Uchaguzi 2020 Japokuwa kukaa kimya ni jibu, Serikali inatakiwa ijibu hizi tuhuma

Uchaguzi 2020 Japokuwa kukaa kimya ni jibu, Serikali inatakiwa ijibu hizi tuhuma

👆👆👆Kwa hayo ulotaja na ubaya mwengine mwingi alotufanyia magufuli, bado kuna wanaotaka aendelee!!!.
Jamani zindukeni MAGUFULI hafaiiiiiii...... Narudia tena Magufuli hafaiiiiiii...
Kiongozi gani huyu anaye dhuru uhai wetu, uhuru wetu, uchumi wetu, hisia zetu,..... Magufuli hafai kuendelea kuongoza akapumzike.
Unao ushahidi? Na kwa nini hamchukui hatua stahiki?
 
Lissu ni mgonjwa wa akili kila mtanzania ana fahamu! Kama anajua waliotaka kumuua sasa mbona analilia polisi wafanye uchunguzi wakati anajua fika polisi ndio walihusika?

Huyo ni mgonjwa wa akili nafikiri kuna risasi ipo kwenye ubongo wa Lissu!
 
Kadiri kampeni zinavyodhidi kunoga ndio kila siku tunazidi kusikia kila aina ya tuhuma,tuhuma ambazo wagombea urais wanaona zinaweza kuwapa kete ya kupata kura.

Akiwa Kamachumu mkoani Kagera mgombea wa urais kwa kupitia Chadema ametoa tuhuma ambazo kwangu mimi naona kama zinahitaji kupatiwa majibu. Maana kwa taifa kama Tanzania ambalo linafuata misingi ya katiba na sheria tuhuma kama hizi ni kama nchi yetu inachafuliwa,japokuwa ni kipindi cha kampeni. Na Sheria ya uchaguzi na maadili ya uchaguzi yanataka wagombea wawe wanakosoana kwa sera au hoja ambazo zina ukweli,sio uzushi.

Akiwa Kamachumu Lissu amesikika akidai kuwa serikali ya Ccm ilitaka kumuua mwandishi wa habari Ansbert Ngurumo ndio maana akakimbilia ughaibuni,pia amesisitiza walewale waliompiga risasi na kumfanya awe kilema ndio waliotaka kumuua Ansbert Ngurumo.

Hizi tuhuma kwa taifa letu ambalo limesaini mikataba mingi tu ya kimataifa kulinda haki za raia wake,na hata kwenye katiba ya JMT haki ya kuishi imetambuliwa wazi,sio tuhuma nzuri na zinalichafua taifa letu.

Kwa hiyo serikali kukaa kimya bila kukanusha au kuzitolea ufafanuzi,tuhuma hizi zinalipaka matope taifa letu na huenda zikaaminiwa na watu kuwa ni kweli.
Hivyo kama ambavyo imekuwa ikitoa ufafanuzi juu ya masuala mbali mbali yanayopotoshwa,hata juu ya hizi tuhuma tuambiwe kama ni kweli au si kweli.
Tarehe 28/10/2020: Siku ya kuweka Historia kuu Tanzania
 
Lissu ni mgonjwa wa akili kila mtanzania ana fahamu! Kama anajua waliotaka kumuua sasa mbona analilia polisi wafanye uchunguzi wakati anajua fika polisi ndio walihusika?

Huyo ni mgonjwa wa akili nafikiri kuna risasi ipo kwenye ubongo wa Lissu!
Mgombea wenu aliwahi kuacha kumeza vidonge vya ugonjwa wa akili?

Mara moja moja anasahau na kuwaagiza wananchi wakajisaidie nyumbani kwa mkurugenzi wa halmashauri.

Jogoo hoyeee
 
Watanzania sio wapumbavu,mpumbavu ni wewe ambae umeshindwa kufahamu kuwa serikali ndio inayowakilisha watanzania mil 60 ndio inatakiwa kujibu hizi tuhuma. Hata Au au Un wakifuatilia hizi tuhuma za watu kuuwawa ni serikali ndio itawajibishwa,sio kila mtanzania.
We ni .........kabisa, kwani umewahi kusikia tuhuma ulizotaja zikitolewa ufafanuzi wowote wa kina? Viongozi/watu mashuhuri wangapi wamekufa au kupotea katika mazingira ambayo yanatia wasiwasi na hakuna hatua za haraka zilizochukuliwa!!! Ni marangapi tumeskia majambazi kadhaa wameuawa, iweje kwa watu wasiojulikana kukamatwa na japo kuuawa pia?...Kiujumla Nchi yetu tunasafari ndefu kiasi kuutaka huu usawa na haki zitekelezwe inavyotakiwa hususani kwa serikali hii iliyopo.
 
