Japokuwa nimeoa lakini wanawake ndio chanzo cha wanaume kufa mapema kwenye ndoa/familia

Japokuwa nimeoa lakini wanawake ndio chanzo cha wanaume kufa mapema kwenye ndoa/familia

20836956_1318075131649028_8076435440325885952_n.jpg
 
Hakikisha kama ww ni baba unakuwa baba kweli sio wa kuyumba yumba na jitahidi uwe mkorofi mkorofi hiyo huleta hofu kwa mkeo na akianzisha kitu malizia ameuza shamba uza nyumba nenda kwingine muhadae kisaikolojia
Uko sahihi mkuu. Mwanamke hataki mgawane Mali na hataki kuondoka kwenda kwao huyu anatafuta Nini kama sio kukuua? Ukianzisha mahusiano anakufanyia Fujo daahka
 
Mabibi na mabwana Habari za uzima wenu!.

Wakuu sijaenda kanisani Leo mwaka wa6 sasa bila kukanyaga kanisani. (Haiwahusu)

Nina USHAHIDI na mifano mingini sana ya wanaume waliokufa na chanzo wakiwa wake zao!

Hapa nitajikita na mifano 2 ama mitatu kama nitaweza kuandika hapahapa maana sipendi kuandika inaendelea....

Mwezi ulio pita tulimzika jirani yangu baada ya kujinyonga sababu haikuwekwa wazi sana.
Mke alisema alikuwa na madeni mengi sana (jambo ambalo siyo kweli)

Baada ya mazishi na siku kupita ndo yakaibuka yakuibuka chanzo Hadi jamaa alifikia hatua hiyo ya kujimaliza.


Story ipo Hivi;-Jamaa alikuwa ana nunua mlima wenye mawe na kuanza shughuli za kulipua mawe na kuuza Kwa wenye gari (ujenzi na kokoto)

Hii ndo ilikuwa kazi yake kubwa sana. Na ndo ilikuwa inamlisha yeye na familia yake pamoja na kusomesha Watoto wake.

Mke wake alikuwa ni mama wa nyumbani tu. Ila nyuma yake alijiingiza kwenye mikopo hii ya kausha damu.

Kuna baadhi ya vitu vilienda kama bufa screen na masofa kufidia deni alikuwa anadaiwa.

Hii ni mwaka Jana. Mme wake akaenda kuvikomboa vitu vyake na vipigo akatembeza Kwa mke wake.

Siku zikaenda Mme wake akapata shida ya afya akaenda matibabu ya kienyeji kwao mwanamke akabaki na familia na kuendeleza mradi wa mawe.

Mwanamke akenda kukopa Hela wakisadiana na kaka yake. Kaka yake aka act kama Mme wa yule mama. Dhamana wakaweka shamba heka5 ambalo pia lilikuwa zuri Kwa uchimbaji wa mchanga na Mme wake alinunua Kwa malengo hayo Kuwa siku za usoni atapiga Hela za mchanga pale.

Hela ikakopwa na akashindwa kurejesha shamba likaenda.
Muda huo Mme wake ni mgonjwa yupo Kwa waganga wakienyeji akipiga simu kuomba Hela anatumiwa na kuambiwa kazi inaenda vzr tu kule kwenye mawe.

Baada ya Mme wake kurudi kuja kuona family yake huku Bado akiwa anaendelea na matibabu ndo akaambiwa na watu huko kwenye pombe.

Kwanini ameshindwa kulipa deni na shamba likaenda ?

Hapo Sasa ndo akapata taarifa kuwa kumbe Hela alizokuwa anatumiwa ni za shamba lake!

Akarudi Kwa mke wake na kumuuliza akasema ni kweli aliamua kuchukua Hela Ili zimsaidie kwenye matibabu.

Akauliza kwanini hakumshirikisha akasema hakuna haja ya kusumbua mgonjwa. Nakumbuka ilikuwa usiku wa 4 wife akaniambia mbona kama Kuna ugomvi Kwa mama X? Nikamjibu achana nao hayakuhusu.

