Jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) huko Kiluvya, na Maswali tata

Jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) huko Kiluvya, na Maswali tata

Sawa.
Kwa hiyo huyu ROSTAM alikuwa na ana NGUVU SANA KULIKO HIZI SERIKALI YAANI ILIYOPITA JPM NA HII TULIYONAYO?

Maana JPM na ROSTAM walikuwa MARAFIKI mpaka wakazindua TAIFA GAS yao na mengine mengi.
Lkn huyuhuyu ROSTAM akasema majaji na mahakimu hawako huru ni watu wa kupigiwa simu tu na kufanyia kazi maagizo.

Ni kweli ROSTAM anaizidi serikali tuliyonayo nguvu?
Kama ni kweli,basi ROSTAM hana makosa,wenye makosa ni hao wenye mamlaka kutokutuambia kuwa wamezidiwa.
Hawakuwa marafiki tumia akili tatizo walikuwa chama kimoja na huyo rostam azizi ni mkubwa sana kuliko unavyo mdhania anatumia pesa kusuka mifumo yake serikali....unakumbuka picha za silaha za moto alizo kamatwa nazo mdogo wake nyingi sana ila ni mbunge wa ccm na ajafanywa chochote ...je wewe ukikamata na hata na buti la jwtz tu nini kingekukuta au na ganda la risasi moja tu
 
Tukio la kusikitisha sana limetokea Kiluvya Madukani -Dar ,katika Hotel ya Rovvenpec tar.11/Nov/2024. Ikionesha watu wakimteka Ndg. Deogratius Tarimo(Deo Bonge) na kumlazimisha kuingia kwenye gari.

Taarifa ya Polisi. Tanzania waliyoitoa leo tar. 13/Nov./2024 wanakiri kupokea taarifa ya tukio hili kutoka kwa Deo Bonge tar. 11 ambapo alienda kulalamika kituo cha Polisi Gogoni-Kiluvya,Wilaya ya Ubungo. Polisi wanakiri hawawatambui watu hao ila watawakamata.

Maswali ya kujiuliza.

1. Hao watu wenye Ujasiri wa kukamata (kumteka) mtu kwa nguvu Mchana kweupe wakiwa na pingu kama sio Polisi na kama hawana uhusiano na Polisi.Ni watu gani hawa?

2. Kwanini wakati wanamkamata (kumteka) walikuwa wanatamka "Twende Gogoni" ambapo Gogoni ni kituo cha Polisi Kilichopo Kiluvya, Wilaya ya Ubungo- Dar kama sio Polisi na kama hawana uhusiano na Polisi. Ni watu gani hawa?

3. Kwanini wakati wanamkamata (Kumteka) watamke kwa nguvu kwamba sisi ni Askari, sisi ni Askari? Ikiwa Polisi kupitia taarifa yao wamewakana kwamba hawawajui. Ni watu gani hawa wana Ujasiri kujitambulisha kama wao ni Polisi ikiwa sio Polisi?

4. Ikiwa ukamataji ulikuwa na nia njema kama sio Kumteka,kwanini baada ya kuzidiwa nguvu waliamua kumuacha na pingu mkononi na kukimbia huku wakisema tutakukafuata. Kwanini wakimbie? Kama sio Polisi. Ni watu gani hawa?

Kuongezeka kwa vyombo vya ukamataji tofauti na vyombo 3 kisheria ni sababu kubwa ya haya matukio kutokokea. Vyombo 3 kwa mujibu wa Sheria vyenye mamlaka ya kukamata, kupekua na kupeleleza ni POLISI, TAKUKURU na UHAMIAJI. Na ambapo ukikamatwa na Polisi unapelekwa kituo cha Polisi, ukikamatwa na Uhamiaji unapelekwa uhamiaji, Ukikamatwa na TAKUKURU unapelekwa TAKUKURU.

