Japokuwa nimeoa lakini wanawake ndio chanzo cha wanaume kufa mapema kwenye ndoa/familia

Japokuwa nimeoa lakini wanawake ndio chanzo cha wanaume kufa mapema kwenye ndoa/familia

Narudia kusema, mwanamke akitaka kukufanya chochote ndani ya mahusiano anaweza atafanikiwa kwa namna yoyte, haijalishi mwanaume una strengths gani in terms of wealth, intelligence or physical. Wanawake wenye akili na wanaotambua nafasi yao ktk ndoa au mahusiano huwafanya wanaume zao kuwa Bora zaidi na hata kufikiri mwanaume huyo ni Bora kuliko wanaume wengine. Lakini pia mwanamke anaweza kubadilika wakati wowote na akakufanyia tukio ambalo halitakuacha salama ili tu afanikishe kusudio lake hata kama nilakipuuzi machoni pa wengine. Tatizo ni wepesi wa shetani kumwingia mwanamke na kutawala hisia zake. Familia nyingi zimetawanyika na watoto kukosa maadili na ustawi kwa sababu tu mwanamke alitanguliza maslahi yake kwa kuingiwa na shetani na kisha kusababisha familia ku collapse. Sheria nyingi zinazomtetea mwanamke na kujiona ana haki sawa kama mwanaune ktk mahusiano na ndani ya jamii ni chanzo kikubwa sana cha wanawake kuharibu ustawi wa mwanaume. Kwa mjibu wa Dr Doroth Gwajima (W) takwimu za mwaka 2024 za taraka, zaidi ya 80% zimefunguliwa na wanawake wenyewe, hii ni tofauti sana na miaka ya kabla ya azimio la Beijing la 50:50. Tunakoelekea ni kumfanya mwanaume awe chini ya mwanamke tofauti hata na maandiko ktk vitabu vitakatifu, let's be very careful.
 
Narudia kusema, mwanamke akitaka kukufanya chochote ndani ya mahusiano anaweza atafanikiwa kwa namna yoyte, haijalishi mwanaume una strengths gani in terms of wealth, intelligence or physical. Wanawake wenye akili na wanaotambua nafasi yao ktk ndoa au mahusiano huwafanya wanaume zao kuwa Bora zaidi na hata kufikiri mwanaume huyo ni Bora kuliko wanaume wengine. Lakini pia mwanamke anaweza kubadilika wakati wowote na akakufanyia tukio ambalo halitakuacha salama ili tu afanikishe kusudio lake hata kama nilakipuuzi machoni pa wengine. Tatizo ni wepesi wa shetani kumwingia mwanamke na kutawala hisia zake. Familia nyingi zimetawanyika na watoto kukosa maadili na ustawi kwa sababu tu mwanamke alitanguliza maslahi yake kwa kuingiwa na shetani na kisha kusababisha familia ku collapse. Sheria nyingi zinazomtetea mwanamke na kujiona ana haki sawa kama mwanaune ktk mahusiano na ndani ya jamii ni chanzo kikubwa sana cha wanawake kuharibu ustawi wa mwanaume. Kwa mjibu wa Dr Doroth Gwajima (W) takwimu za mwaka 2024 za taraka, zaidi ya 80% zimefunguliwa na wanawake wenyewe, hii ni tofauti sana na miaka ya kabla ya azimio la Beijing la 50:50. Tunakoelekea ni kumfanya mwanaume awe chini ya mwanamke tofauti hata na maandiko ktk vitabu vitakatifu, let's be very careful.
Natamani kila mtu asome huu ujumbe asee. umenene vyema sana mkuu
 
Hilo liko wazi. Wewe uje uanzishe umbea tu hata wa uongo Kwa mwanamke hapo kitaa unayejua kabisa ni star wa pale yaani anawazidi hapo uone Sasa atakavyosemwa. Ni tofauti kubwa sana Mimi nawewe naweza kukuita wee fala na Bado nikawa nakukubali kinoma kutoka moyoni.
upo sahihi mkuu.
Nilikuja kuona hata wanawake ambao ni marafiki, ukimpa attention mmoja, mwenzake anawe ku-mind hiki kitendo chako. Urafiki wao si wa kuaminiana.
 