Katika marubano hayo wife alikili kuwa kauza,shamba, na baadhi ya viwanja walivyokuwa wamenunua.

Alipoulizwa Hela ziko wapi Sasa? Hana majibu. Ugomvi ulikuwa mkubwa sana Hadi mwenyekiti wa mtaa akaitwa hiyo sasa7 usiku.

Ikabidi awaambie kesho asbh ndo atakaa nao vzr hivyo mwanamke akaenda kulala Kwa mwenyekiti wa mtaa.

Jamaa hakulala siku hiyo Kwa maelezo ya mtoto mkubwa wa drs la5 alikesha akiongea mwenyewe "Nina faida Gani Sasa,viwanja vyangu vyote vimenda Hela kapeleka wapi? Nina faida Gani Sasa hapa?Nimekuja kufanyaje hapa"


Asbh ya saa12 akawambia Watoto wake nendeni mkamwambie mama yenu hataniona Tena nendeni Sasahivi mkamwambie hivyo

Yule binti akatoka mbio huku wadogo zake wakimfuata huku wanalia. Akajaribu kujinyongea mle ndani akashindwa.

Akaenda karibu na ule mlima wa mawe kulikuwa na mwembe karibu akajinyonga Hadi kufa mle hakuacha wosia wowote ule.

MyTake licha ya haya machache tuliyoyasikia nahisi yapo mengi zaidi ya haya. Kama mwanamke yeye alisema alikuwa anadaiwa na watu wengi Ili Hali aliyejitokeza na kukubali anamdai ni mmoja tu Tena ni rafiki yake na jamaa.

Kiasi alichokuwa ana mdai ni laki2 tu. Na anasema deni Lina wiki tu alimtumia ya matibabu akiwa kule na hakuwahi kumdai alikuwa anasubiri apone kwanza maana wametoka mbali sana na jamaa.

Kisa Cha pili. Ni sehemu niliko zaliwa Mimi(kijijini)

Jamaa alikuwa mpambanaji sana na amesomesha Watoto wote na Bahati mbaya au nzuri alizaa Watoto wanaume wote tu na baadhi Yao nimesoma nao. Hii imetokea wiki iliyopita tu.

Pia nahofia hata humu Watoto wake wamo naweza funguka nikawakumbusha maumivu makubwana pengine wenyewe
Haya ninayo yaongea humu walikuwa hawajui.(Sina Nia mbaya lengo tujifunze tu)

Tangu tukiwa shule ya msingi jamaa huyu wa makamo ya miaka55+ alikuwa mpambanaji kweli. Walikuja kutengana na mke wake hapo ndo jamaa akawa na presha kubwa sana akawa anatembea na vidonge vya kushusha presha yake.


Huyu mwanamke alikuwa na kisirani sana baada ya kuachana na Mme wake hakukubali kwenda kwao Wala kugawana Mali akabaki palepale ijapokuwa hawalali pamoja na Mme wake. Walio bahatika kuzaa nae Watoto zaidi 8.

Jamaa aliamua kuanzisha mahusiano ya hapa na pale lkn mwanamke alimfanyia Fujo sana. Siyo yeye pekee hata wanawake alienda kuwafanyia visa kadhaa licha ya kuwa wameshaachana na Mme wake.

Baada ya jamaa kuona hapa hapamstahili alienda sehemu ya mbali akanunua shamba na kuanza kilimo kule ukumbuke jamaa uwezo anao sana tu akanunua vitendea kazi vya kisasa.

Kifo chake:-Baada ya kwenda kuanza makazi mapya alienda kama anaenda kambini tu siyo kifamilia. Hivyo alikuwa yeye na mtoto wake mmoja wa kiume.

Baada ya kukaa Kwa muda kadhaa alimwagiza mtoto wake huyo wa kiume arudi nyumbani huku kuangalia maendeleo ya kilimo walichoacha huku kule.

