Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Bado hajapevuka kifikra 😃😃😃Yeah comment hii inaonyesha amefikia kikomo Cha kufikiri. Maiti ilie lie kuwa mke ndo kaniua🙌🙌🙌
Anadhani tuna discuss ishu za GF na BF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hajapevuka kifikra 😃😃😃Yeah comment hii inaonyesha amefikia kikomo Cha kufikiri. Maiti ilie lie kuwa mke ndo kaniua🙌🙌🙌
Wewe funguka kikubwa toa tahadhari hao watoto kama wapo humu wasisiome kwakuwa itawaumiza sasa wakisoama ni tatizo lao na si lako periodHivi visa kati ya visa vyote huwa vinaniuma sana(kile Cha pili sijafunguka tu ) maana najua wazi Watoto wamo humu kabisa wamesoma na wanakazi zao nzuri tu
Ila huyu naye ni mpuuzi sana ingawa ni marehemu now,iweje aweke hela kwenye account ya mkewe,si afadhali ya ndugu zake hata wakimpiga walau ndugu wamefaidikaNakuongezea kisa, Morel mwana appolo alijinyonga mwaka juzi kisa na mkasa akiwa mererani anapambana anatuma pesa kwa mke wake , mke kosa pesa atunze ili baadae wapige hesabu yeye karuka hadi moshi kanunua eneo na kaanza kujenga hotel , jamaa ukumbuke akaunt anayoingiza pesa ya mke wake , ilipofika muda akauliza vipi huko tuna bei gani, mwanamke kwenda benki analeta slip yenye salio kama milioni tano, wakati jamaa hesabu za haraka alijua kama sio 200m basi itakosa kidogo, mwanamke hotel imeisha tena kwa jina lake na kwa siri, kuhoji zaidi anaambiwa Ile benki kuna chuma ulete, moreli alichanganyikiwa ikabidi ajinyonge, hivo ishini nao kwa akili ni watu waliojaa tamaa Sana kwa sasa
Kwahiyo bikra ndio akili?Kama sio bikra usioe
Chunga jela kubaya.Uzi huu unapaswa kusomwa na wana ndoa za 10 and above. Hii ni ful experience na inatokea kila siku.
Hapa nina mda nakuwa na ubabe ila unatokana na ujuaji wa wife. Yaani tunagombana ndani kwa ndani.. naona kabsa umauti hauko mbali.
I am not your age mate. I am old enough to be your Father.Magumu hayajakujuta ndugu
Mkuu hata hivyo picha wameiona na ndivyo ilivyo mengine ni kuyaacha tuWewe funguka kikubwa toa tahadhari hao watoto kama wapo humu wasisiome kwakuwa itawaumiza sasa wakisoama ni tatizo lao na si lako period
Kuna mambo mazito sana kuyahimili yahitaji ushauri wa haraka sana bila hivyo unajimaliza.Mimi nawaambiaga Wana hii sijui wife kakuta msg ya mchepuko, mara nimechepuka wife kajua hayo ni makosa Minor mnoo kwenye ndoa.
Kuna kitu mtu anakufanyia we mwenyewe unaamua kwenda kuchukua kamba au sumu unywe ili ufe maana its a maximum
Namimi nawaambiaga watu heri niandikishe jina la mdogo wangu au kaka mkubwa kwenye Mali zangu kuliko jina la mke wangu never ever! Dogo hata akinitapeli ipo siku Watoto wangu ama Watoto wake na wangu watasaidiana tu Kwa njia Moja ama nyingine. Kuliko mwanamke anaolewa na mwanaume mwingine na kukusahau kabisa. Ndg yatosha tu hata kupalilia kaburi langu.Ila huyu naye ni mpuuzi sana ingawa ni marehemu now,iweje aweke hela kwenye account ya mkewe,si afadhali ya ndugu zake hata wakimpiga walau ndugu wamefaidika
Hilo ndilo jibu. Waulize wenyewe au muulize mchumba wako mbona wanawake hampendani jibu atalitoa yeye mwenyewe. Hawapendi wale vile unafiki tu kujichekesha na kujiita shoga angu ila ndani hamna kitu.unamaanisha wanawake wenyewe kwa wenyewe hawapendani?
