia mbili kwa wakati mmoja katika mikoa 2 tofauti.

Point yangu hapa ni kwamba kutoruhusiwa katika dini ya kikristo kuwa na mke zaidi ya mmoja hakumaanishi ni uhakika wa kutokukuwepo kwa mwanamke/familia nyingine. Hivyo swala la imani ya upekee kwa watoto linakuwa ni la ungo endapo baba ataenda nje ya ndoa. Hili linaweza tokea kwa wa dini yeyote, hivyo usiweke upekee wa wakristo maana mwisho wa siku kuzaa nje ya ndoa ni swala la mtu husika na si dini yake.

Kuhusu amani ya mtoto kuishi kwa.

Uzi uishie hapa
 
Mwezi huu nilienda msiba wa kikristo baada ya sala ya maiti (sina hakika kama inaitwa hivyo) wakaanza kusoma wasifu wa marehemu. Katika idadi ya watoto waliotajwa kuachwa na marehemu ikasemekana watano. Mke akasimama macho yamemtoka na kusema marehemu alikuwa na watoto wawili tu.

Watu wakamtuliza na wakasimamishwa watoto watatu sura copy ya marehemu. Ikaja kugundulika marehemu alikuwa na familia mbili kwa wakati mmoja katika mikoa 2 tofauti.

Point yangu hapa ni kwamba kutoruhusiwa katika dini ya kikristo kuwa na mke zaidi ya mmoja hakumaanishi ni uhakika wa kutokukuwepo kwa mwanamke/familia nyingine. Hivyo swala la imani ya upekee kwa watoto linakuwa ni la ungo endapo baba ataenda nje ya ndoa. Hili linaweza tokea kwa wa dini yeyote, hivyo usiweke upekee wa wakristo maana mwisho wa siku kuzaa nje ya ndoa ni swala la mtu husika na si dini yake.

Kuhusu amani ya mtoto kuishi kwa baba na mama pamoja lina mantiki kama tu kuna amani. Ikiwa ndoa imejaa maugomvi hakuna amani yeyote anayopata mtoto na hata wanasaikolojia wanashauri suluhu ikikosekana kabisa katika ndoa ni busara wanandoa wakaachana kwa faida ya amani ya watoto.
Kwa mara nyingine tena linakuja pale pale katika swala la uhusika wa watu binafsi katika kuwepo amani ya ndoa na sio swala la dini.
Ndio maana umesema mchepuko ukimaanisha sio rasmi
 
Sasa hilo ni suala lingine la watoto wa nje ambalo si halali, Tuzungumzie watoto halali wa ndani ya ndoa.
Tuangalie tu kiujumla hapa bongo walio vizuri kiuchumi wa upande upi........halafu tuje kwenye hali za kifamilia
 
Pana point hapo, hata Kikwete nae ana mke moja pekee.

Wa kwanza sijui kilitokea nini, yupo na Salma kitambo sana.

Nae hussein Mwinyi ana mke wake moja mhehe wa Iringa,

Wa kwanza alifariki. Ndie mama yao na kina Ridhwani
 
Wana mitala sana sema pesa ipo uwezi sikia kelele mkuu.

Hii ni information era. Siri hazitunziki zama hizi.

Maana ndoa inasajiliwa Rita, na kwenye taasisi za dini ambazo zina wafanyakazi wengi. Wakiona wanavujisha umbea

Wafanyakazi wa Rita ni waswahili kina sisi.

Bakhressa , ama Mo dewji awe na ndoa ya mitala halafu umbea usivuje kweli ?
 
Wakristo kwa kujifariji mpo vizuri aiseee kutwa mada za kuudhihaki Uislamu

Ivi hawa wanotembea uchi huku mitaani ndo wamepata maadili mema kutoka kwa wazazi?
Na hawa wanoenda na vimini kanisani ndo maadili mema hayo?

Embu jitafakari vzr hlf njoo tena uandike
Hemu rudia tena ku-usoma uzi.
 
Bila shaka ndoa za kiislam wanandoa huwa wanafaidi sana linapokuja suala la kuongeza mke, kuoa ama kuolewa upya kwa urahisi, talaka, n.k. na haya mambo ndio penye udhaifu wa ndoa za kikristo, hata talaka tu inaweza chukua miaka, wanandoa wengi hubanana humo humo.

Ila linapokuja suala la watoto jamani hapa wakristo wapo mbali mno,

Hatari ya kukosa malezi ya baba aidha pale mzee akiongeza mke na kuhamishia majeshi yote kwa mke mpya ama kutoa talaka kwa mama yake mtoto inapungua. Baba kapigwa pini haswa, hata akitamani binti huko nje inakua ngumu kuoa upya, labda aongeze mchepuko.

Mtoto anapata amani kuona baba na mama wanaishi pamoja, hata kama wazazi wamegombana, kuna ile furaha mtoto anaipata kwamba baba yake na mama yake wanaishi pamoja.

Watoto wana uwezekano mkubwa wa kupata mahitaji muhimu kama elimu, chakula, mavazi, n.k.

Watoto wana uhakika zaidi urithi unabaki kwenye familia yao. Hata kama baba alikuwa na mchepuko na watoto wa nje ni ngumu na nadra sana kwao kuja msibani ama kugombea mali, michepuko na watoto wa nke huwa wanapewa msisitizo wasiingilie kabisa mambo ya familia kuu. Labda kama mzee aache hati ya urithi kuwajumuisha hao wengine.
Uilam unaujuwa au unakurupuka tu?
 
Back
Top Bottom