Haijulikani ilikuwaje lakini dogo aliondoka jtano, alhamis ikapita free bila kutoka mtu ndani ijumaa wakaja wa mama wa vibarua wakaita Hadi wakachoka ikawalazimu kuondoka huku wakijua kabisa kuwa mlango umefungiwa ndani hivyo Kuna mtu ndani.

Jmos asubuhi wanaume wengine wakaenda hapo Kwa ajiri ya kazi kama walivyokuwa wamekubaliana nae. Wakaita bila mafanikio kipindi wanaita wakasikia simu inaita mle ndani. Simu ikaita bila kupokelewa Hadi ikakata. Ikaita Tena wakiwapo palepale na mara hii ilipokata tu basi ikawaladhimu wazunguke nyuma dirishani Ili wachungulie kujua mbona haamki?

Kweli wakafika Ile kusukuma dirisha hawakuamini macho Yao.
Kwanza walikutana na harufu Kali na Nzi. Wakajua tiyari huyu mtu ni marehemu tiyari hawakuvunja hata mlango mja Kwa Moja wakampigia mwenyekiti wa kitongoji akaja na process za kutafutwa ndg zikaanza.

Hiki kisa sijafunguka sana ila nimejaribu kutoa taswila tu ya juu.

MyTake:- Kwa visa hizi chanzo kikubwa Cha wanaume wenzetu kufa kabla ya wakti ni wanawake wao(wake zao)

Mimi/wewe unaweza ona hakuna point ya kufikia Hadi kujiua unaweza ukawa sawa. Lakini yakikufika hakika utakuta zaidi ya Hawa au unaweza kuua.

Imagine mwanamke auze shamba lako temewa Hela haijulikani ilipo na muda huo Kuna mradi mkubwa tu umewamchia.bado haitoshi anauza na viwanja vingine huyo kama sio kumpiga na kumuumiza vibaya au hata kuua unadhani ni Nini?


Tuwe makini sana
Inaumizaa
 
Nina jirani angu, ananiletea umbea wa mumewe...namimi namsimulia mume wangu.


Eti mymewe hawapendi ndg wa mkewe....." nami namuuliza nawewe umeolewa mambo ya kwenu shiriki kias mengine sticky na familia yako...wapeni pesa wakakae kwingine...wakodishie chumba ...nilimshauri..ila anaonekana anataka banana na miji kaka ya miaka 29 na imingine 35yrs.....


Baba anadai majombi hayo yatakujq kubaka watoto wake..... mke haamini hilo anawaamini kaka zake...kakaake mmoja aliponaga chupu kuuwawa na kufiriwa kwa kuwekewa mtego na mke wa mtu..


Mbaba amewafukuza chumbn walale nje au walale seblen....nimempenda sana msimamo wa mbaba huyo...shoga angu hamnazo kabisa...

Nilimuuliza wewe iluliolewa mumeo akiwa na umri gani akasema mumewe alikuwa 28 yeye akiwa na 23...nikamwambia kwanini unawafuga wababa watu wazima??


Mytake...sio wanawake wote tunapenda waume zetu wafe na stress....natamaninijue mume anapitia wkt gani nimpoze...yaani kuna wkt nasikia wanaume wanakula tigo nje huko natamn mume wangu akitaka nimpe asihangaike.

Mm nafanyakaz lkn napewa pesa kias na mume akihisi sina kitu..ila naziweka zikijaa kama mil 1 hivi namkumbusha unakumbuka ulinipa 50k, ukanipa 10k, ukanipa 5k ukanipa 2000, ukanipa 60k

Zimezaaa mil 1 hii hapa... anafurahi...naamin Mr wangu hana stress, simu yake sikagui..sometimes namuhisi kuchepuka lkn namuonya tu.....

Nahisi hana stress Manama wenzangu tuwatunze waume wasife, wasijinyonge.. kuna wanaokufa kwa presha tu sio kujinyongq..wengine hawana sukar ila inapanda kwa sabab ya mawazo nk
 
Mabibi na mabwana Habari za uzima wenu!.

