Japokuwa nimeoa lakini wanawake ndio chanzo cha wanaume kufa mapema kwenye ndoa/familia

Japokuwa nimeoa lakini wanawake ndio chanzo cha wanaume kufa mapema kwenye ndoa/familia

Una uhakika hao wanawake huwa hawapazi sauti zao kwa magumu wanayopitia kwenye ndoa?? Au unajiandikia tu kwa mihemko yako ya kike hapa ambayo iko detached na reality??

Yaani watu mmewekewa mpaka wizara mbali na utitiri wa mataasisi ya kuwateteeni nyie halafu Bado unauliza eti "mbona wanawake hawapigi kelele"?... Kwanza Moja ya Sababu mnayosemaga ya nyie kutokufa mapema ni wepesi wa kusema yaliyomo moyoni mwenu.. Sasa hapa unauliza swali gani Tena?
Wewe umeona mada humu nyingi za wanawake kulia lia? Ile wizara ni ya "jinsia" means haichagui ni kwa ajili ya wote.
Halafu nafikiri inapaswa ujiulize wewe na wanawake wenzio mna ajenda gani dhidi ya wanaume kwa haya matukio yanayoendelea kwenye Tasinia nzima ya mahusiano...!!
Sie hatuna agenda yoyote, ni nyie tu akili zimegoma kufanya kazi yake. Au mmesahau kuwa ninyi ndio viongozi?
 
Mimi tu ndoa ikiwa na miaka 4 kwenye maugomvi ya hapa na pale mwenzangu si akalopoka eti sikupendi na najuta kuolewa na wewe aisee shetani aliniingia dakika hiyo hiyo nilichomfanya mwenywe nikikumbuka nashangaa sana.

Wanawake wachunge sana matendo yao hasa kwa sisi wanaume tunaotumia nguvu kubwa kuhakikisha maisha yanasonga mbele tuna akili nusu simba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja ulizoandika ni dhaifu sana yaani na ziko nje kabisa wa chanzo husika Cha tatizo, unaonekana Bado uko usingizini na hujui kabisa ni jinsi gani the whole atmosphere ya intersexual dynamics ilivyochange na kuwa unfavorable kwa so kwenye mahusiano/ndoa kama wanayopitia wanaume wa magharibi ambao mpaka wanafikia hatua ya kujiua??
Ndo maana nasema unyoro nyoro umezidi. Uzuri jamii bado ina wanaume strong wasioruhusu hisia kuwaendesha.
 
Yule sio mkury ni mchaga wa huko kibosho.

Ni mmoja ya watu wanaotumika kuiangamiza family stability ya kitanzania, maana mafundisho yake yanalenga watu kuachana na kutoheshimiana ndoani
Anaharibu sana mabinti na wanawake wasio jitambua
 
Mimi tu ndoa ikiwa na miaka 4 kwenye maugomvi ya hapa na pale mwenzangu si akalopoka eti sikupendi na najuta kuolewa na wewe aisee shetani aliniingia dakika hiyo hiyo nilichomfanya mwenywe nikikumbuka nashangaa sana.

Wanawake wachunge sana matendo yao hasa kwa sisi wanaume tunaotumia nguvu kubwa kuhakikisha maisha yanasonga mbele tuna akili nusu simba.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna binamu yangu yeye kuachana na mwanamke ni sawa na kughaili kwenda safari.
kosa dogo anapiga china na hajari ana mimba au lah
 
Hoja ulizoandika ni dhaifu sana yaani na ziko nje kabisa wa chanzo husika Cha tatizo, unaonekana Bado uko usingizini na hujui kabisa ni jinsi gani the whole atmosphere ya intersexual dynamics ilivyochange na kuwa unfavorable kwa ??? Ni kwanini huko kwa warabu na nchi nyingi za Asia wao taasisi ya ndoa iko imara na wanaume wao hawapitii mateso kwenye mahusiano/ndoa kama wanayopitia wanaume wa magharibi ambao mpaka wanafikia hatua ya kujiua??
This contribution is overrated, this is truly what is exactly happening on the ground. Women are now untouchable despite their commiting evils against men, laws and policies are now empowers women more suppressing men on contrary......itafikia hatua ndoa zisiwe na maana tena, imefikia hatua mwanamke anaona kuzaa ni mhimu zaidi kuliko kuwa na ndoa.
 
Una uthibitisho wowote usiokuwa na shaka kwamba kilichomo kwenye hivyo vitabu vya dini kiliandikwa na mwanaume????

