Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kweli huyu Mama uwezo wake ni mdogo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa ana sura ya ujana kabisa we unasema Fike Wilson? Maana Fike alipokuwa anasumbua sinza sisi tulikuwa shule ya msingi leo mimi nina miaka 40 alaf Fike aonekane mdogo kuliko mimi??Mkuu
Huyo Fike Wilson alishawahi kuwa bingwa wa Kickboxing Tanzania enzi hizo, baadaye akahamia kwenye masumbwi (boxing) kabla hajafungua gym pale Sinza na Kinondoni...ndio huyo hapo kwenye mlango wa gari.
Upelekezi unapaswa kuanzia kwake.
Wewe nenda kawafate, si umesha wajuwa, au bado?We ni mpuuzi, ndivyo mlivyo nyie watu wa jihad.
Huyo mfupiNi yupi hapo katika hao
Huyu jamaa ana sura ya ujana kabisa we unasema Fike Wilson? Maana Fike alipokuwa anasumbua sinza sisi tulikuwa shule ya msingi leo mimi nina miaka 40 alaf Fike aonekane mdogo kuliko mimi??
Unaongea Kama kuku Alie katwa kichwa.Watu wa dar hovyo sana sijui hii mijitu ni mijike!
Tukio lote hilo mnashindwa kutoa msaada!
Hovyo sana pambaf!
Sawa.Chadema hadi mjambe cheche🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩 nilipo waambia watu humu kuwa GENGE LA ROSTAM AZIZI NI HATARI NI RAIA FEKI WALIOKUWA NA AGENDA YA KUKAMATA SERIKALI NA TAIFA WENGI AMKUNIELEWA ....KAMA ROSTAM AZIZI NA FAMILIA YAKE AWAKUFA NA APA HAPA KUWA MTASHUHUDIA MAMBO MENGI SANA TZ NA KAMA SAMIA ATAENDELEA KUBAKI KITINI DAMU NYINGI SANA ITAMWAGIKA HAPA NI BADO KABISA SIBAHATISHI KWA NINACHO SEMA...FAMILIA HATARI YS JAMBAZI NA RAIA FEKI ROSTAM AZIZI INA ANGAMIZA TAIFA KWA KUTUMIA GENGE LAKE LA RAIA FEKI LILILO JIPENYEZA SERIKALI NA CCM MIAKA MINGI NYUMA....kuna kipindi JPM alikamata kombati za JWTZ mikononi wa hilo genge la bwana rostam azizi...Hilo genge lilianza kujipenyeza hadi kwenye jeshi letu la JWTZ ndiyo mkasikia maduka ya jeshi yanayo endeshwa na hao Raia FEKI...yaliitwa super market za jeshi ...ukweli haukuwa hivyo ndiyo maana JPM alipo chukua nchi hayo mambo yao yakafa ...ila chadema kwa upumbavu walishindwa kutambua kazi tukufu aliyokuwa anaifanya JPM ...KOSA LA JPM NI KUIACHA FAMILIA YA ROSTAM AZIZI HAI LILIKUWA KOSA BAYA SANA KWA TAIFA LETU..KAMA AWAKUTOKEA WATU JASIRI NA WAZALENDO KUDIL8 NA HUYU KIUMBE ROSTAM BASI TANZANIA IJIANDAE KUWA KAMA RWANDA YA MAUAJI YA KIMBARI AU KAMA SUDAN...Kwa sasa wengi mmesikia hii kitu inapigiwa chapuo na serikali pumbavu ya sa100 kinaitwa PPP ni jina zuri ila ni mwendelezo ya agenda ya Raia feki kukamilisha mipango yao michafu kwa taifa letu ....
HIYO PPP NI PROGRAM YA RAIA FEKI
HujaelewaUnaye mganga mzuri aanze kutukomeshea vita pale Mashariki ya kati?
Atusaidie pale Ukraine na Russia?
Au atusaidie nchi yetu ipae kama Singapore?
Sasa hapa umeandika nini wewe fala!Kama hawa ni, TISS, basi, hii, nchi ipo uchi kabisa, watu wanna, wanashindwa ku kidnap mtu mmoja! Hapo, ilibidi awekewe kitambaa cha dawa ya usingizi puani,apoteze fahamu!
Hakuna weredi kabisa,
Hz mbinu zinatumika sana hata kule Kenya, Ila jamaa wanakuja wamefunika nyuso.
Soma vizuri acha kukurupuka, mtu mzima hovyo.Wewe nenda kawafate, si umesha wajuwa, au bado?
Naam, mimi ni mtu wa juhudi usiku na mchana. Wewe huna juhudi?
Eti juhudi, una juhudi gani wewe? rudia hilo neno vizuri.Wewe nenda kawafate, si umesha wajuwa, au bado?
Naam, mimi ni mtu wa juhudi usiku na mchana. Wewe huna juhudi?