Jaribio la kigaidi kumuua Mh. Tundu Lissu, teknolojia kuwaumbua wahusika?

Wana wasiwasi mkuu inawezekana tundu lissu aliweka kamera kioo cha nyuma...siku iyo itakuwa kiama cha ccn[emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli wanahaha kama mtu anayejiita akili kubwaz anakomaa kuuliza shati jeupe lenye damu dereva amelitoa wapi na wakati Lisu alivaa la kijani! Hata akiambiwa limetoka wapi itamsaidia nini sijui
 
Usijikweze na kumhusisha Mag3 na wanafunzi wa Osoro.

Wewe ni mtu wa hovyo sana kama unafikiri kuambiwa ukweli ni kujikweza!
Mkiandika ujinga ujinga kama watu wasio na Elimu mnataka tusiwaambie ukweli ???
Hovyo kabisa!
 
Wewe ni mtu wa hovyo sana kama unafikiri kuambiwa ukweli ni kujikweza!
Mkiandika ujinga ujinga kama watu wasio na Elimu mnataka tusiwaambie ukweli ???
Hovyo kabisa!
Usipanic mkuu!
Bichwa komwe amekuja na vasheni ya kuwashwawashwa, mwendelezo ule ule wa akili za kipumbavu.
 
Samahani mkuu,hapo sijaelewa vizur
 
Sina chama wewe!
 
Mmmaaa kwani Msemaji wa jeshi la Polisi ameshathibitisha ni jaribio la kigaidi???!!!
 
Unajiropokea tu

nYaNi wA KaLe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…