Japokuwa nimeoa lakini wanawake ndio chanzo cha wanaume kufa mapema kwenye ndoa/familia

Japokuwa nimeoa lakini wanawake ndio chanzo cha wanaume kufa mapema kwenye ndoa/familia

Je, wanawake waliotapeliwa mali walizochuma na wake zao, mbona hawafi?
Tutajie hao wanawake waliodhulumiwa Mali walizochuma na waume zao hapa kama wapo, yaani naamisha kudhulumiwa na mtaraka wake na sio ndugu wa mume wake.
Hakuna Mali inayochumwa na mwanamke. Hela ya mwanamke siku zote ni yake pekee yake hata akikupa utairejesha tu. Tofauti na hapo wewe utakuwa unaishi sayari nyingine.

Hii sentence ya "Mali zilizochumwa" ndo imetufikisha hapa tulipo. Na ukiuliza mlichuma nae vipi ataambiwa Mimi nilikuwa namfulia nguo na kumpikia na kumpa maji ya kuoga akitoka kazini nilimkuta Hana kitu nk sababu ambazo hazina mashiko. Kwahiyo nikipeleka nguo Kwa dobi chakula nikala Kwa mama ntilie siwezi kuwa na Mali?

Ama nao watahitaji mgao kipindi wakinihudumia na kuoa Mali ?
Hizi 50-50 zitatutesa sna na migogoro imeanzia hapo na Bado.
Hiyo sentence ya "Mali tulizochuma wote" ipo kwa ajili ya kurahisisha utapeli wa mwanamke kwa kivuli Cha ndoa.

Ulizia Sasa wamechuma vipi wote utaskia eti nilikuwa namfulia, nampikia pamoja na kumnyooshea nguo... Yaani hivyo tu halafu leo hii mgawane assets zako zote pasi kwa pasu... That's daylight robbery

Leo hii Kuna wanawake wameolewa wanafanya kazi na vipato vyao ndani havionekani na Wala hata hizo kazi za ndani hawafanyi, zinafanywa na madhouse girls ambao na wao mishaara wanalipwa na mwanaume....

Ila Sasa siku ikitokea ndoa imevunjika utamskia mwanamke huyo kwa kujiamini kabisa na yeye anasema hizo Mali za mumewe wamechuma wote na amemvumilia mengi sana na Tena wakati unakuta anabubujikwa na machozi ya uongo uongo....

Aisee hiki kizazi Cha wanaume kinadhulumiwa sana Mali na wake zao wakiitumia mahakama kama rubber stamp ya kufanyia dhuluma hii.

Honestly I thank God for redpill
 
Kwenye vitabu vya dini Kule mbona inasemekana mwanamke ndio kiumbe pekee kilichoumbwa na mungu ambacho kilikutana na shetani wakazungumza ya hapa na Pele nadhani mjawapo nili Hili la kutunyanyasa na kutuua kwa hesabu ya haraka WAJANE ni wengi kuliko WAGANE katika kaya 100 unaweza ukakuta wanaume waliofiwa na wake zao hawazidi 10.
 
Natamani wanawake wawe kama wewe. Mwanaume mwenzetu kapata mke mwema hakika.
Ndugu wanawake kama huyo ni wachache sana, na hata hao wachache waliopo wanapigwa sana vita na wanawake wenzao... Huwa wanaambiwa hawajielewi mara sijui wanafuga wanaume kisa tu wanawasapoti waume zao kifedha.

Kama umechunguza siku hizi wanawake wenye zile virtues za wife materials yaani wanyenyekevu, wenye staha, wasiokuwa na tamaa na wanaosimama na waume zao kwenye nyakati ngumu... huwa wanasemwa vibaya sana na wanawake wenzao hasa mafeminists, wanaambiwa wao ni watumwa wa wanaume eti.

Siku hizi mwanamke ambaye ana kiburi, dharau na majivuni na mwenye tamaa ya vitu vikubwa vilivyo nje ya uwezo wake ndio anaitwa superwoman mara sijui strong woman, na ndio jamii Ina wa celebrate wanawake wa hivi
 
Ndugu wanawake kama huyo ni wachache sana, na hata hao wachache waliopo wanapigwa sana vita na wanawake wenzao... Huwa wanaambiwa hawajielewi mara sijui wanafuga wanaume kisa tu wanawasapoti waume zao kifedha.