Na pia kama viliandikwa na mwanaume kwanin kwenye zile sections ambazo zinawafavor nyie wanawake huwa mnakuwa so hurry kuzitaja na kumtaka mwanaume azifuate???(Sina haja ya kuzitaja ni sections zipi hizo)
Sijawahi kuzitaja na sizijui hizo sections. Nasisitiza Biblia iliandikwa na mwanaume; hutaki acha na kama umenuna “I dey ma house come beat me”….
 
Kama sio bikra usioe
Bikra haina msaada wowote kwenye utulivu wa mwanamke maana hata wanaojiuza uwanja wa Fisi nao walikuwa bikra.
Kaka yangu alikuwa mbabe pale home si akaoa aloo yule mwanamke si akafilisi biashra zote akawa anajenga kwao kwa ushirikiano na mama yake kaka alivyogundua na mwanamke akafungua kesi anataka waachane amechoka kukaa na mwanaume mlalamikaji anataka kugawana mali include nyumba wanayokaa navyoandika hapa ni kuwa mahakama wanasubiri kaka apate nafuu atoke hospitali ili waje waendeleze kesi.
Kama kwa sasa kapararise upande mmoja kwa sababu ya BP iliyotokana na u overthinking na stress
 
Mabibi na mabwana Habari za uzima wenu!.

Wakuu sijaenda kanisani Leo mwaka wa6 sasa bila kukanyaga kanisani. (Haiwahusu)

Nina USHAHIDI na mifano mingini sana ya wanaume waliokufa na chanzo wakiwa wake zao!

Hapa nitajikita na mifano 2 ama mitatu kama nitaweza kuandika hapahapa maana sipendi kuandika inaendelea....

Mwezi ulio pita tulimzika jirani yangu baada ya kujinyonga sababu haikuwekwa wazi sana.
Mke alisema alikuwa na madeni mengi sana (jambo ambalo siyo kweli)

Baada ya mazishi na siku kupita ndo yakaibuka yakuibuka chanzo Hadi jamaa alifikia hatua hiyo ya kujimaliza.


Story ipo Hivi;-Jamaa alikuwa ana nunua mlima wenye mawe na kuanza shughuli za kulipua mawe na kuuza Kwa wenye gari (ujenzi na kokoto)

Hii ndo ilikuwa kazi yake kubwa sana. Na ndo ilikuwa inamlisha yeye na familia yake pamoja na kusomesha Watoto wake.

Mke wake alikuwa ni mama wa nyumbani tu. Ila nyuma yake alijiingiza kwenye mikopo hii ya kausha damu.

Kuna baadhi ya vitu vilienda kama bufa screen na masofa kufidia deni alikuwa anadaiwa.

Hii ni mwaka Jana. Mme wake akaenda kuvikomboa vitu vyake na vipigo akatembeza Kwa mke wake.

Siku zikaenda Mme wake akapata shida ya afya akaenda matibabu ya kienyeji kwao mwanamke akabaki na familia na kuendeleza mradi wa mawe.

Mwanamke akenda kukopa Hela wakisadiana na kaka yake. Kaka yake aka act kama Mme wa yule mama. Dhamana wakaweka shamba heka5 ambalo pia lilikuwa zuri Kwa uchimbaji wa mchanga na Mme wake alinunua Kwa malengo hayo Kuwa siku za usoni atapiga Hela za mchanga pale.

Hela ikakopwa na akashindwa kurejesha shamba likaenda.
Muda huo Mme wake ni mgonjwa yupo Kwa waganga wakienyeji akipiga simu kuomba Hela anatumiwa na kuambiwa kazi inaenda vzr tu kule kwenye mawe.

Baada ya Mme wake kurudi kuja kuona family yake huku Bado akiwa anaendelea na matibabu ndo akaambiwa na watu huko kwenye pombe.

Kwanini ameshindwa kulipa deni na shamba likaenda ?

Hapo Sasa ndo akapata taarifa kuwa kumbe Hela alizokuwa anatumiwa ni za shamba lake!

Akarudi Kwa mke wake na kumuuliza akasema ni kweli aliamua kuchukua Hela Ili zimsaidie kwenye matibabu.

Akauliza kwanini hakumshirikisha akasema hakuna haja ya kusumbua mgonjwa. Nakumbuka ilikuwa usiku wa 4 wife akaniambia mbona kama Kuna ugomvi Kwa mama X? Nikamjibu achana nao hayakuhusu.