Katapeliwa kama wengine wanavyotapeliwa, Jamaa asingechagua kufa, angechagua kufungua kesi, uwezekano wa vilivyouzwa kurudi na mkopo kuwa batili ulikuwepo. Hapo sababu ya kifo si mke, ni uchaguzi wake. Kila siku watu wanatapiliwa mpaka na wazazi wao sembuse mwanamke? Apumzike kwa amani.
Jamaa waga unajua sana kutetea upande wa kikeni
 
Wanaume tumekuwa rojo rojo mno, wanawake ndo wanapaswa kulalamila na kulindwa, sio wanaume. Sasa hali inakuwa mbaya mpaka wanaume tunataka tulindwe na kutetewa mwanamke asituumize.
Umewahi kuipa akili yako muda wa kutafakari chanzo Cha ya malalamiko ya wanaume miaka hii?? Kwani wanaume wa Sasa hivi ndio wanaongoza kwa kujiua sana kulinganisha na miaka ya nyuma??
 
Umewahi kuipa akili yako muda wa kutafakari chanzo Cha ya malalamiko ya wanaume miaka hii??
Mkuu, wewe ndo uipe muda akili yako utafakari asili ya jina mwanaume. Mwanaume unalalamikaje sababu ya mwanamke, aah. Wanawake ndo wa kukalamika, mimba wanabeba wao, nyumbani wanaondolewa kwao, pesa unazitafuta wewe, Ukitaka mwingine unampata saa unataka, sasa nani wa kulindwa hapo?
Kwani wanaume wa Sasa hivi ndio wanaongoza kwa kujiua sana kulinganisha na miaka ya nyuma??
Wa sasa hivi wakishasikiliza bongoflavor za kina mario na wenzake wanakuwa nyoro nyoro tu.
 
Uhalisia upi? Yaani uamke saa10 asbh ukatafute mali ufanikiwe halafu aje aseme kuwa mali mlichuma wote?
Kama hutaki hilo, beba mimba na ulee watoto ili yeye akatafute hizo mali.

Jukum la kubeba mimba na kulea watoto, linathamani kubwa kuliko hata hizo mali unazozipa thamani kuliko utu.
 
Kama hutaki hilo, beba mimba na ulee watoto ili yeye akatafute hizo mali.

Jukum la kubeba mimba na kulea watoto, linathamani kubwa kuliko hata hizo mali unazozipa thamani kuliko utu.
Akili yako ndo imefikia kikomo? nilijua tu mara ulipoanza kujifananisha na wanawake.

Hujui kuna wana wake wapo kwenye ndoa mwaka 5 na hawana mtoto? unawaweka kwenye kundi gani?
 
Hujui kuna wana wake wapo kwenye ndoa mwaka 5 na hawana mtoto? unawaweka kwenye kundi gani?
Hizo kesi chache wala haziondoi uhalisia wa nilichokisema.

Mkuu tuishie hapa, tofauti zetu kimtizamo wala zisiwe sababu ya kukoseana adabu, kila la kheri mkuu.
 
Mkuu, wewe ndo uipe muda akili yako utafakari asili ya jina mwanaume. Mwanaume unalalamikaje sababu ya mwanamke, aah. Wanawake ndo wa kukalamika, mimba wanabeba wao, nyumbani wanaondolewa kwao, pesa unazitafuta wewe, Ukitaka mwingine unampata saa unataka, sasa nani wa kulindwa hapo?

Wa sasa hivi wakishasikiliza bongoflavor za kina mario na wenzake wanakuwa nyoro nyoro tu.
Hoja ulizoandika ni dhaifu sana yaani na ziko nje kabisa wa chanzo husika Cha tatizo, unaonekana Bado uko usingizini na hujui kabisa ni jinsi gani the whole atmosphere ya intersexual dynamics ilivyochange na kuwa unfavorable kwa mwanaume.

Yaani Bado unaamini eti mwanaume ndani ya nyumba akiwa na uwezo wa kutimiza majukumu yake ya kiume ana hold all the power dhidi ya mwanamke, pole sana.

Usichokijua ni kwamba mwanaume tayari ameshanyang'anywa ile Strong gender privilege so licha ya kutimiza hayo majukumu yake lakini Bado Hana mamlaka kwa mkewe, kitu ambacho kimepelekea wanawake wa kisasa kuwa nagging, narcissistic na rebellious na tabia zingine zote za ajabu... Na leo ikitokea mgogoro wowote au tofauti kati ya mume na mke, hapo Mwanaume anakuwa hapambani na mkeweTena Bali anakuwa anapambana na system ambayo ndio imempa nguvu mwanamke na kumnyang'anya mamlaka mwanaume.... Yaani now in any marital crisis it is Man vs Government and not a Man vs woman weka hii akilini mwako.