Wakuu sijaenda kanisani Leo mwaka wa6 sasa bila kukanyaga kanisani. (Haiwahusu)

Nina USHAHIDI na mifano mingini sana ya wanaume waliokufa na chanzo wakiwa wake zao!

Hapa nitajikita na mifano 2 ama mitatu kama nitaweza kuandika hapahapa maana sipendi kuandika inaendelea....

Mwezi ulio pita tulimzika jirani yangu baada ya kujinyonga sababu haikuwekwa wazi sana.
Mke alisema alikuwa na madeni mengi sana (jambo ambalo siyo kweli)

Baada ya mazishi na siku kupita ndo yakaibuka yakuibuka chanzo Hadi jamaa alifikia hatua hiyo ya kujimaliza.


Story ipo Hivi;-Jamaa alikuwa ana nunua mlima wenye mawe na kuanza shughuli za kulipua mawe na kuuza Kwa wenye gari (ujenzi na kokoto)

Hii ndo ilikuwa kazi yake kubwa sana. Na ndo ilikuwa inamlisha yeye na familia yake pamoja na kusomesha Watoto wake.

Mke wake alikuwa ni mama wa nyumbani tu. Ila nyuma yake alijiingiza kwenye mikopo hii ya kausha damu.

Kuna baadhi ya vitu vilienda kama bufa screen na masofa kufidia deni alikuwa anadaiwa.

Hii ni mwaka Jana. Mme wake akaenda kuvikomboa vitu vyake na vipigo akatembeza Kwa mke wake.

Siku zikaenda Mme wake akapata shida ya afya akaenda matibabu ya kienyeji kwao mwanamke akabaki na familia na kuendeleza mradi wa mawe.

Mwanamke akenda kukopa Hela wakisadiana na kaka yake. Kaka yake aka act kama Mme wa yule mama. Dhamana wakaweka shamba heka5 ambalo pia lilikuwa zuri Kwa uchimbaji wa mchanga na Mme wake alinunua Kwa malengo hayo Kuwa siku za usoni atapiga Hela za mchanga pale.

Hela ikakopwa na akashindwa kurejesha shamba likaenda.
Muda huo Mme wake ni mgonjwa yupo Kwa waganga wakienyeji akipiga simu kuomba Hela anatumiwa na kuambiwa kazi inaenda vzr tu kule kwenye mawe.

Baada ya Mme wake kurudi kuja kuona family yake huku Bado akiwa anaendelea na matibabu ndo akaambiwa na watu huko kwenye pombe.

Kwanini ameshindwa kulipa deni na shamba likaenda ?

Hapo Sasa ndo akapata taarifa kuwa kumbe Hela alizokuwa anatumiwa ni za shamba lake!

Akarudi Kwa mke wake na kumuuliza akasema ni kweli aliamua kuchukua Hela Ili zimsaidie kwenye matibabu.

Akauliza kwanini hakumshirikisha akasema hakuna haja ya kusumbua mgonjwa. Nakumbuka ilikuwa usiku wa 4 wife akaniambia mbona kama Kuna ugomvi Kwa mama X? Nikamjibu achana nao hayakuhusu.

Katika marubano hayo wife alikili kuwa kauza,shamba, na baadhi ya viwanja walivyokuwa wamenunua.

Alipoulizwa Hela ziko wapi Sasa? Hana majibu. Ugomvi ulikuwa mkubwa sana Hadi mwenyekiti wa mtaa akaitwa hiyo sasa7 usiku.

Ikabidi awaambie kesho asbh ndo atakaa nao vzr hivyo mwanamke akaenda kulala Kwa mwenyekiti wa mtaa.

