Uchaguzi 2020 Japokuwa kukaa kimya ni jibu, Serikali inatakiwa ijibu hizi tuhuma

Unao ushahidi? Na kwa nini hamchukui hatua stahiki?
 
Lissu ni mgonjwa wa akili kila mtanzania ana fahamu! Kama anajua waliotaka kumuua sasa mbona analilia polisi wafanye uchunguzi wakati anajua fika polisi ndio walihusika?

Huyo ni mgonjwa wa akili nafikiri kuna risasi ipo kwenye ubongo wa Lissu!
 
Tarehe 28/10/2020: Siku ya kuweka Historia kuu Tanzania
 
Lissu ni mgonjwa wa akili kila mtanzania ana fahamu! Kama anajua waliotaka kumuua sasa mbona analilia polisi wafanye uchunguzi wakati anajua fika polisi ndio walihusika?

Huyo ni mgonjwa wa akili nafikiri kuna risasi ipo kwenye ubongo wa Lissu!
Mgombea wenu aliwahi kuacha kumeza vidonge vya ugonjwa wa akili?

Mara moja moja anasahau na kuwaagiza wananchi wakajisaidie nyumbani kwa mkurugenzi wa halmashauri.

Jogoo hoyeee
 
We ni .........kabisa, kwani umewahi kusikia tuhuma ulizotaja zikitolewa ufafanuzi wowote wa kina? Viongozi/watu mashuhuri wangapi wamekufa au kupotea katika mazingira ambayo yanatia wasiwasi na hakuna hatua za haraka zilizochukuliwa!!! Ni marangapi tumeskia majambazi kadhaa wameuawa, iweje kwa watu wasiojulikana kukamatwa na japo kuuawa pia?...Kiujumla Nchi yetu tunasafari ndefu kiasi kuutaka huu usawa na haki zitekelezwe inavyotakiwa hususani kwa serikali hii iliyopo.
 
Lissu ni mgonjwa wa akili kila mtanzania ana fahamu! Kama anajua waliotaka kumuua sasa mbona analilia polisi wafanye uchunguzi wakati anajua fika polisi ndio walihusika?

Huyo ni mgonjwa wa akili nafikiri kuna risasi ipo kwenye ubongo wa Lissu!
Kwa haya uliyoandika we na Lissu nani mgonjwa wa akili ,mgonjwa wa akili anafanya mkeshe humu hadi mgombea wa CCM anaropoka hovyo
 
Lissu yupo hapa Tanzania,na yeye ndio mhanga mkuu,Ansbert yupo ulaya. Wanaweza kutumia Interpol kuwataja waliotaka kuwaua na serikali ikasema ukweli.
 
Lisu ni mgonjwa wa akili.


Ila ni mgonjwa mzuri mwenye ufahamu kuliko wewe, maana unaonekana mgonjwa wa akili. Hivi hujui Lissu alipigwa risasi mchana kweupe kwenye makazi ya viongozi wa serikali? kwa nini walinzi wote waliondolewa? kwa nini cctv camera iliondolewa? Halafu kwa akili zako za kichaa unasema Lissu ni mgonjwa wa akili. mtu ambaye huwezi kukusanya hata watu 10 wakakusikiliza unamwita Lissu mgonjwa wa akili mtu anayeaminiwa na mamilioni ya wananchi hakika wewe ni kichaa kabisa
 
kwa haya uliyoandika we na lissu nani mgonjwa wa akili ,mgonjwa wa akili anafanya mkeshe humu hadi mgombea wa CCM anaropoka hovyo
Wewe acha kuropoka hovyo,amesema waliompa ulemavu anawajua,wanaotaka kumuua Ansbert anawajua. Kwa hiyo tunataka serikali ijibu hizi tuhuma kama ni kweli. Au la Lissu athibitishe.
 
Ufafanuzi uliotukuka. Shukurani Mkuu.
 
Ingawa sio kila tuhuma inapaswa kujibiwa ni vyema kila wakipata nafasi wakazijibu baadhi yake, kwani zina madhara katika jamii zikiendelea kusikika kwa muda mrefu bila ufafanuzi zinaweza onekana kuwa ni kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…