Mwaka 2023 kulifanyika marekebisho ya Sheria ya Usalama wa Taifa ambapo kifungu cha 4(3) kikaruhusu Afisa wa Usalama wa Taifa kukamata mtu. Na haijulikani wapi anakupeleka. Sheria hii imeongeza mwanya wa matukio ya utekaji, inawezekana aidha kifungu cha Sheria hii kinatumika vibaya au kuna kikundi cha wahuni kinatumia mwanya wa Sheria hii kwa maslahi binafsi.

Pia Polisi kutofuata Sheria na taratibu za ukamataji, kumeongeza mwanya wa matukio haya Sababu imekuwa ni ngumu kujua nani ni Polisi nani sio Polisi. Police wameamua kupuuza utawala wa Sheria (Rule Of Law ) kupitia Sheria zinazowaongoza katika majukumu Yao ya kila siku kama, Police Force and Auxiliary Service Act, Cap 322 R.E 2002, Criminal Procedure Act, Penal Code na Police General Order. Sheria zote hizi kama Police wangekuwa wanaziheshimu na kuzifuata zingetofautisha Polisi na watu wengine. Wahuni wengine wasinge kuwa na uwezo wa kujitambulisha kama ni Polisi ikiwa sio Polisi.

View attachment 3150874View attachment 3150875
View attachment 3150876

Bro Nondo, unless tungejua profile ya Mtekwaji ingesaidia ku connect dots!
 
Ukiingia ukurasa huo utaona mtu mmoja bonge akilazimishwa kuingia kwenye Noah na watu watatu wasiojulikana huku akipiga kelele za kuomba msaada asaidiwe kwani walikuwa wakienda kumuua.
Tukio hilo inaonekana ni mchana kweupee!

Katika jambo lilioniogopesha ni kuona raia wakishuhudia tu tukio hilo bila kupiga kelele za kuitana ili kuzuia mtu huyo asitekwe.
Hii inaonesha kwa sasa watanzania tumebadilika sana na hatuna tena ule ujamaa kama tuliokuwa nao zamani.
Mtu anaweza kuumizwa mbele ya watu na watu wakabaki kuchukua video tu ili wawe wa kwanza kupost.
Tukio kama hili ni bahati mbaya limefanyika Dar.Laiti lingefanyika miji kama Mwanza,hao watu wenye Noah huenda wangegeuzwa mkaa kwa kuchomwa moto wao na gari yao.

Kwa kawaida kama ni askari walitakiwa kuanzia kwa kiongozi wa mtaa ama eneo husika ndipo waende kukamata raia.
Matukio kama haya yatalazimisha watu waanze kujitetea kwa njia yoyote na hapa naona kama ndio mwanzo wa machafuko.

Natumai polisi watalitolea maelezo ya kueleweka ili kuondoa hofu kwa raia.
 
Hawa watekaji wakamatwe, washtakiwe na wahukumiwe vikali kabisa ikibidi kifungo cha maisha jela, hii tabia ya utekaji inaota mizizi na Polisi wetu na Serikali ndio zinachafuka sana na wananchi wanakosa imani na serikali sbb ya watu wahuni wachache sana, Serikali isipuuzie kabisa hili tukio, iwakamate haraka sana, hao sio watekaji tu ni majambazi na wauaji tena wanatumia jina la Jeshi la Polisi vibaya sana
 
Hakuna Mtanzania asiyeigopa serikali.
Awe mwana masumbwi, awe tajiri, awe maskini au tajiri.
Hakuna Mtanzania wa kumpiga pingu Mtanzania mwenzake mchana mbele ya watu kama si wakala wa vyombo vya ulinzi na usalama.
Tisipepese macho wale watekaji ni government agents. Kama si government agents basi ndani ya masaa 12 tu baada ya video kuvuja tayari nisikie wako selo wananyea ndoo.
Swali langu: Kwanini walimwacha baada ya kuona mambo si mambo?
Je, serikali inaweza kumshindwa raia mhalifu?
Askari anaruhusiwa kutumia silaha kupunguza nguvu ya mtuhumiwa endapo mtuhumiwa atakuwa mkaidi au kupambana na askari , je, kwanini hawakutumia silaha?
.... Na hakuna mtanzania anayeweza kupatikana na pingu kama si mtumishi wa vyombo vya usalam.
 