Katika marubano hayo wife alikili kuwa kauza,shamba, na baadhi ya viwanja walivyokuwa wamenunua.

Alipoulizwa Hela ziko wapi Sasa? Hana majibu. Ugomvi ulikuwa mkubwa sana Hadi mwenyekiti wa mtaa akaitwa hiyo sasa7 usiku.

Ikabidi awaambie kesho asbh ndo atakaa nao vzr hivyo mwanamke akaenda kulala Kwa mwenyekiti wa mtaa.

Jamaa hakulala siku hiyo Kwa maelezo ya mtoto mkubwa wa drs la5 alikesha akiongea mwenyewe "Nina faida Gani Sasa,viwanja vyangu vyote vimenda Hela kapeleka wapi? Nina faida Gani Sasa hapa?Nimekuja kufanyaje hapa"


Asbh ya saa12 akawambia Watoto wake nendeni mkamwambie mama yenu hataniona Tena nendeni Sasahivi mkamwambie hivyo

Yule binti akatoka mbio huku wadogo zake wakimfuata huku wanalia. Akajaribu kujinyongea mle ndani akashindwa.

Akaenda karibu na ule mlima wa mawe kulikuwa na mwembe karibu akajinyonga Hadi kufa mle hakuacha wosia wowote ule.

MyTake licha ya haya machache tuliyoyasikia nahisi yapo mengi zaidi ya haya. Kama mwanamke yeye alisema alikuwa anadaiwa na watu wengi Ili Hali aliyejitokeza na kukubali anamdai ni mmoja tu Tena ni rafiki yake na jamaa.

Kiasi alichokuwa ana mdai ni laki2 tu. Na anasema deni Lina wiki tu alimtumia ya matibabu akiwa kule na hakuwahi kumdai alikuwa anasubiri apone kwanza maana wametoka mbali sana na jamaa.

Kisa Cha pili. Ni sehemu niliko zaliwa Mimi(kijijini)

Jamaa alikuwa mpambanaji sana na amesomesha Watoto wote na Bahati mbaya au nzuri alizaa Watoto wanaume wote tu na baadhi Yao nimesoma nao. Hii imetokea wiki iliyopita tu.

Pia nahofia hata humu Watoto wake wamo naweza funguka nikawakumbusha maumivu makubwana pengine wenyewe
Haya ninayo yaongea humu walikuwa hawajui.(Sina Nia mbaya lengo tujifunze tu)

Tangu tukiwa shule ya msingi jamaa huyu wa makamo ya miaka55+ alikuwa mpambanaji kweli. Walikuja kutengana na mke wake hapo ndo jamaa akawa na presha kubwa sana akawa anatembea na vidonge vya kushusha presha yake.


Huyu mwanamke alikuwa na kisirani sana baada ya kuachana na Mme wake hakukubali kwenda kwao Wala kugawana Mali akabaki palepale ijapokuwa hawalali pamoja na Mme wake. Walio bahatika kuzaa nae Watoto zaidi 8.

Jamaa aliamua kuanzisha mahusiano ya hapa na pale lkn mwanamke alimfanyia Fujo sana. Siyo yeye pekee hata wanawake alienda kuwafanyia visa kadhaa licha ya kuwa wameshaachana na Mme wake.

Baada ya jamaa kuona hapa hapamstahili alienda sehemu ya mbali akanunua shamba na kuanza kilimo kule ukumbuke jamaa uwezo anao sana tu akanunua vitendea kazi vya kisasa.

Kifo chake:-Baada ya kwenda kuanza makazi mapya alienda kama anaenda kambini tu siyo kifamilia. Hivyo alikuwa yeye na mtoto wake mmoja wa kiume.

Baada ya kukaa Kwa muda kadhaa alimwagiza mtoto wake huyo wa kiume arudi nyumbani huku kuangalia maendeleo ya kilimo walichoacha huku kule.

Haijulikani ilikuwaje lakini dogo aliondoka jtano, alhamis ikapita free bila kutoka mtu ndani ijumaa wakaja wa mama wa vibarua wakaita Hadi wakachoka ikawalazimu kuondoka huku wakijua kabisa kuwa mlango umefungiwa ndani hivyo Kuna mtu ndani.

Jmos asubuhi wanaume wengine wakaenda hapo Kwa ajiri ya kazi kama walivyokuwa wamekubaliana nae. Wakaita bila mafanikio kipindi wanaita wakasikia simu inaita mle ndani. Simu ikaita bila kupokelewa Hadi ikakata. Ikaita Tena wakiwapo palepale na mara hii ilipokata tu basi ikawaladhimu wazunguke nyuma dirishani Ili wachungulie kujua mbona haamki?

