Tukio la kusikitisha sana limetokea Kiluvya Madukani -Dar ,katika Hotel ya Rovvenpec tar.11/Nov/2024.Ikionesha watu wakimteka ndg.Deogratius Tarimo(Deo Bonge) na kumlazimisha kuingia kwenye gari .
Taarifa ya @polisi.tanzania waliyoitoa leo tar.13/Nov./2024 wanakiri kupokea taarifa ya tukio hili kutoka kwa Deo Bonge tar.11 ambapo alienda kulalamika kituo cha Polisi Gogoni-Kiluvya,Wilaya ya Ubungo. Polisi wanakiri hawawatambui watu hao ila watawakamata.
Maswali ya kujiuliza.
1.Hao watu wenye Ujasiri wa kukamata(Kumteka)mtu kwa nguvu Mchana kweupe wakiwa na pingu kama sio Polisi na kama hawana uhusiano na Polisi.Ni watu gani hawa?
2.Kwanini wakati wanamkamata(Kumteka)walikuwa wanatamka "Twende Gogoni" ambapo Gogoni ni kituo cha Polisi ,Kilichopo Kiluvya ,Wilaya ya Ubungo- Dar Kama sio Polisi na kama hawana uhusiano na Polisi. Ni watu gani hawa?.
3.Kwanini wakati wanamkamata (Kumteka) watamke kwa nguvu kwamba Sisi ni Askari,Sisi ni Askari .Ikiwa Polisi kupitia taarifa yao wamewakana kwamba hawawajui.Ni watu gani hawa wana Ujasiri kujitambulisha kama wao ni Polisi ikiwa sio Polisi?.
4.Ikiwa ukamataji ulikuwa na nia njema kama sio Kumteka,kwanini baada ya kuzidiwa nguvu waliamua kumuacha na pingu mkononi na kukimbia huku wakisema tutakukafuata.Kwanini wakimbie?.Kama sio Polisi .Ni watu gani hawa?
Kuongezeka kwa vyombo vya ukamataji tofauti na vyombo 3 kisheria ni sababu kubwa ya haya matukio kutokokea.Vyombo 3 kwa mujibu wa Sheria vyenye mamlaka ya kukamata,kupekua na kupeleleza ni POLISI,TAKUKURU na UHAMIAJI.Na ambapo ukikamatwa na Polisi unapelekwa kituo cha Polisi,Ukikamatwa na Uhamiaji unapelekwa uhamiaji,Ukikamatwa na TAKUKURU unapelekwa TAKUKURU.
Mwaka 2023 kulifanyika marekebisho ya Sheria ya Usalama wa Taifa ambapo kifungu cha 4(3) kikaruhusu Afisa wa Usalama wa Taifa kukamata mtu.Na haijulikani wapi anakupeleka.Sheria hii imeongeza mwanya wa matukio ya utekaji, inawezekana aidha kifungu cha Sheria hii kinatumika vibaya au kuna kikundi cha wahuni kinatumia mwanya wa Sheria hii kwa maslahi binafsi.
Pia Polisi kutofuata Sheria na taratibu za ukamataji,kumeongeza mwanya wa matukio haya Sababu imekuwa ni ngumu kujua nani ni Polisi nani sio Polisi. Police wameamua kupuuza utawala wa Sheria (Rule Of Law ) kupitia Sheria zinazowaongoza katika majukumu Yao ya kila siku kama ,Police Force and Auxiliary Service Act ,Cap 322 R.E 2002 , Criminal Procedure Act , Penal Code na Police General Order . Sheria zote hizi kama Police wangekuwa wanaziheshimu na kuzifuata zingetofautisha Polisi na watu wengine . Wahuni wengine wasinge kuwa na uwezo wa kujitambulisha kama ni Polisi ikiwa sio Polisi .
Wanaotekwa wote ni wanasiasa !?? Maana umekaza fuvu hapo .... Na kuhusu Zakaria... Ni tajiri wa Mabasi Kanda ya Ziwa na tukio lake lilitangazwa mnoo.... Na alikuwa Kiongozi wa CCM Mkoa wa Mara.Namjuwa wapi Zakaria mimi, Mimi nimeuliza je Bonge anajihusisha na harakati au siasa? ili tuweze kuunga story labda kama wamedhulumiana huko au kuchukuliana wanawake? Bonge atokee aongee kwenye media nini kilitokea in details. itasaidia hizi tabia kukoma na watu tukajifunza kupitia kwake.
Tupate Picha zaidi.. hatimaye mwisho wao umefika.Mkuu
Huyo Fike Wilson alishawahi kuwa bingwa wa Kickboxing Tanzania enzi hizo, baadaye akahamia kwenye masumbwi (boxing) kabla hajafungua gym pale Sinza na Kinondoni...ndio huyo hapo kwenye mlango wa gari.
Upelekezi unapaswa kuanzia kwake.
Unaye mganga mzuri aanze kutukomeshea vita pale Mashariki ya kati?Tulipofikia inabidi.....
Inasikitisha sana mkuuYaani kila mtu afanye anavyo taka kweli?