Tukio la kusikitisha sana limetokea Kiluvya Madukani -Dar ,katika Hotel ya Rovvenpec tar.11/Nov/2024. Ikionesha watu wakimteka Ndg. Deogratius Tarimo(Deo Bonge) na kumlazimisha kuingia kwenye gari.

Taarifa ya Polisi. Tanzania waliyoitoa leo tar. 13/Nov./2024 wanakiri kupokea taarifa ya tukio hili kutoka kwa Deo Bonge tar. 11 ambapo alienda kulalamika kituo cha Polisi Gogoni-Kiluvya,Wilaya ya Ubungo. Polisi wanakiri hawawatambui watu hao ila watawakamata.

Maswali ya kujiuliza.

1. Hao watu wenye Ujasiri wa kukamata (kumteka) mtu kwa nguvu Mchana kweupe wakiwa na pingu kama sio Polisi na kama hawana uhusiano na Polisi.Ni watu gani hawa?

2. Kwanini wakati wanamkamata (kumteka) walikuwa wanatamka "Twende Gogoni" ambapo Gogoni ni kituo cha Polisi Kilichopo Kiluvya, Wilaya ya Ubungo- Dar kama sio Polisi na kama hawana uhusiano na Polisi. Ni watu gani hawa?

3. Kwanini wakati wanamkamata (Kumteka) watamke kwa nguvu kwamba sisi ni Askari, sisi ni Askari? Ikiwa Polisi kupitia taarifa yao wamewakana kwamba hawawajui. Ni watu gani hawa wana Ujasiri kujitambulisha kama wao ni Polisi ikiwa sio Polisi?

4. Ikiwa ukamataji ulikuwa na nia njema kama sio Kumteka,kwanini baada ya kuzidiwa nguvu waliamua kumuacha na pingu mkononi na kukimbia huku wakisema tutakukafuata. Kwanini wakimbie? Kama sio Polisi. Ni watu gani hawa?

Kuongezeka kwa vyombo vya ukamataji tofauti na vyombo 3 kisheria ni sababu kubwa ya haya matukio kutokokea. Vyombo 3 kwa mujibu wa Sheria vyenye mamlaka ya kukamata, kupekua na kupeleleza ni POLISI, TAKUKURU na UHAMIAJI. Na ambapo ukikamatwa na Polisi unapelekwa kituo cha Polisi, ukikamatwa na Uhamiaji unapelekwa uhamiaji, Ukikamatwa na TAKUKURU unapelekwa TAKUKURU.

Mwaka 2023 kulifanyika marekebisho ya Sheria ya Usalama wa Taifa ambapo kifungu cha 4(3) kikaruhusu Afisa wa Usalama wa Taifa kukamata mtu. Na haijulikani wapi anakupeleka. Sheria hii imeongeza mwanya wa matukio ya utekaji, inawezekana aidha kifungu cha Sheria hii kinatumika vibaya au kuna kikundi cha wahuni kinatumia mwanya wa Sheria hii kwa maslahi binafsi.

Pia Polisi kutofuata Sheria na taratibu za ukamataji, kumeongeza mwanya wa matukio haya Sababu imekuwa ni ngumu kujua nani ni Polisi nani sio Polisi. Police wameamua kupuuza utawala wa Sheria (Rule Of Law ) kupitia Sheria zinazowaongoza katika majukumu Yao ya kila siku kama, Police Force and Auxiliary Service Act, Cap 322 R.E 2002, Criminal Procedure Act, Penal Code na Police General Order. Sheria zote hizi kama Police wangekuwa wanaziheshimu na kuzifuata zingetofautisha Polisi na watu wengine. Wahuni wengine wasinge kuwa na uwezo wa kujitambulisha kama ni Polisi ikiwa sio Polisi.

