Jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) huko Kiluvya, na Maswali tata

Jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) huko Kiluvya, na Maswali tata

Mkuu

Huyo Fike Wilson alishawahi kuwa bingwa wa Kickboxing Tanzania enzi hizo, baadaye akahamia kwenye masumbwi (boxing) kabla hajafungua gym pale Sinza na Kinondoni...ndio huyo hapo kwenye mlango wa gari.

Upelekezi unapaswa kuanzia kwake.
Huyu jamaa ana sura ya ujana kabisa we unasema Fike Wilson? Maana Fike alipokuwa anasumbua sinza sisi tulikuwa shule ya msingi leo mimi nina miaka 40 alaf Fike aonekane mdogo kuliko mimi??
 
Dah kweli sisi kama raia tuna safari ndefu sana kujikwamua. Nafikiria hii hali ingetokea mkoa wa mbeya au hata mkoa wa mara dah! Hata mbibi wa miaka 60 anaweza kureact kutoa msaada wowote ule.
Najiuliza hivi nchi yetu ikaingia vitani na wakahitajika wanaume wa kunolewa chap kisha kuingia vitani watapatikana kwel ndani ya mkoa wa dar na pwani?
 
Huyu jamaa ana sura ya ujana kabisa we unasema Fike Wilson? Maana Fike alipokuwa anasumbua sinza sisi tulikuwa shule ya msingi leo mimi nina miaka 40 alaf Fike aonekane mdogo kuliko mimi??

1000005201.jpg
 
Chadema hadi mjambe cheche🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩 nilipo waambia watu humu kuwa GENGE LA ROSTAM AZIZI NI HATARI NI RAIA FEKI WALIOKUWA NA AGENDA YA KUKAMATA SERIKALI NA TAIFA WENGI AMKUNIELEWA ....KAMA ROSTAM AZIZI NA FAMILIA YAKE AWAKUFA NA APA HAPA KUWA MTASHUHUDIA MAMBO MENGI SANA TZ NA KAMA SAMIA ATAENDELEA KUBAKI KITINI DAMU NYINGI SANA ITAMWAGIKA HAPA NI BADO KABISA SIBAHATISHI KWA NINACHO SEMA...FAMILIA HATARI YS JAMBAZI NA RAIA FEKI ROSTAM AZIZI INA ANGAMIZA TAIFA KWA KUTUMIA GENGE LAKE LA RAIA FEKI LILILO JIPENYEZA SERIKALI NA CCM MIAKA MINGI NYUMA....kuna kipindi JPM alikamata kombati za JWTZ mikononi wa hilo genge la bwana rostam azizi...Hilo genge lilianza kujipenyeza hadi kwenye jeshi letu la JWTZ ndiyo mkasikia maduka ya jeshi yanayo endeshwa na hao Raia FEKI...yaliitwa super market za jeshi ...ukweli haukuwa hivyo ndiyo maana JPM alipo chukua nchi hayo mambo yao yakafa ...ila chadema kwa upumbavu walishindwa kutambua kazi tukufu aliyokuwa anaifanya JPM ...KOSA LA JPM NI KUIACHA FAMILIA YA ROSTAM AZIZI HAI LILIKUWA KOSA BAYA SANA KWA TAIFA LETU..KAMA AWAKUTOKEA WATU JASIRI NA WAZALENDO KUDIL8 NA HUYU KIUMBE ROSTAM BASI TANZANIA IJIANDAE KUWA KAMA RWANDA YA MAUAJI YA KIMBARI AU KAMA SUDAN...Kwa sasa wengi mmesikia hii kitu inapigiwa chapuo na serikali pumbavu ya sa100 kinaitwa PPP ni jina zuri ila ni mwendelezo ya agenda ya Raia feki kukamilisha mipango yao michafu kwa taifa letu ....
HIYO PPP NI PROGRAM YA RAIA FEKI
Sawa.
Kwa hiyo huyu ROSTAM alikuwa na ana NGUVU SANA KULIKO HIZI SERIKALI YAANI ILIYOPITA JPM NA HII TULIYONAYO?

Maana JPM na ROSTAM walikuwa MARAFIKI mpaka wakazindua TAIFA GAS yao na mengine mengi.
Lkn huyuhuyu ROSTAM akasema majaji na mahakimu hawako huru ni watu wa kupigiwa simu tu na kufanyia kazi maagizo.

Ni kweli ROSTAM anaizidi serikali tuliyonayo nguvu?
Kama ni kweli,basi ROSTAM hana makosa,wenye makosa ni hao wenye mamlaka kutokutuambia kuwa wamezidiwa.
 
Kama hawa ni, TISS, basi, hii, nchi ipo uchi kabisa, watu wanna, wanashindwa ku kidnap mtu mmoja! Hapo, ilibidi awekewe kitambaa cha dawa ya usingizi puani,apoteze fahamu!
Hakuna weredi kabisa,
Hz mbinu zinatumika sana hata kule Kenya, Ila jamaa wanakuja wamefunika nyuso.
Sasa hapa umeandika nini wewe fala!
 
Back
Top Bottom