Uchaguzi 2020 Japokuwa kukaa kimya ni jibu, Serikali inatakiwa ijibu hizi tuhuma

Uchaguzi 2020 Japokuwa kukaa kimya ni jibu, Serikali inatakiwa ijibu hizi tuhuma

Jibu swali ameziiba vipi?
Watu wa maeneo Yale hasa wanyonge walikua na ardhi yao waliotumia kwa kilimo na ufugaji kwa miaka mingi sana. Leo hawa wanyonge ardhi yao wamekatazwa wasiilime wala kufugia kwsabb Mtawala ama watawala wamegawana na kupga marufuku wanyonge wananchi kuitumia. Na hawana pa kufanya shughuli zao ili wapate riziki yao.

\
 
CCM hawawezi jibu tuhuma zipo nyingi wananchi wanataka majibu Kuna ile ishu ya vyeti vya kuzaliwa vya mgombea wao nao wamepoteana wananchi wanataka aonyeshe cheti Chake cha kuzaliwa, pili ishu ya karagwe kuporwa ardhi kibabe, uporaji wa ardhi za wananchi na kuzigeuza hifadhi, mikataba ya miradi nk.
 
Hapa umeshatoa majibu kwahiyo serikali haina haja ya kukanusha bali waongo wataumbuliwa na sanduku
Wahenga wanasema uongo ukizidi hugeuka kuwa ukweli. Kama ni uzushi lazima ukanushwe. Mbona suala la kubambikia wafanyabiashara kesi za uhujumu uchumi wamekanusha?
 
Hawawezi kutoa ufafanuzi kwa sababu siyo tuhuma bali ndiyo ukweli wenyewe.

Kwani umewahi kusikia ufafanuzi wa:
1) Nani alitaka kumwua Lisu?
2) Nani alimpoteza Saanane?
3) Nani alimpoteza Azory?
4) Nani alimwua Mawazo?
5) Na yule diwani wa Dar, Morogoro, Kigoma?
6) Ambaye amekuwa akiwanyima watu haki ya kuishi amewahi kuhojiwa na yeyote?

Lililo wazi ni kuwa hao wote walikuwa ama wakiikosoa Serikali au Rais.

Taifa halipakwi matope bali Taifa linadhulumika kwa mauaji yanayofanywa na hayawani walioaaminiwa. Na hata wao wauaji hawapakwi matope bali wanaelezwa kwa namna ambavyo wapo.



Sent using Jamii Forums mobile app
👆👆👆Kwa hayo ulotaja na ubaya mwengine mwingi alotufanyia magufuli, bado kuna wanaotaka aendelee!!!.
Jamani zindukeni MAGUFULI hafaiiiiiii...... Narudia tena Magufuli hafaiiiiiii...

Kiongozi gani huyu anaye dhuru uhai wetu, uhuru wetu, uchumi wetu, hisia zetu,..... Magufuli hafai kuendelea kuongoza akapumzike.
 
Back
Top Bottom