Kama sio bikra usioe, narudiaKwahiyo bikra ndio akili?
😂😂😂😂Nakuongezea kisa, Morel mwana appolo alijinyonga mwaka juzi kisa na mkasa akiwa mererani anapambana anatuma pesa kwa mke wake , mke kosa pesa atunze ili baadae wapige hesabu yeye karuka hadi moshi kanunua eneo na kaanza kujenga hotel , jamaa ukumbuke akaunt anayoingiza pesa ya mke wake , ilipofika muda akauliza vipi huko tuna bei gani, mwanamke kwenda benki analeta slip yenye salio kama milioni tano, wakati jamaa hesabu za haraka alijua kama sio 200m basi itakosa kidogo, mwanamke hotel imeisha tena kwa jina lake na kwa siri, kuhoji zaidi anaambiwa Ile benki kuna chuma ulete, moreli alichanganyikiwa ikabidi ajinyonge, hivo ishini nao kwa akili ni watu waliojaa tamaa Sana kwa sasa
Anaweza akawa mchawi na usijue Wala asikudhuru mkuu.ukaishi nae Hadi mkapata wajukuu watakao jua ni watu wa Nje nasio ninyi wa nyumbani.Nasikia mwanamke mchawi anakua hatari zaidi kuliko mchawi wa kiume
Hahaha hatari sana.Namimi nawaambiaga watu heri niandikishe jina la mdogo wangu au kaka mkubwa kwenye Mali zangu kuliko jina la mke wangu never ever! Dogo hata akinitapeli ipo siku Watoto wangu ama Watoto wake na wangu watasaidiana tu Kwa njia Moja ama nyingine. Kuliko mwanamke anaolewa na mwanaume mwingine na kukusahau kabisa. Ndg yatosha tu hata kupalilia kaburi langu.
Kwa mwanamke udhaifu wako unaweza kuwa uimara wake na uimara wako ukawa udhaifu kwako ili mradi tu afanikishe lakwake. Kwa ufupi kuzaliwa mwanaume huo tayari ni udhaifu endapo utajihusisha na mahusiano. Huwa ni suala la wakati tu na zaidi kwa neema ya Mungu. Mfano mzuri visa vya maisha ya matajiri kama Reginald Mengi, hivi karibuni Davis Mosha ni visa vilivyo kwenye public domain. Kubwa ni kuishi nao kwa akili kwa kujua ni wakati gani uishi nae na wakati gani uendelee na maisha yako mwenyewe.point to note : "wanawake hawapendi mwanaume dhaifu"
note hii point mtoa mada Nikifa MkeWangu Asiolewe
Pole sana kamanda shukru hata hivyo unaishiMwaka 2021 January nilipigiwa simu nikiwa bushi kua wife wako kasafisha chumba kaondoka anakojua yeye, dogo akiwa na mwaka 1 adi Leo sijaonana na dogo naishia kuongea nae tu
Mkuu sikupingi, hupingwi na mtu zote 100%Kwa mwanamke udhaifu wako unaweza kuwa uimara wake na uimara wako ukawa udhaifu kwako ili mradi tu afanikishe lakwake. Kwa ufupi kuzaliwa mwanaume huo tayari ni udhaifu endapo utajihusisha na mahusiano. Huwa ni suala la wakati tu na zaidi kwa neema ya Mungu. Mfano mzuri visa vya maisha ya matajiri kama Reginald Mengi, hivi karibuni Davis Mosha ni visa vilivyo kwenye public domain. Kubwa ni kuishi nao kwa akili kwa kujua ni wakati gani uishi nae na wakati gani uendelee na maisha yako mwenyewe.