MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Pole Sana bonge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiweka Mkiristo Parapanda inapigwa wanapanda juu kama ilivyo leo. Katiba ifanyiwe amendments kabla ya uchaguzi wa 2025 vinginevyo hili ombwe halitaisha.Upumbavu wangu wanauelewa wanao wateka kuwa ni akili kubwa sana ..ila nyinyi wapumbavu wa chadema hamuwezi kunielewa ....mimi ni the great genius mkubwa sana ....niliwaambia watu kuwa MUISLAMU HAFAI KUWA KIONGOZI TANZANIA NA MWANAMKE HAFAI KUWA KIONGOZI TANZANIA ...kwa sasa tunaongozwa na sifa zote mbili zisizofaa yaani RAIS MUISLAMU NA MWANAMKE
Tatizo ni aina ya uchukuaji. Kwanini wasije na mavazi ya kiaskari walau mmoja? Staili wanayoitumia inaacha mwanya kwa wahalifu kuitumia kwa kujifanya maafisa usalama. Ni nchi ya kishenzi sana Tanzania ni vile basi tu!Mimi siku hizi silaumu issue za hivo baada ya jamaa yetu kitaa kupekekwa galilaya kumbe jamaa alikua anajishughulisha na ugaidi..na alikua anazugia kwenye maduka ya simu..Sasa jamaa sijui walimjuaje Yani hapo ndio huwa nachoka maana ata hafananiiii na izo mbanga
umechambua vizuriKwani huyo bonge ni mwanaharakati? bila kuingiza siasa kwanza tujiulize Bonge ni nani anafanya nini? ili tuunganishe dots.....
Duh kama ndy tiss ndy hao basi hamna kitu watu wa ovyo kabisaHao jamaa ni TISS
Aise sisi wabongo sijui huu uoga tumetoa wapi yan hao maboyo ilitakiwa wananchi wawashushie kipigo cha kufa mtuTukio la kusikitisha sana limetokea Kiluvya Madukani -Dar ,katika Hotel ya Rovvenpec tar.11/Nov/2024. Ikionesha watu wakimteka Ndg. Deogratius Tarimo(Deo Bonge) na kumlazimisha kuingia kwenye gari.
Taarifa ya Polisi. Tanzania waliyoitoa leo tar. 13/Nov./2024 wanakiri kupokea taarifa ya tukio hili kutoka kwa Deo Bonge tar. 11 ambapo alienda kulalamika kituo cha Polisi Gogoni-Kiluvya,Wilaya ya Ubungo. Polisi wanakiri hawawatambui watu hao ila watawakamata.
Maswali ya kujiuliza.
1. Hao watu wenye Ujasiri wa kukamata (kumteka) mtu kwa nguvu Mchana kweupe wakiwa na pingu kama sio Polisi na kama hawana uhusiano na Polisi.Ni watu gani hawa?
2. Kwanini wakati wanamkamata (kumteka) walikuwa wanatamka "Twende Gogoni" ambapo Gogoni ni kituo cha Polisi Kilichopo Kiluvya, Wilaya ya Ubungo- Dar kama sio Polisi na kama hawana uhusiano na Polisi. Ni watu gani hawa?
3. Kwanini wakati wanamkamata (Kumteka) watamke kwa nguvu kwamba sisi ni Askari, sisi ni Askari? Ikiwa Polisi kupitia taarifa yao wamewakana kwamba hawawajui. Ni watu gani hawa wana Ujasiri kujitambulisha kama wao ni Polisi ikiwa sio Polisi?
4. Ikiwa ukamataji ulikuwa na nia njema kama sio Kumteka,kwanini baada ya kuzidiwa nguvu waliamua kumuacha na pingu mkononi na kukimbia huku wakisema tutakukafuata. Kwanini wakimbie? Kama sio Polisi. Ni watu gani hawa?