This unheard massive outcry from men boils down to the overhauling of our ways of living in which we have decided to embrace the western gynocentric culture that has been socially marginalizing men and preferentially favoring women.....

Halafu wewe hapo unaniambia eti sababu ni kusikiliza nyimbo za akina Mario??? Serious?...No wonder Bado uko kwenye Utopia na mara nyingi humu unatoaga comments zenye vinasaba vya mfumo jike.

Lakini nikuluuze swali kwani huyo mwanamke kwenye hii story aliamua kuuza shamba la mmewe licha ya kukatazwa na mmewe asifanye hivyo maana tayari alikuwa amefanya kosa kama hili mwanzo? Wewe unafikiri huo ujasiri wa kurudia kosa aliupata wapi?

Na pia kwa ufahamu wako unafikiri ni kwanini vilio kama hivi hatuviskii kwenye jamii ambazo Bado ziko conservative kama vile huko middle east??? Ni kwanini huko kwa warabu na nchi nyingi za Asia wao taasisi ya ndoa iko imara na wanaume wao hawapitii mateso kwenye mahusiano/ndoa kama wanayopitia wanaume wa magharibi ambao mpaka wanafikia hatua ya kujiua??
 
Mkuu mwanamke sio tatizo hili jambo nimekuja kulijua hivi karibuni ngoja nikufahamishe

Ukiacha dunia ya sasa toka tulivyoumbwa mwanamke anatakiwa awe chini ya jinsia ME Wala hatakiwi kufanya CHOCHOTE bila kupata ruhusa ya mume na AKIENDA kinyume itakuwa kaenda kinyume na matakwa ya mji anaokaa na mume anaye mtunza hivyo kufukuzwa katika ndoa NI Jambo la kawaida na NI aibu kwa mwanamke itoshe kusema kwa historia hiyo alokuwa nayo hawezi pata mume mwingine wa kumuoa


Lakini hivi imekuwa kinyume mwanaume haezi fanya kitu au kuamua kitu bila kupata ridhaa ya mke na ukifanya maamuzi peke yako hilo nI kosa na unaweza kuyumbisha ndoa yako

NB MWANAMKE UKIMPA UHURU UKASAHAU MWANAUME NDO FINAL SAY JUA USHAFELI NA HUWEZI UKAMWAMBIA CHOCHOTE MKEO AKAKUTII ASILIMIA 100 TUJITAHIDO WANAUME TUJUE NAFASI YETU KATIKA FAMILIA
 
Kisa # Kijijini kwetu Mzee mmoja around 75-85 hivi alikuwa na mke mmoja na watoto 6 .
Huyu Mzee ndiye ngariba maarufu pale kijijini.
Siku moja yeye na mke wake walikuwa wamepiga pombe za kienyeji ndipo mke akaamua atoe ya moyoni.
"Baba fulani, hivi unajua kati ya hawa watoto 6 wa kwako ni wawili tu"?
Nasikia alienda mbali zaidi mpaka alimtajia baba wa kila mtoto.
Fear women, mkapime DNA msiwe wajinga eti katoto kamechukua macho yangu.
 
Akili yako ndo imefikia kikomo? nilijua tu mara ulipoanza kujifananisha na wanawake.

Hujui kuna wana wake wapo kwenye ndoa mwaka 5 na hawana mtoto? unawaweka kwenye kundi gani?
Kaka siku hizi Kuna wanaume wengi sana wapuuzi wapuuzi, yaani Wana akili za kishenzy ukiwasoma hoja zao mpaka unajiuliza hivi huyu kweli mama yake naye anajivunia amezaa mtoto wa kiume??

Cheki kama huyo yaani anajiona ni mwanamke kuliko hata wanawake wenyewe.... Anavyoongelea suala la watoto utafikiri kwamba hao watoto ni wa mwanaume pekee yake na Wala mwanamke Hana umiliki kwenye hao watoto, na sula la kubeba mimba sijui kwanini huwa wanataka tulione liko so special na wakati Hilo ni jukumu lao la asili na kibailojia na mwanaume Hana uwezo nalo.

Wajinga sana Hawa vijana wa kileo.... Ndio maana wanatawaliwa ovyo na wanawake
 
Sisi wanaume ndo tunaongoza kuwapiga matukio wanawake huko ndoani bt wao huvumilia ama wakishindwa huondoka bila kuua/kujiua.
Wanaume kama wewe ni hatari sana kwa wanaume wenzako hasa mkiwa kwenye position of power
 
Mabibi na mabwana Habari za uzima wenu!.

