Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Sasa watajibu nini wakati ukweli wote Uko wazi...Magu akifungua tu domo lake ndo tutaachia mafaili zaidi...afungue mdomo tumpe vidonge vyake ameze, na kusema kweli tunataka afungue domo lake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa maeneo Yale hasa wanyonge walikua na ardhi yao waliotumia kwa kilimo na ufugaji kwa miaka mingi sana. Leo hawa wanyonge ardhi yao wamekatazwa wasiilime wala kufugia kwsabb Mtawala ama watawala wamegawana na kupga marufuku wanyonge wananchi kuitumia. Na hawana pa kufanya shughuli zao ili wapate riziki yao.Jibu swali ameziiba vipi?
Hujui maana ya kuiba?Jibu swali ameziiba vipi?
Unaweza kuiba ardhi?hujui maana ya kuiba?
Magufuli akiweza kulitolea ufafanuzi suala la Lissu nakunya hapa kariakooNdio maana nasema watupe ufafanuzi,kama walivyofafanua juu ya vitambulisho vya wajasiriamali. Watuambie ni kweli au sio kweli. Nani hao waliomkimbiza na waliompiga risasi Lissu.
Ukweli wa jambo hili unamhusisha Magufuli moja kwa moja,do you think hana akili kabisa mpaka ajikaange mwenyewe?Kwa hiyo ulitaka ifanye uchunguzi wa uongo ili idanganye? Tunataka ukweli,wewe vipi?
Mmepewa hoja jibuniLissu,Zitto na wapinzani wanachukua hatua gani? Kuongea majukwaani kama Kamachumu? Hii haitoshi wanatakiwa waibane serikali
Lakini mimi naona kadiri kampeni zinavyoenda kuna mambo huko mbele yatafumuka. Ngoja uchaguzi uishe.Magufuli akiweza kulitolea ufafanuzi suala la Lissu nakunya hapa kariakoo
Wewe unao ushahidi?Ukweli wa jambo hili unamhusisha magufuli moja kwa moja,do you think hana akili kabisa mpaka ajikaange mwenyewe?
Nani?Mmepewa hoja jibuni
Lissu kasema waliotaka kumuua Ansbert ndio waliompatia ulemavu. Yeye anawajua,serikali iseme ni akina nani au Lissu athibitishe.aliyetaka kumuua Lissu ni nani?
tuanzie hapo kwanza..
Hapa umeshatoa majibu kwahiyo serikali haina haja ya kukanusha bali waongo wataumbuliwa na sandukuSheria ya uchaguzi na maadili ya uchaguzi yanataka wagombea wawe wanakosoana kwa sera au hoja ambazo zina ukweli,sio uzushi.
Chama chakealiyetaka kumuua Lissu ni nani?
tuanzie hapo kwanza..
Wahenga wanasema uongo ukizidi hugeuka kuwa ukweli. Kama ni uzushi lazima ukanushwe. Mbona suala la kubambikia wafanyabiashara kesi za uhujumu uchumi wamekanusha?Hapa umeshatoa majibu kwahiyo serikali haina haja ya kukanusha bali waongo wataumbuliwa na sanduku
Inawezekana ndio tena sanaUnaweza kuiba ardhi?
👆👆👆Kwa hayo ulotaja na ubaya mwengine mwingi alotufanyia magufuli, bado kuna wanaotaka aendelee!!!.Hawawezi kutoa ufafanuzi kwa sababu siyo tuhuma bali ndiyo ukweli wenyewe.
Kwani umewahi kusikia ufafanuzi wa:
1) Nani alitaka kumwua Lisu?
2) Nani alimpoteza Saanane?
3) Nani alimpoteza Azory?
4) Nani alimwua Mawazo?
5) Na yule diwani wa Dar, Morogoro, Kigoma?
6) Ambaye amekuwa akiwanyima watu haki ya kuishi amewahi kuhojiwa na yeyote?
Lililo wazi ni kuwa hao wote walikuwa ama wakiikosoa Serikali au Rais.
Taifa halipakwi matope bali Taifa linadhulumika kwa mauaji yanayofanywa na hayawani walioaaminiwa. Na hata wao wauaji hawapakwi matope bali wanaelezwa kwa namna ambavyo wapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Silence means yesWewe unao ushahidi?
Sio kweli,ardhi huwa haiibiwi,bali inamilikiwa isivyo kihalali. Je hiyo anayosema Lissu, JPM anamiliki kihalalai?inawezekana ndio tena sana