Japokuwa nimeoa lakini wanawake ndio chanzo cha wanaume kufa mapema kwenye ndoa/familia

Japokuwa nimeoa lakini wanawake ndio chanzo cha wanaume kufa mapema kwenye ndoa/familia

Mkuu Nikifa MkeWangu Asiolewe umeandika matukio ya upande mmoja, bt kiuhalisia sisi wanaume ndo tunaongoza kuwapiga matukio wanawake huko ndoani.
Ukweli hata wanawake wenyewe watakushangaa sana mkuu.

Ukikaa na mama Yako ukamwambia habari za wanawake atakwambia mwanamke sio ndg Yako!! Hapo ndo utapaswa ujiulize zaidi kwanini aseme hivyo Ili Hali hata yeye ni mwanamke?

Huo ni ujumbe mkubwa sana. Ukisema wanaume tunaongoza sio kweli. Wapi umesikia mwanamke kajinyonga kisa Mme wake kauza kiwanja au kamaliza Hela Kwa umalaya?

Nashindwa hata kukuelezea zaidi mkuu. Inshort hata vitabu vya dini zote mbili vimetuambia kuwa makini na Hawa viumbe vingine vikaenda mbali sana na kusema hapaswi amuongoze mwanaume wee unafikiri wote hao waliwasingizia?
 
Mada yako nzuri bt imekaa kishabiki zaidi ya uhalisia.
Uhalisia ndo huo tangu kuubwa Kwa ulimwengu Hadi Leo.

Mkuu hapa Tanzania tu
Angalia wajane wengi ni wanawake wanaume wagane ni wachache mno
Hiyo itakupa takwimu za wazi kuwa wanaume wanakufa mapema

Nyerere Leo ana miaka25+ tangu afariki mke wake yupo anadunda tu! Hata huko Kwa karume halikadharika!

Achilia mbali Mugabe,Mandela,mkapa mwinyi na JPM wote hao Kwa uchache sana ni walishatangulia mbele za haki
 
Mabibi na mabwana Habari za uzima wenu!.

Wakuu sijaenda kanisani Leo mwaka wa6 sasa bila kukanyaga kanisani. (Haiwahusu)

Nina USHAHIDI na mifano mingini sana ya wanaume waliokufa na chanzo wakiwa wake zao!

Hapa nitajikita na mifano 2 ama mitatu kama nitaweza kuandika hapahapa maana sipendi kuandika inaendelea....

Mwezi ulio pita tulimzika jirani yangu baada ya kujinyonga sababu haikuwekwa wazi sana.
Mke alisema alikuwa na madeni mengi sana (jambo ambalo siyo kweli)

Baada ya mazishi na siku kupita ndo yakaibuka yakuibuka chanzo Hadi jamaa alifikia hatua hiyo ya kujimaliza.


Story ipo Hivi;-Jamaa alikuwa ana nunua mlima wenye mawe na kuanza shughuli za kulipua mawe na kuuza Kwa wenye gari (ujenzi na kokoto)

Hii ndo ilikuwa kazi yake kubwa sana. Na ndo ilikuwa inamlisha yeye na familia yake pamoja na kusomesha Watoto wake.

Mke wake alikuwa ni mama wa nyumbani tu. Ila nyuma yake alijiingiza kwenye mikopo hii ya kausha damu.

Kuna baadhi ya vitu vilienda kama bufa screen na masofa kufidia deni alikuwa anadaiwa.

Hii ni mwaka Jana. Mme wake akaenda kuvikomboa vitu vyake na vipigo akatembeza Kwa mke wake.

Siku zikaenda Mme wake akapata shida ya afya akaenda matibabu ya kienyeji kwao mwanamke akabaki na familia na kuendeleza mradi wa mawe.

Mwanamke akenda kukopa Hela wakisadiana na kaka yake. Kaka yake aka act kama Mme wa yule mama. Dhamana wakaweka shamba heka5 ambalo pia lilikuwa zuri Kwa uchimbaji wa mchanga na Mme wake alinunua Kwa malengo hayo Kuwa siku za usoni atapiga Hela za mchanga pale.

Hela ikakopwa na akashindwa kurejesha shamba likaenda.
Muda huo Mme wake ni mgonjwa yupo Kwa waganga wakienyeji akipiga simu kuomba Hela anatumiwa na kuambiwa kazi inaenda vzr tu kule kwenye mawe.