Kuongezeka kwa vyombo vya ukamataji tofauti na vyombo 3 kisheria ni sababu kubwa ya haya matukio kutokokea. Vyombo 3 kwa mujibu wa Sheria vyenye mamlaka ya kukamata, kupekua na kupeleleza ni POLISI, TAKUKURU na UHAMIAJI. Na ambapo ukikamatwa na Polisi unapelekwa kituo cha Polisi, ukikamatwa na Uhamiaji unapelekwa uhamiaji, Ukikamatwa na TAKUKURU unapelekwa TAKUKURU.
Mwaka 2023 kulifanyika marekebisho ya Sheria ya Usalama wa Taifa ambapo kifungu cha 4(3) kikaruhusu Afisa wa Usalama wa Taifa kukamata mtu. Na haijulikani wapi anakupeleka. Sheria hii imeongeza mwanya wa matukio ya utekaji, inawezekana aidha kifungu cha Sheria hii kinatumika vibaya au kuna kikundi cha wahuni kinatumia mwanya wa Sheria hii kwa maslahi binafsi.
Pia Polisi kutofuata Sheria na taratibu za ukamataji, kumeongeza mwanya wa matukio haya Sababu imekuwa ni ngumu kujua nani ni Polisi nani sio Polisi. Police wameamua kupuuza utawala wa Sheria (Rule Of Law ) kupitia Sheria zinazowaongoza katika majukumu Yao ya kila siku kama, Police Force and Auxiliary Service Act, Cap 322 R.E 2002, Criminal Procedure Act, Penal Code na Police General Order. Sheria zote hizi kama Police wangekuwa wanaziheshimu na kuzifuata zingetofautisha Polisi na watu wengine. Wahuni wengine wasinge kuwa na uwezo wa kujitambulisha kama ni Polisi ikiwa sio Polisi.
View attachment 3150874View attachment 3150875
View attachment 3150876
Huyo Deo ni nani, mfanyabiashara au mfanyakazi sehemu fulani au hajulikani kazi zake?
Sisi watanzania ni wapumbavu sana mkuuJamani alafu mbona maraia wapo tuu wanaangalia na hawatoi misaada wowote? Watanzania tuna roho gani sisi?
Abiria 60 wanaangalia Ali Kibao anashushwa na hakuna kurekodi wala kunyanyua mdomo, tuendelee kuishi.Aiseee! Inasikitisha sanaa. Kwanini Wananchi wasingewakamata hawa wauaji?
Haitokei, haijatokea na haitokaa itokee.Mwisho wake ni mzuri sana maana watakuja kuwateka watoto wa mawaziri na VIONGOZI wa CCM... . Hapo ndio patakua patamu
Hatuna viongozi tuna watawala na wajukuu wa Hitler.Kila nikiangalia hii Video naijiwa na Hisia mbaya za Viongozi wetu. Imani imenitoka nawaombea baya lolote liwapate. Am real disappointed, at the end tungeambiwa KIFO NI KIFO TUUU!
Ni kafiri wa chademaHuyo Deo ni nani, mfanyabiashara au mfanyakazi sehemu fulani au hajulikani kazi zake?
Wanawaza vikoba😂😂😂😂😂Wananchi wenyewe unaowaona kwenye picha wamevaa madera na wamejishika viuno, na ni Jumatatu, wana hizo nguvu za kusaidia?
Raia hao wamejionea ni walevi tu wanaotokea bar wameshalewa.Jamani alafu mbona maraia wapo tuu wanaangalia na hawatoi misaada wowote? Watanzania tuna roho gani sisi?
Mtoa msaada ndie anae umia..hofu ni jamaa wakiwa na 🔫 chukulia mfano tukio la mzee Ali kibao..yaan ungejiingiza TU KUSAIDIA ni kujitoa kafara.Siwalaumu polisi nawalaumu hao kukumaji wanaume wa dar waliokuwa wanashangaa na kushindwa kumsaidia mwenzao,oumbavu kabisa