Japokuwa nimeoa lakini wanawake ndio chanzo cha wanaume kufa mapema kwenye ndoa/familia

Japokuwa nimeoa lakini wanawake ndio chanzo cha wanaume kufa mapema kwenye ndoa/familia

Wanachonishangaza wanakopa na kukopa hell ila wanachofanya na wanapozipeleka hapajulikani.

Na hii tabia itawalambisha mchanga Sana pindi wanapokutana na wahuni wasio na mizaha ya kiwaki.
 
If a man commits suicide because of whatever reason, then it is good riddance. His WEAK GENES have been eliminated from the gene pool.
 
Hati zilikuwepo zote. Sijui kuhusu majina nachojua kaka yake ndo act kama Mme wa huyo mwanamke Ili wauze/mkopo
Katapeliwa kama wengine wanavyotapeliwa, Jamaa asingechagua kufa, angechagua kufungua kesi, uwezekano wa vilivyouzwa kurudi na mkopo kuwa batili ulikuwepo. Hapo sababu ya kifo si mke, ni uchaguzi wake. Kila siku watu wanatapiliwa mpaka na wazazi wao sembuse mwanamke? Apumzike kwa amani.
 
Ong'wise Nikifa MkeWangu Asiolewe ni kweli Wanaume huwa wanakutana na mambo magumu na yenye kuvunja moyo, akili hata kupelekea kuwa na mvurugo wa akili.
Kuna kisa fulani hicho ni kweli asilimia zote. Kuna Mwanamke ana watoto 3+ lakini imekuja kugundulika mtoto wa pili alizaa na Mwanaume mwingine, tena baada ya miaka 25+ kupita. Mume kasomesha, katunza mpaka mtoto kawa mkubwa na karibuni Baba wa mtoto anajitokeza. Tena sio choka mbaya au Kapuku ni mtu mwenye wadhifa wake.

Yule Mzee alichokifanya kaamua kuisusa na kuikimbia ile familia karudi Kijijini kuanzisha maisha mapya akiwa na miaka 60+ na huko Kijijini anaishi kwa depression na huzuni nyingi sana.

Inaumiza na kutia sana simanzi. Sijui kwanini Wanawake huwa wanakuwa na roho za kinyama na ukatili namna hii.
 
Back
Top Bottom