Baada ya Mme wake kurudi kuja kuona family yake huku Bado akiwa anaendelea na matibabu ndo akaambiwa na watu huko kwenye pombe.

Kwanini ameshindwa kulipa deni na shamba likaenda ?

Hapo Sasa ndo akapata taarifa kuwa kumbe Hela alizokuwa anatumiwa ni za shamba lake!

Akarudi Kwa mke wake na kumuuliza akasema ni kweli aliamua kuchukua Hela Ili zimsaidie kwenye matibabu.

Akauliza kwanini hakumshirikisha akasema hakuna haja ya kusumbua mgonjwa. Nakumbuka ilikuwa usiku wa 4 wife akaniambia mbona kama Kuna ugomvi Kwa mama X? Nikamjibu achana nao hayakuhusu.

Katika marubano hayo wife alikili kuwa kauza,shamba, na baadhi ya viwanja walivyokuwa wamenunua.

Alipoulizwa Hela ziko wapi Sasa? Hana majibu. Ugomvi ulikuwa mkubwa sana Hadi mwenyekiti wa mtaa akaitwa hiyo sasa7 usiku.

Ikabidi awaambie kesho asbh ndo atakaa nao vzr hivyo mwanamke akaenda kulala Kwa mwenyekiti wa mtaa.

Jamaa hakulala siku hiyo Kwa maelezo ya mtoto mkubwa wa drs la5 alikesha akiongea mwenyewe "Nina faida Gani Sasa,viwanja vyangu vyote vimenda Hela kapeleka wapi? Nina faida Gani Sasa hapa?Nimekuja kufanyaje hapa"


Asbh ya saa12 akawambia Watoto wake nendeni mkamwambie mama yenu hataniona Tena nendeni Sasahivi mkamwambie hivyo

Yule binti akatoka mbio huku wadogo zake wakimfuata huku wanalia. Akajaribu kujinyongea mle ndani akashindwa.

Akaenda karibu na ule mlima wa mawe kulikuwa na mwembe karibu akajinyonga Hadi kufa mle hakuacha wosia wowote ule.

MyTake licha ya haya machache tuliyoyasikia nahisi yapo mengi zaidi ya haya. Kama mwanamke yeye alisema alikuwa anadaiwa na watu wengi Ili Hali aliyejitokeza na kukubali anamdai ni mmoja tu Tena ni rafiki yake na jamaa.

Kiasi alichokuwa ana mdai ni laki2 tu. Na anasema deni Lina wiki tu alimtumia ya matibabu akiwa kule na hakuwahi kumdai alikuwa anasubiri apone kwanza maana wametoka mbali sana na jamaa.

Kisa Cha pili. Ni sehemu niliko zaliwa Mimi(kijijini)

Jamaa alikuwa mpambanaji sana na amesomesha Watoto wote na Bahati mbaya au nzuri alizaa Watoto wanaume wote tu na baadhi Yao nimesoma nao. Hii imetokea wiki iliyopita tu.

Pia nahofia hata humu Watoto wake wamo naweza funguka nikawakumbusha maumivu makubwana pengine wenyewe
Haya ninayo yaongea humu walikuwa hawajui.(Sina Nia mbaya lengo tujifunze tu)

Tangu tukiwa shule ya msingi jamaa huyu wa makamo ya miaka55+ alikuwa mpambanaji kweli. Walikuja kutengana na mke wake hapo ndo jamaa akawa na presha kubwa sana akawa anatembea na vidonge vya kushusha presha yake.


Huyu mwanamke alikuwa na kisirani sana baada ya kuachana na Mme wake hakukubali kwenda kwao Wala kugawana Mali akabaki palepale ijapokuwa hawalali pamoja na Mme wake. Walio bahatika kuzaa nae Watoto zaidi 8.

Jamaa aliamua kuanzisha mahusiano ya hapa na pale lkn mwanamke alimfanyia Fujo sana. Siyo yeye pekee hata wanawake alienda kuwafanyia visa kadhaa licha ya kuwa wameshaachana na Mme wake.

Baada ya jamaa kuona hapa hapamstahili alienda sehemu ya mbali akanunua shamba na kuanza kilimo kule ukumbuke jamaa uwezo anao sana tu akanunua vitendea kazi vya kisasa.