Kwa hiyo kama umedhulumiana na mtu au kuchukuliana wanawake, basi una haki ya kumkamata! Tena kwa kumfunga pingu, na kumuingiza kwenye gari kwa nguvu ili kwenda naye kusikojulikana!!Namjuwa wapi Zakaria mimi, Mimi nimeuliza je Bonge anajihusisha na harakati au siasa? ili tuweze kuunga story labda kama wamedhulumiana huko au kuchukuliana wanawake? Bonge atokee aongee kwenye media nini kilitokea in details. itasaidia hizi tabia kukoma na watu tukajifunza kupitia kwake.
Chadema hadi mjambe cheche🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩 nilipo waambia watu humu kuwa GENGE LA ROSTAM AZIZI NI HATARI NI RAIA FEKI WALIOKUWA NA AGENDA YA KUKAMATA SERIKALI NA TAIFA WENGI AMKUNIELEWA ....KAMA ROSTAM AZIZI NA FAMILIA YAKE AWAKUFA NA APA HAPA KUWA MTASHUHUDIA MAMBO MENGI SANA TZ NA KAMA SAMIA ATAENDELEA KUBAKI KITINI DAMU NYINGI SANA ITAMWAGIKA HAPA NI BADO KABISA SIBAHATISHI KWA NINACHO SEMA...FAMILIA HATARI YS JAMBAZI NA RAIA FEKI ROSTAM AZIZI INA ANGAMIZA TAIFA KWA KUTUMIA GENGE LAKE LA RAIA FEKI LILILO JIPENYEZA SERIKALI NA CCM MIAKA MINGI NYUMA....kuna kipindi JPM alikamata kombati za JWTZ mikononi wa hilo genge la bwana rostam azizi...Hilo genge lilianza kujipenyeza hadi kwenye jeshi letu la JWTZ ndiyo mkasikia maduka ya jeshi yanayo endeshwa na hao Raia FEKI...yaliitwa super market za jeshi ...ukweli haukuwa hivyo ndiyo maana JPM alipo chukua nchi hayo mambo yao yakafa ...ila chadema kwa upumbavu walishindwa kutambua kazi tukufu aliyokuwa anaifanya JPM ...KOSA LA JPM NI KUIACHA FAMILIA YA ROSTAM AZIZI HAI LILIKUWA KOSA BAYA SANA KWA TAIFA LETU..KAMA AWAKUTOKEA WATU JASIRI NA WAZALENDO KUDILI NA HUYU KIUMBE ROSTAM BASI TANZANIA IJIANDAE KUWA KAMA RWANDA YA MAUAJI YA KIMBARI AU KAMA SUDAN...Kwa sasa wengi mmesikia hii kitu inapigiwa chapuo na serikali pumbavu ya sa100 kinaitwa PPP ni jina zuri ila ni mwendelezo wa agenda ya Raia feki kukamilisha mipango yao michafu kwa taifa letu ....Tukio la kusikitisha sana limetokea Kiluvya Madukani -Dar ,katika Hotel ya Rovvenpec tar.11/Nov/2024.Ikionesha watu wakimteka ndg.Deogratius Tarimo(Deo Bonge) na kumlazimisha kuingia kwenye gari .
Taarifa ya @polisi.tanzania waliyoitoa leo tar.13/Nov./2024 wanakiri kupokea taarifa ya tukio hili kutoka kwa Deo Bonge tar.11 ambapo alienda kulalamika kituo cha Polisi Gogoni-Kiluvya,Wilaya ya Ubungo. Polisi wanakiri hawawatambui watu hao ila watawakamata.
Maswali ya kujiuliza.
1.Hao watu wenye Ujasiri wa kukamata(Kumteka)mtu kwa nguvu Mchana kweupe wakiwa na pingu kama sio Polisi na kama hawana uhusiano na Polisi.Ni watu gani hawa?
2.Kwanini wakati wanamkamata(Kumteka)walikuwa wanatamka "Twende Gogoni" ambapo Gogoni ni kituo cha Polisi ,Kilichopo Kiluvya ,Wilaya ya Ubungo- Dar Kama sio Polisi na kama hawana uhusiano na Polisi. Ni watu gani hawa?.
3.Kwanini wakati wanamkamata (Kumteka) watamke kwa nguvu kwamba Sisi ni Askari,Sisi ni Askari .Ikiwa Polisi kupitia taarifa yao wamewakana kwamba hawawajui.Ni watu gani hawa wana Ujasiri kujitambulisha kama wao ni Polisi ikiwa sio Polisi?.
4.Ikiwa ukamataji ulikuwa na nia njema kama sio Kumteka,kwanini baada ya kuzidiwa nguvu waliamua kumuacha na pingu mkononi na kukimbia huku wakisema tutakukafuata.Kwanini wakimbie?.Kama sio Polisi .Ni watu gani hawa?