View attachment 3150874View attachment 3150875
View attachment 3150876
Hawa wasenge wanaochukua picha na kumuangalia tu mtu anachukuliwa kisenge kumamae zao , Watanzania ni mbwa
 
Tukio la kusikitisha sana limetokea Kiluvya Madukani -Dar ,katika Hotel ya Rovvenpec tar.11/Nov/2024. Ikionesha watu wakimteka Ndg. Deogratius Tarimo(Deo Bonge) na kumlazimisha kuingia kwenye gari.

Taarifa ya Polisi. Tanzania waliyoitoa leo tar. 13/Nov./2024 wanakiri kupokea taarifa ya tukio hili kutoka kwa Deo Bonge tar. 11 ambapo alienda kulalamika kituo cha Polisi Gogoni-Kiluvya,Wilaya ya Ubungo. Polisi wanakiri hawawatambui watu hao ila watawakamata.

Maswali ya kujiuliza.

1. Hao watu wenye Ujasiri wa kukamata (kumteka) mtu kwa nguvu Mchana kweupe wakiwa na pingu kama sio Polisi na kama hawana uhusiano na Polisi.Ni watu gani hawa?

2. Kwanini wakati wanamkamata (kumteka) walikuwa wanatamka "Twende Gogoni" ambapo Gogoni ni kituo cha Polisi Kilichopo Kiluvya, Wilaya ya Ubungo- Dar kama sio Polisi na kama hawana uhusiano na Polisi. Ni watu gani hawa?

3. Kwanini wakati wanamkamata (Kumteka) watamke kwa nguvu kwamba sisi ni Askari, sisi ni Askari? Ikiwa Polisi kupitia taarifa yao wamewakana kwamba hawawajui. Ni watu gani hawa wana Ujasiri kujitambulisha kama wao ni Polisi ikiwa sio Polisi?

4. Ikiwa ukamataji ulikuwa na nia njema kama sio Kumteka,kwanini baada ya kuzidiwa nguvu waliamua kumuacha na pingu mkononi na kukimbia huku wakisema tutakukafuata. Kwanini wakimbie? Kama sio Polisi. Ni watu gani hawa?

Kuongezeka kwa vyombo vya ukamataji tofauti na vyombo 3 kisheria ni sababu kubwa ya haya matukio kutokokea. Vyombo 3 kwa mujibu wa Sheria vyenye mamlaka ya kukamata, kupekua na kupeleleza ni POLISI, TAKUKURU na UHAMIAJI. Na ambapo ukikamatwa na Polisi unapelekwa kituo cha Polisi, ukikamatwa na Uhamiaji unapelekwa uhamiaji, Ukikamatwa na TAKUKURU unapelekwa TAKUKURU.

Mwaka 2023 kulifanyika marekebisho ya Sheria ya Usalama wa Taifa ambapo kifungu cha 4(3) kikaruhusu Afisa wa Usalama wa Taifa kukamata mtu. Na haijulikani wapi anakupeleka. Sheria hii imeongeza mwanya wa matukio ya utekaji, inawezekana aidha kifungu cha Sheria hii kinatumika vibaya au kuna kikundi cha wahuni kinatumia mwanya wa Sheria hii kwa maslahi binafsi.

Pia Polisi kutofuata Sheria na taratibu za ukamataji, kumeongeza mwanya wa matukio haya Sababu imekuwa ni ngumu kujua nani ni Polisi nani sio Polisi. Police wameamua kupuuza utawala wa Sheria (Rule Of Law ) kupitia Sheria zinazowaongoza katika majukumu Yao ya kila siku kama, Police Force and Auxiliary Service Act, Cap 322 R.E 2002, Criminal Procedure Act, Penal Code na Police General Order. Sheria zote hizi kama Police wangekuwa wanaziheshimu na kuzifuata zingetofautisha Polisi na watu wengine. Wahuni wengine wasinge kuwa na uwezo wa kujitambulisha kama ni Polisi ikiwa sio Polisi.