Kifo chake:-Baada ya kwenda kuanza makazi mapya alienda kama anaenda kambini tu siyo kifamilia. Hivyo alikuwa yeye na mtoto wake mmoja wa kiume.

Baada ya kukaa Kwa muda kadhaa alimwagiza mtoto wake huyo wa kiume arudi nyumbani huku kuangalia maendeleo ya kilimo walichoacha huku kule.

Haijulikani ilikuwaje lakini dogo aliondoka jtano, alhamis ikapita free bila kutoka mtu ndani ijumaa wakaja wa mama wa vibarua wakaita Hadi wakachoka ikawalazimu kuondoka huku wakijua kabisa kuwa mlango umefungiwa ndani hivyo Kuna mtu ndani.

Jmos asubuhi wanaume wengine wakaenda hapo Kwa ajiri ya kazi kama walivyokuwa wamekubaliana nae. Wakaita bila mafanikio kipindi wanaita wakasikia simu inaita mle ndani. Simu ikaita bila kupokelewa Hadi ikakata. Ikaita Tena wakiwapo palepale na mara hii ilipokata tu basi ikawaladhimu wazunguke nyuma dirishani Ili wachungulie kujua mbona haamki?

Kweli wakafika Ile kusukuma dirisha hawakuamini macho Yao.
Kwanza walikutana na harufu Kali na Nzi. Wakajua tiyari huyu mtu ni marehemu tiyari hawakuvunja hata mlango mja Kwa Moja wakampigia mwenyekiti wa kitongoji akaja na process za kutafutwa ndg zikaanza.

Hiki kisa sijafunguka sana ila nimejaribu kutoa taswila tu ya juu.

MyTake:- Kwa visa hizi chanzo kikubwa Cha wanaume wenzetu kufa kabla ya wakti ni wanawake wao(wake zao)

Mimi/wewe unaweza ona hakuna point ya kufikia Hadi kujiua unaweza ukawa sawa. Lakini yakikufika hakika utakuta zaidi ya Hawa au unaweza kuua.

Imagine mwanamke auze shamba lako temewa Hela haijulikani ilipo na muda huo Kuna mradi mkubwa tu umewamchia.bado haitoshi anauza na viwanja vingine huyo kama sio kumpiga na kumuumiza vibaya au hata kuua unadhani ni Nini?


Tuwe makini sana
Je, wanawake waliotapeliwa mali walizochuma na wake zao, mbona hawafi?
 
Je, wanawake waliotapeliwa mali walizochuma na wake zao, mbona hawafi?
Hakuna Mali inayochumwa na mwanamke. Hela ya mwanamke siku zote ni yake pekee yake hata akikupa utairejesha tu. Tofauti na hapo wewe utakuwa unaishi sayari nyingine.

Hii sentence ya "Mali zilizochumwa" ndo imetufikisha hapa tulipo. Na ukiuliza mlichuma nae vipi ataambiwa Mimi nilikuwa namfulia nguo na kumpikia na kumpa maji ya kuoga akitoka kazini nilimkuta Hana kitu nk sababu ambazo hazina mashiko. Kwahiyo nikipeleka nguo Kwa dobi chakula nikala Kwa mama ntilie siwezi kuwa na Mali?

Ama nao watahitaji mgao kipindi wakinihudumia na kuoa Mali ?
Hizi 50-50 zitatutesa sna na migogoro imeanzia hapo na Bado.
 
Wanawake ni silent killers kama si kwa maneno basi kwa vitendo ila atakuua vibaya sana hasa anapohisi nguvu zimekuisha na huwezi ku provide au kumlinda
Ishi nae kwa akili sana tena akili kubwa
Na hapo hapo mwanamke ni kiumbe mwenye huruma...ukiishi nae kwa upendo kutomuumiza na kumjali atakulea na kukutunza mpk mwisho
 
Na hapo hapo mwanamke ni kiumbe mwenye huruma...ukiishi nae kwa upendo kutomuumiza na kumjali atakulea na kukutunza mpk mwisho
Sahau. Hapo hapo wenyewe wanasema wanawake hawapendi mwanaume dhaifu wanapenda kashikashi huruma huruma hawaihitaji. Ukiwa mbabe watasema we mkoroni nk. Ukimpa muda wa kutosha anakuona huna mambo kazi za kufanya wanaume wenzio wakitoka kazini wanaenda kwenye kazi zao zaida. Ukiwa na busy na kazi humpendi humjari. Hivi mkuu huwajui wanawake wewe?

