Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuu. Kuna muda wife namuona anacheka nabaki kujiuliza Hivi hata wangu ni kama wale wa wengine kweli?Jamii haiwezi kuelewa,mpaka kila mmoja wetu atakapoingia kwenye ndoa,ndiyo utajuwa kama yanayosemwa ni kweli ama lah.
Hati zilikuwepo zote. Sijui kuhusu majina nachojua kaka yake ndo act kama Mme wa huyo mwanamke Ili wauze/mkopoKisa cha kwanza, hayo mashamba yalikuwa na jina la mke? Mbona anakopea na kuyauza kirahisi mno?
Acha tu mkuu. Lakini inaumiza mnoHao kenge achana nao.
ni nomaMkuu inasikitisha sana na kuumiza mno.
Hello nasikia wewe una kamchezo kachafuAnha,hapo nimekuelewa mkuu
Wanaume tumekuwa dhaifu na kulia lia sana. Yaani hilo tu likamfanya ajiue?Asbh ya saa12 akawambia Watoto wake nendeni mkamwambie mama yenu hataniona Tena nendeni Sasahivi mkamwambie hivyo
Katapeliwa kama wengine wanavyotapeliwa, Jamaa asingechagua kufa, angechagua kufungua kesi, uwezekano wa vilivyouzwa kurudi na mkopo kuwa batili ulikuwepo. Hapo sababu ya kifo si mke, ni uchaguzi wake. Kila siku watu wanatapiliwa mpaka na wazazi wao sembuse mwanamke? Apumzike kwa amani.Hati zilikuwepo zote. Sijui kuhusu majina nachojua kaka yake ndo act kama Mme wa huyo mwanamke Ili wauze/mkopo
It is fine is genetic weakness is the case.If a man commits suicide because of whatever reason, then it is good riddance. His WEAK GENES have been eliminated from gene pool.
Wanaume tushakuwa Nyoro nyoro mno. We huoni vilio vya kuachwa, kuumizwa, kutendwa, single mother n.k vilivyo vingi? Imebaki tu kupewa mimba na kukimbiwa, likiwezekana hili utaanza kuona nyuzi.Wanaume tumekuwa dhaifu na kulia lia sana. Yaani hilo tu likamfanya ajiue?