View attachment 3150874View attachment 3150875
View attachment 3150876
Kwanini waliwaacha hawa wasenge waondoke , mnashinda kuwachoma moto na gari lako hilo ?
 
Kweli huyu Mama uwezo wake ni mdogo sana.
hakuna ha mama wala baba, wenye uwezo mdogo ni nyinyui
NAKAZIA "yako maswali mengi polisi lazima wajibu maana sehemu ya kuanzia ipo na wafanye haraka sana"

Deo pia ana maswali mengi sana ya kujibu.

Biashara ipi ya kuifanyia bar?

Tena inaonesha alikuwa anajuwa kitachoendelea, akaweka na mpiga picha kbisa.

Kinachonishangaza mimi, ni huyo kijana mweupe, mmoja katika watekaji, na yeye FDeo wpote wamevaa bangili mkono wa kulia.

Isije kuwa mchezo wa mapenzi? Maana habari za kaskazini siku hizi si mchezo.
 
Tukio la kusikitisha sana limetokea Kiluvya Madukani -Dar ,katika Hotel ya Rovvenpec tar.11/Nov/2024. Ikionesha watu wakimteka Ndg. Deogratius Tarimo(Deo Bonge) na kumlazimisha kuingia kwenye gari.

Taarifa ya Polisi. Tanzania waliyoitoa leo tar. 13/Nov./2024 wanakiri kupokea taarifa ya tukio hili kutoka kwa Deo Bonge tar. 11 ambapo alienda kulalamika kituo cha Polisi Gogoni-Kiluvya,Wilaya ya Ubungo. Polisi wanakiri hawawatambui watu hao ila watawakamata.

Maswali ya kujiuliza.

1. Hao watu wenye Ujasiri wa kukamata (kumteka) mtu kwa nguvu Mchana kweupe wakiwa na pingu kama sio Polisi na kama hawana uhusiano na Polisi.Ni watu gani hawa?

2. Kwanini wakati wanamkamata (kumteka) walikuwa wanatamka "Twende Gogoni" ambapo Gogoni ni kituo cha Polisi Kilichopo Kiluvya, Wilaya ya Ubungo- Dar kama sio Polisi na kama hawana uhusiano na Polisi. Ni watu gani hawa?

3. Kwanini wakati wanamkamata (Kumteka) watamke kwa nguvu kwamba sisi ni Askari, sisi ni Askari? Ikiwa Polisi kupitia taarifa yao wamewakana kwamba hawawajui. Ni watu gani hawa wana Ujasiri kujitambulisha kama wao ni Polisi ikiwa sio Polisi?

4. Ikiwa ukamataji ulikuwa na nia njema kama sio Kumteka,kwanini baada ya kuzidiwa nguvu waliamua kumuacha na pingu mkononi na kukimbia huku wakisema tutakukafuata. Kwanini wakimbie? Kama sio Polisi. Ni watu gani hawa?

Kuongezeka kwa vyombo vya ukamataji tofauti na vyombo 3 kisheria ni sababu kubwa ya haya matukio kutokokea. Vyombo 3 kwa mujibu wa Sheria vyenye mamlaka ya kukamata, kupekua na kupeleleza ni POLISI, TAKUKURU na UHAMIAJI. Na ambapo ukikamatwa na Polisi unapelekwa kituo cha Polisi, ukikamatwa na Uhamiaji unapelekwa uhamiaji, Ukikamatwa na TAKUKURU unapelekwa TAKUKURU.

Mwaka 2023 kulifanyika marekebisho ya Sheria ya Usalama wa Taifa ambapo kifungu cha 4(3) kikaruhusu Afisa wa Usalama wa Taifa kukamata mtu. Na haijulikani wapi anakupeleka. Sheria hii imeongeza mwanya wa matukio ya utekaji, inawezekana aidha kifungu cha Sheria hii kinatumika vibaya au kuna kikundi cha wahuni kinatumia mwanya wa Sheria hii kwa maslahi binafsi.

