Japokuwa nimeoa lakini wanawake ndio chanzo cha wanaume kufa mapema kwenye ndoa/familia

Japokuwa nimeoa lakini wanawake ndio chanzo cha wanaume kufa mapema kwenye ndoa/familia

Ila Wanawake aisee, kuna Mwamba alikutana na Mwanamke wakawa wanaishi kinyumba, jamaa akamtafutia kazi Mwanamke mpaka wakapata mtoto kumbe yule demu alikuwa anawasiliana kwa njia ya email na jamaa aliyesoma naye ughaibuni Chuo kikuu. Demu kwanini asitoroke na kwenda ughaibuni kumfuata jamaa yake. Pamoja na yule mtoto. Ile kuondoka jamaa akawa mtu wa 🍺 na akapata ajali na kazi akapoteza na ajali ilimuacha na ulemavu na simanzi nyingi sana.
Wakukaya acha tu ni waigizaji waziri sana Hawa. Akichoka kuigiza ndo utamjua alivyo. Kwanza wao Kwa wao hawapendani kabisa hapo Sasa ndo utajua ni mashetani wenyewe ukiwakuta wanacheka utadhani malaika wamekutana kumbe unafiki tupu.
 
Nakuongezea kisa, Morel mwana appolo alijinyonga mwaka juzi kisa na mkasa akiwa mererani anapambana anatuma pesa kwa mke wake , mke kosa pesa atunze ili baadae wapige hesabu yeye karuka hadi moshi kanunua eneo na kaanza kujenga hotel , jamaa ukumbuke akaunt anayoingiza pesa ya mke wake , ilipofika muda akauliza vipi huko tuna bei gani, mwanamke kwenda benki analeta slip yenye salio kama milioni tano, wakati jamaa hesabu za haraka alijua kama sio 200m basi itakosa kidogo, mwanamke hotel imeisha tena kwa jina lake na kwa siri, kuhoji zaidi anaambiwa Ile benki kuna chuma ulete, moreli alichanganyikiwa ikabidi ajinyonge, hivo ishini nao kwa akili ni watu waliojaa tamaa Sana kwa sasa
 
Umenene vyema sana mkuu. Huwa Nasema waone wamevaa nguo na sauti nyororo ukazan ni watu subiri yakufike
Kwa hali ilivyo nakuwa sana mgumu kutoa ushauri wa masuala ya ndoa wala kumsukuma kijana kuoa....maana unaweza ukamuweka mtu sehemu inayomfanya akuchukie maisha yake yote......

Kwa kifupi mambo ni magumu na yanazidi kuwa magumu.....

Hata ukitazama kwenye mabaya walevi wengi kupindukia ni wale waliooa......ndoa zimewasukuma watu kwenye matukio na matendo ya ajabu sana........

Wengine mpaka wamepata UKIMWI kwa kujaribu kutafuta faraja nje baada ya nyumbani kuwa jahanam......
 
Nakuongezea kisa, Morel mwana appolo alijinyonga mwaka juzi kisa na mkasa akiwa mererani anapambana anatuma pesa kwa mke wake , mke kosa pesa atunze ili baadae wapige hesabu yeye karuka hadi moshi kanunua eneo na kaanza kujenga hotel , jamaa ukumbuke akaunt anayoingiza pesa ya mke wake , ilipofika muda akauliza vipi huko tuna bei gani, mwanamke kwenda benki analeta slip yenye salio kama milioni tano, wakati jamaa hesabu za haraka alijua kama sio 200m basi itakosa kidogo, mwanamke hotel imeisha tena kwa jina lake na kwa siri, kuhoji zaidi anaambiwa Ile benki kuna chuma ulete, moreli alichanganyikiwa ikabidi ajinyonge, hivo ishini nao kwa akili ni watu waliojaa tamaa Sana kwa sasa
Ni shida sana Hawa viumbe. Kuna mtoto wa marehemu ni mjeshi(kisa Cha 2) alikuwa analia Kwa hasira na hisia Kali sana anasema mama wewe ndo umesababisha haya yote.
 
Kwa hali ilivyo nakuwa sana mgumu kutoa ushauri wa masuala ya ndoa wala kumsukuma kijana kuoa....maana unaweza ukamuweka mtu sehemu inayomfanya akuchukie maisha yake yote......

Kwa kifupi mambo ni magumu na yanazidi kuwa magumu.....

Hata ukitazama kwenye mabaya walevi wengi kupindukia ni wale waliooa......ndoa zimewasukuma watu kwenye matukio na matendo ya ajabu sana........

Wengine mpaka wamepata UKIMWI kwa kujaribu kutafuta faraja nje baada ya nyumbani kuwa jahanam......
Kumkuta mwanaume ndo chanzo Cha uharibifu kwenye ndoa yake ni nadra sana Tena kwenye wanaume kumi unaweza usione kabisa. Hivyo mkuu usemavyo ni kweli kabisaa100%
 
Hakuna kitu kama hicho!! Wanawake hata hawajui wanataka Nini. Hata ufanye Nini atasema tu ukiwa ngangali Bado atakuona wewe ni mkoroni tu. Point to note ishi nao Kwa akili na si vingine.

Kuna visa vingi sana wanaume walikuwa ngangali lkn waliangushwa vibaya na mwanamke mwangalie samsoni na Suleiman pamoja na ufalme na hekima yake wanawake walimfanha aasi akaanza kuabudu Miungu mingine.
point to note : "wanawake hawapendi mwanaume dhaifu"

note hii point mtoa mada Nikifa MkeWangu Asiolewe
 
Kumkuta mwanaume ndo chanzo Cha uharibifu kwenye ndoa yake ni nadra sana Tena kwenye wanaume kumi unaweza usione kabisa. Hivyo mkuu usemavyo ni kweli kabisaa100%
Mwanamke ndio chanzo cha dhambi , mwanamke ndio chanzo cha vita, matatizo mengi husababisha wao na wanajua kuigiza vizuri Sana utakuja kuduwaa ukiujua ukweli na undani wake
 
Back
Top Bottom