Lissu ni mgonjwa wa akili kila mtanzania ana fahamu! Kama anajua waliotaka kumuua sasa mbona analilia polisi wafanye uchunguzi wakati anajua fika polisi ndio walihusika?

Huyo ni mgonjwa wa akili nafikiri kuna risasi ipo kwenye ubongo wa Lissu!
Kwa haya uliyoandika we na Lissu nani mgonjwa wa akili ,mgonjwa wa akili anafanya mkeshe humu hadi mgombea wa CCM anaropoka hovyo
 
We ni .........kabisa, kwani umewahi kusikia tuhuma ulizotaja zikitolewa ufafanuzi wowote wa kina? Viongozi/watu mashuhuri wangapi wamekufa au kupotea katika mazingira ambayo yanatia wasiwasi na hakuna hatua za haraka zilizochukuliwa!!! Ni marangapi tumeskia majambazi kadhaa wameuawa, iweje kwa watu wasiojulikana kukamatwa na japo kuuawa pia?...Kiujumla Nchi yetu tunasafari ndefu kiasi kuutaka huu usawa na haki zitekelezwe inavyotakiwa hususani kwa serikali hii iliyopo.
Lissu yupo hapa Tanzania,na yeye ndio mhanga mkuu,Ansbert yupo ulaya. Wanaweza kutumia Interpol kuwataja waliotaka kuwaua na serikali ikasema ukweli.
 
Lisu ni mgonjwa wa akili.


Ila ni mgonjwa mzuri mwenye ufahamu kuliko wewe, maana unaonekana mgonjwa wa akili. Hivi hujui Lissu alipigwa risasi mchana kweupe kwenye makazi ya viongozi wa serikali? kwa nini walinzi wote waliondolewa? kwa nini cctv camera iliondolewa? Halafu kwa akili zako za kichaa unasema Lissu ni mgonjwa wa akili. mtu ambaye huwezi kukusanya hata watu 10 wakakusikiliza unamwita Lissu mgonjwa wa akili mtu anayeaminiwa na mamilioni ya wananchi hakika wewe ni kichaa kabisa
 
kwa haya uliyoandika we na lissu nani mgonjwa wa akili ,mgonjwa wa akili anafanya mkeshe humu hadi mgombea wa CCM anaropoka hovyo
Wewe acha kuropoka hovyo,amesema waliompa ulemavu anawajua,wanaotaka kumuua Ansbert anawajua. Kwa hiyo tunataka serikali ijibu hizi tuhuma kama ni kweli. Au la Lissu athibitishe.
 
Hawawezi kutoa ufafanuzi kwa sababu siyo tuhuma bali ndiyo ukweli wenyewe.

Kwani umewahi kusikia ufafanuzi wa:
1) Nani alitaka kumwua Lisu?
2) Nani alimpoteza Saanane?
3) Nani alimpoteza Azory?
4) Nani alimwua Mawazo?
5) Na yule diwani wa Dar, Morogoro, Kigoma?
6) Ambaye amekuwa akiwanyima watu haki ya kuishi amewahi kuhojiwa na yeyote?

Lililo wazi ni kuwa hao wote walikuwa ama wakiikosoa Serikali au Rais.

Taifa halipakwi matope bali Taifa linadhulumika kwa mauaji yanayofanywa na hayawani walioaaminiwa. Na hata wao wauaji hawapakwi matope bali wanaelezwa kwa namna ambavyo wapo.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ufafanuzi uliotukuka. Shukurani Mkuu.
 
Ingawa sio kila tuhuma inapaswa kujibiwa ni vyema kila wakipata nafasi wakazijibu baadhi yake, kwani zina madhara katika jamii zikiendelea kusikika kwa muda mrefu bila ufafanuzi zinaweza onekana kuwa ni kweli.
 
Back
Top Bottom