Kweli wakafika Ile kusukuma dirisha hawakuamini macho Yao.
Kwanza walikutana na harufu Kali na Nzi. Wakajua tiyari huyu mtu ni marehemu tiyari hawakuvunja hata mlango mja Kwa Moja wakampigia mwenyekiti wa kitongoji akaja na process za kutafutwa ndg zikaanza.

Hiki kisa sijafunguka sana ila nimejaribu kutoa taswila tu ya juu.

MyTake:- Kwa visa hizi chanzo kikubwa Cha wanaume wenzetu kufa kabla ya wakti ni wanawake wao(wake zao)

Mimi/wewe unaweza ona hakuna point ya kufikia Hadi kujiua unaweza ukawa sawa. Lakini yakikufika hakika utakuta zaidi ya Hawa au unaweza kuua.

Imagine mwanamke auze shamba lako temewa Hela haijulikani ilipo na muda huo Kuna mradi mkubwa tu umewamchia.bado haitoshi anauza na viwanja vingine huyo kama sio kumpiga na kumuumiza vibaya au hata kuua unadhani ni Nini?


Tuwe makini sana
Ukifa mkeo ataolewa..
 
Bikra haina msaada wowote kwenye utulivu wa mwanamke maana hata wanaojiuza uwanja wa Fisi nao walikuwa bikra.
Kaka yangu alikuwa mbabe pale home si akaoa aloo yule mwanamke si akafilisi biashra zote akawa anajenga kwao kwa ushirikiano na mama yake kaka alivyogundua na mwanamke akafungua kesi anataka waachane amechoka kukaa na mwanaume mlalamikaji anataka kugawana mali include nyumba wanayokaa navyoandika hapa ni kuwa mahakama wanasubiri kaka apate nafuu atoke hospitali ili waje waendeleze kesi.
Kama kwa sasa kapararise upande mmoja kwa sababu ya BP iliyotokana na u overthinking na stress
Very sad......yaani mwanaume yupo hospital anahangakia maisha yake kwa stress na maradhi yaliyosababishwa na mke wakati make anasubiri mume atoke hospital nyumba iuzwe wagawane....Kuna wakati shetani anaweza kuwa na huruma hata kiduchu kuliko mwanamke aliyekengeuka, huwa wanapoteza utu na kuwa SAWA na muuaji typically.
 
Wanawake ni silent killers kama si kwa maneno basi kwa vitendo ila atakuua vibaya sana hasa anapohisi nguvu zimekuisha na huwezi ku provide au kumlinda
Ishi nae kwa akili sana tena akili kubwa
nimepata point nzito sana hii.
 
Bikra haina msaada wowote kwenye utulivu wa mwanamke maana hata wanaojiuza uwanja wa Fisi nao walikuwa bikra.
Kaka yangu alikuwa mbabe pale home si akaoa aloo yule mwanamke si akafilisi biashra zote akawa anajenga kwao kwa ushirikiano na mama yake kaka alivyogundua na mwanamke akafungua kesi anataka waachane amechoka kukaa na mwanaume mlalamikaji anataka kugawana mali include nyumba wanayokaa navyoandika hapa ni kuwa mahakama wanasubiri kaka apate nafuu atoke hospitali ili waje waendeleze kesi.
Kama kwa sasa kapararise upande mmoja kwa sababu ya BP iliyotokana na u overthinking na stress
Duh mpe pole aisee kuoa ni kubet.
 
Very sad......yaani mwanaume yupo hospital anahangakia maisha yake kwa stress na maradhi yaliyosababishwa na mke wakati make anasubiri mume atoke hospital nyumba iuzwe wagawane....Kuna wakati shetani anaweza kuwa na huruma hata kiduchu kuliko mwanamke aliyekengeuka, huwa wanapoteza utu na kuwa SAWA na muuaji typically.
Na pia huyo shem wangu inasemekana ana kajamaa fulani kana banda la kitimoto na amekanunulia na pikipiki mtaani wanasema kaka yako amezidi kuwa mtu wa dini anafokewa na mkewe anafanyiwa vitendo vya udhalilishaji na mwisho wa siku anaomba msamaa yeye
 