Jamaa hakulala siku hiyo Kwa maelezo ya mtoto mkubwa wa drs la5 alikesha akiongea mwenyewe "Nina faida Gani Sasa,viwanja vyangu vyote vimenda Hela kapeleka wapi? Nina faida Gani Sasa hapa?Nimekuja kufanyaje hapa"


Asbh ya saa12 akawambia Watoto wake nendeni mkamwambie mama yenu hataniona Tena nendeni Sasahivi mkamwambie hivyo

Yule binti akatoka mbio huku wadogo zake wakimfuata huku wanalia. Akajaribu kujinyongea mle ndani akashindwa.

Akaenda karibu na ule mlima wa mawe kulikuwa na mwembe karibu akajinyonga Hadi kufa mle hakuacha wosia wowote ule.

MyTake licha ya haya machache tuliyoyasikia nahisi yapo mengi zaidi ya haya. Kama mwanamke yeye alisema alikuwa anadaiwa na watu wengi Ili Hali aliyejitokeza na kukubali anamdai ni mmoja tu Tena ni rafiki yake na jamaa.

Kiasi alichokuwa ana mdai ni laki2 tu. Na anasema deni Lina wiki tu alimtumia ya matibabu akiwa kule na hakuwahi kumdai alikuwa anasubiri apone kwanza maana wametoka mbali sana na jamaa.

Kisa Cha pili. Ni sehemu niliko zaliwa Mimi(kijijini)

Jamaa alikuwa mpambanaji sana na amesomesha Watoto wote na Bahati mbaya au nzuri alizaa Watoto wanaume wote tu na baadhi Yao nimesoma nao. Hii imetokea wiki iliyopita tu.

Pia nahofia hata humu Watoto wake wamo naweza funguka nikawakumbusha maumivu makubwana pengine wenyewe
Haya ninayo yaongea humu walikuwa hawajui.(Sina Nia mbaya lengo tujifunze tu)

Tangu tukiwa shule ya msingi jamaa huyu wa makamo ya miaka55+ alikuwa mpambanaji kweli. Walikuja kutengana na mke wake hapo ndo jamaa akawa na presha kubwa sana akawa anatembea na vidonge vya kushusha presha yake.


Huyu mwanamke alikuwa na kisirani sana baada ya kuachana na Mme wake hakukubali kwenda kwao Wala kugawana Mali akabaki palepale ijapokuwa hawalali pamoja na Mme wake. Walio bahatika kuzaa nae Watoto zaidi 8.

Jamaa aliamua kuanzisha mahusiano ya hapa na pale lkn mwanamke alimfanyia Fujo sana. Siyo yeye pekee hata wanawake alienda kuwafanyia visa kadhaa licha ya kuwa wameshaachana na Mme wake.

Baada ya jamaa kuona hapa hapamstahili alienda sehemu ya mbali akanunua shamba na kuanza kilimo kule ukumbuke jamaa uwezo anao sana tu akanunua vitendea kazi vya kisasa.

Kifo chake:-Baada ya kwenda kuanza makazi mapya alienda kama anaenda kambini tu siyo kifamilia. Hivyo alikuwa yeye na mtoto wake mmoja wa kiume.

Baada ya kukaa Kwa muda kadhaa alimwagiza mtoto wake huyo wa kiume arudi nyumbani huku kuangalia maendeleo ya kilimo walichoacha huku kule.

Haijulikani ilikuwaje lakini dogo aliondoka jtano, alhamis ikapita free bila kutoka mtu ndani ijumaa wakaja wa mama wa vibarua wakaita Hadi wakachoka ikawalazimu kuondoka huku wakijua kabisa kuwa mlango umefungiwa ndani hivyo Kuna mtu ndani.

Jmos asubuhi wanaume wengine wakaenda hapo Kwa ajiri ya kazi kama walivyokuwa wamekubaliana nae. Wakaita bila mafanikio kipindi wanaita wakasikia simu inaita mle ndani. Simu ikaita bila kupokelewa Hadi ikakata. Ikaita Tena wakiwapo palepale na mara hii ilipokata tu basi ikawaladhimu wazunguke nyuma dirishani Ili wachungulie kujua mbona haamki?

