Hawawezi kutoa ufafanuzi kwa sababu siyo tuhuma bali ndiyo ukweli wenyewe.
Kwani umewahi kusikia ufafanuzi wa:
1) Nani alitaka kumwua Lisu?
2) Nani alimpoteza Saanane?
3) Nani alimpoteza Azory?
4) Nani alimwua Mawazo?
5) Na yule diwani wa Dar, Morogoro, Kigoma?
6) Ambaye amekuwa akiwanyima watu haki ya kuishi amewahi kuhojiwa na yeyote?
Lililo wazi ni kuwa hao wote walikuwa ama wakiikosoa Serikali au Rais.
Taifa halipakwi matope bali Taifa linadhulumika kwa mauaji yanayofanywa na hayawani walioaaminiwa. Na hata wao wauaji hawapakwi matope bali wanaelezwa kwa namna ambavyo wapo.
Sent using
Jamii Forums mobile app