Wakuu sijaenda kanisani Leo mwaka wa6 sasa bila kukanyaga kanisani. (Haiwahusu)

Nina USHAHIDI na mifano mingini sana ya wanaume waliokufa na chanzo wakiwa wake zao!

Hapa nitajikita na mifano 2 ama mitatu kama nitaweza kuandika hapahapa maana sipendi kuandika inaendelea....

Mwezi ulio pita tulimzika jirani yangu baada ya kujinyonga sababu haikuwekwa wazi sana.
Mke alisema alikuwa na madeni mengi sana (jambo ambalo siyo kweli)

Baada ya mazishi na siku kupita ndo yakaibuka yakuibuka chanzo Hadi jamaa alifikia hatua hiyo ya kujimaliza.


Story ipo Hivi;-Jamaa alikuwa ana nunua mlima wenye mawe na kuanza shughuli za kulipua mawe na kuuza Kwa wenye gari (ujenzi na kokoto)

Hii ndo ilikuwa kazi yake kubwa sana. Na ndo ilikuwa inamlisha yeye na familia yake pamoja na kusomesha Watoto wake.

Mke wake alikuwa ni mama wa nyumbani tu. Ila nyuma yake alijiingiza kwenye mikopo hii ya kausha damu.

Kuna baadhi ya vitu vilienda kama bufa screen na masofa kufidia deni alikuwa anadaiwa.

Hii ni mwaka Jana. Mme wake akaenda kuvikomboa vitu vyake na vipigo akatembeza Kwa mke wake.

Siku zikaenda Mme wake akapata shida ya afya akaenda matibabu ya kienyeji kwao mwanamke akabaki na familia na kuendeleza mradi wa mawe.

Mwanamke akenda kukopa Hela wakisadiana na kaka yake. Kaka yake aka act kama Mme wa yule mama. Dhamana wakaweka shamba heka5 ambalo pia lilikuwa zuri Kwa uchimbaji wa mchanga na Mme wake alinunua Kwa malengo hayo Kuwa siku za usoni atapiga Hela za mchanga pale.

Hela ikakopwa na akashindwa kurejesha shamba likaenda.
Muda huo Mme wake ni mgonjwa yupo Kwa waganga wakienyeji akipiga simu kuomba Hela anatumiwa na kuambiwa kazi inaenda vzr tu kule kwenye mawe.

Baada ya Mme wake kurudi kuja kuona family yake huku Bado akiwa anaendelea na matibabu ndo akaambiwa na watu huko kwenye pombe.

Kwanini ameshindwa kulipa deni na shamba likaenda ?

Hapo Sasa ndo akapata taarifa kuwa kumbe Hela alizokuwa anatumiwa ni za shamba lake!

Akarudi Kwa mke wake na kumuuliza akasema ni kweli aliamua kuchukua Hela Ili zimsaidie kwenye matibabu.

Akauliza kwanini hakumshirikisha akasema hakuna haja ya kusumbua mgonjwa. Nakumbuka ilikuwa usiku wa 4 wife akaniambia mbona kama Kuna ugomvi Kwa mama X? Nikamjibu achana nao hayakuhusu.

Katika marubano hayo wife alikili kuwa kauza,shamba, na baadhi ya viwanja walivyokuwa wamenunua.

Alipoulizwa Hela ziko wapi Sasa? Hana majibu. Ugomvi ulikuwa mkubwa sana Hadi mwenyekiti wa mtaa akaitwa hiyo sasa7 usiku.

Ikabidi awaambie kesho asbh ndo atakaa nao vzr hivyo mwanamke akaenda kulala Kwa mwenyekiti wa mtaa.

Jamaa hakulala siku hiyo Kwa maelezo ya mtoto mkubwa wa drs la5 alikesha akiongea mwenyewe "Nina faida Gani Sasa,viwanja vyangu vyote vimenda Hela kapeleka wapi? Nina faida Gani Sasa hapa?Nimekuja kufanyaje hapa"


Asbh ya saa12 akawambia Watoto wake nendeni mkamwambie mama yenu hataniona Tena nendeni Sasahivi mkamwambie hivyo

Yule binti akatoka mbio huku wadogo zake wakimfuata huku wanalia. Akajaribu kujinyongea mle ndani akashindwa.

Akaenda karibu na ule mlima wa mawe kulikuwa na mwembe karibu akajinyonga Hadi kufa mle hakuacha wosia wowote ule.