Kama umechunguza siku hizi wanawake wenye zile virtues za wife materials yaani wanyenyekevu, wenye staha, wasiokuwa na tamaa na wanaosimama na waume zao kwenye nyakati ngumu... huwa wanasemwa vibaya sana na wanawake wenzao hasa mafeminists, wanaambiwa wao ni watumwa wa wanaume eti.

Siku hizi mwanamke ambaye ana kiburi, dharau na majivuni na mwenye tamaa ya vitu vikubwa vilivyo nje ya uwezo wake ndio anaitwa superwoman mara sijui strong woman, na ndio jamii Ina wa celebrate wanawake wa hivi
Hakika mkuu saivi mwanamke mtulivu mtiifu mwenye adabu anaokana mshamba asie jielewa. Wengine wanaenda mbali sana na kuwasema wamepitwa na Wakati ni watumwa kama ulivyosema.
 
Kwenye vitabu vya dini Kule mbona inasemekana mwanamke ndio kiumbe pekee kilichoumbwa na mungu ambacho kilikutana na shetani wakazungumza ya hapa na Pele nadhani mjawapo nili Hili la kutunyanyasa na kutuua kwa hesabu ya haraka WAJANE ni wengi kuliko WAGANE katika kaya 100 unaweza ukakuta wanaume waliofiwa na wake zao hawazidi 10.
Sahihi kabisaa Mimi kwenye Kijiji kwetu nilikotoka mgane ni mmoja ninaye mfahamu. Lakini ajane wengi kibao wengine wajane wa miaka 27-33 tu imagine!!
 
Hizi mada lengo lenu ni nini haswa? Wanawake wangapi wanakufa sababu ya hizo hizo ndoa, mbona hawapigi kelele!! Wanaume mna agenda gani haswa?
Una uhakika hao wanawake huwa hawapazi sauti zao kwa magumu wanayopitia kwenye ndoa?? Au unajiandikia tu kwa mihemko yako ya kike hapa ambayo iko detached na reality??

Yaani watu mmewekewa mpaka wizara mbali na utitiri wa mataasisi ya kuwateteeni nyie halafu Bado unauliza eti "mbona wanawake hawapigi kelele"?... Kwanza Moja ya Sababu mnayosemaga ya nyie kutokufa mapema ni wepesi wa kusema yaliyomo moyoni mwenu.. Sasa hapa unauliza swali gani Tena?

Halafu nafikiri inapaswa ujiulize wewe na wanawake wenzio mna ajenda gani dhidi ya wanaume kwa haya matukio yanayoendelea kwenye Tasinia nzima ya mahusiano...!!
 
Kwenye vitabu vya dini Kule mbona inasemekana mwanamke ndio kiumbe pekee kilichoumbwa na mungu ambacho kilikutana na shetani wakazungumza ya hapa na Pele nadhani mjawapo nili Hili la kutunyanyasa na kutuua kwa hesabu ya haraka WAJANE ni wengi kuliko WAGANE katika kaya 100 unaweza ukakuta wanaume waliofiwa na wake zao hawazidi 10.
Vitabu mlivyoandika nyie wanaume ndo tukae vinatupelekesha?

Watu sio wajinga bwana!
 
Hizi mada lengo lenu ni nini haswa? Wanawake wangapi wanakufa sababu ya hizo hizo ndoa, mbona hawapigi kelele!! Wanaume mna agenda gani haswa?
Na kila siku tunawasisitiza, kama sisi ndio mzizi wa tatizo wasioe au waoane wao kwa wao wakamilifu.

Kuoa mnaamua wenyewe kisha deile povu. Stay away from women jamani!!!!
 
Hu
Tutajie hao wanawake waliodhulumiwa Mali walizochuma na waume zao hapa kama wapo, yaani naamisha kudhulumiwa na mtaraka wake na sio ndugu wa mume wake.