Bikra haina msaada wowote kwenye utulivu wa mwanamke maana hata wanaojiuza uwanja wa Fisi nao walikuwa bikra.
Kaka yangu alikuwa mbabe pale home si akaoa aloo yule mwanamke si akafilisi biashra zote akawa anajenga kwao kwa ushirikiano na mama yake kaka alivyogundua na mwanamke akafungua kesi anataka waachane amechoka kukaa na mwanaume mlalamikaji anataka kugawana mali include nyumba wanayokaa navyoandika hapa ni kuwa mahakama wanasubiri kaka apate nafuu atoke hospitali ili waje waendeleze kesi.
Kama kwa sasa kapararise upande mmoja kwa sababu ya BP iliyotokana na u overthinking na stress
Mnasubiri nini kummaliza na nyie huyo mke wake?? Yaani ameharibu maisha ya ndugu yenu na nyie mnaangalia tu? Au nikupe mawasiliano ya professional assisins akufanyie hiyo kazi?

Hawa wanawake wa kileo Wameshapewa edge na mifumo ya sheria anakufanyia umafia kwa makusudi akijua kabisa huwezi kumfanya kitu chochote.. Sasa dawa ni kudeal nao kienyeji tu sema kwa akili sana.

Huyo mwanamke angekuwa ndio kumfanyia hivyo kaka yangu, ningemtengenezea hata ajali hili apararaizi na yeye eboo!!
 
Very sad......yaani mwanaume yupo hospital anahangakia maisha yake kwa stress na maradhi yaliyosababishwa na mke wakati make anasubiri mume atoke hospital nyumba iuzwe wagawane....Kuna wakati shetani anaweza kuwa na huruma hata kiduchu kuliko mwanamke aliyekengeuka, huwa wanapoteza utu na kuwa SAWA na muuaji typically.
Halafu Kuna wapumbavuu Wana comment hapa utaskia wanakwambia eti huyo mwanaume ameshindwa kutumia akili na yeye ndio mwenye makosa.

Kuna watu ni wajinga sana yaani neno akili wame liweponize kiasi kwamba wanalitumia bila kufikiri kama hata linaendana na muktadha wa mada husika.
 
Sijawahi kuzitaja na sizijui hizo sections. Nasisitiza Biblia iliandikwa na mwanaume; hutaki acha na kama umenuna “I dey ma house come beat me”….
Kwa hiyo kumbe unasema jambo ambalo hata wewe mwenyewe hulijui isipokuwa tu umelinasa tu kutoka kwenye vinywa vya mafeminists ambao nao kimsingi hawajui Wala hawana uthibitisho wa kwamba vitabu vya dini vimeandikwa na wanaume?
 
This contribution is overrated, this is truly what is exactly happening on the ground. Women are now untouchable despite their commiting evils against men, laws and policies are now empowers women more suppressing men on contrary......itafikia hatua ndoa zisiwe na maana tena, imefikia hatua mwanamke anaona kuzaa ni mhimu zaidi kuliko kuwa na ndoa.
Nothing but glaring Truth, it's only fooolish men who don't see the reality that women are no longer in the position they used to be back in the past. Now days they have been gynocentrically elevated to the extent that they have become too treacherous and dangerous to men.

Acha tuiharibu jamii bila kujua.
 
Bikra haina msaada wowote kwenye utulivu wa mwanamke maana hata wanaojiuza uwanja wa Fisi nao walikuwa bikra.
Kaka yangu alikuwa mbabe pale home si akaoa aloo yule mwanamke si akafilisi biashra zote akawa anajenga kwao kwa ushirikiano na mama yake kaka alivyogundua na mwanamke akafungua kesi anataka waachane amechoka kukaa na mwanaume mlalamikaji anataka kugawana mali include nyumba wanayokaa navyoandika hapa ni kuwa mahakama wanasubiri kaka apate nafuu atoke hospitali ili waje waendeleze kesi.
Kama kwa sasa kapararise upande mmoja kwa sababu ya BP iliyotokana na u overthinking na stress
Bikra ni bikra tu! Kataa kubali hiyo haihalalishi ya kwamba mitumba ina dhamani zaidi ya kitu kipya
 
Kwa hiyo kumbe unasema jambo ambalo hata wewe mwenyewe hulijui isipokuwa tu umelinasa tu kutoka kwenye vinywa vya mafeminists ambao nao kimsingi hawajui Wala hawana uthibitisho wa kwamba vitabu vya dini vimeandikwa na wanaume?
Wewe unayekataa havijaandikwa na wanaume una uthibitisho? Hebu pita kule bwana...
 
Back
Top Bottom