MyTake licha ya haya machache tuliyoyasikia nahisi yapo mengi zaidi ya haya. Kama mwanamke yeye alisema alikuwa anadaiwa na watu wengi Ili Hali aliyejitokeza na kukubali anamdai ni mmoja tu Tena ni rafiki yake na jamaa.

Kiasi alichokuwa ana mdai ni laki2 tu. Na anasema deni Lina wiki tu alimtumia ya matibabu akiwa kule na hakuwahi kumdai alikuwa anasubiri apone kwanza maana wametoka mbali sana na jamaa.

Kisa Cha pili. Ni sehemu niliko zaliwa Mimi(kijijini)

Jamaa alikuwa mpambanaji sana na amesomesha Watoto wote na Bahati mbaya au nzuri alizaa Watoto wanaume wote tu na baadhi Yao nimesoma nao. Hii imetokea wiki iliyopita tu.

Pia nahofia hata humu Watoto wake wamo naweza funguka nikawakumbusha maumivu makubwana pengine wenyewe
Haya ninayo yaongea humu walikuwa hawajui.(Sina Nia mbaya lengo tujifunze tu)

Tangu tukiwa shule ya msingi jamaa huyu wa makamo ya miaka55+ alikuwa mpambanaji kweli. Walikuja kutengana na mke wake hapo ndo jamaa akawa na presha kubwa sana akawa anatembea na vidonge vya kushusha presha yake.


Huyu mwanamke alikuwa na kisirani sana baada ya kuachana na Mme wake hakukubali kwenda kwao Wala kugawana Mali akabaki palepale ijapokuwa hawalali pamoja na Mme wake. Walio bahatika kuzaa nae Watoto zaidi 8.

Jamaa aliamua kuanzisha mahusiano ya hapa na pale lkn mwanamke alimfanyia Fujo sana. Siyo yeye pekee hata wanawake alienda kuwafanyia visa kadhaa licha ya kuwa wameshaachana na Mme wake.

Baada ya jamaa kuona hapa hapamstahili alienda sehemu ya mbali akanunua shamba na kuanza kilimo kule ukumbuke jamaa uwezo anao sana tu akanunua vitendea kazi vya kisasa.

Kifo chake:-Baada ya kwenda kuanza makazi mapya alienda kama anaenda kambini tu siyo kifamilia. Hivyo alikuwa yeye na mtoto wake mmoja wa kiume.

Baada ya kukaa Kwa muda kadhaa alimwagiza mtoto wake huyo wa kiume arudi nyumbani huku kuangalia maendeleo ya kilimo walichoacha huku kule.

Haijulikani ilikuwaje lakini dogo aliondoka jtano, alhamis ikapita free bila kutoka mtu ndani ijumaa wakaja wa mama wa vibarua wakaita Hadi wakachoka ikawalazimu kuondoka huku wakijua kabisa kuwa mlango umefungiwa ndani hivyo Kuna mtu ndani.

Jmos asubuhi wanaume wengine wakaenda hapo Kwa ajiri ya kazi kama walivyokuwa wamekubaliana nae. Wakaita bila mafanikio kipindi wanaita wakasikia simu inaita mle ndani. Simu ikaita bila kupokelewa Hadi ikakata. Ikaita Tena wakiwapo palepale na mara hii ilipokata tu basi ikawaladhimu wazunguke nyuma dirishani Ili wachungulie kujua mbona haamki?

Kweli wakafika Ile kusukuma dirisha hawakuamini macho Yao.
Kwanza walikutana na harufu Kali na Nzi. Wakajua tiyari huyu mtu ni marehemu tiyari hawakuvunja hata mlango mja Kwa Moja wakampigia mwenyekiti wa kitongoji akaja na process za kutafutwa ndg zikaanza.

Hiki kisa sijafunguka sana ila nimejaribu kutoa taswila tu ya juu.

MyTake:- Kwa visa hizi chanzo kikubwa Cha wanaume wenzetu kufa kabla ya wakti ni wanawake wao(wake zao)

Mimi/wewe unaweza ona hakuna point ya kufikia Hadi kujiua unaweza ukawa sawa. Lakini yakikufika hakika utakuta zaidi ya Hawa au unaweza kuua.

Imagine mwanamke auze shamba lako temewa Hela haijulikani ilipo na muda huo Kuna mradi mkubwa tu umewamchia.bado haitoshi anauza na viwanja vingine huyo kama sio kumpiga na kumuumiza vibaya au hata kuua unadhani ni
 
Back
Top Bottom