Hiyo sentence ya "Mali tulizochuma wote" ipo kwa ajili ya kurahisisha utapeli wa mwanamke kwa kivuli Cha ndoa.

Ulizia Sasa wamechuma vipi wote utaskia eti nilikuwa namfulia, nampikia pamoja na kumnyooshea nguo... Yaani hivyo tu halafu leo hii mgawane assets zako zote pasi kwa pasu... That's daylight robbery

Leo hii Kuna wanawake wameolewa wanafanya kazi na vipato vyao ndani havionekani na Wala hata hizo kazi za ndani hawafanyi, zinafanywa na madhouse girls ambao na wao mishaara wanalipwa na mwanaume....

Ila Sasa siku ikitokea ndoa imevunjika utamskia mwanamke huyo kwa kujiamini kabisa na yeye anasema hizo Mali za mumewe wamechuma wote na amemvumilia mengi sana na Tena wakati unakuta anabubujikwa na machozi ya uongo uongo....

Aisee hiki kizazi Cha wanaume kinadhulumiwa sana Mali na wake zao wakiitumia mahakama kama rubber stamp ya kufanyia dhuluma hii.

Honestly I thank God for redpill
Huyu jamaa nashangaa Sana kutetea eti Mali mlizochuma wote! Kivip?

Saivi kwenye ndoa mwanamke hafui nguo,hapiki,Watoto hawasindikizi shule uwanja hafagii ni yeye na saloon na kubandika kucha!! Wanaume wa disgn ya huyu jamaa ni kikwazo kwetu ukute analelewa!

Hakuna mwanaume ambaye anaishi Kwa nyumba ya mke wake ujue Bado hajafikiwa tu siku hiyo hatasahau atafurushwa kama kibaka hata kama ana miaka 10 kwenye nyumba hiyo amini nakuambia atafurushwa muda ukifika!

Jamaa ni kajitetea Kwa kusema mwanamke ana beba mimba anakuzalia Watoto si umbebe wewe hiyo mimba Sasa. Nikamuuliza apobeba ujauzito na kuzaa tumweke kundi Gani?
 
Hakika mkuu saivi mwanamke mtulivu mtiifu mwenye adabu anaokana mshamba asie jielewa. Wengine wanaenda mbali sana na kuwasema wamepitwa na Wakati ni watumwa kama ulivyosema.
Our society is too doomed now, we basically celebrate soiled and damaged women and view them as best version of women that even our young girls should look up to.

Siku hizi makahaba wastaafu, masingle mothers na wavaa nusu uchi kisa tu wanajua jua kingereza Cha kuombea maji ndio wamekuwa marole model wa mabinti zetu.
 
Na kila siku tunawasisitiza, kama sisi ndio mzizi wa tatizo wasioe au waoane wao kwa wao wakamilifu.

Kuoa mnaamua wenyewe kisha deile povu. Stay away from women jamani!!!!
Ujue wanaoteseka ni wanawake wenzio pale wanapozalishwa vyakutosha na kuachwa?

Huoni wimbi la wanawake kujiuza ni kubwa kuliko kawida Tena Kwa bei ya vocha? Ushapiga mahesabu hasara nani anapata?

Hujui hitaji la ndoa ni mwanamke Wala sio mwanaume?

Mara zote Huwa mnauliza unanioa au unanichezea tu? Huji unaweza ukazaa na mtoto akalea house girl (mwanamke mwenzio)?
 
Huyo Mwanamke wa kuuza Mashamba nankuchukua mikopo ilitakiwa apigee sumu ya kufa polepole, huku jamaa akiendelea kupata matibabu huko akisubili kifo cha huyo ibilisi
Kwa Hali ilipofikia Sasa hivi, mwanamke Hana mtu wa kumu hold accountable so ninakubaliana na Hili wazo lako!

Siku hizi Mimi huwa nawashauri watu mwanamke akifikia hatua ya kukufanyia tukio kama Hilo la kuharibu maisha yako, Haina haja ya kumpeleka popote pale yaani malizana nae mwenyewe bila ya mtu kujua..