Wanasaikolojia wote wanakwambia hata mwanamke mwenyewe hajui Nini anahitaji kutoka Kwa mwanaume.

Kuna mtu maarufu aliwahi achwa na mke wake wa ndoa kisa tangu waoane yule mwanaume hakuwa kuchepuka. Mwanamke alifanya Kila njia za kutrck mawasiliano ya Mme wake lakini hakupata viashiria vyovyote vya mwanaume kuchepuka akaamua ampige chini pamoja na umaarufu wake!


Dada yangu alimuacha Mme wake kisa tu Mme hajawahi mwambia analipwa sh ngapi Kwa mwezi licha kupewa Kila mwezi m3 za kwakwe na gari ya kutembelea anayo na wamezaa na jamaa mtoto1

Hata sisi tulishindwa tuanzie wapi ku solve hili!!
 
Mabibi na mabwana Habari za uzima wenu!.

Wakuu sijaenda kanisani Leo mwaka wa6 sasa bila kukanyaga kanisani. (Haiwahusu)

Nina USHAHIDI na mifano mingini sana ya wanaume waliokufa na chanzo wakiwa wake zao!

Hapa nitajikita na mifano 2 ama mitatu kama nitaweza kuandika hapahapa maana sipendi kuandika inaendelea....

Mwezi ulio pita tulimzika jirani yangu baada ya kujinyonga sababu haikuwekwa wazi sana.
Mke alisema alikuwa na madeni mengi sana (jambo ambalo siyo kweli)

Baada ya mazishi na siku kupita ndo yakaibuka yakuibuka chanzo Hadi jamaa alifikia hatua hiyo ya kujimaliza.


Story ipo Hivi;-Jamaa alikuwa ana nunua mlima wenye mawe na kuanza shughuli za kulipua mawe na kuuza Kwa wenye gari (ujenzi na kokoto)

Hii ndo ilikuwa kazi yake kubwa sana. Na ndo ilikuwa inamlisha yeye na familia yake pamoja na kusomesha Watoto wake.

Mke wake alikuwa ni mama wa nyumbani tu. Ila nyuma yake alijiingiza kwenye mikopo hii ya kausha damu.

Kuna baadhi ya vitu vilienda kama bufa screen na masofa kufidia deni alikuwa anadaiwa.

Hii ni mwaka Jana. Mme wake akaenda kuvikomboa vitu vyake na vipigo akatembeza Kwa mke wake.

Siku zikaenda Mme wake akapata shida ya afya akaenda matibabu ya kienyeji kwao mwanamke akabaki na familia na kuendeleza mradi wa mawe.

Mwanamke akenda kukopa Hela wakisadiana na kaka yake. Kaka yake aka act kama Mme wa yule mama. Dhamana wakaweka shamba heka5 ambalo pia lilikuwa zuri Kwa uchimbaji wa mchanga na Mme wake alinunua Kwa malengo hayo Kuwa siku za usoni atapiga Hela za mchanga pale.

Hela ikakopwa na akashindwa kurejesha shamba likaenda.
Muda huo Mme wake ni mgonjwa yupo Kwa waganga wakienyeji akipiga simu kuomba Hela anatumiwa na kuambiwa kazi inaenda vzr tu kule kwenye mawe.

Baada ya Mme wake kurudi kuja kuona family yake huku Bado akiwa anaendelea na matibabu ndo akaambiwa na watu huko kwenye pombe.

Kwanini ameshindwa kulipa deni na shamba likaenda ?

Hapo Sasa ndo akapata taarifa kuwa kumbe Hela alizokuwa anatumiwa ni za shamba lake!

Akarudi Kwa mke wake na kumuuliza akasema ni kweli aliamua kuchukua Hela Ili zimsaidie kwenye matibabu.

Akauliza kwanini hakumshirikisha akasema hakuna haja ya kusumbua mgonjwa. Nakumbuka ilikuwa usiku wa 4 wife akaniambia mbona kama Kuna ugomvi Kwa mama X? Nikamjibu achana nao hayakuhusu.

