ukawa dona
JF-Expert Member
- Feb 8, 2023
- 516
- 887
Tujifunze kutumia kisu Cha msumeno, tutawakabili mafala hawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi yao ubishoo tu.Dar Watu waoga Sana Hao wangepigwa Au kuchomwa moto.acheni ulege lege Watoto wa dar.pumbafuu nyie
Ujuaji ndio sababu ya mimi kukupa talaka kipindi hicho.Labda useme waliingia wanaume watupu kukandana.
Unataka Vikao vya biashara tufanyie madrasa? Mimi meeting zangu zote nafanyia hotelini.hakuna ha mama wala baba, wenye uwezo mdogo ni nyinyui
Deo pia ana maswali mengi sana ya kujibu.
Biashara ipi ya kuifanyia bar?
Tena inaonesha alikuwa anajuwa kitachoendelea, akaweka na mpiga picha kbisa.
Kinachonishangaza mimi, ni huyo kijana mweupe, mmoja katika watekaji, na yeye FDeo wpote wamevaa bangili mkono wa kulia.
Isije kuwa mchezo wa mapenzi? Maana habari za kaskazini siku hizi si mchezo.
Mkikorofishana kwenye hizo meeting zenu mnataka raia waingilie?Unataka Vikao vya biashara tufanyie madrasa? Mimi meeting zangu zote nafanyia hotelini.
Mkuu polisi wanatumia hadi Passo sio PT tu.Nadhani tuna sehemu nzuri ya kuanzia hili lazima lifike mwisho, kwanza siamini kama hawa ni polisi maana kama ni kweli polisi na wako kisheria wasingemuacha najuwa kuna watu wanasema walikuwa wanasema sisi polisi hiyo yoyote anaweza kusema pili toka lini polisi wakatumia gari kama ile lakini yote ni lazima polisi wawakamate hawa jamaa wawe polisi au sio polisi. Bonge yupo ahojiwe hili tukio na kwanini yeye? nini nyuma yake aligombana na mtu au anashuku nini kosa. yako maswali mengi polisi lazima wajibu maana sehemu ya kuanzia ipo na wafanye haraka sana. Kuna haja ya sheria kubadilshwa haraka sana kuwe na taratibu za arrest mtu ziko serikali za mitaa wako wajumbe lazima wahusishwe katika utambulisho.
Kwa kweli wewe umehoji swali lisilo na upande lenye lengo la kupiga mzizi wa shina.Huyo Deo ni nani, mfanyabiashara au mfanyakazi sehemu fulani au hajulikani kazi zake?
Kiukweli Jeshi la Polisi la Tanzania ni la hovyo kutisha.Ndio maana nasema polisi wamesemwa na mengi na wao wamekuwa wanakusha kila siku ni wakati wakuja mbele kuwa wasafi ili kuwa msafi ni lazima ujitenganishe na wachafu. Waje waseme kukamatwa mtu yoyote hakuna shida ni sheria lakini lazima kuwe na 1, 2,3 ndio ujirishishe ni polisi na katika hili lisiachiwe chama kimoja kulipigia kelele watu wote haijalishi nani tukemee kwa nguvu na sheria za kushika mtu ziwekwe wazi.
Siku zote Sheria nyingi za maswala ya Usalama Tanzania zinatungwa Kwa Nia ovu ikiwemo kuwalinda watawala Ili kuendelea na impunity. Hakuna Sheria inayotungwa Kwa Nia njema kuanzia Sheria za habari na mawasiliano, Ulinzi wa taarifa binafsi pamoja na hizi zinazoongoza polisi na usalamaHiyo sheria ya usalama wa taifa hili ndio lilikuwa lengo lake, na serekali inajua na imebariki matendo haya. Ni sheria iliyotungwa kwa nia ovu.
Baada ya Sativa kumtaja mtekaji mkuu, majibu yakawa ni kumkamata Bon Yai kihuni tena Ili kuzima huo MotoInanilazimu kujilinda mwenyewe,ni heri kufa umesimama kuliko kuchukuliwa kama kuku,Deo bonge inaonekana ni mtu wa mazoezi ndiyo maana amejaribu kuokoa uhai wake.Kosa kubwa lilianza pale M-Dewji aliposhindwa kuwataja hadharani wale waliomteka ,SATIVA japo alimtaja mtekaji mkuu lakini nchi tulimuona kama mpiga kelele tu kwenye masikio ya yetu.Cha msingi Kila raia awe tayari katika mapambano ya kujilinda muda Wote.Itafikia wakati hata kwenda bafuni kuoga mtu atalazimika kubeba sabuni ,Taulo na Panga mkononi,au tulazimike kuishi maisha ya kimasai ya kutembea na dime kiunoni.Pole sana Deo-bonge ulifanya Kila linalowezekana kuokoa kuingia kwenye mtego wa watekaji.
Hili nalo jambo ni hatari sana kama tumefika huko, dunia nzima gari ya polisi unaijuwa kama utambulisho wa kwanza kama wamefika huko Mungu tusaidie. Hivi nchi hii ina IGP?Mkuu polisi wanatumia hadi Passo sio PT tu.
Ndio balaa la kuwa na viongozi vilaza wanatunga sheria za hovyoHaya mambo tuyakatae, mwisho wake sio mzuri.
..mwenge!Watanzania ni matahira yani wanaona kabisa mtu analia anahitaji msaada wao wamekodoa tu macho wanaangalia.
Aliyetuloga alisha kufa yani tumekuwa zaidi ya mazezeta
simba na yanga..toka saa moja asubuhi hadi kulala, story ni mpira! wamama ni tamthiliya mwanzo mwisho..Kazi yao ubishoo tu.