Kweli wakafika Ile kusukuma dirisha hawakuamini macho Yao.
Kwanza walikutana na harufu Kali na Nzi. Wakajua tiyari huyu mtu ni marehemu tiyari hawakuvunja hata mlango mja Kwa Moja wakampigia mwenyekiti wa kitongoji akaja na process za kutafutwa ndg zikaanza.

Hiki kisa sijafunguka sana ila nimejaribu kutoa taswila tu ya juu.

MyTake:- Kwa visa hizi chanzo kikubwa Cha wanaume wenzetu kufa kabla ya wakti ni wanawake wao(wake zao)

Mimi/wewe unaweza ona hakuna point ya kufikia Hadi kujiua unaweza ukawa sawa. Lakini yakikufika hakika utakuta zaidi ya Hawa au unaweza kuua.

Imagine mwanamke auze shamba lako temewa Hela haijulikani ilipo na muda huo Kuna mradi mkubwa tu umewamchia.bado haitoshi anauza na viwanja vingine huyo kama sio kumpiga na kumuumiza vibaya au hata kuua unadhani ni Nini?


Tuwe makini sana
Ndomaana nasema wanawake .nishetan na nusu na robo..asipo kutoa roho jua atakupa ugonjwa wakukutoa roho kivyovyote vile,, minlisha kimbia wanawake kazaa kisa stress zao..mmoja wao ilikuw hv nimesafir kama mwenz kibiashara huko nimepata hasara mingi nimerudi mwanamke anauliza hela zikwapi ..mara usuniguse huna hela unanuka jasho dharau nikasusa kuila mbususu ..akaanza ooh hata ukisusa susa ngoja kuna wengine wata kula
Nilimuacha kigaidi ile mbaya nanlikuwa nahela tu zakutosha ..nikaondoka kabla haja amka na chumba nilimpangishia sija mtafuta tena japo anantafta namchunia huu mwaka wa 3..ndo nsha mwacha hvo bila kelele
 
lnaonesha hizi "my dear" wanazoitana, huwa hazitoki moyoni.
Hilo liko wazi. Wewe uje uanzishe umbea tu hata wa uongo Kwa mwanamke hapo kitaa unayejua kabisa ni star wa pale yaani anawazidi hapo uone Sasa atakavyosemwa. Ni tofauti kubwa sana Mimi nawewe naweza kukuita wee fala na Bado nikawa nakukubali kinoma kutoka moyoni.
 
Ndomaana nasema wanawake .nishetan na nusu na robo..asipo kutoa roho jua atakupa ugonjwa wakukutoa roho kivyovyote vile,, minlisha kimbia wanawake kazaa kisa stress zao..mmoja wao ilikuw hv nimesafir kama mwenz kibiashara huko nimepata hasara mingi nimerudi mwanamke anauliza hela zikwapi ..mara usuniguse huna hela unanuka jasho dharau nikasusa kuila mbususu ..akaanza ooh hata ukisusa susa ngoja kuna wengine wata kula
Nilimuacha kigaidi ile mbaya nanlikuwa nahela tu zakutosha ..nikaondoka kabla haja amka na chumba nilimpangishia sija mtafuta tena japo anantafta namchunia huu mwaka wa 3..ndo nsha mwacha hvo bila kelele
Ulitumia akili sana. Uvumilivu kwenye hamna haupo. Piga chini Songa mbele.
 
Nina jirani angu, ananiletea umbea wa mumewe...namimi namsimulia mume wangu.


Eti mymewe hawapendi ndg wa mkewe....." nami namuuliza nawewe umeolewa mambo ya kwenu shiriki kias mengine sticky na familia yako...wapeni pesa wakakae kwingine...wakodishie chumba ...nilimshauri..ila anaonekana anataka banana na miji kaka ya miaka 29 na imingine 35yrs.....