Katika marubano hayo wife alikili kuwa kauza,shamba, na baadhi ya viwanja walivyokuwa wamenunua.

Alipoulizwa Hela ziko wapi Sasa? Hana majibu. Ugomvi ulikuwa mkubwa sana Hadi mwenyekiti wa mtaa akaitwa hiyo sasa7 usiku.

Ikabidi awaambie kesho asbh ndo atakaa nao vzr hivyo mwanamke akaenda kulala Kwa mwenyekiti wa mtaa.

Jamaa hakulala siku hiyo Kwa maelezo ya mtoto mkubwa wa drs la5 alikesha akiongea mwenyewe "Nina faida Gani Sasa,viwanja vyangu vyote vimenda Hela kapeleka wapi? Nina faida Gani Sasa hapa?Nimekuja kufanyaje hapa"


Asbh ya saa12 akawambia Watoto wake nendeni mkamwambie mama yenu hataniona Tena nendeni Sasahivi mkamwambie hivyo

Yule binti akatoka mbio huku wadogo zake wakimfuata huku wanalia. Akajaribu kujinyongea mle ndani akashindwa.

Akaenda karibu na ule mlima wa mawe kulikuwa na mwembe karibu akajinyonga Hadi kufa mle hakuacha wosia wowote ule.

MyTake licha ya haya machache tuliyoyasikia nahisi yapo mengi zaidi ya haya. Kama mwanamke yeye alisema alikuwa anadaiwa na watu wengi Ili Hali aliyejitokeza na kukubali anamdai ni mmoja tu Tena ni rafiki yake na jamaa.

Kiasi alichokuwa ana mdai ni laki2 tu. Na anasema deni Lina wiki tu alimtumia ya matibabu akiwa kule na hakuwahi kumdai alikuwa anasubiri apone kwanza maana wametoka mbali sana na jamaa.

Kisa Cha pili. Ni sehemu niliko zaliwa Mimi(kijijini)

Jamaa alikuwa mpambanaji sana na amesomesha Watoto wote na Bahati mbaya au nzuri alizaa Watoto wanaume wote tu na baadhi Yao nimesoma nao. Hii imetokea wiki iliyopita tu.

Pia nahofia hata humu Watoto wake wamo naweza funguka nikawakumbusha maumivu makubwana pengine wenyewe
Haya ninayo yaongea humu walikuwa hawajui.(Sina Nia mbaya lengo tujifunze tu)

Tangu tukiwa shule ya msingi jamaa huyu wa makamo ya miaka55+ alikuwa mpambanaji kweli. Walikuja kutengana na mke wake hapo ndo jamaa akawa na presha kubwa sana akawa anatembea na vidonge vya kushusha presha yake.


Huyu mwanamke alikuwa na kisirani sana baada ya kuachana na Mme wake hakukubali kwenda kwao Wala kugawana Mali akabaki palepale ijapokuwa hawalali pamoja na Mme wake. Walio bahatika kuzaa nae Watoto zaidi 8.

Jamaa aliamua kuanzisha mahusiano ya hapa na pale lkn mwanamke alimfanyia Fujo sana. Siyo yeye pekee hata wanawake alienda kuwafanyia visa kadhaa licha ya kuwa wameshaachana na Mme wake.

Baada ya jamaa kuona hapa hapamstahili alienda sehemu ya mbali akanunua shamba na kuanza kilimo kule ukumbuke jamaa uwezo anao sana tu akanunua vitendea kazi vya kisasa.

Kifo chake:-Baada ya kwenda kuanza makazi mapya alienda kama anaenda kambini tu siyo kifamilia. Hivyo alikuwa yeye na mtoto wake mmoja wa kiume.

Baada ya kukaa Kwa muda kadhaa alimwagiza mtoto wake huyo wa kiume arudi nyumbani huku kuangalia maendeleo ya kilimo walichoacha huku kule.

Haijulikani ilikuwaje lakini dogo aliondoka jtano, alhamis ikapita free bila kutoka mtu ndani ijumaa wakaja wa mama wa vibarua wakaita Hadi wakachoka ikawalazimu kuondoka huku wakijua kabisa kuwa mlango umefungiwa ndani hivyo Kuna mtu ndani.