Kuongezeka kwa vyombo vya ukamataji tofauti na vyombo 3 kisheria ni sababu kubwa ya haya matukio kutokokea.Vyombo 3 kwa mujibu wa Sheria vyenye mamlaka ya kukamata,kupekua na kupeleleza ni POLISI,TAKUKURU na UHAMIAJI.Na ambapo ukikamatwa na Polisi unapelekwa kituo cha Polisi,Ukikamatwa na Uhamiaji unapelekwa uhamiaji,Ukikamatwa na TAKUKURU unapelekwa TAKUKURU.
Mwaka 2023 kulifanyika marekebisho ya Sheria ya Usalama wa Taifa ambapo kifungu cha 4(3) kikaruhusu Afisa wa Usalama wa Taifa kukamata mtu.Na haijulikani wapi anakupeleka.Sheria hii imeongeza mwanya wa matukio ya utekaji, inawezekana aidha kifungu cha Sheria hii kinatumika vibaya au kuna kikundi cha wahuni kinatumia mwanya wa Sheria hii kwa maslahi binafsi.
Pia Polisi kutofuata Sheria na taratibu za ukamataji,kumeongeza mwanya wa matukio haya Sababu imekuwa ni ngumu kujua nani ni Polisi nani sio Polisi. Police wameamua kupuuza utawala wa Sheria (Rule Of Law ) kupitia Sheria zinazowaongoza katika majukumu Yao ya kila siku kama ,Police Force and Auxiliary Service Act ,Cap 322 R.E 2002 , Criminal Procedure Act , Penal Code na Police General Order . Sheria zote hizi kama Police wangekuwa wanaziheshimu na kuzifuata zingetofautisha Polisi na watu wengine . Wahuni wengine wasinge kuwa na uwezo wa kujitambulisha kama ni Polisi ikiwa sio Polisi .
Na yule UVCCM aliyetoka kabisa akasema "watu wakipotea polisi msihangaike kuwatafuta " alifanywa nini.... Alikamatwa hata kuhijiwa!?? .... Na yule Mkuu wa aliyesema walikuwa wanahangaika nao maporini alifanywa nini!?? Alihojiwa !? Majibu uliyapata Mkuu!?? Yule kijana wa madini aliyeuliwa mtwara vipi ilipata majibu yake kutoka polisi!?? Vipi yule polisi aliyekuwa na ushahidi akakutwa amejinyonga selo ya polisi vipi uchunguzi wake ulipata majibu!?? Makesi ni mengi na ya wazi kabisa hayana majibu ndio hao unaotaka wakupe majibu Kwa hili!?? Sidhani kama upo serious..Those two men who attempted to abduct the guy, their faces are clearly seen, and therefore it is easy to trace them after a wide publication of their faces on social media
Na yule UVCCM aliyetoka kabisa akasema "watu wakipotea polisi msihangaike kuwatafuta " alifanywa nini.... Alikamatwa hata kuhijiwa!?? .... Na yule Mkuu wa aliyesema walikuwa wanahangaika nao maporini alifanywa nini!?? Alihojiwa !? Majibu uliyapata Mkuu!?? Yule kijana wa madini aliyeuliwa mtwara vipi ilipata majibu yake kutoka polisi!?? Vipi yule polisi aliyekuwa na ushahidi akakutwa amejinyonga selo ya polisi vipi uchunguzi wake ulipata majibu!?? Makesi ni mengi na ya wazi kabisa hayana majibu ndio hao unaotaka wakupe majibu Kwa hili!?? Sidhani kama upo serious..
Kwahiyo kumbe chaliii kwenye martial arts Yuko njemaMkuu
Huyo Fike Wilson alishawahi kuwa bingwa wa Kickboxing Tanzania enzi hizo, baadaye akahamia kwenye masumbwi (boxing) kabla hajafungua gym pale Sinza na Kinondoni...ndio huyo hapo kwenye mlango wa gari.
Upelekezi unapaswa kuanzia kwake.
Hao wangeingilia kama ingekua ni Singeli inapita kitaani,tena wangecheza bila hata kujua ni sherehe ya kitu gani.Wajinga sana wangetembeza kichapo kwa hao jamaa sasa hivi walitakiwa kuwa ICU au mortuary
Mimi siku hizi silaumu issue za hivo baada ya jamaa yetu kitaa kupekekwa galilaya kumbe jamaa alikua anajishughulisha na ugaidi..na alikua anazugia kwenye maduka ya simu..Sasa jamaa sijui walimjuaje Yani hapo ndio huwa nachoka maana ata hafananiiii na izo mbangaKwani huyo bonge ni mwanaharakati? bila kuingiza siasa kwanza tujiulize Bonge ni nani anafanya nini? ili tuunganishe dots.....
Inshangaza, mtu anabebwa wanaangalia? Ndio jamii imefikia hapa?Siwalaumu polisi nawalaumu hao kukumaji wanaume wa dar waliokuwa wanashangaa na kushindwa kumsaidia mwenzao,oumbavu kabisa
Mmh hawa ni wavuta bange kabisa ndio maan wanaweza kufanya ujinga wwte nila kujali.Picha zinaonekana vzuri kabisa. Ingekuwa halali yao kutangulizwa akhera hata usiku haujaingia.