Baba anadai majombi hayo yatakujq kubaka watoto wake..... mke haamini hilo anawaamini kaka zake...kakaake mmoja aliponaga chupu kuuwawa na kufiriwa kwa kuwekewa mtego na mke wa mtu..


Mbaba amewafukuza chumbn walale nje au walale seblen....nimempenda sana msimamo wa mbaba huyo...shoga angu hamnazo kabisa...

Nilimuuliza wewe iluliolewa mumeo akiwa na umri gani akasema mumewe alikuwa 28 yeye akiwa na 23...nikamwambia kwanini unawafuga wababa watu wazima??


Mytake...sio wanawake wote tunapenda waume zetu wafe na stress....natamaninijue mume anapitia wkt gani nimpoze...yaani kuna wkt nasikia wanaume wanakula tigo nje huko natamn mume wangu akitaka nimpe asihangaike.

Mm nafanyakaz lkn napewa pesa kias na mume akihisi sina kitu..ila naziweka zikijaa kama mil 1 hivi namkumbusha unakumbuka ulinipa 50k, ukanipa 10k, ukanipa 5k ukanipa 2000, ukanipa 60k

Zimezaaa mil 1 hii hapa... anafurahi...naamin Mr wangu hana stress, simu yake sikagui..sometimes namuhisi kuchepuka lkn namuonya tu.....

Nahisi hana stress Manama wenzangu tuwatunze waume wasife, wasijinyonge.. kuna wanaokufa kwa presha tu sio kujinyongq..wengine hawana sukar ila inapanda kwa sabab ya mawazo nk
Natamani wanawake wawe kama wewe. Mwanaume mwenzetu kapata mke mwema hakika.
 
Hakikisha kama ww ni baba unakuwa baba kweli sio wa kuyumba yumba na jitahidi uwe mkorofi mkorofi hiyo huleta hofu kwa mkeo na akianzisha kitu malizia ameuza shamba uza nyumba nenda kwingine muhadae kisaikolojia
Bado hujui. Unadhani ubabe utatumika siku zote utafaulu?
Unajua maana ya msongo wa mawazo mkuu? Usiporuhusu ushauri kutoka Nje umekwisha! Hicho kisa Cha kwanza nilivyo elezea inatosha kabisa kuelewa jamaa hakuna mnyonge ama dhaifu.

Alichukua mkopo kausha damu vitu vya ndani vikaenda. Jamaa akaenda kuvikomboa na kumpiga kipigo Cha mbwa Koko msikitini. Haya sio ya kuambiwa ni jirani yangu.


Hapo jamaa akajua kasolve. Wamekaa ndo akaugua Sasa na kutoka kwakwe kwenda matibabu kwao (wazazi wake) kakaa kule ndo mwanamke akapata upenyo huo.

Taarifa kazipata kwenye bar Kwa jamaa zake. Akatoka kule akaanza kuuliza ndo hapo ungomvi ulipoanzia na Bahati mbaya hakupta nafasi ya kuomba ushauri hata Kwa ndg zake ama jamaa zake.


Kitu kilichosababisha mqenyikiti wa mtaa aondoke nae usiku ule jamaa angemuua yule mwanamke maana alikuwaga anapiga sana tu.

Namalizia Kwa kusema Hivi wanaume Huwa tunatambiana sana lkn ukweli upo wazi mwanamke ukishaishi naye tu anakujua Nje ndani.

Mifano hii hapa ya wazi kabisa
Samson alikuwa kidume ajabu lakini aliishia vipi?

Suleiman pamoja na hekima yake yote yote alianza kuabudu Miungu mingine!!

Adamu mwanaume aliyekamilika Kila kitu alikubali kuingiza chaka na mke wake na hapo hawana hata Watoto.

Tuishi nao Kwa akili mkuu.ubabe utautumia lkn hutaona matokeo sana sana atajifanya anakuheshimu kumbe ndani kashasubri siku ya kukumaliza tu.
 
Back
Top Bottom