Pia Polisi kutofuata Sheria na taratibu za ukamataji, kumeongeza mwanya wa matukio haya Sababu imekuwa ni ngumu kujua nani ni Polisi nani sio Polisi. Police wameamua kupuuza utawala wa Sheria (Rule Of Law ) kupitia Sheria zinazowaongoza katika majukumu Yao ya kila siku kama, Police Force and Auxiliary Service Act, Cap 322 R.E 2002, Criminal Procedure Act, Penal Code na Police General Order. Sheria zote hizi kama Police wangekuwa wanaziheshimu na kuzifuata zingetofautisha Polisi na watu wengine. Wahuni wengine wasinge kuwa na uwezo wa kujitambulisha kama ni Polisi ikiwa sio Polisi.

View attachment 3150874View attachment 3150875
View attachment 3150876
Ila Bonge kakaza sana ,hajakubali kudakwa kizembe ,nadhani na mwili umemsaidia ,angekuwa mtu wa mazoezi angewafumua vitasa vya kutosha hawa wapuuzi
 
Sawa.
Kwa hiyo huyu ROSTAM alikuwa na ana NGUVU SANA KULIKO HIZI SERIKALI YAANI ILIYOPITA JPM NA HII TULIYONAYO?

Maana JPM na ROSTAM walikuwa MARAFIKI mpaka wakazindua TAIFA GAS yao na mengine mengi.
Lkn huyuhuyu ROSTAM akasema majaji na mahakimu hawako huru ni watu wa kupigiwa simu tu na kufanyia kazi maagizo.

Ni kweli ROSTAM anaizidi serikali tuliyonayo nguvu?
Kama ni kweli,basi ROSTAM hana makosa,wenye makosa ni hao wenye mamlaka kutokutuambia kuwa wamezidiwa.
Mmoja ya watu wanao piga simu moja tu kwa majaji ni huyo ROSTAM AZIZI...Swali sasa kama ni hivyo mbona anaonekana naye ana lalamika ? Tumieni akili simu moja ya ROSTAM AZIZI kwa majaji si kitu mbele ya simu moja ya Rais kwa majaji sasa kimbembe ni pale Rais anapokuwa siyo kibaraka wa kina ROSTAM AZIZI ndipo hapo simu ya ROSTAM inapigwa chini na ya Rais inapokelewa na maagizo yanafuatwa ....magufuli aliwai kusema wazi kuwa gesi yetu tumesha ibiwa sasa unajua ROSTAM AZIZI ni nani kwenye mambo ya gesi ? Kitu alicho kifanya jpm ili kuwa komesha wenye kumiliki gesi ni kujenga bwawa la umeme ili ashushe bei ya umeme kwa nusu hivyo mafisadi wa gesi wangelazimika kushusha sana bei ya gesi pia ....ndiyo maana serikali dhalimu ya samia inayo milikiwa na rais feki kina rostam azizi wamekataa kata kata kushusha bei ya umeme licha ya bwawa kukamilika.
 
Serikari inatuchezea akili hapo aisee,Kuna jambo wanataka kulipindisha.

Sasa hivi utasikia Maya mko na kuwa wanaoteka sio Polisi😂😂
 
Hawakuwa marafiki tumia akili tatizo walikuwa chama kimoja na huyo rostam azizi ni mkubwa sana kuliko unavyo mdhania anatumia pesa kusuka mifumo yake serikali....unakumbuka picha za silaha za moto alizo kamatwa nazo mdogo wake nyingi zana ila ni mbunge wa ccm na ajafanywa chochote ...je wewe ukikamata na hata na buti la jwtz tu nini kingekukuta au na ganda la risasi moja tu
Utanielewa tu.
Jibu maswali yangu kwanza.
 
Back
Top Bottom