Mfano kama huyo dingi hapo, ilipaswa wakati anajiua tayari mke wake ameshaanza kuoza huko aridhini

Acha ubaya uwe ubwela tu kwakweli...

Hawa wanaosema sijui eti ishi nae kwa akili wanajisemea tu, lakin kwa maisha yalivyobadilika hata ukiwa na akili za Albert Einstein mwanamke aliamua kukengeuka hakuna kitu utafanya na hizo akili zako... So best way siku akianza wewe unatafuta namna ya kumaliza tu apotee kabisa
 
Our society is too doomed now, we basically celebrate soiled and damaged women and view them as best version of women that even our young girls should look up to.

Siku hizi makahaba wastaafu, masingle mothers na wavaa nusu uchi kisa tu wanajua jua kingereza Cha kuombea maji ndio wamekuwa marole model wa mabinti zetu.
Feminist campaign Iko juu sana Kwa Sasa. Kwa sababu inapigiwa debe kwasa na baadhi ya media kama EATV Basi mabinti wanayachujua kama yalivyo bila kujua wenzao wanalipwa ujira Kwa maneno hayo!
 
Ujue wanaoteseka ni wanawake wenzio pale wanapozalishwa vyakutosha na kuachwa?

Huoni wimbi la wanawake kujiuza ni kubwa kuliko kawida Tena Kwa bei ya vocha? Ushapiga mahesabu hasara nani anapata?

Hujui hitaji la ndoa ni mwanamke Wala sio mwanaume?

Mara zote Huwa mnauliza unanioa au unanichezea tu? Huji unaweza ukazaa na mtoto akalea house girl (mwanamke mwenzio)?
Msitake kujifanya mnaoa kwa huruma.

Kikao chetu cha Oktoba 2024 kiliridhia kuwa tuzalisheni tu msituoe. Hatuna shida na kulea kwa taabu maana hadi sasa tuna mifano mingi tu toka kwa mama na mashangazi zetu masingle madha hatuwezi kushindwa.

Anayeuliza “unanioa au unanichezea?” Mjibu “Nakuchezea”. Wewe kidume bwana usipelekeshwe
 
Kwa Hali ilipofikia Sasa hivi, mwanamke Hana mtu wa kumu hold accountable so ninakubaliana na Hili wazo lako!

Siku hizi Mimi huwa nawashauri watu mwanamke akifikia hatua ya kukufanyia tukio kama Hilo la kuharibu maisha yako, Haina haja ya kumpeleka popote pale yaani malizana nae mwenyewe bila ya mtu kujua..

Mfano kama huyo dingi hapo, ilipaswa wakati anajiua tayari mke wake ameshaanza kuoza huko aridhini

Acha ubaya uwe ubwela tu kwakweli...

Hawa wanaosema sijui eti ishi nae kwa akili wanajisemea tu, lakin kwa maisha yalivyobadilika hata ukiwa na akili za Albert Einstein mwanamke aliamua kukengeuka hakuna kitu utafanya na hizo akili zako... So best way siku akianza wewe unatafuta namna ya kumaliza tu apotee kabisa
Kwenye kujipoteza hapo ndo tutaendelea kuisha kabisa na watoto kuishi bila msaada wowote. Nachowaza Mimi kitendo kama hicho namtanguliza mbele za haki. Kwa namna yoyote Ile ila Mimi sio kujimaliza!!

Ifike sehemu tukubali kuishi kimafia yule jamaa alichoma mke Kwa magunia mawili na uhakika alikuwa mzima wa afya sema wehu umekuja baada ya tukio Hilo!
 
Msitake kujifanya mnaoa kwa huruma.

Kikao chetu cha Oktoba 2024 kiliridhia kuwa tuzalisheni tu msituoe. Hatuna shida na kulea kwa taabu maana hadi sasa tuna mifano mingi tu toka kwa mama na mashangazi zetu masingle madha hatuwezi kushindwa.

Anayeuliza “unanioa au unanichezea?” Mjibu “Nakuchezea”. Wewe kidume bwana usipelekeshwe
Sawa. Kwa sababu unajua wote wanajiuza kama wewe.
 
Back
Top Bottom