Jmos asubuhi wanaume wengine wakaenda hapo Kwa ajiri ya kazi kama walivyokuwa wamekubaliana nae. Wakaita bila mafanikio kipindi wanaita wakasikia simu inaita mle ndani. Simu ikaita bila kupokelewa Hadi ikakata. Ikaita Tena wakiwapo palepale na mara hii ilipokata tu basi ikawaladhimu wazunguke nyuma dirishani Ili wachungulie kujua mbona haamki?

Kweli wakafika Ile kusukuma dirisha hawakuamini macho Yao.
Kwanza walikutana na harufu Kali na Nzi. Wakajua tiyari huyu mtu ni marehemu tiyari hawakuvunja hata mlango mja Kwa Moja wakampigia mwenyekiti wa kitongoji akaja na process za kutafutwa ndg zikaanza.

Hiki kisa sijafunguka sana ila nimejaribu kutoa taswila tu ya juu.

MyTake:- Kwa visa hizi chanzo kikubwa Cha wanaume wenzetu kufa kabla ya wakti ni wanawake wao(wake zao)

Mimi/wewe unaweza ona hakuna point ya kufikia Hadi kujiua unaweza ukawa sawa. Lakini yakikufika hakika utakuta zaidi ya Hawa au unaweza kuua.

Imagine mwanamke auze shamba lako temewa Hela haijulikani ilipo na muda huo Kuna mradi mkubwa tu umewamchia.bado haitoshi anauza na viwanja vingine huyo kama sio kumpiga na kumuumiza vibaya au hata kuua unadhani ni Nini?


Tuwe makini sana
Wanawake ni laana , nuksi msichokijua... Pia acheni kuoa wanawake wasio na akili msipagawe na mionekano wakat kichwan mwao ni mabango lala wazee wangu
 
Mabibi na mabwana Habari za uzima wenu!.

Wakuu sijaenda kanisani Leo mwaka wa6 sasa bila kukanyaga kanisani. (Haiwahusu)

Nina USHAHIDI na mifano mingini sana ya wanaume waliokufa na chanzo wakiwa wake zao!

Hapa nitajikita na mifano 2 ama mitatu kama nitaweza kuandika hapahapa maana sipendi kuandika inaendelea....

Mwezi ulio pita tulimzika jirani yangu baada ya kujinyonga sababu haikuwekwa wazi sana.
Mke alisema alikuwa na madeni mengi sana (jambo ambalo siyo kweli)

Baada ya mazishi na siku kupita ndo yakaibuka yakuibuka chanzo Hadi jamaa alifikia hatua hiyo ya kujimaliza.


Story ipo Hivi;-Jamaa alikuwa ana nunua mlima wenye mawe na kuanza shughuli za kulipua mawe na kuuza Kwa wenye gari (ujenzi na kokoto)

Hii ndo ilikuwa kazi yake kubwa sana. Na ndo ilikuwa inamlisha yeye na familia yake pamoja na kusomesha Watoto wake.

Mke wake alikuwa ni mama wa nyumbani tu. Ila nyuma yake alijiingiza kwenye mikopo hii ya kausha damu.

Kuna baadhi ya vitu vilienda kama bufa screen na masofa kufidia deni alikuwa anadaiwa.

Hii ni mwaka Jana. Mme wake akaenda kuvikomboa vitu vyake na vipigo akatembeza Kwa mke wake.

Siku zikaenda Mme wake akapata shida ya afya akaenda matibabu ya kienyeji kwao mwanamke akabaki na familia na kuendeleza mradi wa mawe.

Mwanamke akenda kukopa Hela wakisadiana na kaka yake. Kaka yake aka act kama Mme wa yule mama. Dhamana wakaweka shamba heka5 ambalo pia lilikuwa zuri Kwa uchimbaji wa mchanga na Mme wake alinunua Kwa malengo hayo Kuwa siku za usoni atapiga Hela za mchanga pale.

Hela ikakopwa na akashindwa kurejesha shamba likaenda.
Muda huo Mme wake ni mgonjwa yupo Kwa waganga wakienyeji akipiga simu kuomba Hela anatumiwa na kuambiwa kazi inaenda vzr tu kule kwenye mawe.

Baada ya Mme wake kurudi kuja kuona family yake huku Bado akiwa anaendelea na matibabu ndo akaambiwa na watu huko kwenye pombe.

Kwanini ameshindwa kulipa deni na shamba likaenda ?

Hapo Sasa ndo akapata taarifa kuwa kumbe Hela alizokuwa anatumiwa ni za shamba lake!

Akarudi Kwa mke wake na kumuuliza akasema ni kweli aliamua kuchukua Hela Ili zimsaidie kwenye matibabu.

Akauliza kwanini hakumshirikisha akasema hakuna haja ya kusumbua mgonjwa. Nakumbuka ilikuwa usiku wa 4 wife akaniambia mbona kama Kuna ugomvi Kwa mama X? Nikamjibu achana nao hayakuhusu.

Katika marubano hayo wife alikili kuwa kauza,shamba, na baadhi ya viwanja walivyokuwa wamenunua.

Alipoulizwa Hela ziko wapi Sasa? Hana majibu. Ugomvi ulikuwa mkubwa sana Hadi mwenyekiti wa mtaa akaitwa hiyo sasa7 usiku.

Ikabidi awaambie kesho asbh ndo atakaa nao vzr hivyo mwanamke akaenda kulala Kwa mwenyekiti wa mtaa.

Jamaa hakulala siku hiyo Kwa maelezo ya mtoto mkubwa wa drs la5 alikesha akiongea mwenyewe "Nina faida Gani Sasa,viwanja vyangu vyote vimenda Hela kapeleka wapi? Nina faida Gani Sasa hapa?Nimekuja kufanyaje hapa"


Asbh ya saa12 akawambia Watoto wake nendeni mkamwambie mama yenu hataniona Tena nendeni Sasahivi mkamwambie hivyo

Yule binti akatoka mbio huku wadogo zake wakimfuata huku wanalia. Akajaribu kujinyongea mle ndani akashindwa.

Akaenda karibu na ule mlima wa mawe kulikuwa na mwembe karibu akajinyonga Hadi kufa mle hakuacha wosia wowote ule.

MyTake licha ya haya machache tuliyoyasikia nahisi yapo mengi zaidi ya haya. Kama mwanamke yeye alisema alikuwa anadaiwa na watu wengi Ili Hali aliyejitokeza na kukubali anamdai ni mmoja tu Tena ni rafiki yake na jamaa.

Kiasi alichokuwa ana mdai ni laki2 tu. Na anasema deni Lina wiki tu alimtumia ya matibabu akiwa kule na hakuwahi kumdai alikuwa anasubiri apone kwanza maana wametoka mbali sana na jamaa.

Kisa Cha pili. Ni sehemu niliko zaliwa Mimi(kijijini)

Jamaa alikuwa mpambanaji sana na amesomesha Watoto wote na Bahati mbaya au nzuri alizaa Watoto wanaume wote tu na baadhi Yao nimesoma nao. Hii imetokea wiki iliyopita tu.

Pia nahofia hata humu Watoto wake wamo naweza funguka nikawakumbusha maumivu makubwana pengine wenyewe
Haya ninayo yaongea humu walikuwa hawajui.(Sina Nia mbaya lengo tujifunze tu)

Tangu tukiwa shule ya msingi jamaa huyu wa makamo ya miaka55+ alikuwa mpambanaji kweli. Walikuja kutengana na mke wake hapo ndo jamaa akawa na presha kubwa sana akawa anatembea na vidonge vya kushusha presha yake.


Huyu mwanamke alikuwa na kisirani sana baada ya kuachana na Mme wake hakukubali kwenda kwao Wala kugawana Mali akabaki palepale ijapokuwa hawalali pamoja na Mme wake. Walio bahatika kuzaa nae Watoto zaidi 8.

Jamaa aliamua kuanzisha mahusiano ya hapa na pale lkn mwanamke alimfanyia Fujo sana. Siyo yeye pekee hata wanawake alienda kuwafanyia visa kadhaa licha ya kuwa wameshaachana na Mme wake.

Baada ya jamaa kuona hapa hapamstahili alienda sehemu ya mbali akanunua shamba na kuanza kilimo kule ukumbuke jamaa uwezo anao sana tu akanunua vitendea kazi vya kisasa.

Kifo chake:-Baada ya kwenda kuanza makazi mapya alienda kama anaenda kambini tu siyo kifamilia. Hivyo alikuwa yeye na mtoto wake mmoja wa kiume.

Baada ya kukaa Kwa muda kadhaa alimwagiza mtoto wake huyo wa kiume arudi nyumbani huku kuangalia maendeleo ya kilimo walichoacha huku kule.

Haijulikani ilikuwaje lakini dogo aliondoka jtano, alhamis ikapita free bila kutoka mtu ndani ijumaa wakaja wa mama wa vibarua wakaita Hadi wakachoka ikawalazimu kuondoka huku wakijua kabisa kuwa mlango umefungiwa ndani hivyo Kuna mtu ndani.

Jmos asubuhi wanaume wengine wakaenda hapo Kwa ajiri ya kazi kama walivyokuwa wamekubaliana nae. Wakaita bila mafanikio kipindi wanaita wakasikia simu inaita mle ndani. Simu ikaita bila kupokelewa Hadi ikakata. Ikaita Tena wakiwapo palepale na mara hii ilipokata tu basi ikawaladhimu wazunguke nyuma dirishani Ili wachungulie kujua mbona haamki?

Kweli wakafika Ile kusukuma dirisha hawakuamini macho Yao.
Kwanza walikutana na harufu Kali na Nzi. Wakajua tiyari huyu mtu ni marehemu tiyari hawakuvunja hata mlango mja Kwa Moja wakampigia mwenyekiti wa kitongoji akaja na process za kutafutwa ndg zikaanza.

Hiki kisa sijafunguka sana ila nimejaribu kutoa taswila tu ya juu.

MyTake:- Kwa visa hizi chanzo kikubwa Cha wanaume wenzetu kufa kabla ya wakti ni wanawake wao(wake zao)

Mimi/wewe unaweza ona hakuna point ya kufikia Hadi kujiua unaweza ukawa sawa. Lakini yakikufika hakika utakuta zaidi ya Hawa au unaweza kuua.

Imagine mwanamke auze shamba lako temewa Hela haijulikani ilipo na muda huo Kuna mradi mkubwa tu umewamchia.bado haitoshi anauza na viwanja vingine huyo kama sio kumpiga na kumuumiza vibaya au hata kuua unadhani ni Nini?


Tuwe makini sana
Wanawake ni laana , nuksi msichokijua... Pia acheni kuoa wanawake wasio na akili msipagawe na mionekano wakat kichwan ni mabango lala wazee wangu
 
Kuna kisa cha jirani yetu pia huku mbez alikua ni mwanajeshi kaoa mwanamke asie na akili kisha kumfanyia mama wa nyumbn, kamfanyia vitimbi mumewe hd jamaa akajiua siku hyo ndani kwake kwa kujichanja mishipa ya kwenye mkono
 
Wanawake hawajidhuru tukiwapiga matukio coz ni wastahmilivu zaidi kuliko sisi.

Wanavumilia kero zetu za ulevi, michepuko ya wazi, watoto wa nje bt sie kwa kero hizo hatuwezi wavumilia hata kidogo.
Sasa mkuu kama unajilinganisha na mwanamke unadhani kuna kitu naweza kujibu mimi?
 
Kuna kisa cha jirani yetu pia huku mbez alikua ni mwanajeshi kaoa mwanamke asie na akili kisha kumfanyia mama wa nyumbn, kamfanyia vitimbi mumewe hd jamaa akajiua siku hyo ndani kwake kwa kujichanja mishipa ya kwenye mkono
Hatari sana mkuu
 
Uhalisia ndo huo tangu kuubwa Kwa ulimwengu Hadi Leo.

Mkuu hapa Tanzania tu
Angalia wajane wengi ni wanawake wanaume wagane ni wachache mno
Hiyo itakupa takwimu za wazi kuwa wanaume wanakufa mapema

Nyerere Leo ana miaka25+ tangu afariki mke wake yupo anadunda tu! Hata huko Kwa karume halikadharika!

Achilia mbali Mugabe,Mandela,mkapa mwinyi na JPM wote hao Kwa uchache sana ni walishatangulia mbele za haki
Wanaume tunakufa mapema kwa sababu ya ujinga wetu wenyewe, ikiwa wanawake wanayavumilia yanayotufanya sisi tujiue, unadhani yupi anapaswa kulaumiwa hapo kama sio sisi wenyewe?
 
Back
Top Bottom